Mkono: Simtaki tena mke wangu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Mchekeshaji maarufu Tanzania, Mkono amesema hamtaki tena tena Ex wake na kuwa wametengana kwa muda wa Mwaka mmoja na Miezi kadha.
    Kisa cha ugomvi wao mkono anasema Mwanamke huyo haelewani na ndugu zake ndio maana wametengana.

Комментарии • 102

  • @gloriaanaclet6860
    @gloriaanaclet6860 5 лет назад +2

    pole Mkono..... shida bado hujajielewa..... Sio ndoa haikuwa baraka bali nahisi ulioa kabla hujajipanga.... huwezi kuolea kwemu ukategemea mkeo awe na amani labda kama ni malaika..... hapo utaoa hata kumi mpaka ujipange kiakili.... toka kwenu ndio ishara yakuwa umekua mwanaume

  • @magrethpoulpoul8585
    @magrethpoulpoul8585 5 лет назад +2

    Wallah ww mkono hujielewi ungekuwa unajielewa usigepat ujasir wakuongea uchafu kama wte huo mungu akusamehe buree

  • @Meeknego
    @Meeknego 5 лет назад +1

    Hutakiwi kuanika kila kitu chako kwa watu kwasababuu haina faida yoyote.
    Acha sanaa kwenye maisha yako halisi bro.

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza9415 5 лет назад

    Kumbe we ni handsome mkono..pole kwa yote wallahi

  • @suzanmwita1599
    @suzanmwita1599 5 лет назад

    Hahahaaaaaaaaa hadi ukweni...mafuta ya taa hadi sio cheo,,,duuuuuuuuuuuuh noumaaaa xana

  • @habbymsauzy5756
    @habbymsauzy5756 6 лет назад

    we Dada em jitaid hiy saut mmh mda mwingin me sikwlew baadh ya maneno

  • @kachawakikazi1217
    @kachawakikazi1217 5 лет назад

    safi sana mkono

  • @asiaasia8443
    @asiaasia8443 5 лет назад

    🤣🤣mbone kiroho cha penzi kama bado kipo nyooooo

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +2

    Mtangazaji 😂😂😂
    Pole sana Baba 1

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 5 лет назад +1

    Kumbe kosa ni la kwako,wewe ndio umepiga ndugu zako mwenyewe.

  • @zahararajabu4169
    @zahararajabu4169 6 лет назад +3

    Sijaelewa hat alichongea jaman ambae kaelew bc anieleweshe namm niweze kuelewa plz

    • @Wamikogo
      @Wamikogo 5 лет назад

      njoooo nymbn nikuelewesh

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 5 лет назад

    😂😂😂😂😂nunua kazi umchangie mkono nimecheka kwa sauti

  • @directorkingcalvin9001
    @directorkingcalvin9001 6 лет назад +5

    mtoto wakiume alii.unapo zungumzia mambo yako ya ndani unajizalilisha mwenyewe.so iyo ni movie pt 1,tunasubiri pt 2.

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 5 лет назад

    Mukono pumbafu sana kumbe nilikua nakuona nazani wemuzima kumbe ukoparawani masikini 😎😎😎

  • @chancegtallalam6906
    @chancegtallalam6906 5 лет назад +1

    Daaah huyu jamaa hadi kwenye maisha halisi hawi serious

  • @johnkonde4767
    @johnkonde4767 5 лет назад

    Effects of comedy

  • @abdunnasser9580
    @abdunnasser9580 6 лет назад +7

    Mkono pole kabisa hata mimi yali nikuta kama hayo hayo

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад

    waaa..ila sisi wanawake viboko kweli..

  • @ilhamswaleh1985
    @ilhamswaleh1985 5 лет назад

    umemuacha ukiwa mjamzito mbona tumbo kubwa 😀😀

  • @khadijaomar3299
    @khadijaomar3299 6 лет назад +1

    Heri ni cheke 😂😂😂😂yani kama movie vileee 😆😆😆

  • @jalaljalal5258
    @jalaljalal5258 6 лет назад +4

    kumbe huyu jamaa chenga namna hii!

  • @dadyshunaydah5802
    @dadyshunaydah5802 6 лет назад +8

    Huyu Jamaa kumbe ni COMMEDY mpaka kwenye maisha halisi sheeeenz type kichwa box mwehu ww

  • @josej9888
    @josej9888 5 лет назад +2

    Wasanii wabongo hadi kwenye maisha halisi ni usanii tu.

