WATANZANIA HATUPO TAYARI KUONA RAISI WETU MAMA SAMIA AKIBUGHUDHIWA, SHEIKH KISHK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 124

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 3 года назад +9

    MashaAllah sheikh Nurdin kishk umeongea maneno yenye ukweli na mwenye akili ndyo atakaezingatia Allah akupe maisha marefu na afya njema

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 3 года назад +2

      Aaamin yaa Rabby

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 3 года назад +2

      Huyo pasta asituletee ukorofi, kila mtu afate dini yake, hakuna mzungu anayewatuma wafanye ujinga, hawana akili tu hao, wazungu wako bize na kujenga inch zao, hawana muda na wajinga wanaoharibu nchi zao, tusiwasingizie. Kila kitu

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад

    Masha"Allah sheikh wangu kishki nurdin Allah akuifadhi Insha'Allah

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 года назад +2

    MASHA ALLAH sheikh wetu ALLAH akujalie afya njema akuifaidh Akupe umri mrefu wenye furaha daima AMEEN

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад

    Maashallah shehe wetu umeongea ukweri kabisa wanyonyadam Hao wanataka kutu gombanisha watuchukue dam zetu Allah atuepushe na vikundi vya kifisadi

  • @aminaali2605
    @aminaali2605 3 года назад

    Alhamdulillah Allah azidi kukupa nguvu shekh

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 3 года назад

    MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏 This is Best speech

  • @elias4810
    @elias4810 3 года назад +6

    Mashallah
    He is talking proffessionally

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 3 года назад

    Manshalaa shekhe mungu akupe afya na umri mrefu inshallah

  • @halimaali8957
    @halimaali8957 3 года назад

    MA’SHA’ALLAH okay cuz our sheikh didn’t stutter, periodt. 👏👏👏💕

  • @fatmaseif2298
    @fatmaseif2298 3 года назад +3

    Sahihi sh.Kishki

  • @mariamhussein7554
    @mariamhussein7554 3 года назад

    Mashallah

  • @fatumadirey86
    @fatumadirey86 3 года назад

    That's true,sheikh Allah protect you, Allah bless you.

  • @lioally6647
    @lioally6647 3 года назад

    السلام عليكم شكرن شيخ بارك الله

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Месяц назад

    MAA SHAA ALLAAH

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 3 года назад

    Maashallah maashaallah nakukubali shekh kishk

  • @luqmanabdi9022
    @luqmanabdi9022 3 года назад

    Allah Akbar mashaaAllah sheikh Kwa maneno mazuri

  • @fatumadirey86
    @fatumadirey86 3 года назад

    Mashaallah, Beautiful speech Allah bless you,❤️👏👏👍🙏

  • @a.856
    @a.856 3 года назад +2

    Jazakallah khayran

  • @allyhassan7522
    @allyhassan7522 3 года назад

    Nimefurahi kuona na yeye anajaribu KUCHOMEKEA kwa kadri alivyoweza.Yea,amechomekea kweli, kweli na sisi wenye upeo tumemuelewa.Vizuri sana

  • @mwanaramadhan7059
    @mwanaramadhan7059 3 года назад

    MashaaAllah sheikh wetu Allah akubarik

  • @mossilamanne3350
    @mossilamanne3350 3 года назад

    Safi Sana shekh

  • @hilihamutamimi4341
    @hilihamutamimi4341 3 года назад +1

    Mashallah safi sn sheikhe wtu

  • @3nllymhamad784
    @3nllymhamad784 2 года назад

    Swadakta sheikh

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 года назад

    Mashaallah

  • @asilclub
    @asilclub 3 года назад +3

    QURAAN NA HADITHI INASEMA AWE MWANAUME SIYO WANAMAKE USIBABAISHE MANENO YA KESHK HUYO MAMA SAMIA HATAKUFAA KABURINI

    • @nyatya199
      @nyatya199 3 года назад +1

      Hii siyo nchi ya kiislamu hivyo huwezi lazimisha hilo chamsingi aheshimiwe nikiongozi wako

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад

    Alhamdulilah Uislam ni neema na Nuru.

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 года назад +1

    Mashaallah shekhe wetu

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 года назад

    Ma sha allah
    Sheikh kishk

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 3 года назад

    Masha Allah..

