Mkono: Simtaki tena mke wangu.
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- Mchekeshaji maarufu Tanzania, Mkono amesema hamtaki tena tena Ex wake na kuwa wametengana kwa muda wa Mwaka mmoja na Miezi kadha.
Kisa cha ugomvi wao mkono anasema Mwanamke huyo haelewani na ndugu zake ndio maana wametengana.
pole Mkono..... shida bado hujajielewa..... Sio ndoa haikuwa baraka bali nahisi ulioa kabla hujajipanga.... huwezi kuolea kwemu ukategemea mkeo awe na amani labda kama ni malaika..... hapo utaoa hata kumi mpaka ujipange kiakili.... toka kwenu ndio ishara yakuwa umekua mwanaume
Wallah ww mkono hujielewi ungekuwa unajielewa usigepat ujasir wakuongea uchafu kama wte huo mungu akusamehe buree
Hutakiwi kuanika kila kitu chako kwa watu kwasababuu haina faida yoyote.
Acha sanaa kwenye maisha yako halisi bro.
Kumbe we ni handsome mkono..pole kwa yote wallahi
Hahahaaaaaaaaa hadi ukweni...mafuta ya taa hadi sio cheo,,,duuuuuuuuuuuuh noumaaaa xana
we Dada em jitaid hiy saut mmh mda mwingin me sikwlew baadh ya maneno
safi sana mkono
🤣🤣mbone kiroho cha penzi kama bado kipo nyooooo
Mtangazaji 😂😂😂
Pole sana Baba 1
Kumbe kosa ni la kwako,wewe ndio umepiga ndugu zako mwenyewe.
Sijaelewa hat alichongea jaman ambae kaelew bc anieleweshe namm niweze kuelewa plz
njoooo nymbn nikuelewesh
😂😂😂😂😂nunua kazi umchangie mkono nimecheka kwa sauti
mtoto wakiume alii.unapo zungumzia mambo yako ya ndani unajizalilisha mwenyewe.so iyo ni movie pt 1,tunasubiri pt 2.
Mukono pumbafu sana kumbe nilikua nakuona nazani wemuzima kumbe ukoparawani masikini 😎😎😎
Daaah huyu jamaa hadi kwenye maisha halisi hawi serious
Effects of comedy
Mkono pole kabisa hata mimi yali nikuta kama hayo hayo
Poleni sana
waaa..ila sisi wanawake viboko kweli..
umemuacha ukiwa mjamzito mbona tumbo kubwa 😀😀
Heri ni cheke 😂😂😂😂yani kama movie vileee 😆😆😆
kumbe huyu jamaa chenga namna hii!
Huyu Jamaa kumbe ni COMMEDY mpaka kwenye maisha halisi sheeeenz type kichwa box mwehu ww
Iddy Kikoti 😀😁😀😁kabisa
duu hatar sana
Nimecheka vibaya 🤣🤣🙌
Wasanii wabongo hadi kwenye maisha halisi ni usanii tu.
Jama hana kitu kichwani pumba tu
Uyomwanaume nicizi wefwala sana pumbafu mukubwa sana usiojierewa etiwalio mujua nyoooooooo ujue umeni bowa
Km mgonjwa jamani tumbo limevimba mweli umevimba mkono ned hospital please mm km dada yako
kumbe,mtambo😂
Kichaaa weee
Jeuri balaaaaaaaa
Huyu jamaa akili hamna, unaolea kwenu ww ni mpuuzi
mbona kama mgonjwa vile hilo katumbo kamevimba duuh mkono kabadilika
mwanaume unatabia mbaya wewe haya na mimi ningekuja uko dar si ungeniacha tu na kujifanya unanitaka
sema huna hela bhana
mkono akil hana kutokuongea na bibi sio sababu na hizo hela za mikopo c ulikula fala, huna akil
acheni upumbafu jujifanya kila jambo mko sahihi nyinyi na n unafiki tu unawasumbua kila mtu anaishi kwa staili yake na wengine nawajua mnaomponda mkono mmeachika mpk basi
Point bro
audhubillah
Hayupo sawa kiakili huyu mkono au ndo ugumu wa maisha jamani sijui nini anachokiongea huyu
Wakinisapot mmi wamesapot mkono kulipa deni
kumbe waislamu mnakuaga hivi.
