JE MWANAMKE HUTOKWA NA MANII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 160

  • @viviankamunde8367
    @viviankamunde8367 3 года назад +9

    Allah na akuzidishie Rehema na Neema kupitia mafundisho yako ambayo nimekuwa nayasikiliza nimejifunza Uislamu ndio Dini ya Haki na Kweli nashukuru Allah kwa kukutumia wewe nikayajua hayo Asante

  • @salehmuhammed729
    @salehmuhammed729 5 лет назад +11

    shekhe nakushukuru sana Allah akupe kila lenye kheri na wewe, akupe maisha marefu akulinde kila mabalaa ya ulimwengu akupe pepo y juu
    say amiiiin kila anaemckiliza shekhe wngu huyu

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 Год назад +1

    Shekh ahsante mashallah nimecheka Sana iyo Kuna ikhlaf ya Wana zuoni😀😀😀😀😀

  • @ummukulthumdaffi7185
    @ummukulthumdaffi7185 6 лет назад +16

    Masha Allah sheikh lugha yako yaeleweka uzuri tuu ...Allah akuzidishie uzidi kutuelimisha

  • @kisimatikisimati9946
    @kisimatikisimati9946 6 лет назад +12

    Mwanamke hutowa mani.. lakini haitungi mimba , hushushwa na mwanamke kuonyesha kafika kileleni tendo limefika mwisho ,
    Mwanaume hutoa mani zenye mbegu , mtoto kufanana na upande wa mama au baba ni uumbaji wa mwnyezi mungu Allah s.wt , ukisoma kati QURAN surat at kawir .. aladhi qalaqaka fasawaka fa adalak fii surat mashaallah raka bak , mwenyezi mungu anasema amekuumba wewe mwanadamu kisha akakuweka sawa ktk sura anayoipenda.. "
    Sasa hapa inaonesha wazi kuwa sura ya mtub au maumbile ni ALLAH S.W.T ATAPO TAKA UFANANE NANANI..
    MWANAMKE HANA JEURI YA KUMPA SURA MTOTO AU LOLOTE..LILE...
    SHEIKH DHULKALNAIN

  • @RahmaSingh
    @RahmaSingh Месяц назад

    Asalam alekum shekh wetu naomba tafadhali utueleze dhanna ni nini tafadhali

  • @alihaj3252
    @alihaj3252 6 лет назад +4

    Mashaallah sheik Allah akuzidishie kheri

  • @SahiyaSuleiman
    @SahiyaSuleiman 3 месяца назад

    A .alyk kwani manii ya mwanmkee hutoka vip?

  • @abdirahmanbonaya3805
    @abdirahmanbonaya3805 3 года назад +1

    Allah akubariki

  • @abdallahmuhammad4729
    @abdallahmuhammad4729 6 лет назад +2

    shukran Akhy Izzu Dyn ufaswaha wako ndio unaotufanya tufahamu vyema.Na hivyo ndivyo inavyotakiwa mas'ala ya Dyn yaongelewa waziwazi ili msikizaji km mafuhumi yake ni ndogo apate pia kuelewa vzr.Shukran

  • @sabrimohd753
    @sabrimohd753 3 года назад

    Salama aleykum..mimi naomba kufahamu kwamba kutia nywele rangi nyeusi haramu je ndevu hukumu yake vp??

  • @abuuzuberi9887
    @abuuzuberi9887 3 года назад

    Shehe Allah akulipe Kwa elimu hizi ktk mtandao

  • @biashaali379
    @biashaali379 4 года назад

    nime shkuru sn Alhamdulilah ustadh

  • @swalhathabdulrahman7129
    @swalhathabdulrahman7129 5 лет назад +1

    Mashaaalah VP Huyo ambaye bikra Hatoki damu inakuwaje

  • @مريمااتاا
    @مريمااتاا Год назад

    Shukurani san shekhe ❤❤

  • @ramambongo4069
    @ramambongo4069 6 лет назад +4

    Rashid suleman anapatikana mombasa mskit shibu mwembetayar

  • @doctorfaki277
    @doctorfaki277 5 лет назад +1

    Amashallahu l akuzaidishie shekhe

  • @ibrahimshide3367
    @ibrahimshide3367 6 месяцев назад

    Kuna swali nyingi nataka niulize sasa sijui niulize nani

  • @RehemaMohammed-kr1cu
    @RehemaMohammed-kr1cu 4 месяца назад

    Je,yawezekana,kufunga,wakati,wahedi,ya,

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 4 года назад +1

    MASHALLAH ALEIK.SHEIKH

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 6 лет назад +6

    Watu kimbele mbele kwali lazima ukosoe Shehe

  • @muriphehamza547
    @muriphehamza547 5 лет назад +2

    جزاك اللهُ‎ خیرا

  • @samiahabubakar1863
    @samiahabubakar1863 7 лет назад +3

    mashaallah mwanamke akitokwa na manii raha bwana adi wewe mwsnaume mwenyewe unainjoy