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 3 года назад

    Enatosha kwa NA hijabu ni ya heshma NA emependeza ni amri ya mungu kuliko kuacha kichwa wazi hiyo sio tabia ya dini ye yote ele soma gruani raisi anastahili kuongoza NA mvumilivu wala hajibu watu hongera raisi kitu muhimu ni kumkubuka mungu wako NA mtume mohamed shukran raisi

  • @nshimirimanadjamilla7270
    @nshimirimanadjamilla7270 3 года назад

    Masha allah vizur

  • @hackers_hood
    @hackers_hood 3 года назад

    Allahu akbar shekhe wetu.. Maalim

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 3 года назад +2

    MASHA ALLAH.

  • @twalibuhassani3046
    @twalibuhassani3046 3 года назад +3

    maashaa allah

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 года назад

    Swadakta shekh kishki

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 3 года назад

    Mashalla ustaz wanbiye wahelewe

  • @rehemakisoma5598
    @rehemakisoma5598 3 года назад

    Kweli kabisa shekhe wangu allah atuhifadhi na watu kama hao

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 3 года назад +1

    Shekh kishk wewe ni Shekh lakini hawatoaacha kukupigavita Mana unaongea ukweli allah akulinde na Kila Shari uendelee kutusumamia katika haki

  • @jamalkadir2884
    @jamalkadir2884 3 года назад

    Swadakta shkh..

  • @yohanaosiligimoikan7134
    @yohanaosiligimoikan7134 2 года назад

    Uchumi mweusi kuanzia 19much2021

  • @saidmaulid523
    @saidmaulid523 3 года назад

    MashaAllah

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад

    Tunashukur kwa ujumbe mzuri.. Yule mchugaji ameikosea saan jamiiiiiiiin
    Pia tunashukur yuko mabusu

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 3 года назад

    Mashallah 🙏🙏

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +1

    Masha Allah

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад

    Waleykum salaam warahmatullahi wabaraqatuh

  • @zakariyaaffi9453
    @zakariyaaffi9453 3 года назад

    Footsteps zako kama mashekhe wa msa

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 3 года назад +2

    Siasa tofauti na dini . Na serikari Haina dini.Kwa Nini sisi viongozi wa dini tuseme sisi tunamatatizo dini gani? inayosalimia watu "Kwa jina la jamhuri "Jamhuri Mungu wa dini gani ?

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад +1

      umeonaee serikali haina dini

  • @samahamed2418
    @samahamed2418 3 года назад

    Safi sana 👏👏👏👏👏👏👏

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 года назад

    Kweli kabisa...

  • @omarsultan7195
    @omarsultan7195 3 года назад

    Basi kama mnamtetea kwa ilo muambieni arejeshe fedha za mr kuku walizopora na ww kishki unajua je hilo Mungu analipenda shekhe kishki

  • @hashimalahdal5855
    @hashimalahdal5855 3 года назад

    mashallah

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 года назад

    Angekuwepo Magufuli huyu pastor angeshikishwa adabu yake km yule alichana kitabu cha Mungu alivonyooshwa!! huyo sio pasta ni PAPA!!

  • @sittacharlesmaendeleo778
    @sittacharlesmaendeleo778 3 года назад

    Unababaisha maneno mwalimu hujazama in detail umeongea juu juu tu

  • @perefocperefoc4028
    @perefocperefoc4028 3 года назад

    Aya inaongelea yule kiongozi anayetii sheriah ya Allah sio ya binadamu

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 года назад

    CCM IKO MADARAKANI KWA DHULMA YA UCHAGUZI WA OKTOBA 2020 KUANZIA TANGANYIKA MPAKA ZANZIBAR.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад

    Kweli kbs

  • @zubedalema3407
    @zubedalema3407 3 года назад +2

    Swadakta

    • @mkolalimited1981
      @mkolalimited1981 3 года назад +1

      Tuongeze bidii ktk kumuunga mkono raisi kupitia uislam wetu.. inshallah!!!

