Punguza hizo madawa za ulevya unaeo zitumia mdogo wangu.. kitambo ulikuwa mwanamziki bora. Saa hii upo kwa decline yako kabisa😞😞.. ama ushauri, wee rudi mazowezi.
Nilikuwa nasom enz hizo nilikuwa nawaonesh washikaji kwamb ungekuj kuwa star lakin umeangusha watanzania na umejiangush pia kweny ndot zako talent ni kil kitu hap duniani 😢😢😢😢 kipaji bila nidham ni tatz
Salut à tous je suis Sénégalais 🇸🇳 et je suis ses reprises depuis en tout cas je prie 🙏🏿 bcp pour toi mon petit et stp ne nous déçois pas. Il ressemble beaucoup à mon fils aîné
Hi am from Kenya but stay in Doha, am proud of and always support you ila hapa umenibwaga sana umebana pua sana mbona usibaki na ile style yako ya mwanzoni
Ndio maana BSS imeku reject siku hizi huna lolote yaani huskii hizo autotune kama zmeboa saaana na ulivyobana hiyo sauti compare zile cover zako za zamani na hii hapa yaani umeisha mdogo wangu rudi mazoezi tena
@@taddy_rhymes8900 sure gold awe mteuz mzur wa nyimbo piah ahakikushe anaoweza maana cover izi Sasa ivi watu wanakuona unazingua kumbe unajua but nyimbo tyu ndo hujaitendea haki
Umetisha sana nimependa.sanaaa upewe maua yako🎉🎉
Namtafuta Gold boy...saana,mpeeni huu ujumbe
We hatari sikuwezi mkali unatisha
Jamaa unaweza sana
Punguza puwa kwenye uimbaji unabana pua had kero
Chalii yangu mi nakukubali sanaaaa ndugu yangu kazaaaa ivyo ivyoooo wabongo wazoeee tu ukifanikiwa watasema tulijuwa tu atatobowa
Punguza hizo madawa za ulevya unaeo zitumia mdogo wangu.. kitambo ulikuwa mwanamziki bora. Saa hii upo kwa decline yako kabisa😞😞.. ama ushauri, wee rudi mazowezi.
Sio anakua ndio maana Muonekano umechange au ndio izo mbandandu?
Una ushahidi gani kuwa anatumia dawa za kulevya? Leta ushahidi ili uwe mkweli
😄
Hata kama! Bado wewe ni msanii bora kabisa.. KwanzA hatuamini ishu ya madawa.
Its about time to prove them wrong
Yawezekana aisee cause hata sura Inaonyesha imechoka . Ila pia yaonyesha sifa zimemponza. Kajikuta star kabla
Ushakua kitu zima BN Tunga nyimbo zako aisee
Kahalibika huyu dogo alikuwa mzuli sana
Nakubali sana jamaa
Daaah Kweli tukaze wanangu Gold boy kama 20% Najua mwisho mwanangu hakuna njia
Kipaj kikubwa kinapotea hiki ....😢😢😢😢
Wabongo hawachelewi kusema hamna kitu ila wewe kaza tu unaweza jombaa
Aaaawwh umeimba smart mpk nimekupenda vile❤❤❤❤❤
🥰🙏
Much love goldii
Mdogo wangu Bangi na Sigara zitapoteza Kipaji chako 😢aisee naumia sana Kuona Unavuta Sigara.
Wabongo mlokosa kumpa sapoti huo dog lang wallah allaah awaone kipaji kikubwa roho inaniuma nikimuon dog lang
Nilikuwa nasom enz hizo nilikuwa nawaonesh washikaji kwamb ungekuj kuwa star lakin umeangusha watanzania na umejiangush pia kweny ndot zako talent ni kil kitu hap duniani 😢😢😢😢 kipaji bila nidham ni tatz
Kabadilika sana kama hapigi kisungura basi madawa nilikuwa namkubali sana ila daaah🥺
Unajuaaaa wanaosema madawa mnatakiwa mjue mziki una mambo mengi, muombeen na mshaurin vizur akae sawa, all in all kauaaaaaaa❤❤❤
Kweli kabisaaa si vizurii nashangaa walivyo mkaza
@@hawasalim192huyu dogo anajua tena saaana aisee
gold boy mbn kama sauti imebdlika imekuwa mbaya em jitahd kufanya mazoez
kweli yani,
Pombe masigala
No one wanted to sign this talent ,y?
Pombe acha dogo urudi kwenye nafasi yako
Ashaanza kunywa chakupima smart gn
You move my soul with you voice ❤ always doing perfect 💯
Apo kwa alikiba umeimba vzr sana❤
Skuizi anakula unga😊
Your voice my brother 🎉🎉
These guy never disappoint uko juu Sana bro love from kenya
Auto tune, Ume jifelisha mwenyewe. Zamani hulikua na natural voice hila piga zowezi kipaji akipotehi
Ushaanza kulew skuiz au unatbia mby flan .umebdlika
Salut à tous je suis Sénégalais 🇸🇳 et je suis ses reprises depuis en tout cas je prie 🙏🏿 bcp pour toi mon petit et stp ne nous déçois pas. Il ressemble beaucoup à mon fils aîné
Good cover bro never give up no matter what,, giving shouldn't be your options
Tulikumiss my G
Big up brother...uko vzur sana
Hi am from Kenya but stay in Doha, am proud of and always support you ila hapa umenibwaga sana umebana pua sana mbona usibaki na ile style yako ya mwanzoni
🎉🎉Vraiment mon frère t'es top tu as de voix d'or mais tu avais disparu on a besoin de toi mon frère que Dieu te protège
Anae jua anajua2 anaebisha ampeleke kwa s2kizz uone balaa lake namuona kama d,voice japo naona anachukuliwa poa bss sio ishu kaza ukija bongo nicheki tufanye maelekezo.
