SHARUTI ZA KUONGEZA MKE WAPILI ?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 119

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 5 лет назад +2

    Shukrani sana Sheikh kwa juhudi zako na kwa faida tunayoipata watazamaji. Hayo matamshi uliyoyatamka mwanzo, kwa lugha ya Kiarabu, yanapendeza sana. Nadhani ni vyema ufanye uwezavyo utuelimishe hayo na utufafanulie, kwa lugha ya Kiswahili.

  • @salamakhamis4558
    @salamakhamis4558 4 года назад +2

    Mashallah shekh unafahamika yani mawaidha yko ni illmu tosha allhmdllh

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 6 лет назад +6

    MashaallAh Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin

  • @ami.atwaha7024
    @ami.atwaha7024 4 года назад +6

    Mwenyezi Mungu Anijaarie Nipate Kuolewa Na Mume Mwenye Hofu Ya Mwenyezi Mungu

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +2

    Mashaallah shukran shekh

  • @alphadon9749
    @alphadon9749 3 года назад

    Alhamdhulillah shukran kwa ufahamu

  • @zoizanzibar5923
    @zoizanzibar5923 5 лет назад +6

    Izudin Alwy namkubali sana sheikh huyu....Am Kassim 4rm Zanzibar...tunakukaribisha sana Zanzibar Sheikh

  • @mahmudmkali5725
    @mahmudmkali5725 2 года назад +1

    A.aleikum Sheik wetu wake zetu wengi huwa wanasema Mtume hakuongeza mke wapili mpaka mke Bibi Khadijah akaaga

  • @hassanramadhan8978
    @hassanramadhan8978 3 года назад +3

    Msisahau kuwa wanaume pia wana mitihani wakiwa na umri mkubwa hukosa nguvu za kiume

  • @mariamnuru9939
    @mariamnuru9939 Год назад +1

    Minatka kuolewa make WA pili ama Watatu ila sjapta mume sahihi

  • @munaseif9769
    @munaseif9769 6 лет назад +3

    asante shehe mungu atuzidishie imani

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 4 года назад +2

    Asalaam Aleikum....sio siri ila hakuna wanaume wanaodhulumu wanawake kama wanaume wa kiislamu...Mapenzi yao ya haram huwa matamu kuliko ya ndoa....na wako hapo na wewe sheikh wanakusikiza ila zaingilia sikio la kulia latoka sikio la kushototo....Wanawake yasemekana wamejaa motoni ila wanaume wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja nao vile vile watajaa...REHMA NYINGI TU ZA ALLAH NDIZO ZITAKAZO TUOKOA...MANAKE NI GHAFUR RAHIIM...ARAHMAAN.

  • @jumasoulja3569
    @jumasoulja3569 2 года назад

    MashaAllah

  • @maureenjannephar3507
    @maureenjannephar3507 6 лет назад +8

    Asante kwa kujibu maswali kichwani changu

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 5 лет назад +1

      Karibu katika Uislamu

    • @habibaibrahim8151
      @habibaibrahim8151 5 лет назад +1

      Mi nashida na ww ostadh ntk nkuulize kitu

    • @habibaibrahim8151
      @habibaibrahim8151 5 лет назад +1

      Hv kukaa na watt wa mwanaume wa nje ni lazima? Na ikiwa hao watt wamezaliwa mim nkiw na mabucano nae ss analazmsh nikae nao je ni lazima

  • @rukysaid7240
    @rukysaid7240 6 лет назад +8

    Mashaallah ajiyyyb shekh izudin. Lakini kama nyinyi hamuna uwezo wakitandani kikombe kimoja cha chai chapili hamuwezi tena jee sisi tufanyeje wanawake

    • @yasminabdi3251
      @yasminabdi3251 5 лет назад +2

      Tatizo wanaume wengi wana kimbilia kuoa mke wa kwanza mwenyewe wana shindwa kufanya wajibu wao kimoja tu taabani 😂

    • @yasminabdi3251
      @yasminabdi3251 5 лет назад +1

      Nyinyi wanaume mna hila zenu hamna lolote

    • @yusufhabila6466
      @yusufhabila6466 5 лет назад +2

      shukiran Sana tunagukaribisha bujumbura burundi

    • @yusufhabila6466
      @yusufhabila6466 5 лет назад +2

      karibuni bujumbura?

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 5 лет назад +1

      @@yasminabdi3251 Jaribuni muongee mambo hayo na waume zenu, kwa hikma na mawaidha mazuri, na kuwa tayari kusameheana, mtaelewana tu. Na sio vyema kuwalaumu wanaume wote

  • @kamotechnicshamzahamsini6853
    @kamotechnicshamzahamsini6853 6 лет назад +5

    Mashallah, ila tatzo nimetafuta mwanamke wakuoa awe mke wapili sijapata. Nikipata mcha mungu nipo tayari inshallah. nashukuru mungu mkewangu yupo radhi

    • @ruwaidatabdallah2769
      @ruwaidatabdallah2769 6 лет назад +4

      Kamotechnics Hamza hamsini omba Dua Allah atakupa

    • @kamotechnicshamzahamsini6853
      @kamotechnicshamzahamsini6853 6 лет назад +3

      Allah anatupenda sana, unaweza ona wakati wako tayari kumbe bado Allah anakutafutia mzuri zaidi ya hawa waliopo. Au unaweza kujiona utaweza uwadilifu kumbe Allah hakupi kwakuwa bado uwadilifu bado hujautimiza. Mungu hatupi kila tunachoomba ila anatupa tunachoomba chenye kheri nasi wajawake.

