Lilian Mwamwaja - Wanitosha (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Lilian Mwamwaja - Wanitosha (Official Video) Is One Of My Song Which Express The Goodness Of God In Our Life.Once Start Worship GodThrough This Song Wanitosha You Experience The Presence Of God And Get Breakthrough.Stay Blessed, You May Advise Me Here And I Will Reply Your Comment. Don't Forget To Subscribe My Channel.
- Видеоклипы
I’m still here today I thank God for everything… on February 6 in 2023
Hakika Mungu ndio Utoshelevu wetu, Musa akasema bila uso wako kwenda pamoja nasi hatuondoki hapa! Kila mtu anayejua utamu wa kutembea na Mungu anaelewa kuwa yeye ni Utoshelevu wetu, zaburi nzuri sana hii
Ameen ubarikiwe sana
Nakumbuka mbali sana. Barikiwa mrembo. Jehova atosha pekee!!
Ameeeeen ubarikiwe pia
naupenda Sana huu wimbo
Hii ndio nyimbo yangu hainichoshi kabisaa aisee Hongera sana Lily kwa wimbo mzuri
Hakika ubarikiwe sana Dada mkubwa
I still hope to visit Tanzania again, it's such an accommodating environment with Godly people. My swahili is poor but am blessed with the song. God bless you, Bwana yesu asifiwe.
JOHNSON OLATUNJI
I welcome You once Again..
Sorry for late reply
JOHNSON OLATUNJI Amina.
Karibu sana.
Daaah barikiwa sana dada lily, nautazama trna mwaka 2021 tar 7 mwezi 5 saa 21:12 nikiwa Dar es salaaam tz, oooh haleluyaaa wimbo bado unaishi
Ameen ubarikiwe sana
Endelea kuhudumiwa na Bwana
atukuzwe Mungu halleluyaaa
My Favourite song😢❤
12May2024 here again
Barikiwa
Amen Amen
Wimbo wa pekee sana
Nabarikiwa Sana
Ubarikiwe mama
Ameen mwanangu 🥰🥰
Unanibariki sana Lilian Mungu akuinue
Lily nakupenda... Napenda uimbaji wako....
Acha neema iliyo juu yako izidi kuongezeka.... Isaac nikiwa kenya
Ubarikiwe
Woow! God bless you
Nikiwa na wewe Bwana Yesu barikiwa dada Lilian
Ameen ubarikiwe pia
Congratulations 👏👏👏🥳
2024 bado nabarikiwa
Same to me, much blessings with the song
Hongera sana pia kwa mixing engineer
Hakikaa ananitoshaa sihitaji kingine yeye husimama ktk yote hapa ulimwengun . barikiwaa dr
Lovely
Glorious
Blessed
Thanks Dear
Amenn
Kazi nzuri mtumishi wa Mungu
#lawrencendosi
Mungu akutunze dear nabarikiwa na kazi zako
Ameni
napenda utunzi wako zaidi sana Mungu wako..love u
Mercy Kametta Amen..Barikiwa Mdogo wangu. Tuombeane
Am music Producer natamani nifanye kazi ya audio na Huyu mtu
Barikiwa sana mama
Ubarikiwe sana
Barikiwa Lilian, kazi nzuri sana
Amen ubarikiwe pia
Ubarikiwe wajina
Amina wajina ubarikiwe sana
heavy prayer kupitia huo wimbo wanitosha barikiwa
wow nzuri
Amen 🙏
Good song for sure l like it
kazi njema sana dada yangu. Mungu apanue mipaka yako.nakumbuka ule uwepo wa Bwana pale Ilala TAG Tulivyohudumu siku ya mabinti hadi leo its my prayer song.
Mwanaisha Kapanda Barikiwa Dear. Tuombeane
Nakupenda mpaka basi my dear
Yaani wajua Nami pia wangu 💕
I Love you Jesus. Wimbo Mzuri sana
Tumekumiss TAG, BMCC mwanza
Asante sana...Nitakaribia tena
Nikifungua wimbo huo huwa nauacha ukiimba usiku kucha, naamka bado sijachoka kuusikiliza, Kama Victor John alivyosema, wimbo huu unaibua Roho ya Maombi ... Mungu azidi kukupa nyimbo nyingi za kutusogeza madhabahuni mwake...
Elibariki Mushi Ameeeen Endelea kuniombea
God bless you sister
Amen Asante sana ♥️
Wimbo mzuri sana.. Dada angu wa Umoja Sec.. Mungu azidi kukuinua
Ubarikiwe Mtumishi
Mungu akubariki sana dear, kazi nzuri mno, hakika Bwana anitosha hakuna mwingine km yeye
Amennnnnnnnnnnnnn
hongera mama kazi nzuri sana
+Levy Mamuya
Ubarikiwe mwanangu!
Levy Mamuya
Asante sana Mwanangu
wimbo mzuri sana, niliusikia Kwa Neema FM Radio Mwanza kwa mara ya kwanza mwaka jana, sikumbuki tarehe ila ilikuwa saa 5 usiku na nikaupenda siku hiyo mpaka leo. barikiwa
na si unajua vile huu wimbo hugusa moyo wangu Lillian.. .Mipaka isikuzuie kuvuka in Jesus name
Maggy Mgoma Amen Dear
Barikiwa sana nakumbuka ulivyohudumu kiteto, hakika ubarikiwe
Wanitosha, wanitosha Jehovah hakuna mwingine kama wewe...............
wimbo mzuri Dada barikiwa sana wanitosha jehova hakuna mwingne
ubarikiwe sister Lilian. MUNGU azidi kukuininua kwa viwango vingine.
Kazi yako ni njema sana nimeipenda imejaa mila chema ninachohitaji kwa kuinuliwa kiimani. Mungu azidi kukupaka mafita uzidi kuwa baraka kwa taifa letu. Tanzania.
Phenias Rungu Ameeeen Mtumishi
BigUp
Safi sana Nafurahi kuona nchi yangu tunafanya kazi za viwango .
Ameem
Amen
Mungu akubariki sana mama nainuliwa na huu wimbo
cogratulatin mrs lilian kimla
Ubarikiwe sana huduma yako ni njema kabisa
Sichoki kuangalia huu wimbo
Mungu akubariki sana mpendwa
Kazi njema sana mama barikiwa sana
A very powerful song. Ubarikiwe kwa ujumbe mzuri
Umefanya vema Lily. Mungu akubariki zaidi sana.
sipunguki kitu,..Ubarikiwe
Dada unanibariki sana
Wanitosha Yesu,ubarikiwe
Nice song I love it 💟
Thanks
God bless you dear. A great song and great message
Hongera!
+Methusela Yusuf kimola
Asante sana ubarikiwe
🙏🤗
Beautiful
Thank you
Nabarikiwa sana
Ubarikiwe sana Dear
naupenda Sana huu wimbo
Amennn