Bless sana kaka🙏
Nakubali sn mwamba
Waooooooooo❤❤❤❤❤❤
kapauka dodo hahahahhahaah
Acha unga zamani ulikua poa
GOOD
Mbna kam kaish hiv
maniga unajua
Nakubali sana
We msenge unajua sana ila sema ndo ivyo2
Mdogo wangu kumbe upo
Hiii ngoma Ni nooomaaa❤❤❤❤❤❤msimu huu wa mal❤vedavi
Huyu dg anaimba sana ila msimuongezee sauti ambayo siyo yake mnaharibu
🙏
Naqbar boe
Kaka nilikua nimekukosa kaka bakia kwenye game
Watu wakusaifie
Bless dogo uko vizur
Mi mkenya na nimeyafuatalia cover songs za dogo huyu ila muonekano wake kwa kweli #hitilafu... sauti ipo ila.
Ushauri wangu dogo usikate tamaaa. account yako ni ipiii mbna hatuelwi tupe rasmii ili tukupushi gold boy ww unaweza
Hii hii boss
Kiwango kimeshuka kijana wetu ludi kama mwanzo
sijui dogo anakula ngada naona simuelewi 😢😢😢
Dats my boeeee happy to see u golden boeeeeee
Amebowa hizo autune ila kuimba bado anajua
🫡
Kaka nawamisi sana sana wanangu
We miss you too bro
Huyu mwamba saizi jau msimu anafanya cover african nn sijui kule nyimbo za kina jux alikuwa wapoto sana
Alitoa na nyimbo yake moja inaitwa street kama sikosei ilikuwa 🔥🔥🔥🔥🔥 il saiz kashuka kiwangoo
Uko sawa
Uko vizur home boy
Kichwa🧠
❤❤❤❤❤❤
lol goldy niliyemjua ila kwa sasa hizi madawa mpaka naona aibu mimi 🤨🤨🤦♀️🤦♀️I can’t judge him but mbona gafla hivi.
Even you????? 😳 Behinda!! Really!!??
Bangee nyingiii
You have a great voice!! ❤🔥❤🔥❤😍💯
Talent❤
Great one baby boy
❤❤❤🎉❤
Brow wapi mbona kitambo sasa 😢😢
Am back
Umeniuaaa kaka wanyooshee
🙏
Sound good
Sound moja matata
Thanx
❤❤❤so nice❤❤
Thanks 🤗
👏👏👏👏👏👏🇰🇪
Ure talented good work bro keep it up
🙏
❤❤❤
Unabana pia sana
Kama unatumia pombe dogo ziache
🙏
It's not fare,dogo anapambana,stori za unga acheni
Fiti good job
pamoja Sana
Pua linakuwasha wakati upo live?
😂😂😂😂
Kijana mzur 🎉🎉
Unajitahidi Sana kazana ❤
Asante rukia
🙏
@@taddy_rhymes8900 ❤️❤️
❤
Ndio maana BSS imeku reject siku hizi huna lolote yaani huskii hizo autotune kama zmeboa saaana na ulivyobana hiyo sauti compare zile cover zako za zamani na hii hapa yaani umeisha mdogo wangu rudi mazoezi tena
Hamna bhana hii key alioimbia tyu ndo jau ila jamaa Bado mtamu mzee
🫡
@@taddy_rhymes8900 sure gold awe mteuz mzur wa nyimbo piah ahakikushe anaoweza maana cover izi Sasa ivi watu wanakuona unazingua kumbe unajua but nyimbo tyu ndo hujaitendea haki
Correct sintawaangusha next project fans
naona ni studio ndio imemuangusha sana tena sana
Jamani MWENYE namba zauyu dogo anipe
yupo kigoma pia muombe binti kigoma anayo
0765719128
Teddy pass my greetings to goldy 📌📌
Am gold
Your smile ❤🥰❤️🥰❤️
❤️
Something must be wrong to this boy😢
😂😂😂 kabisaa
Mbovu
The auto tune was too much
Will correct to the next project 🙏🔥
❤❤❤
Sijui hata unakwama wapi unajua sanaaa
U r struggling with high notes
Punguza auto tune... Kitambo you used to sing good
🙏
Auto tune,,,,waztoe dogo acheze na sauti yake,,mwanzon zko mingi sana,,,
Will correct to the next project 🙏🔥
Unazeeka na macover mbwaaa wewe😂 kwanini usifanye kuuza mawese
Unajuaaaa wanaosema madawa mnatakiwa mjue mziki una mambo mengi, muombeen na mshaurin vizur akae sawa, all in all kauaaaaaaa❤❤❤
❤❤❤