    • @ukhutyfiillah2857
      @ukhutyfiillah2857 6 лет назад +4

      Kamotechnics Hamza hamsini kamote Nina rafiki yangu

    • @kamotechnicshamzahamsini6853
      @kamotechnicshamzahamsini6853 6 лет назад +3

      Hakuna kitu kizuri kama kupendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu SubhanaAllahu wata'laa
      Yah Allah tujaalie tuwe wenye kupendana kwa ajili yako na kuungana kwetu iwe ni kwa ajili yako..

    • @ashuramwinyi5137
      @ashuramwinyi5137 6 лет назад +3

      Maaa nshaa Allah!! Yarabb amizdishie subrah na Iman ktk ndoa yenu km bado wataka mke toa no yk utapata In shaa Allah

  • @latifajuma2457
    @latifajuma2457 5 лет назад +3

    Napenda sana mawaidha ya Izdun

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +2

    Mashallah

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +3

    Allah akulipe pepo

  • @rehemahusseni4936
    @rehemahusseni4936 6 лет назад +3

    Allahumma amiin

  • @omarsharif3904
    @omarsharif3904 6 лет назад +3

    mashallah mafunzo mazuri sana

  • @mariamungendakumana6887
    @mariamungendakumana6887 4 года назад

    Masha Allah chukuran san

  • @mimimina1487
    @mimimina1487 3 года назад

    Asalaam alaiqum shekh mi nina swali
    mume akitimiza wake wanne akimuacha mmoja je inaswihi kuoa kabla yule akimuacha hajamaliza eda?

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 4 года назад +1

    MASHALLAH ALEIK

  • @khamismussa6308
    @khamismussa6308 5 лет назад +2

    A/alaykum warah-matullah wabarakat, naam sheikh naomba kuulizia suali hili,kunarafi yangu kaowa mkristo he ndoa yao imesihi

  • @omarshaban8692
    @omarshaban8692 7 лет назад +4

    Masha Allah watu waongeze wa pili

    • @yasminabdi3251
      @yasminabdi3251 5 лет назад +2

      Tatizo sio kuongeza tatizo ni matunzo na haki sawa kwa wote wawili

    • @naimastadi3133
      @naimastadi3133 4 года назад

      Kabisa

  • @khadijasaidi9384
    @khadijasaidi9384 Год назад

    Asalaam alaykum shehe samahani shehe unawangapi

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 4 года назад +1

    Ila hiyo point ya matamanio ya mrefu, mfupi, mnene, mwembamba, mweupe, mweusi n.k utaoa wangapi. Afadhali ya pili useme kumstiri mjane kama uwezo upo

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni 8 лет назад +7

    Shukraaan... Tuko na dhamira yakuongeza Inshallah

  • @eshamshiri8422
    @eshamshiri8422 3 года назад

    Asalam aleykum sheikh ikiwa umeoliwa mke wapili,mke wakwanza akaja kutambua akawa anakuwekea dua mbaya mbaya kama mungu akujalie watoto wako wakike waaribike je dua za swihi

  • @خيراتعباس
    @خيراتعباس 6 лет назад +2

    mashaallh darsa zain shem

    • @mamitomamita6284
      @mamitomamita6284 6 лет назад +2

      je ww ustadh sio kwa ubaya une mke wa pili?

    • @rukysaid7240
      @rukysaid7240 6 лет назад +1

      Mashaallah ajiyyyb... lakini nakama mume hana uwezo wa kitandani wakukutosheleza mara mbili au tatu... naakaowa mkee mwengine jee tufanye nini sisi wanawake

  • @shumamyrama8479
    @shumamyrama8479 4 года назад +4

    wanaume hamzeeki naona mnajisahau

    • @minakhamiskhamisi6193
      @minakhamiskhamisi6193 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣Mim mke wa pil nishakataa stk kbc ht kusikia 🤣🤣🤣kuna rfk yg huyo mume wake alimwabia ntk nioe mke wa pili akasem saw hmn tatzo mwanaum kaoa mwanmk mwgn kilicho mkuta Sas baad mume kuwa n mke mwgn 😭😭😭😭ni huzuni mwanmk mwezie kamtoa kweny ndoa Alf yey ndio akabaki hphp na anawatt nne n huyo mwanaum ss hv mwanmk wawatu yupo kwao mwanaum hamjui Wal hamtabui ss hv mpk anaomb msaad wa hela y kula n watt wake mwanaum yupo biz n mwanmk mwgn huyu mdg anaijoy 😭😭ametesk kujg nyumb n mume wake lkn Leo hii anakaa mwanmk mwgn hebu nambie hp nakumbl vip
      Mim hapn mke wa pili ach nife single stk kbc

