Tunawapongeza saana wanaharakati wetu Cyp Msigwa Jose Yona Ahmed Kombo kuwaelimisha watanzania uhalisia wa hujuma dhidi ya taifa letu Mungu awabariki saana watanzania tunawaeleweni !!!
Wewe utatukanwa vile huna jipya unatafuna bando pambana kuna kicheo hapa ili .upate ajira sifia kuwa chawa hiyo ndio stairi ya ccm upate ugari kwakweli nchi inaenda pabaya kufuga mijinga ya kusema ovyo sasa hakuna alie tekwa
TUNACHO TAKA WATANZANIA NI KUKOMESHA MAUAJI NA UTEKAJI VIKOMESHWE HAIJALISHI WATEKAJI NA WAUAJI WANATOKA WAPI, WATANZANIA TUKO IMARA WALA HATUJAPOTEZA MWELEKEO TUNAOMBA SERIKALI IFANYE UCHUNGUZI WA KINA NA KULIKOMESHA HILI HATUTAKI PORIJO HARAKATI WALA SIASA KTK HILI UHAI HAUNA SPEA
Unapoteza muda hakuna wa kukupongeza tafuta kazi ya kufanya upate pesa ya kuendesha pesa Kila mtu anajuwa umepandikizwa ndio maana hakuna kiongozi anakupongeza Iko kama unaigiza
Ata maofisa wa police wanajua mandamano ni haki ila vipolice vidogo havijui kitu mana wao ni ni divion zero mandamano yamefanikiwa sana na Dunia imejua ccm Haina hoja Tena kama mnahoja kwanini. Mtumie nguvu
Tunampenda mama❤. ALLAH amlinde, amkinge, amuhifadhi, amstiri na amnusuru na kila aina ya shari na uhasidi. Amiin
Amina Insha Allah
Tunawapongeza saana wanaharakati wetu Cyp Msigwa Jose Yona Ahmed Kombo kuwaelimisha watanzania uhalisia wa hujuma dhidi ya taifa letu Mungu awabariki saana watanzania tunawaeleweni !!!
Mimi kura yangu ni kwa daktari samia suluhu hassan mitano tena na ccm ndio chama tawala
Safi sana
hivi ni kweli kile chama ambacho mwalimu Nyerere Leo hii kinatafuta uhai Kwa porojo za kilevi tena za vilabu vya ovyo ovyo duuu mwendo mdundo
Asante sana waambie hao waandishi waache hiyo tabia wawe weledi mnataka Nini huyoalitekwa na chadema wenzake wakati huo
We mungu anakuona Alilipua wapi we acha hayo unayo ongeza wanao kusikia unawatengenezea Nini kichwani wandishi huyo wawapi
Wewe utatukanwa vile huna jipya unatafuna bando pambana kuna kicheo hapa ili .upate ajira sifia kuwa chawa hiyo ndio stairi ya ccm upate ugari kwakweli nchi inaenda pabaya kufuga mijinga ya kusema ovyo sasa hakuna alie tekwa
Rais wangu unamchonganisha na raia wake wewe fala sana
Kama hayo matukio unayosema ni ya kweli mbona hawakamatwi tusaidie nenda polisi ukatoe ushahidi wakamatwe
TUNACHO TAKA WATANZANIA NI KUKOMESHA MAUAJI NA UTEKAJI VIKOMESHWE HAIJALISHI WATEKAJI NA WAUAJI WANATOKA WAPI, WATANZANIA TUKO IMARA WALA HATUJAPOTEZA MWELEKEO TUNAOMBA SERIKALI IFANYE UCHUNGUZI WA KINA NA KULIKOMESHA HILI HATUTAKI PORIJO HARAKATI WALA SIASA KTK HILI UHAI HAUNA SPEA
Aliyeleta shule za kata ndo aliharibu
Nyie muogopeni mungu nchi hii inaharibiwa na machawa na tusipokuwa makini Rais ataingizwa mkenge na hawa watu na taifa linaharibika kabisa
Kumbe hata mashoga mazee yapo
Inatakiwa ukamatwa kwa upelelezi
Hata mbowe angekuwa raisi ungemsifia maana njaa inakusumbuwa
Ww mwendazimu acha kulisha watu matango pori Mzinga wewe kichaaa
Nimeliona lipuuzi limekaa jiran yako
Hii nchi hatar sn.ndani ya chadema kuna mashushu wa ccm
Mbna hivyo mmikata sauti, huo wizi mtupu kwakweli aibu tupu na chanel yako
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndio maana unatafuta kiki upewe pesa umeshajulikana na wewe ni tapeli wa maneno
Ndio maana unatafuta kiki upewe pesa umeshajulikana na wewe ni tapeli wa maneno
Mbona ukusema wakati ulipokuwa chadema ulipotufukuzwa ndio unaanza umbea
Channel yenu ya kipuuzi kabisa mnakata maneno ya maana kumbe na nyie ni Chadema pia wizi mtupu huo kwakweli
Ccm hamjui kudanganya uma kwa namna mlivyo na roho mbaya msinge muacha salama mh Mbowe izo tunaita propaganda
Unapoteza muda hakuna wa kukupongeza tafuta kazi ya kufanya upate pesa ya kuendesha pesa Kila mtu anajuwa umepandikizwa ndio maana hakuna kiongozi anakupongeza Iko kama unaigiza
Muwage mnaandaa kwanza ndio mnashoot ona kama apo uyo maik ameweka uku mwingine anaivuta kule wengine wanapiga kelele mmekorokocha adi sauti imegoma
Kama unajua yapo Sasa unaongea nn hapo chawa wewe maneno hayo yatakuweka pambaya raisi ailisema maneno maneno yann uninga tu
Ata maofisa wa police wanajua mandamano ni haki ila vipolice vidogo havijui kitu mana wao ni ni divion zero mandamano yamefanikiwa sana na Dunia imejua ccm Haina hoja Tena kama mnahoja kwanini. Mtumie nguvu
Hyo Dunia Ilikua Ss Wa Tz tunapata nn
Kwahiyo tutulie watu wafe hivi ww unahakili mbonasikuelewi kilichokupeleka hapo ninini umefilisika hakili samia huyo nae umemteua kua kiongozi huoni kama umefeli watanzania tunaitwa panzi nahuyu kenge maji
Matapeli wamekutana wanaanza umbea wewe huna mungu Wacha kudanganya wananchi
Wewe hunana hakili unachoganisha watu
Ukweli utajulikana siku sio nyingi na siku hazigandi.
Wewe mjinga sana
Mmmh, ni nini hiki wewe ni mtu mzima kweli???
Mbwa chawa mbona mnajulikana vichwa na matumbo yenu akili 0
Sauti hakuna!
Ww acha ujinga yani katka watu wajinga na kichaa wewe ni kichaa mpumbav haruna mtu atakuamini hata mmoja
Wewe mwenyewe hueleweki
apa mnaongea pwenti salama tunampenda mama
sauti akuna
Acha Kiki
Mshamba wewe
Msitufanye sisi wajinga.hakuna mwenye akili atakaye kuelewa wewe mropokaji
Tulia sindano hizo acha ajibu mbowe au lisu mbona hawajibu