  • @leilahassan6731
    @leilahassan6731 5 лет назад +2

    MashaAllah darsa zako zaeleweka na si boring unatuchekesha sana

  • @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191
    @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191 6 лет назад +2

    Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan

  • @RehemaMohammed-kr1cu
    @RehemaMohammed-kr1cu 4 месяца назад

    Mana,natoka,damu,lakini,yahedi,imeisha,inatoka,yakawaida,yani,inatokatu,bila,mpango

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 4 года назад

    Shukraniii shekhe

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 6 лет назад +8

    Abdulrasul Issa ndugu yangu dini haifichi kitu shekhe Izudin yupo sahihi kabisa.

    • @gavinskylar751
      @gavinskylar751 3 года назад

      not sure if you guys gives a damn but if you are bored like me during the covid times then you can watch pretty much all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my gf these days =)

    • @maximobriggs8499
      @maximobriggs8499 3 года назад

      @Gavin Skylar yea, been using InstaFlixxer for since november myself :)

  • @ilhamprecious8816
    @ilhamprecious8816 6 лет назад +3

    Km mwanamke haja tokwa na maniii je au asioge????

    • @iddysudy5910
      @iddysudy5910 5 лет назад +1

      ilham precious Mkishaingiliana tu lazima kuoga janaba

  • @abrarabgao
    @abrarabgao 6 лет назад +4

    JAZAKALLAHU KHAIR

  • @adamanthony8025
    @adamanthony8025 6 лет назад

    nakukubali sheikh Izudin Alwy Din

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu8785 6 лет назад +1

    haaaahaaa ndo maana napenda watu wa Kenya jmn

  • @yasobush
    @yasobush 6 лет назад

    Mashallah best shekh

  • @AminaJuma-o2o
    @AminaJuma-o2o 2 месяца назад

    Je ukatizama video kisha ukatokwa na manii je utatatiwa kuonga

  • @saidshaaban5741
    @saidshaaban5741 6 лет назад

    Asnt ustadhi

  • @omarawadh1389
    @omarawadh1389 6 лет назад +6

    Kila anaeangalia bc ni wajibu wake kuyajua na hakerwi na kinachozungumza. dini haifich kitu

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 года назад

    Shukran saan

  • @lailat8686
    @lailat8686 6 лет назад

    a'ghlyk naomba namba yk shekh

  • @zaituninassor415
    @zaituninassor415 5 лет назад

    Alhamdulilha, mwenyez mungu akupe afya njema uzidi kutu helimisha,0718213803 namba yang hyo naomba niunganishe na group la wasp sheikh wang

  • @shabanabdillahi4575
    @shabanabdillahi4575 7 лет назад

    Shukran ya sheikh

  • @sahlomar6397
    @sahlomar6397 4 года назад

    Apigwe mbati

  • @rukiarukia9749
    @rukiarukia9749 6 лет назад +1

    mashaanllah tabaraka nllah

  • @bintialimwahezi5123
    @bintialimwahezi5123 6 лет назад +3

    Ustadhy this is to much😂😂😂😂

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  6 лет назад +2

      Bintiali Mwahezi pole nduguyangu kama nimekuudhi bt ni meulizwa jee mm nimakosa kujibu aw wataka nijibu vibu vipi ? Nisaidie maoni pls ?

    • @bintialimwahezi5123
      @bintialimwahezi5123 6 лет назад

      Hamna nimeridhia hilo jawabu naona umejibukiufasaa ndio mana nimefurahi bigup....

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  6 лет назад +2

      Bintiali Mwahezi Sawa na nikikosea pia nirakibishe pls mm mwanadamu .

  • @khamismusa7626
    @khamismusa7626 6 лет назад

    Shukran sheikh

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 6 лет назад +6

    Hahahaha kutokwa na manii kama kamasi

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 6 лет назад +3

    Mada hii inasisimua akili,Sheikh tupe ilmu SUNDUKI.waambie watie hand bireki😁

  • @jA-ox7vz
    @jA-ox7vz 7 лет назад +2

    Mi nlikua cjui km mwanamke hutokwa na manii pia

    • @chepason7212
      @chepason7212 6 лет назад

      j A mwanamke hatoi manii shekhe amekariri uyo atoke manii anamzalisha nani nawewe umekubali kuburuzwa nahuyu ustadhi hana elim akasome vizuti tafsiri ya vizuri

  • @fauziamwakunena549
    @fauziamwakunena549 6 лет назад +1

    😂😂😂😂je ukifikiria utokwe na manii pia uwoge

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  5 лет назад

      Ndio lazma uogee

    • @switbebyshaheen630
      @switbebyshaheen630 5 лет назад

      @@IzudinAlwyDin sheikh naomba number yako pls

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  5 лет назад

      @@switbebyshaheen630 +254772611120

    • @cookinglist1004
      @cookinglist1004 4 года назад

      uoge kama umefikir tu ,kama unanyo oga janaba ?au kuoga kawaida tu yatosha.