😂😂😂😂chenga tupu
Lipa deni Mkono
Kwa hilo mkono sijakuunga angalia mamamkwe ya jennifa mgendi utajifunza kitu
Kweli jamaa akili hana!!!!!!
Hamna kitu hapa
Mkono nakushaur mludie mkeo mke haachwi kiivo utapata laana wewe hutakuja kusahau
Ningekua najua kiswahili ningesema chochote na mimi
Hahaha SAS hapo umeandika kichina au
Dogo ujielewi kimaisha utooa utbaki n ujanja uouo nyooo
Nyooo wizi tuu kipa pesa za watu uko!acha uongo naile barua uliyo muachia kaandika nani sema huna pesa umemkimbia
Fety Mwamba unauhakika kama kaacha barua acha uchochezi nyie wanawake hamuereweki
@@amryzubery1051 mkewe kazungu mza na barua kaionyesha kama mke alimshinda kwanini alioa?
Fety Mwamba kwani ukioa unategemea utakufa nae wanawake wasasa wanazingua inaonekana ww bado bachera
Aya bhana!
Nlikua nakukubali kumbe mwehu tu,
umeona eee fala huyo
Hahahahaa #Mkono wa mkonole pole Baba hayo ndio maisha
Mkonyo😂😂😂
Imetoshaaaaaa
Bora Waislamu mkizinguana mnaweza achana, wakristu utaugulia na kuteseka mpk kufa. Ama muachane lakini biblia inakufunga
Boyaa ww maongezi yako ayatoshelezi muongo weee
Kwani Ana mimba Huyu?
Umesema mkonyo na sio mkono
Umbwa mukosi tabia zako mbaya mpaka unatowa siri utakufa vibaya nakwambia laana yamukeo itakufata
Fala wewe
mkono wewe ni mjinga
Jamaaa anaonekana mshari huyuuu duuuh
Chinamile Nas 😀😁😀kweli aise!
Huyu mkono hili tumbo lake au sielewi jaman
Pole
Na hicho kiriba tumbo vipi tena yaani mwanaume uko bize na baba mkwe wako kwenda kuwa mashahidi ya mikopo ya mkeo!
hilo tumbo la ugonjwa au nenda hospital inawezekana unaumwa hiyo siyo raha ni shida
😆😆😆😆😆😆😆😆
Huna ela ya kulea mwanang kuwa waz
Kumbe dogo brain 🧠 Zero,daaaah
Ogea vzr bc dada unaboa hy saut ase
Suzi huwa hutulii unacheza cheza au wamekuwekea ngoma hapo
Kana ukware sana haka Suzi....nakatafuta sana mm kanakiuno kazuri 😆😆😆
😂😂😂😂😂
Ww mwanaume hata haya hunaaaa some men are useless
Useless man 😂🤣utakufa maskini
Mjinga nini
Unakitu ww mpuuzi ww co vizuli kutuoa aibu ya mwenyio kwenye media
ukiona mwanamke anazingua achana nae
Kuongea tu mkono komed tosha
Mke huku waolea wana familia
Naomba ukasubscribe youtube channel yangu na endelea kusapot mziki mzuri😄🙏💜🔥
Maisha ya ndoa
Huyu mwanaume nae hovyo
duh
Anapenda kulelewa huyo
duuuuh
Doh hatwari mbona
Iyo siyo sababu yakuacha mke kwa sababu ya familia yenu basi utaowa ukiacha kila siku .tafuta suluu wewe ulee famili yako wacha ujinga
Kwahili Mkono sipo upande wako umeyumba vibaya
duuu