  • @asyaluay5787
    @asyaluay5787 5 лет назад +2

    Enhe

  • @blackbhajun4601
    @blackbhajun4601 6 лет назад +2

    Sasa utapataje hio nafasi ya kuweza kuongea nae mpaka akwambie usiowe mke mwegine si mtakua mlikua na mawasiliano je yafaa na kama yafaa kivipi kuongea huko Kwa kukutana au kivipi shukran

  • @swabrinaridhwan5593
    @swabrinaridhwan5593 4 месяца назад

    😫😫😫hapo kwa kusom

  • @hajimakarabai4700
    @hajimakarabai4700 5 лет назад +2

    Upo vizur

  • @nasramrisho4892
    @nasramrisho4892 6 лет назад +5

    mashallaa

  • @rahmasika8480
    @rahmasika8480 2 года назад

    Shehe nnaweza kukupata kwamawasilianonakuparaje

  • @halimamwishehesaid3436
    @halimamwishehesaid3436 6 лет назад +5

    Ustazi ww una wawilli mana wengine faladhi zawashinda wakimbilia sunna

    • @omarmhmammed216
      @omarmhmammed216 4 года назад

      Halima mwishehe said
      Ukiwahi sunna basi na faradhi hazikudindi

  • @mwanaidimohammed7710
    @mwanaidimohammed7710 4 года назад +1

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh!
    Ninaomba namba yako ya simu nikutumie whatsapp tafadhali

  • @sophiasharif9183
    @sophiasharif9183 3 года назад +1

    Ni ngumu saana moyo unauma

  • @sahaleahmad123
    @sahaleahmad123 3 года назад

    Hahaha ndio lugha zao kuwa hataki kituu Allah atuhifadhi kwakilaa and kaaa namumewe kwaniaa Allah atawashindaa wengine wao na wana watoto wachanga subhnallah

  • @rehemahusseni4936
    @rehemahusseni4936 6 лет назад +7

    shekhe je ikiwa memu hanitimizii je nifanyeje

    • @ruqaiyyawaziri4287
      @ruqaiyyawaziri4287 5 лет назад +3

      Rehema Husseni haujamfafanulia Sheikh hakutimizii nn

    • @mussajohn1362
      @mussajohn1362 5 лет назад +2

      Wewe nae wapenda sana eti

    • @ruqaiyyawaziri4287
      @ruqaiyyawaziri4287 5 лет назад +2

      Mussa John sio kama anapenda sana ni haqi yake kutimiziwa

    • @rizikisalum9678
      @rizikisalum9678 5 лет назад +1

      @@mussajohn1362 ndio Kama hamututimizii nasie tufanyejee

  • @zeinabmabeka1830
    @zeinabmabeka1830 4 года назад +2

    Je ww una wake wangapi umeoa 4 au 2

  • @ruwaidatabdallah2769
    @ruwaidatabdallah2769 6 лет назад +2

    Haha afe

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 6 лет назад +2

    Hahah

  • @yasminabdi3251
    @yasminabdi3251 5 лет назад +2

    Tatizo shekhe wanaume wengi wakiowa mwanamke muingine wanajisahau kwa mke muingine anaelemea kwa Mke Mdogo

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 5 лет назад +3

      Fact

    • @binsule7413
      @binsule7413 5 лет назад +2

      nahitaj kuengeza mke wapil mwenye dini km yp tyr ajitokez

    • @mbomamwatosha8494
      @mbomamwatosha8494 5 лет назад +1

      Mwenyezi mung atufanyie wepesi sisi wanawake

    • @saadanassor8033
      @saadanassor8033 4 года назад

      @@mbomamwatosha8494 mungu atupe subra na iman lkn kuolelewa nimtihani mkubwa sana yataka imani na subra yahali yajuu mana wanao kuja kwa juu hua km moto wa kifuvu

  • @ibrahimmwamba6123
    @ibrahimmwamba6123 5 лет назад +2

    Je yafaakuoa kafiri

  • @katunzikatunzi929
    @katunzikatunzi929 3 года назад

    Mashallah

  • @rukiaomar5678
    @rukiaomar5678 6 лет назад +2

    MashaAllah

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 года назад

    Mashallah

  • @سالمهزنجبار
    @سالمهزنجبار 6 лет назад +4

    Mashaallah

  • @taabohosain3849
    @taabohosain3849 6 лет назад +3

    Mashaallah

  • @sophiasharif9183
    @sophiasharif9183 3 года назад

    Mashaallah

  • @zainababubakary4263
    @zainababubakary4263 6 лет назад +2

    Mashallah

  • @hosnahassan4358
    @hosnahassan4358 6 лет назад +2

    Mashaallah