  • @chanylove
    @chanylove 6 лет назад +13

    Jama hana kitu kichwani pumba tu

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 5 лет назад

    Uyomwanaume nicizi wefwala sana pumbafu mukubwa sana usiojierewa etiwalio mujua nyoooooooo ujue umeni bowa

  • @namvrasafi5004
    @namvrasafi5004 6 лет назад +1

    Km mgonjwa jamani tumbo limevimba mweli umevimba mkono ned hospital please mm km dada yako

  • @mudrkothman4871
    @mudrkothman4871 5 лет назад +1

    kumbe,mtambo😂

  • @juxbouy4685
    @juxbouy4685 6 лет назад +4

    Kichaaa weee

  • @mwanajumahamad202
    @mwanajumahamad202 5 лет назад

    Jeuri balaaaaaaaa

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 6 лет назад +4

    Huyu jamaa akili hamna, unaolea kwenu ww ni mpuuzi

  • @tatuomar4164
    @tatuomar4164 6 лет назад +2

    mbona kama mgonjwa vile hilo katumbo kamevimba duuh mkono kabadilika

  • @candyvanilla3257
    @candyvanilla3257 5 лет назад

    mwanaume unatabia mbaya wewe haya na mimi ningekuja uko dar si ungeniacha tu na kujifanya unanitaka

  • @juniourmatambi3541
    @juniourmatambi3541 5 лет назад

    sema huna hela bhana

  • @juniourmatambi3541
    @juniourmatambi3541 5 лет назад +1

    mkono akil hana kutokuongea na bibi sio sababu na hizo hela za mikopo c ulikula fala, huna akil

  • @kenzokimambi7922
    @kenzokimambi7922 5 лет назад +1

    acheni upumbafu jujifanya kila jambo mko sahihi nyinyi na n unafiki tu unawasumbua kila mtu anaishi kwa staili yake na wengine nawajua mnaomponda mkono mmeachika mpk basi

  • @shamsahassan2586
    @shamsahassan2586 5 лет назад

    audhubillah

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 6 лет назад

    Hayupo sawa kiakili huyu mkono au ndo ugumu wa maisha jamani sijui nini anachokiongea huyu

  • @lutherking3666
    @lutherking3666 6 лет назад +6

    Wakinisapot mmi wamesapot mkono kulipa deni

  • @timoole3110
    @timoole3110 5 лет назад

    kumbe waislamu mnakuaga hivi.

  • @neyjoseph7112
    @neyjoseph7112 6 лет назад

    😂😂😂😂chenga tupu

  • @oyay2821
    @oyay2821 6 лет назад

    Lipa deni Mkono

  • @nessmwambogolo2545
    @nessmwambogolo2545 5 лет назад

    Kwa hilo mkono sijakuunga angalia mamamkwe ya jennifa mgendi utajifunza kitu

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 лет назад

    Kweli jamaa akili hana!!!!!!

  • @yangwishaheke4971
    @yangwishaheke4971 5 лет назад

    Hamna kitu hapa

  • @isackdeonatus6489
    @isackdeonatus6489 5 лет назад

    Mkono nakushaur mludie mkeo mke haachwi kiivo utapata laana wewe hutakuja kusahau

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 5 лет назад

    Ningekua najua kiswahili ningesema chochote na mimi

  • @bintiiomary9500
    @bintiiomary9500 5 лет назад +1

    Dogo ujielewi kimaisha utooa utbaki n ujanja uouo nyooo

  • @fetymwamba8685
    @fetymwamba8685 6 лет назад +5

    Nyooo wizi tuu kipa pesa za watu uko!acha uongo naile barua uliyo muachia kaandika nani sema huna pesa umemkimbia

    • @amryzubery1051
      @amryzubery1051 6 лет назад

      Fety Mwamba unauhakika kama kaacha barua acha uchochezi nyie wanawake hamuereweki

    • @fetymwamba8685
      @fetymwamba8685 5 лет назад

      @@amryzubery1051 mkewe kazungu mza na barua kaionyesha kama mke alimshinda kwanini alioa?

    • @amryzubery1051
      @amryzubery1051 5 лет назад

      Fety Mwamba kwani ukioa unategemea utakufa nae wanawake wasasa wanazingua inaonekana ww bado bachera

    • @fetymwamba8685
      @fetymwamba8685 5 лет назад

      Aya bhana!

