Yamoto Band -

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 мар 2017
  • Yamoto Band Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye Muziki, leo wameachia Track yao mpya inaitwa BASI mapema leo waliitambulisha kwa mara ya kwanza kupitia Clouds FM katika Kipindi cha Leo Tena na waliongozana na Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fella ambaye alielezea ukimya wa vina hao pamoja na ule uvumi ulikuwa mtaani kuwa yamoto band wamekosa na Fella wengine walisema Aslay ametoka kundi, Msikilize Saidi Fella na Yamoto band.
    ___________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________
    Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
    Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
    Share, Support, Subscribe!!!
    Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
    RUclips: / hzbtv
    Twitter: / harakatizabongo
    Facebook: / harakatizabongo
    Instagram: / harakatizabongo
    Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
    Website: harakatibongo.com/
    #Aslay #Mbosso #YamotoBand #Basi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 272

  • @dickydickson4370
    @dickydickson4370 3 месяца назад +7

    Who is here in 2024?

  • @Geemuthoni99
    @Geemuthoni99 3 года назад +3

    Dec 2020 watching
    2024😂 still here

  • @ednakawira6137
    @ednakawira6137 6 лет назад +11

    Oooooooohh!!! Nilikua nime miss xn kuwaona pamoja big up am a Kenyan bt kwenu nadata

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 3 года назад +4

    Tunao angalia 2020 Mbosso akiwa yupo Moto fire tujuaneeee

  • @reneewoods3066
    @reneewoods3066 5 лет назад +16

    Yamoto band jamani nawapenda Sana Hadi naumwa!.nawakubali Sana,napenda kazi zenu ,napenda nyimbo zenu sanaaa!...Big up guys!🙌👍👌❤️❤️

  • @kibibisaid4879
    @kibibisaid4879 7 лет назад +11

    ya moto band kweli mmetisha na sema baci😍

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 лет назад +6

    Masha Allah congratulations mkubwa fella na wanao.muendeleee na umoja ni nguvu.penda sana nyimbo zenu.

  • @fatumakilua9542
    @fatumakilua9542 5 лет назад +13

    Ila asley we nistar lakin huna makuu yani unavaa simpo2 minakupenda Bure mungu akujalie ufike mbali zaid

  • @mohammedmusa4923
    @mohammedmusa4923 4 года назад +3

    Yamoto band you are awesome and amazing we love you from Sudan Asanti sana

  • @ntawurusigajaphet813
    @ntawurusigajaphet813 4 года назад +7

    2020 watching from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @realremih
    @realremih 4 года назад +12

    2019 still watching their last song

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 4 года назад +5

    Fantastic song from young gifted african musicians......

  • @abdallahhadaika2131
    @abdallahhadaika2131 7 лет назад +6

    nawakubali sana wakubwa na wanae ya moto band.

  • @mgenimwasabu905
    @mgenimwasabu905 4 года назад +3

    Naipenda walai hii nyimbo tamu sana that's good guys

  • @gabrieljoseph4409
    @gabrieljoseph4409 7 лет назад +6

    yap yap...we ar waiting for this...umbea wa gwajima basi basii...nw ni burudan tuu

  • @omarymkapanda2518
    @omarymkapanda2518 4 года назад +4

    14 november 2019 still watching🙌🏻🙌🏻

  • @rizikipindila1845
    @rizikipindila1845 5 лет назад +4

    Mkubwa una Akili yaku tengeneza Pesa Mungu akubariki. Wana Yamoto hicho kikundi kikopoa Umoja ndo nguvu zahidi.

  • @carlossimiyu5512
    @carlossimiyu5512 7 лет назад +9

    penda sana yamoto.effort bro,much love from Nairobi kenya

  • @vickyLove2002
    @vickyLove2002 5 лет назад +5

    Jameni tulikuwa tuwamiss 😢😢😢🤞🤞💪💪💪

  • @emmanuelmsigala1374
    @emmanuelmsigala1374 7 лет назад +6

    GEA UMEBARIKIWA SANAA MAMAA,ANAEKUTIA HONGERA ZAKE..

  • @waiswawaanaseti6041
    @waiswawaanaseti6041 7 лет назад +26

    Kusema ukweli nawapenda hawa vijana saaana. Nilikuwa nimewamissssssss sana. Msinyamaze hivyo tena jameni mwatuumiza roho. Mimi Mkenya, na hiki ndicho kikundi nikipendacho zaidi ya vikundi vyote. Wimbo mzuri saaan

