Uchaguzi wa Marekani: Biden amwambia Putin kuwa Marekani haitaondoka Ukraine
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2024
- Kinyang’anyiro cha urais wa Marekani kati ya Rais Joe Biden na rais wa zamani Donald Trump bado lengo liko katika mzozo mwingine wa sera ya mambo ya nje - Rais Biden atuma ujumbe kwa Putin kuwa Marekamni haitaondoka Ukraine. Na Donald Trump adai kuwa Marekani imeshapeleka misaada mingi.
VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi.
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000.
Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru.
Jiunge na VOA Swahili:
» Tembelea Tovuti Yetu: bit.ly/3PtyNWc
»Angalia Video Zaidi za VOASwahili: bit.ly/3TNTiiI
»Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : bit.ly/VOAPlus
»Download VOA+ katika vifaa vya Android bit.ly/3KykriI
»Tembelea Tovuti yetu: www.voaswahili.com/
»Upende ukurasa wetu wa Facebook: / voaswahili
»Tufuatilie katika Instagram: / voaswahili
»Tufuatilie katika X: / voaswahili
»Tufuatilie katika RUclips: / @voaswahili
Mko vzr ila muache upendeleo wa kupendelea magharibi
Uwepo wa marekani n janga kwa dunia bora afutike yeye mdo chanzo cha vita duniani yeye n nani atapigika vzuri2 yeye na umoja wawajnga nato
Mtoto wa kahaba 😂😂😂lini utakuwa nahakilii lini urus china Korea ..linii wametoa msadaa popote wakimbiziiii unawasaidia ww 😂😂😂😂 yanii ww na maviiiii 😂😂😂
@@liberatusjackson5045 we c shoga unezoeya misaada ya kishoga utapewq2 msaada mtoto wa kiume unataka kusaidiwq watakusaidia mpaka kuingiza
Huy0 anatka misaada yavidonge vya ukimw au😅😅😅
@toymadebho7048 😂😂😂😂😂😂 hakuna vya bure😂😂😂😂😂
@@liberatusjackson5045Acha ubwege wewe kibuyu unaishi kwaajili ya msaada
Mmmh na ndo maana halisi kwamba Marekani na Ulaya wanapigana na Urusi siyo Ukraine inapigana na Urusi
Dunia huru ndio dunia gani?
Au ndio ile ya kulawitiana?
FEDHA ZINAZO TOLEWA MSAADA ZINAHISHIA MIFUKONI MWA WAMAREKANI NA VIONGOZI WA UKRENIA,WANAJESHI NA RAIA WANAKUFA BURE😮
Ww kaaa cc tunaendelea kuchukua miji2
Kuwepo kwako akuna maana uko.ata china aina mpango marekani.
Iyo ni kwel❤
Huyu Hana anachopoteza, muda wowote mungu anaweza kumhitaji yeye watu kufa haoni shida.
Babu hana mpya huyo akae Pemben anaharibu dunia
Wewe km ahuta ondoka marekani urusi itahendelea kupiga ucrene baiden amesha kosa kwenye uchaguzi serekali km marekani inachukua pesa yabwana inchi ilikusaidia ucrene n'a izraeli uku wamarekani wanao pesa yao wana hangaika ukiwa raisi mzee basi akili azifanyi kazi tena vizuri 😂😂😂😂😂😂