KUMEKUCHA BAADA YA KUSHINDIKANA MAANDAMANO YA CHADERMA JOSEPH YONA NA AHMED KOMBO WAFUNGUKA MUDA HU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #subscribeSwahiliTV

Комментарии • 48

  • @thamani5842
    @thamani5842 9 дней назад +3

    Tunampenda mama❤. ALLAH amlinde, amkinge, amuhifadhi, amstiri na amnusuru na kila aina ya shari na uhasidi. Amiin

  • @jestonmwaisaka
    @jestonmwaisaka 8 дней назад +1

    Tunawapongeza saana wanaharakati wetu Cyp Msigwa Jose Yona Ahmed Kombo kuwaelimisha watanzania uhalisia wa hujuma dhidi ya taifa letu Mungu awabariki saana watanzania tunawaeleweni !!!

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 9 дней назад +3

    Mimi kura yangu ni kwa daktari samia suluhu hassan mitano tena na ccm ndio chama tawala

  • @saidimasudi6450
    @saidimasudi6450 9 дней назад +2

    Safi sana

  • @kirungekirunge5920
    @kirungekirunge5920 6 дней назад +1

    hivi ni kweli kile chama ambacho mwalimu Nyerere Leo hii kinatafuta uhai Kwa porojo za kilevi tena za vilabu vya ovyo ovyo duuu mwendo mdundo

  • @SimbabweSaid
    @SimbabweSaid 7 дней назад

    Asante sana waambie hao waandishi waache hiyo tabia wawe weledi mnataka Nini huyoalitekwa na chadema wenzake wakati huo

  • @DaniDanda-s6z
    @DaniDanda-s6z 7 дней назад

    We mungu anakuona Alilipua wapi we acha hayo unayo ongeza wanao kusikia unawatengenezea Nini kichwani wandishi huyo wawapi

  • @RobinsonKilango
    @RobinsonKilango 8 дней назад

    Wewe utatukanwa vile huna jipya unatafuna bando pambana kuna kicheo hapa ili .upate ajira sifia kuwa chawa hiyo ndio stairi ya ccm upate ugari kwakweli nchi inaenda pabaya kufuga mijinga ya kusema ovyo sasa hakuna alie tekwa

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 9 дней назад

    Rais wangu unamchonganisha na raia wake wewe fala sana

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 9 дней назад

    Kama hayo matukio unayosema ni ya kweli mbona hawakamatwi tusaidie nenda polisi ukatoe ushahidi wakamatwe

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 5 дней назад

    TUNACHO TAKA WATANZANIA NI KUKOMESHA MAUAJI NA UTEKAJI VIKOMESHWE HAIJALISHI WATEKAJI NA WAUAJI WANATOKA WAPI, WATANZANIA TUKO IMARA WALA HATUJAPOTEZA MWELEKEO TUNAOMBA SERIKALI IFANYE UCHUNGUZI WA KINA NA KULIKOMESHA HILI HATUTAKI PORIJO HARAKATI WALA SIASA KTK HILI UHAI HAUNA SPEA

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 8 дней назад

    Aliyeleta shule za kata ndo aliharibu

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 9 дней назад

    Nyie muogopeni mungu nchi hii inaharibiwa na machawa na tusipokuwa makini Rais ataingizwa mkenge na hawa watu na taifa linaharibika kabisa

  • @MtanganyikaTanganyika
    @MtanganyikaTanganyika 9 дней назад

    Kumbe hata mashoga mazee yapo

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 9 дней назад

    Inatakiwa ukamatwa kwa upelelezi

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 9 дней назад

    Hata mbowe angekuwa raisi ungemsifia maana njaa inakusumbuwa

  • @FedrickChambua
    @FedrickChambua 9 дней назад

    Ww mwendazimu acha kulisha watu matango pori Mzinga wewe kichaaa

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 8 дней назад

    Nimeliona lipuuzi limekaa jiran yako

  • @WilliamMlama
    @WilliamMlama 9 дней назад

    Hii nchi hatar sn.ndani ya chadema kuna mashushu wa ccm

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 9 дней назад

    Mbna hivyo mmikata sauti, huo wizi mtupu kwakweli aibu tupu na chanel yako

  • @Hadia-w1s
    @Hadia-w1s 9 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 9 дней назад