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 3 года назад +2

    Walaekum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @lookluku
    @lookluku 3 года назад +3

    Wacha kujiingiza Kwa siasa mana hamna mwanasiasa atakuwa sawa na wew,kama wew nimcha mungu basi jua hamna mwanasiasa mcha mungu wamefanya mengiiiii na Allah ndo atawapa hukmu, Kwa sheikh wangu jishuglishe na dini na ujitoe Kwa siasa au sheikh pengine wataka kupigania kitiiii ,Haya basiii usijipe dhambiiiii Na mjibizanoooo Na watuuu kupitia watu wa siasa hayakuhusu Ila wajitaftia dhambi ,dhambi zao usizikaribie Kwa wanaoyafanyaaaa,shukran Sana ukitia maanani nnayokwambia

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 3 года назад +2

      Mikakati iliopo makanisani ni kuhakikisha wanawachafulia viongozi wa kiislamu kwenye jamii na waislamu wamelalaa

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 3 года назад +3

      Hata mama Samia wanahakikiasha hapati pumzi ndo mana wanamsumbua mara katiba mpya mRa hili waislamu amkeni kumsafisha mama samia

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад +1

      Alie leta Elimu watu wasome, Alijua Kuna wajinga km wewe. Kibaya zaidi umebaki na ujinga mpaka leo

    • @ibnshaukhanuthaimin
      @ibnshaukhanuthaimin 3 года назад

      @@raiyaaaraiyaa6054 mimi tena mjinga au unazungumzia nani?

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 3 года назад +1

      @@abuuramadhan8093
      Najiuliza mbona demokrasia iliharibiwa na jpm na kuvuruga chaguz zote ila kimya hakuna mtu akiyemwingilia hadi kajenga uwanja wa ndege nyumbani kwao, kutumia ndege kwenda nyumbani lkn mama yeye anatukanwa na Kikwete kwa kuwa ni WAISLM.....
      Mungu yupo, hiyo midomo yao itafungwa mmoja hadi mwingne

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautjl

  • @ummyabdallah1493
    @ummyabdallah1493 3 года назад

    Abdallah hajakosea kusema alipigiwa kura wakt wa umakamu alipigiwa hajasema kwenye urais hujamuelewa,kwenye uraisi ni katiba inasema lkn kwenye umakam alipigiwa kuraaa.

    • @rehemakisoma5598
      @rehemakisoma5598 3 года назад

      Kweli kabisa shekhe wangu allah atuhifadhi na watu kama hao

  • @genxonlinetv2219
    @genxonlinetv2219 3 года назад

    Lakini Mwenyezi Mungu hakukataza kiongozi kukosolewa. Rais JPM alisikiliza wanyonge na aliweza kuleta watu pamoja. Mama yetu anaukaribu mdogo sana na wanyonge. Kwanza kawaongezea mzigo wa Makodi. Kasafiri kwa ndege ya Kukodi na Matajiri wenye pesa Zao kwa expense za Watanzania Wanyonge. Sheikh kuwa mkweli usitumie kauli za udini wakati Tanzania ni mchanganyiko wa DIni zote.

    • @jumannemuhammad2073
      @jumannemuhammad2073 3 года назад

      Akosolewe kisiasa si kiudin,so Kama ww unajambo lako mtafute kisiasa ukatoe hayo malalamiko yako.

  • @zakariyaaffi9453
    @zakariyaaffi9453 3 года назад

    Mahizbi tuu nyinyi

  • @nurumokiwa1082
    @nurumokiwa1082 3 года назад

    Umesema kweli kabisa

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 года назад

    Swsw shehe wetu sadakta waambie wapuuzi

  • @mayyaaltaliy8459
    @mayyaaltaliy8459 3 года назад +1

    Muwe mnatoka na kutetea haki

  • @alphoncepierre9256
    @alphoncepierre9256 3 года назад

    Kwani dini inasema katiba gan isimamiwe ya democrasia au katiba ya Allah shekhe kishki je mbele ya Allah utajibu hautakubali udini katika taifa lako??

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 3 года назад

    Huyo kiongozi alishakula viapo vingi tu kwa kutumia kitabu kitakatifu, lakini ni muongo na mbaya sana kwa waislaam wenzake! Tulimuona ktk bunge la katiba tena kwa jeuri na kiburi akituzamisha. Hivi anamdanganya nani?

  • @yohanaosiligimoikan7134
    @yohanaosiligimoikan7134 2 года назад

    Sisi sisi so kisiwa hatuwezi kujitenge, hakuna awamu ya6 hizo ni propoganda, hakika watu wamekufa wakati u hai kwani masheh ndo wanasiasa

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 года назад

    Huyu sio pasta ni kibaraka kibaka mkubwa huyo!!

