Yamoto Band -
HTML-код
- Опубликовано: 30 мар 2017
- Yamoto Band Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye Muziki, leo wameachia Track yao mpya inaitwa BASI mapema leo waliitambulisha kwa mara ya kwanza kupitia Clouds FM katika Kipindi cha Leo Tena na waliongozana na Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fella ambaye alielezea ukimya wa vina hao pamoja na ule uvumi ulikuwa mtaani kuwa yamoto band wamekosa na Fella wengine walisema Aslay ametoka kundi, Msikilize Saidi Fella na Yamoto band.
___________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________
Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
RUclips: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
Website: harakatibongo.com/
#Aslay #Mbosso #YamotoBand #Basi - Развлечения
Who is here in 2024?
Dec 2020 watching
2024😂 still here
Oooooooohh!!! Nilikua nime miss xn kuwaona pamoja big up am a Kenyan bt kwenu nadata
Tunao angalia 2020 Mbosso akiwa yupo Moto fire tujuaneeee
Yamoto band jamani nawapenda Sana Hadi naumwa!.nawakubali Sana,napenda kazi zenu ,napenda nyimbo zenu sanaaa!...Big up guys!🙌👍👌❤️❤️
ya moto band kweli mmetisha na sema baci😍
Masha Allah congratulations mkubwa fella na wanao.muendeleee na umoja ni nguvu.penda sana nyimbo zenu.
Ila asley we nistar lakin huna makuu yani unavaa simpo2 minakupenda Bure mungu akujalie ufike mbali zaid
Yamoto band you are awesome and amazing we love you from Sudan Asanti sana
2020 watching from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😘😘😘😘
2019 still watching their last song
And 2020 too
Fantastic song from young gifted african musicians......
nawakubali sana wakubwa na wanae ya moto band.
Naipenda walai hii nyimbo tamu sana that's good guys
yap yap...we ar waiting for this...umbea wa gwajima basi basii...nw ni burudan tuu
14 november 2019 still watching🙌🏻🙌🏻
Mkubwa una Akili yaku tengeneza Pesa Mungu akubariki. Wana Yamoto hicho kikundi kikopoa Umoja ndo nguvu zahidi.
Riziki Pindila beka noma
penda sana yamoto.effort bro,much love from Nairobi kenya
Jameni tulikuwa tuwamiss 😢😢😢🤞🤞💪💪💪
GEA UMEBARIKIWA SANAA MAMAA,ANAEKUTIA HONGERA ZAKE..
Kusema ukweli nawapenda hawa vijana saaana. Nilikuwa nimewamissssssss sana. Msinyamaze hivyo tena jameni mwatuumiza roho. Mimi Mkenya, na hiki ndicho kikundi nikipendacho zaidi ya vikundi vyote. Wimbo mzuri saaan
I like it
pow nakwako pia
Enock Bella amependa hiyo nyimbo Sanaaa.ona anavyofurahia
Katunga yeye
Naipenda basii😍😍
Waooooo nawapenda sana nikiwaona pamoja nawapenda sanaaa
Msiachane tena bana mnapendeza sana na alaf mnajua sana
Bigup yamoto your music is so creative more so aslay congratulation . from kenya
salute sana yamoto namewamiss sana
love this song💋❤👍👌👏👏
Am here in 2022.. these boys should give us one more hit.. mob love from 254🇰🇪🇰🇪
Ile nyingine kwishatolewa RUclips na mimi kahamia hapa ili niliendelee kupata uhondo. Wale tumeitafuta hii video na audio yake ile clear tukaikosa RUclips tokea jana gongeni likes hapa.