  • @abuuruqayyah3200
    @abuuruqayyah3200 4 года назад

    Shukran

  • @mishisaidi8696
    @mishisaidi8696 6 лет назад

    shkurani sheik ata mimi hii ilikuwa yanisumbua

  • @mozasuleiman2753
    @mozasuleiman2753 6 лет назад +3

    Dini haifichi kitu mbona kafahamisha vizuri tuu

  • @salummohamed3860
    @salummohamed3860 4 года назад

    shukran

  • @hashimjuma1217
    @hashimjuma1217 4 года назад

    Shekh mm swali lngu ikiwa mtu katoka kwenye uzazi na tyri ameshaoga arubaini bdo anatoka uchafu ambao unatka kufanana kma manii huyu yye ataoga vipi

  • @amuunyussuof5240
    @amuunyussuof5240 6 лет назад +2

    Nice

  • @asiakheir6406
    @asiakheir6406 6 лет назад

    Shekh hakika wanaumewengi hawajui kama mwanamke hutokwana manii

    • @chepason7212
      @chepason7212 6 лет назад

      Asia kheir hamtoki na manii bana embu kasome vuzuri bana kama huna elim tuukize utoke na manii unamzakisha nani

    • @asiakheir6406
      @asiakheir6406 6 лет назад

      Abtwalibu Chepa , aa kwani hujui basi wanawake tunajua

  • @swabirsalim122
    @swabirsalim122 6 лет назад

    abdulrasul Issa
    umetumwa ww kumkashif shekhe
    waacha ya muhimu wapiga vita shekhe

  • @imranshomarysalehe9492
    @imranshomarysalehe9492 6 лет назад +2

    sheikh nataka kujua wewe ni mwenyeji wa wapi

  • @mwashumunassor318
    @mwashumunassor318 4 года назад

    Shekh naomba niunge ktk group yako namba zangu 0620 198301

  • @somoeabdallah6484
    @somoeabdallah6484 7 лет назад

    shukran jazzakillah khairab

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 лет назад +2

    Huyu shehe anapatikana
    Wapi kenya tanzania ?

  • @zeddynatty9338
    @zeddynatty9338 6 лет назад +1

    Sheikh nani vile yni unavo toa mawaidha nikama wapiga story nawenzio bado ujajua kutoa darsa..tna uku una laptop. Au ndo new generation..astaghafirullah..

    • @lutuismail7763
      @lutuismail7763 6 лет назад

      Zainabu Musa hayo sio mawaidha hilo nidarsah .ndio maana watu wanauliza maswali.kwenye mawaidha hapaulizwi maswali

    • @switbebyshaheen630
      @switbebyshaheen630 5 лет назад +1

      Zainabu musa kama kitu hujui nyamaza

  • @ibrahimmnyeto5885
    @ibrahimmnyeto5885 4 года назад

    Naomba uniunganishe na group la kiislam shekh 0754967816

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 года назад

    afu ee Shekhe unanikera maneno yako machafu

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu8785 6 лет назад

    mashaaAllah

  • @greysonflams2237
    @greysonflams2237 5 лет назад

    Niunganishe na group la kiislam Shehe. 0783198298

  • @pinkymahsen7944
    @pinkymahsen7944 7 лет назад +1

    Shukrn

  • @omartehseen2128
    @omartehseen2128 6 лет назад

    MashaAllah

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 7 лет назад +1

    ماشاءالله تبارك الله عليكwajua sana dini lkn jifunze kuongea vizuri kilamtu asikiliza

    • @asiakheir6406
      @asiakheir6406 6 лет назад

      Diya Osman ajifumzenini? Dini haifichikitu yupo sahihi

    • @salamashabani4100
      @salamashabani4100 6 лет назад +1

      Diya Osman jaman kila MTU na lugha yake, mueleweni shekh

    • @ramadhansuleyman7618
      @ramadhansuleyman7618 5 лет назад

      dia osmani,hii mada yenye asingezungumza hivi isingeeleweka.amezungumza hivi kwakuwa mada yenyewe iko hivyo.