  • @aminalwekaza8254
    @aminalwekaza8254 5 лет назад

    Nlikua nakukubali kumbe mwehu tu,

  • @innocentkitundu6637
    @innocentkitundu6637 6 лет назад +2

    Hahahahaa #Mkono wa mkonole pole Baba hayo ndio maisha

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 5 лет назад

    Mkonyo😂😂😂

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 лет назад

    Bora Waislamu mkizinguana mnaweza achana, wakristu utaugulia na kuteseka mpk kufa. Ama muachane lakini biblia inakufunga

  • @salmajohn8860
    @salmajohn8860 6 лет назад +1

    Boyaa ww maongezi yako ayatoshelezi muongo weee

  • @faridahangedo5554
    @faridahangedo5554 5 лет назад

    Kwani Ana mimba Huyu?

  • @chancegtallalam6906
    @chancegtallalam6906 5 лет назад

    Umesema mkonyo na sio mkono

  • @yvetteniyibigira3833
    @yvetteniyibigira3833 5 лет назад +1

    Umbwa mukosi tabia zako mbaya mpaka unatowa siri utakufa vibaya nakwambia laana yamukeo itakufata

  • @happydaniel2991
    @happydaniel2991 6 лет назад +3

    Fala wewe

  • @hasiyakeniyausiachiebabu7634
    @hasiyakeniyausiachiebabu7634 5 лет назад

    mkono wewe ni mjinga

  • @chinamilenas3375
    @chinamilenas3375 6 лет назад +1

    Jamaaa anaonekana mshari huyuuu duuuh

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji5759 6 лет назад +1

    Huyu mkono hili tumbo lake au sielewi jaman

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 6 лет назад

    Pole

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 6 лет назад

    Na hicho kiriba tumbo vipi tena yaani mwanaume uko bize na baba mkwe wako kwenda kuwa mashahidi ya mikopo ya mkeo!

  • @aminachaulaya278
    @aminachaulaya278 6 лет назад +1

    hilo tumbo la ugonjwa au nenda hospital inawezekana unaumwa hiyo siyo raha ni shida

  • @sirulomi4000
    @sirulomi4000 5 лет назад

    Huna ela ya kulea mwanang kuwa waz

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 5 лет назад

    Kumbe dogo brain 🧠 Zero,daaaah

  • @meshackgelard3549
    @meshackgelard3549 5 лет назад

    Ogea vzr bc dada unaboa hy saut ase

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 6 лет назад +2

    Suzi huwa hutulii unacheza cheza au wamekuwekea ngoma hapo

  • @binzuadaudi7772
    @binzuadaudi7772 6 лет назад

    Ww mwanaume hata haya hunaaaa some men are useless

  • @preciousheavenly5245
    @preciousheavenly5245 6 лет назад

    Useless man 😂🤣utakufa maskini

  • @athumanmgaya1301
    @athumanmgaya1301 6 лет назад +4

    Unakitu ww mpuuzi ww co vizuli kutuoa aibu ya mwenyio kwenye media

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 6 лет назад

    Kuongea tu mkono komed tosha

  • @simonmkondya1115
    @simonmkondya1115 6 лет назад +6

    Mke huku waolea wana familia

  • @teamotz5493
    @teamotz5493 6 лет назад

    Naomba ukasubscribe youtube channel yangu na endelea kusapot mziki mzuri😄🙏💜🔥

  • @tonymnyamatv8483
    @tonymnyamatv8483 6 лет назад

    Maisha ya ndoa

  • @annamapunda431
    @annamapunda431 6 лет назад

    Huyu mwanaume nae hovyo

  • @yasinomary8007
    @yasinomary8007 6 лет назад

    duh

  • @KIREDIOO
    @KIREDIOO 6 лет назад

    duuuuh

    • @hamdamohammad8801
      @hamdamohammad8801 6 лет назад

      Doh hatwari mbona

    • @jumashukan1173
      @jumashukan1173 6 лет назад

      Iyo siyo sababu yakuacha mke kwa sababu ya familia yenu basi utaowa ukiacha kila siku .tafuta suluu wewe ulee famili yako wacha ujinga

    • @shinefilmproduction417
      @shinefilmproduction417 6 лет назад +1

      Kwahili Mkono sipo upande wako umeyumba vibaya

    • @Superman--un9xz
      @Superman--un9xz 6 лет назад

      duuu