MWIJAKU amlipua Harmonize kumzidi Diamond Ameshuka muziki wake Marioo,JayMelody wamewaka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Комментарии • 41

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh Год назад +7

    Mwijaku nyieee😂😂😂😂 atafika mbinguni kachoka hatari😂😂😂😂

  • @hadijaabdallah8614
    @hadijaabdallah8614 Год назад +4

    Hakuna mtu anayeachwa na wakati. As long as mtu anaishi basi yupo kwenye wakati wake. Kama mtu anapata kula na kuishi ana wakati wake. Na kuhusu zuchu kuumia basi hata wewe mwijaku mkeo kuna sehemu unararua moyo wake ndugu Au ishu ya menina umeisahau? Vipi mtoto wa bonyokwa? Yule mtoto ulizaa mda upo kwenye ndoa yako mkeo hakuraruka? Kukiss ovyo kuropoka mara kufanya vituko 😂 anararuka tu.

  • @SuzanaKasanya
    @SuzanaKasanya Год назад +1

    Mwijaku mpuuzi tu huyo. Kwani Diamond kamkosea nini Mwijaku maana kila anapoongea na media anamponda tu Diamond

    • @nassjog990youtube6
      @nassjog990youtube6 Год назад

      We na wewe wanapangana hao yote iyo ni staged act diamond ANAJUA kua atapondwa ivi na ivi anacheka vibaya huko wewe ndo unateseka pole

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 4 месяца назад

    Mwidjaku pourquoi tu est comme ça ? J'aimerais savoir tu m'ouras même aujourd'hui 🇨🇩🇨🇩

  • @mrjohn4446
    @mrjohn4446 Год назад +1

    Diamond hawezi kuoa ,anakiapo kikali na sharti moja wapo Ili maishe yaendelee, siku atakayooa anakuwa kavunja sharti ,

  • @bakarikisuda4948
    @bakarikisuda4948 Год назад +1

    Mwinyjaku nanifurahisha.. Yani unamnyea mondi badae uko wasafi

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Год назад +1

    Kumbe wasanii ambao hawajaoa ni wengi sio tu diamond khaaa wasanii hivi wana nini jamani?!! jux,reyvan, mbosso, hamonize, madee,T.I.D na wengine wengi mno wasanii hawajaoa lakin huwa anaonekana diamond tu ndio hajaoa tena kama madee,jux na T.I.D ni wakubwa kweli lakin hawajaoa wanamzidi diamond mbali mno diamond ni mdogo mno kwao wao ni watu wazima sana

  • @Classicmusic0123
    @Classicmusic0123 Год назад +1

    Ngoma ikivuma sana..vuvuvuvu ikakalbu kupasuka...mond kashapasuka hyo..maskion pa watu kashachosheka

  • @BranksMtewele
    @BranksMtewele Год назад +7

    Mwijaku mm kila akiongea najifunza sanaaaa

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Год назад

    Wewe unaishi Kwa jasho la wenzio?

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu Год назад

    Akae ale anye! Wacha tuu aisee

  • @KinDanger-dw5sj
    @KinDanger-dw5sj Год назад +1

    wewe muda wako ujapita?

  • @nakali79
    @nakali79 Год назад +3

    Muziki hauna muda,

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 Год назад

      Una muda, kuna time ambayo una kua 🔥, Kama Mondi kuna kipindi alikuwa fire, now kawaida sana

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Год назад

    Kupitwa na muda ni kuchelewa kufanya mambo katika muda anachosema DC ni sahii ila maio jua Mta bisha tuu ukitumia Sasa hivi simu iliotumika miaka ya 2001. Kwa sasa hivi itaonekana wakati Ile ulipitwa na muda hukuweza kumiliki simu kama hiyo Kwa wakati Ile ndio kupitwa na muda.

  • @kaborasteven
    @kaborasteven Год назад

    Ww mwijaku toa upala ka ugali wa dona ndevu kama fagio la chooni huna loloteee huna nxhu mjini axaiv umeixha kaz mdomo2 axa huna kiki teeenaaa

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 Год назад +1

    Mwijaku mpanda ngazi hushuka pia

  • @MondeyyGraysoni-hb1vc
    @MondeyyGraysoni-hb1vc Год назад

    Yaniuyu jamaa akiamka Kala bangizake mbichi anaongea utumbo hahahhhh😁😁😁

  • @official_moxieke
    @official_moxieke Год назад

    Uyu jama wenu hua ajipati nn mara Leo Simba mara kesho harmo ....sijaona mtu ajipati kama uyo tz nzima

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam3648 Год назад

    Mwanaume unakuwaje mzazi: KAZA WE MUHA☹️🤒

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Год назад

    Acha wivu mara umsifie mara ukojoe kojoa ulale akili kamasi

  • @oj6595
    @oj6595 Год назад

    😂😂😂 mwenye ku mpotosha konde kwa debe kama mwana mke

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад

    😂😂😂😂 Yani Mwijaku huwataka Watu wote wakaoe daah

  • @AmaboyTz-bi9ym
    @AmaboyTz-bi9ym Год назад +1

    🔥🔥

  • @husseinngala7503
    @husseinngala7503 Год назад +1

    Wakati muhimu sana hapo mwijiku kasema

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад

    Eti Timbulo alinunua helkopta 😂😂

  • @ElenneKabwit
    @ElenneKabwit Год назад

    Wakina mwijaku😂😂😂😂😂😂😅😅

  • @colestmakoloo1500
    @colestmakoloo1500 Год назад

    Nice mwijaku

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Год назад

    Kiki ya Mwisho

  • @abednego3876
    @abednego3876 Год назад

    Hanisi huyu

  • @masizitony9800
    @masizitony9800 Год назад

    🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣❤️❤️♥️

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe8169 Год назад

    Thanks DC

  • @ramakinjoi4063
    @ramakinjoi4063 Год назад

    Chawa pro max😂

  • @FestoReonadi-kq8kp
    @FestoReonadi-kq8kp Год назад

    Ww mwanamke mwijaku mziki hauna mda shoga ww

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 Год назад

      mjinga huyu jamaa

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 Год назад

      Yuwasema kashuka lakini mondi yuko na canada na uganda

    • @FestoReonadi-kq8kp
      @FestoReonadi-kq8kp Год назад

      Mondi bd Sana mm shabiki ake dam ata atoe Boko bado ntamsapoti labda afe ndo utakuwa mwisho siyo ivi napenda mziki mzuri lakini mm shabiki mondi miaka buku

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 Год назад

      @@FestoReonadi-kq8kp Mimi pia nampenda mno diamond hata iweje nitabakia kuwa shaidi yake kindaki ndaki mpaka pumzi yangu ya mwisho