  • @abdallarashid4795
    @abdallarashid4795 7 лет назад +24

    Enock Bella amependa hiyo nyimbo Sanaaa.ona anavyofurahia

  • @mercymunyiva311
    @mercymunyiva311 3 года назад +2

    Naipenda basii😍😍

  • @neymollel5574
    @neymollel5574 3 года назад +1

    Waooooo nawapenda sana nikiwaona pamoja nawapenda sanaaa

  • @hassanmakacha3942
    @hassanmakacha3942 5 лет назад +4

    Msiachane tena bana mnapendeza sana na alaf mnajua sana

  • @naomimuthoni1950
    @naomimuthoni1950 5 лет назад +3

    Bigup yamoto your music is so creative more so aslay congratulation . from kenya

  • @zarinabegandani32
    @zarinabegandani32 7 лет назад +7

    salute sana yamoto namewamiss sana

  • @rachealmwanje7012
    @rachealmwanje7012 5 лет назад +4

    love this song💋❤👍👌👏👏

  • @felixmoseti2570
    @felixmoseti2570 Год назад +1

    Am here in 2022.. these boys should give us one more hit.. mob love from 254🇰🇪🇰🇪

  • @umbeaeastafrica7943
    @umbeaeastafrica7943 4 года назад +1

    Ile nyingine kwishatolewa RUclips na mimi kahamia hapa ili niliendelee kupata uhondo. Wale tumeitafuta hii video na audio yake ile clear tukaikosa RUclips tokea jana gongeni likes hapa.

  • @vennesasimpson243
    @vennesasimpson243 5 лет назад +3

    Enock killed it free style !Mbosso baba yao

  • @rasheeda2544
    @rasheeda2544 4 года назад +4

    greatest band ever

  • @hajiomaromar3036
    @hajiomaromar3036 5 лет назад +4

    I mis yamoto bańd i wilľ be soo hapy tp see u back

  • @hancyberthlumambo4592
    @hancyberthlumambo4592 2 года назад

    Mbosso Mbosso Kumamamake Shikamoooooh

  • @johanmbegu4472
    @johanmbegu4472 7 лет назад +6

    Nice song tisha sana nyie wa tmk

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 3 года назад +1

    Tunawakumbuka jamani daah 25/09/2020

  • @isharaclarahbeckam3731
    @isharaclarahbeckam3731 7 лет назад +4

    😍😍😍nice song jamaaan

  • @user-yl3ox6si4q
    @user-yl3ox6si4q Месяц назад

    Watoto walikua wanajua sana hawa

  • @mariamsalim2191
    @mariamsalim2191 7 лет назад +2

    duuuh ipo vizur sanaaa, big up to yamoto band

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 7 лет назад +1

    mhuuu!!nyie wakaliiiii had rahaaaaaaa😀😀😀😇😇😇😇

  • @hadidjadinamadjaliwa5913
    @hadidjadinamadjaliwa5913 5 лет назад

    Nice song ya moto band mim ni mu burundi na wapenda sana awa wakiyana i love u so much guys and big _up

  • @pancrasskazimoto4094
    @pancrasskazimoto4094 5 лет назад +4

    wouuuu safi nawakubali hatarii

  • @mercyfaith8126
    @mercyfaith8126 5 лет назад +2

    Basi murudi pamoja Yamato band.

  • @karimvicent7425
    @karimvicent7425 7 лет назад +11

    kuna kitu nakiona rayvanny anajua sana band music embu tengezeni collabo nahc itakua bonge LA hit

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 5 лет назад +1

    Aslyei hapo anaonakana ndio alikua mwali anafatia mwanangu mbossa.uyu mwengine wa nyekundu.kisha eneck sauti bessi ya kiume .watoto saidieni mfike msitegane kabisa .mungu atawasaidia

  • @aishaaminaamina38
    @aishaaminaamina38 7 лет назад +3

    safi sana Yamoto band

  • @sweetmama3242
    @sweetmama3242 7 лет назад +3

    Woooooooow.....!

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 5 лет назад +7

    Laizer classic ndo producer hapo.big up to u bro.

  • @paulojosephy6338
    @paulojosephy6338 7 лет назад +4

    ipo vzr naona wamelejea baada ya ukimya

  • @peterkascratchofficial
    @peterkascratchofficial 4 года назад +1

    Mlitokesea sana kaka zetu 254

  • @halimaamini8015
    @halimaamini8015 7 лет назад +13

    basi Acha nifurahi yamoto wamerudi😜😜😜basi ninomaa napenda sana yamoto band

  • @yvonnepaul8053
    @yvonnepaul8053 7 лет назад +2

    come back to kenya this year i luv u

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад +4

    mko vizuri vijana kazeni buti

  • @user-nf1fe9ru3o
    @user-nf1fe9ru3o 11 месяцев назад

    2023 NASEMA YAMOTO MULITUKOSEA SANA KUTUACHA

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад +2

    mnajua sana nyie ni noma

  • @zulfaabdallah4352
    @zulfaabdallah4352 7 лет назад +4

    mashallah wimbo mzr

  • @loyceemacy9185
    @loyceemacy9185 4 года назад +1

    Ingekuwa inawezekana kwa Sasa hiv mngekubaliana2 mrudi muwe pamoja sema bas2 tunawamis😭

  • @johnesther5388
    @johnesther5388 5 лет назад +9

    You guys you are amazing when you work together

  • @jackiephyll1250
    @jackiephyll1250 3 года назад

    Still watching 2021

  • @fathilaali4656
    @fathilaali4656 7 лет назад +2

    mm niko omani nimependa sana ✌💞💝

  • @mosessizya3565
    @mosessizya3565 7 лет назад +5

    bonge la ngoma yani

  • @moonmoon8723
    @moonmoon8723 7 лет назад +2

    yamoto band mwanitoa roho nice song

  • @omankhadra5286
    @omankhadra5286 5 лет назад

    Yamotooooooooo mpooooo kaz zur mola awabarikiiiiiii enock bezii hiloooo

  • @priva2clyombo906
    @priva2clyombo906 7 лет назад

    mmewaziba mdomo walokuwa wamesema mshapotea....all the best to you guys......

