MAHOJIANO MUHIMU NA MUFT WA TANZANIA PAMOJA NA PROFESA ASSAD KTK ENEO LA ARAFA NA HALI ILIVYOKUWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 19

  • @dinakipingo1905
    @dinakipingo1905 Год назад +2

    Masha Allah ummat Muhammad Swalalahu Allayh wasalimu , Allah atujalie Mwisho Mwema sote tukutane TENA peponi Allahumma Aamiin YaaRabi

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 Год назад +2

    Leo hii au jana??
    Kwani Arafat zipo ngapi?
    Mwambie Mufti au sio 🇸🇦 Saudi ni Dunia nzima.
    Arafat ni moja.

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад

    MashaAllah tabaraka Rahman
    Alhamdulillah
    Mume maliza ibada Allah awataqabaliye Dua zenu

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx 2 месяца назад

    NAWE PROFESA BADO WAITA MUNGU,BADALA YA ALLH

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx 2 месяца назад

    WEWE MUFTI NDO KIGEZO CHA KUMWITA ALLAH KAMA ANAVYOPENDA KUITWA,KULIKO KUMWITA MUNGU,BADILIKA.

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Год назад

    Mola awakubalie haja zenu zote inshaallah.

  • @ikokijuma-zv7wd
    @ikokijuma-zv7wd Год назад

    Masha Allah

  • @hoseasteven6241
    @hoseasteven6241 Год назад

    poleni sana at wanafutiwa dhambi zao poleni

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Год назад

      Na nyie mnaokwenda kwa mapadri wenu eti kutubu madhambi yenu kwa binaadam ambae na ni mtenda dhambi pia "poleni"

    • @JumaAthuman-bk6hx
      @JumaAthuman-bk6hx 2 месяца назад

      Zako alikubebea Yesu,sawa ndo imani yako

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Год назад

    Mashallaah ❤❤❤

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim9311 Год назад

    Wa moja lakini mukubali wa Zanzibar ni wazuri kidini kuliko wa bara jibu suali vizuri

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Год назад

      Unamtihani wewe unadiliki kuleta Uzanzibar na Ubara mpaka kwenye Hijja mtihani Wallah.
      M/Mungu akuongoe

    • @mariamsalim9311
      @mariamsalim9311 Год назад

      @@salmahalfani6307 mtihani uko wapi na mukubali tu kama tuko vizuri kidini ……imekuuma?? Pole

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw Год назад

    Alhamdulilah

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад

    Naona patupu😂😂😂😂

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Год назад

      Mwaka huu mahujaji waliosajiliwa ni milioni 5 na raia wa saudia milioni 1,jumla milioni 6, hapo unapaona patupu, maana yake muda umekwaisha wa kuondoka hapo. Waliingia hapo mchana saa 6 kamili wakaswali swala ya dhuhuri ya saa 7 halaf kisimamo kinaanza hadi kabla ya jua kuchwa, jua likichwa tu inatakiwa wote waondoke haraka kuelekea sehem inaitwa muzdalifa, hapo muzdalifa watakaa kidogo tu kupumzika halaf wataenda jamarat kurusha mawe. Kwahy kila kitu kinaend kwa sheria, unaona patupu kwa vile muda wa kuondok umeiah na watu wanaend muzdalifa, ww ukiona watu wengi unasubir subir nyuma ndio hao ili wasipoteane nk

    • @shamsahamdan3274
      @shamsahamdan3274 Год назад

      Alhamdulilah