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад +1

    alipigiwa kuwa makam na c raisi pia serikali haina sini ulijue hilo

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 3 года назад

      Kwa hiyo km alikua makam, asiheshimiwe?
      Acheni hisia za uchochezi

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      kama zipi kwa mfano c huyo kashamrithi magu

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 3 года назад

      @@heyumi2340
      Yaani UDINI umekua Sana ktk nchi yetu kwani wapo marais wakiristo waliofanya Mambo ya kikatlili huku wakionekana kwenye Chanel fln wakiwa kanisani lkn hakuna hata mtu aliyewakosoa, lkn Mama huyu kwa kua ni muislam utasikia maneno mengi ambayo hayaishi huku Kikwete akitajwa... Tuwe makini vita ya kidini haina mshindi, wewe km wenzako walivumilia kipindi chenu kikapita, na wewe vumilia kipindi chao kipite na si kuweka fitina zisizokua na faida kwani ataongoza awamu mbili ndipo apishe mwingne

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      @@mbwanarajab4756 aongozee awam mbili kivipi yaani

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 3 года назад

      @@heyumi2340
      Subr utaona ili tusiandikie mate..
      Huyu ndiye KIONGOZI wako utake usitake.. awamu hii na nyingne ya ZIADA km kawaida

  • @husnaali9226
    @husnaali9226 3 года назад

    tafadhalini msie haribu nchi na amani hata sisi tuna pendatanzania sababu ya amani. msie kubali mtu yoyote alete buqdha na blaa amani idumu. mimic nataka kuguria tanzania nab mna haribu jameni ajeni fitna

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 3 года назад +2

    Nani anambughuzi kama siyo UONGO acheni tabia za kujipendeke, ili kuficha MAOVU yenu

  • @sittacharlesmaendeleo778
    @sittacharlesmaendeleo778 3 года назад

    Huna ulichoongea asee

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 3 года назад

      Asee vipi wewe, una agenda ya siri.. acha kuwashwa wewe

    • @sittacharlesmaendeleo778
      @sittacharlesmaendeleo778 3 года назад

      @@mbwanarajab4756 huna unalolijua

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 3 года назад

      Wewe kama hujamfahamu ni wewe ila sisi tumemfahamu, mwehu wewe

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 3 года назад

      Kimwaga wewe ni kafiri..
      Huelewi kwakua ni kafiri ila wahusika wa dini yao wanamuelewa kishk vizuri na yupo sahihi kutetea UISLAM

    • @sittacharlesmaendeleo778
      @sittacharlesmaendeleo778 3 года назад

      @@mbwanarajab4756 unajua vigezo vya kuwa kiongozi

  • @epicfails417
    @epicfails417 3 года назад

    Kadhab mkubwa. Ayah inaongelea kwa yule anayetawala na Quran na sunnah

  • @yohanaosiligimoikan7134
    @yohanaosiligimoikan7134 2 года назад

    No common sense through the some one belong?????

  • @babylonebeckaexavery10
    @babylonebeckaexavery10 3 года назад

    Hiyo haya ni sawa huyo unae mtetea siananguvu ya kuongea na ww ukamsikiliza mbona ahamlishi wanawake wasifanye zinaa na nchinziama wajisitili au wasichana waolewe wakiwa na miaka ambayo Allah amehalalisha mbona hao wana alalisha na wanawana halamisha vitu Allah alivyo alalisha na alivyo halamisha hao unao watetea mbona wanaluhusu zinaa na pombe kisha wewe unasema tuwatiii kwaiyo Allah ayazake kwako azina maana yyte sema dunia hii kesho kuna mwisho

  • @zakariyaaffi9453
    @zakariyaaffi9453 3 года назад

    My friend stop exaggerating nd Start learning ww ni جاهل مركب

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 года назад +1

    Masha Allah shekhe wetu

  • @johntay8813
    @johntay8813 3 года назад

    Maashaa Allah

  • @mohammedsalim7051
    @mohammedsalim7051 3 года назад

    Mashaallah

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 3 года назад

    Swadakta

  • @ibrahimjamal3880
    @ibrahimjamal3880 3 года назад

    Swadakta

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 3 года назад

    Swadakta