    • @likeothers2498
      @likeothers2498 4 года назад

      Uyo ni mlamu mueleweni

  • @hamdukhamis5153
    @hamdukhamis5153 6 лет назад

    saf

  • @imranshomarysalehe9492
    @imranshomarysalehe9492 6 лет назад

    asante

  • @likeothers2498
    @likeothers2498 4 года назад

    🤣🤣🤣

  • @chepason7212
    @chepason7212 6 лет назад +1

    nyie ndo mnapotosha dini nyie hamna helim kasome kwanza cha kwanza janaba ni janaba hatakama umeota pili mwanamke hatoki manii kasome quraani vizuri atoke janaba kwani anazalisha we mwehu kweli mwanamke anatoa kitu kinacho itwa miyukasi sio manii

    • @mwasitiomtima1896
      @mwasitiomtima1896 6 лет назад +1

      Abtwalibu Chepa 😂😂😂na nn maana ya miyukasi?? Kwan manii hayako mfumo wa mucous?? We unaebisha ndio unapaswa ulete ushahid wa kwann unapinga sio unapinga bila kuleta ushahid kama hatoki manii

    • @ramadhansuleyman7618
      @ramadhansuleyman7618 5 лет назад +1

      abutwalibu chepa unachuki binafsi hivi kweli hata adabu huna unamwita mwehu mtu alojitahidi kufikisha kwa uwezo wake wote.

    • @chepason7212
      @chepason7212 5 лет назад

      mwasit omtima @ namda sijaingia umu ngoja nikujibu miuykasi ni uteute au majimaji yanayo sababisha kulainisha uke unapo unapo tanuka asiweze kuumia pia huwa unatoka anapo zaa na manii ni mbegu namaanisha ikuta yai likiwa tayari kupokea izo mbegu basi utakuwa mjamzito tofauti kati ya manii ndio iyo uteute wakulainisha uke na mbengu nivitu viwili tofauti

    • @chepason7212
      @chepason7212 5 лет назад

      ramdhani suleymani mi huwa sipendi kuona mtu anapotosha watu kwa kupitia dini pia hata mimi niko poa kwenye dini

    • @muriphehamza547
      @muriphehamza547 5 лет назад +1

      @@chepason7212 ungekua poa kwenye dini , ungekua na ilmu kwenye dini ,usingemjibu sheikh namna hii na kumwita mwehu, hii ni dhahiri kuwa hauna lolote bali kiburi na kujitia wajua ilhali haujui

  • @salummsangule7513
    @salummsangule7513 7 лет назад

    ASANTE SHEKH

  • @ruwaidatabdallah2769
    @ruwaidatabdallah2769 6 лет назад

    Hahaa

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 6 лет назад

    Manii ni nini

    • @NB-ed5qv
      @NB-ed5qv 6 лет назад

      Rosemary Benjamin
      Squirting.i think.

  • @abdulrasulissa930
    @abdulrasulissa930 7 лет назад +4

    unaijua dini lakini hujuikuongea kwa hiyo kajifunze kuzungumza vizuri na Watu wanaangalia Watu wengi jaribu kujisikiliza ulioyasema

    • @salmasalim6055
      @salmasalim6055 6 лет назад

      Abdulrasul Issa

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  6 лет назад +7

      Abdulrasul Issa in shallah nitajitahidi shukran kwa maoni yako mola akubarikie

    • @khalfanfaraji3802
      @khalfanfaraji3802 6 лет назад

      Abdulrasul Issa kama mungu amekujalia kipaji cha kuzungumza nivizuri ukitumie vema kwani hio ni neema ktk nema, bora, ltumie vizur kila mwenyekunufaika na tamko lako mungu,hukufutia dhambi ulioitenda kwa kudhamiria na ulio itenda bila kukusudia kwani mungu,ndie anaetujua zaid kuliko kitukingine tkk dunia hii kwani kauli njema pia ni sadaka,mungu, aniongoze mm naww Tue wenyekutoa sadaka?

    • @maryammeme2615
      @maryammeme2615 6 лет назад +8

      Abdulrasul Issa ww ndo humwelewi sheikh lakini Yuko sahihi mbona

    • @rahmaomarali4123
      @rahmaomarali4123 6 лет назад +6

      Sibora aseme waziwazi watu waelewe kwani kuna mtoto anyonyae hapa kwahio hawajui romance nn..sikila mtu naakili yke anaeangalia..maovu yafanywa tele hamuyaoni mwajuwa kukosoa tu

  • @abuuruqayyah3200
    @abuuruqayyah3200 4 года назад

    Shukran

  • @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191
    @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191 6 лет назад

    Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan

  • @imanikilihindi3184
    @imanikilihindi3184 7 лет назад +2

    Shukran

  • @fredfuchaka645
    @fredfuchaka645 6 лет назад

    Shukran