  • @muhireinnocent7280
    @muhireinnocent7280 7 лет назад +3

    huu wimbo ningependaelea uwe wa mwaka for real kill it duu!!!

  • @paulbruno5349
    @paulbruno5349 5 лет назад +7

    Imagin Leo mngekuwa mpo pamoja mngekuwa mbali sana sijui kama hata Wcb ingekuwepo maana nyie ni shida

  • @sheilanambala4380
    @sheilanambala4380 5 лет назад

    Woow i like the way kumeback together ..nice work ...aslay nakupenda buree...#254.

  • @princewazegede7168
    @princewazegede7168 Год назад

    Irudi tena yamoto band

  • @henrymateso5002
    @henrymateso5002 7 лет назад +2

    Niec yamoto

  • @safarinickas2179
    @safarinickas2179 7 лет назад +2

    yamoto big up sana!

  • @ashatadei5639
    @ashatadei5639 7 лет назад +2

    ngoma kari sana niliwamisi kinoma kazeni buti

  • @latifahalitsi7986
    @latifahalitsi7986 3 года назад +4

    Powerful voices, powerful song.I wish they could be together.

  • @saphinamaneno5097
    @saphinamaneno5097 7 лет назад +1

    nice song yaniiii niliwqmic atry yamoto band

  • @mauajuma7267
    @mauajuma7267 4 года назад

    Eheee nakupenda sana mbosso luv yah

  • @alextina2713
    @alextina2713 3 года назад

    Dah nimefrah sana kurud kwenu mkiwa pamoja

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Yaani nawapenda sana nyie watoto.

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn 3 года назад

    Nawapenda sna wote pamoja na mkubwa fella ila naomba mkubwa fella mm nije kujifunza kucheza tu je inawezekana

  • @johnmurshiwa3657
    @johnmurshiwa3657 7 лет назад +17

    MAromboso fundi kiukweli

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 7 лет назад +1

    Good job nawapendaga sana wadogo zangu

  • @mohamedmwenyekombo1885
    @mohamedmwenyekombo1885 2 года назад

    World best song from ya moto

  • @halimajuma3432
    @halimajuma3432 7 лет назад +1

    Nzuri kweli basi.....

  • @ElizabethNjoki-xr2we
    @ElizabethNjoki-xr2we Год назад

    Wow.enock.napeda.❤wimbo.wako.sana.❤.wow.keep.up❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rosemunyali912
    @rosemunyali912 5 лет назад

    hongera sana twawapenda sana mimi mkenya

  • @keymiroeliasalixander4097
    @keymiroeliasalixander4097 Год назад

    Eki não tenho nada mais gosto muito d música e foi boa

  • @emmanuelkhisa8453
    @emmanuelkhisa8453 2 года назад

    254:::😂 ndo ome ila mbona mkutoa hiiy ngoma bna😁,n noma kinyama.

  • @HassanMohamed-ft6hr
    @HassanMohamed-ft6hr 7 лет назад +1

    safi san song ...nzuri

  • @beniciopitatapuleta6342
    @beniciopitatapuleta6342 6 месяцев назад

    I love this band

  • @abdalalugo5851
    @abdalalugo5851 Год назад

    Enock napenda sauti kwel

  • @alexokello6750
    @alexokello6750 2 года назад

    BASI!

  • @elizabethmwongeli6164
    @elizabethmwongeli6164 3 года назад

    Weuweeeeeeeeee,,,, you killed it💯💯💯💕💕💕💕💕

  • @davycm9750
    @davycm9750 7 лет назад +1

    kaz kaz appriciate sana

  • @deborakamsi
    @deborakamsi 7 лет назад +1

    amazing amazing song

  • @baruanmohamed6674
    @baruanmohamed6674 7 лет назад +5

    Very nice

  • @manathenangumwe1381
    @manathenangumwe1381 3 года назад

    Aisee... Ya moto ya moto...Bella masauti

  • @sherryshazala7123
    @sherryshazala7123 7 лет назад +4

    ur always perfect keep shinning Yamoto 😍

  • @ntawurusigajaphet813
    @ntawurusigajaphet813 4 года назад

    Watu wenye hela mpo wapi?wanyeni hawa vijana warudi Pamoja, kwanini watengane?!Mungu hapendi watu watengane

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад

    Hao wawili wanafanana kweli

  • @aslayshivan2816
    @aslayshivan2816 5 лет назад

    Nawapenda sana yamoto

  • @bettyblessed436
    @bettyblessed436 5 лет назад

    I love you guys mwapendeza sana

  • @tunsumemwakinyuke661
    @tunsumemwakinyuke661 2 года назад

    Natamani hii band irudi