Enock killed it free style !Mbosso baba yao
greatest band ever
I mis yamoto bańd i wilľ be soo hapy tp see u back
Mbosso Mbosso Kumamamake Shikamoooooh
Nice song tisha sana nyie wa tmk
Tunawakumbuka jamani daah 25/09/2020
😍😍😍nice song jamaaan
Watoto walikua wanajua sana hawa
duuuh ipo vizur sanaaa, big up to yamoto band
mhuuu!!nyie wakaliiiii had rahaaaaaaa😀😀😀😇😇😇😇
Nice song ya moto band mim ni mu burundi na wapenda sana awa wakiyana i love u so much guys and big _up
wouuuu safi nawakubali hatarii
Basi murudi pamoja Yamato band.
kuna kitu nakiona rayvanny anajua sana band music embu tengezeni collabo nahc itakua bonge LA hit
Aslyei hapo anaonakana ndio alikua mwali anafatia mwanangu mbossa.uyu mwengine wa nyekundu.kisha eneck sauti bessi ya kiume .watoto saidieni mfike msitegane kabisa .mungu atawasaidia
safi sana Yamoto band
Woooooooow.....!
Laizer classic ndo producer hapo.big up to u bro.
ipo vzr naona wamelejea baada ya ukimya
Mlitokesea sana kaka zetu 254
basi Acha nifurahi yamoto wamerudi😜😜😜basi ninomaa napenda sana yamoto band
Halima Amini
Silvia Tegeja
SIJA AMINI KAMA WAMERUDIAN I LOVE YA MOTO BAD
come back to kenya this year i luv u
mko vizuri vijana kazeni buti
2023 NASEMA YAMOTO MULITUKOSEA SANA KUTUACHA
mnajua sana nyie ni noma
mashallah wimbo mzr
Ingekuwa inawezekana kwa Sasa hiv mngekubaliana2 mrudi muwe pamoja sema bas2 tunawamis😭
You guys you are amazing when you work together
Still watching 2021
mm niko omani nimependa sana ✌💞💝
bonge la ngoma yani
Vp
yamoto band mwanitoa roho nice song
Yamotooooooooo mpooooo kaz zur mola awabarikiiiiiii enock bezii hiloooo
mmewaziba mdomo walokuwa wamesema mshapotea....all the best to you guys......
Mmmmh, noma sana
huu wimbo ningependaelea uwe wa mwaka for real kill it duu!!!
nawapenda.sana
muhire innocent
abuu.jux
Imagin Leo mngekuwa mpo pamoja mngekuwa mbali sana sijui kama hata Wcb ingekuwepo maana nyie ni shida
iyo wcb ndo imewachangua hawa kwa uchaw wao
Woow i like the way kumeback together ..nice work ...aslay nakupenda buree...#254.
Irudi tena yamoto band
Niec yamoto
yamoto big up sana!
ngoma kari sana niliwamisi kinoma kazeni buti
Powerful voices, powerful song.I wish they could be together.
nice song yaniiii niliwqmic atry yamoto band
Eheee nakupenda sana mbosso luv yah
Dah nimefrah sana kurud kwenu mkiwa pamoja
Yaani nawapenda sana nyie watoto.
Nawapenda sna wote pamoja na mkubwa fella ila naomba mkubwa fella mm nije kujifunza kucheza tu je inawezekana
MAromboso fundi kiukweli
Good job nawapendaga sana wadogo zangu
World best song from ya moto
Nzuri kweli basi.....
Wow.enock.napeda.❤wimbo.wako.sana.❤.wow.keep.up❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
hongera sana twawapenda sana mimi mkenya
Eki não tenho nada mais gosto muito d música e foi boa
254:::😂 ndo ome ila mbona mkutoa hiiy ngoma bna😁,n noma kinyama.
safi san song ...nzuri
I love this band
Enock napenda sauti kwel
BASI!
Weuweeeeeeeeee,,,, you killed it💯💯💯💕💕💕💕💕
kaz kaz appriciate sana
amazing amazing song
Very nice
Okay
Baruan Mohamed
nice song miss sana nyinyi
Aisee... Ya moto ya moto...Bella masauti
ur always perfect keep shinning Yamoto 😍
Watu wenye hela mpo wapi?wanyeni hawa vijana warudi Pamoja, kwanini watengane?!Mungu hapendi watu watengane
Hao wawili wanafanana kweli
Nawapenda sana yamoto
I love you guys mwapendeza sana
Natamani hii band irudi