    Ndio maana unatafuta kiki upewe pesa umeshajulikana na wewe ni tapeli wa maneno

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 9 дней назад

    Ndio maana unatafuta kiki upewe pesa umeshajulikana na wewe ni tapeli wa maneno

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 9 дней назад

    Mbona ukusema wakati ulipokuwa chadema ulipotufukuzwa ndio unaanza umbea

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 9 дней назад

    Channel yenu ya kipuuzi kabisa mnakata maneno ya maana kumbe na nyie ni Chadema pia wizi mtupu huo kwakweli

  • @Wiittole
    @Wiittole 9 дней назад

    Ccm hamjui kudanganya uma kwa namna mlivyo na roho mbaya msinge muacha salama mh Mbowe izo tunaita propaganda

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 9 дней назад

    Unapoteza muda hakuna wa kukupongeza tafuta kazi ya kufanya upate pesa ya kuendesha pesa Kila mtu anajuwa umepandikizwa ndio maana hakuna kiongozi anakupongeza Iko kama unaigiza

  • @norobo205
    @norobo205 9 дней назад

    Muwage mnaandaa kwanza ndio mnashoot ona kama apo uyo maik ameweka uku mwingine anaivuta kule wengine wanapiga kelele mmekorokocha adi sauti imegoma

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 9 дней назад

    Kama unajua yapo Sasa unaongea nn hapo chawa wewe maneno hayo yatakuweka pambaya raisi ailisema maneno maneno yann uninga tu

  • @MtanganyikaTanganyika
    @MtanganyikaTanganyika 9 дней назад +1

    Ata maofisa wa police wanajua mandamano ni haki ila vipolice vidogo havijui kitu mana wao ni ni divion zero mandamano yamefanikiwa sana na Dunia imejua ccm Haina hoja Tena kama mnahoja kwanini. Mtumie nguvu

    • @NgamelaYussuph
      @NgamelaYussuph 8 дней назад

      Hyo Dunia Ilikua Ss Wa Tz tunapata nn

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 9 дней назад

    Kwahiyo tutulie watu wafe hivi ww unahakili mbonasikuelewi kilichokupeleka hapo ninini umefilisika hakili samia huyo nae umemteua kua kiongozi huoni kama umefeli watanzania tunaitwa panzi nahuyu kenge maji

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 9 дней назад

    Matapeli wamekutana wanaanza umbea wewe huna mungu Wacha kudanganya wananchi

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 9 дней назад

    Wewe hunana hakili unachoganisha watu

  • @ramadhansuluhu772
    @ramadhansuluhu772 9 дней назад

    Ukweli utajulikana siku sio nyingi na siku hazigandi.

  • @oswaldbukuku2776
    @oswaldbukuku2776 9 дней назад

    Wewe mjinga sana

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 9 дней назад

    Mmmh, ni nini hiki wewe ni mtu mzima kweli???

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 9 дней назад

    Mbwa chawa mbona mnajulikana vichwa na matumbo yenu akili 0

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 9 дней назад

    Sauti hakuna!

  • @FedrickChambua
    @FedrickChambua 9 дней назад

    Ww acha ujinga yani katka watu wajinga na kichaa wewe ni kichaa mpumbav haruna mtu atakuamini hata mmoja

  • @muhsinmakenda-ey2ow
    @muhsinmakenda-ey2ow 9 дней назад

    Wewe mwenyewe hueleweki

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 9 дней назад

    apa mnaongea pwenti salama tunampenda mama

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 9 дней назад

    sauti akuna

  • @FedrickChambua
    @FedrickChambua 9 дней назад

    Acha Kiki

  • @SwaleheLiyoba
    @SwaleheLiyoba 6 дней назад

    Mshamba wewe

  • @tobiasimruma703
    @tobiasimruma703 9 дней назад

    Msitufanye sisi wajinga.hakuna mwenye akili atakaye kuelewa wewe mropokaji

    • @omariKalyango
      @omariKalyango 9 дней назад +2

      Tulia sindano hizo acha ajibu mbowe au lisu mbona hawajibu