JOHN KEPTEN KOMBA SIKU MAZISHI YA NYERERE VOL 2 NDUGU WA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 15

  • @gracechalagwa9745
    @gracechalagwa9745 11 месяцев назад +3

    Tujuane tuliesikiliza leo tena

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 7 месяцев назад

    Yaani nilihuzunika sana!,Sintasahau

  • @richardkubanda6627
    @richardkubanda6627 2 года назад +3

    Daah 💔💔😭😭 tupendane Jamani. Endelea KUPUMZIKA Kwa Amani Mwalimu.

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 11 месяцев назад

    Dah naumia sana maana wakati yupo ulaya akiugua mwaka1999 nakumbuka nilikuwa hospt ya Mount meru binti yangu amelazwa kazi ilipofika tar 11.10.99 mwanangu alipata mtoto wa kiume bado tupo hospt tar 14.10.99 Kiongozi SHUJAA Njegere alipata dunia nililia sana kwa jinsi alivyoiongoza Tz mungu AILAZE ROHO yake pema peponi🤲❤❤🙏🎉🎉🎉

  • @stellalagwelagwe5539
    @stellalagwelagwe5539 Год назад

    Hongera sana Baba wa Taifa hata tulioko Hiku Ulaya bado tutakukumbuka zaidi ya zadi

  • @eng.lazarongoro
    @eng.lazarongoro Год назад

    Naumia kwa sababu sikupata hata nafasi ya kumuona live ingawa mwaka 1996 nilikua na miaka mitatu! Ninaumia sana

  • @ElishaKashinje
    @ElishaKashinje 9 месяцев назад

    Pumzika kwa amani baba pumzika kwa amani jpm pumzika kwa amani Benjamin mkapa pumzika kwa amani John komba pumzika kwa amani samwel sitta pumziken kwa amani viongozi wa taifa la jamhuli ya muungano wa tanzania

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 Год назад +1

    Pumzika Kwa amani baba pumzika Kwa amani john Komba pumzika Kwa amani JPM

  • @ibrahimjuma5668
    @ibrahimjuma5668 Год назад

    Legend Komba R.I.P mzee wetu

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 3 месяца назад

    Mbaguzi wa dini na kaacha ubaguzi wa hii nchi kuongozwa na Waislm na wakatoliki tu kwenye urasi

  • @ElishaKashinje
    @ElishaKashinje 9 месяцев назад

    Naumia sana maana 1999 ndio kwanza nilikuwa na miaka 2 na miezi 10 sikuwahi kumuona baba wa taifa

  • @stivinpasco9057
    @stivinpasco9057 Год назад

    Leo nimekwambia nashuka wangu yani mwalimu mystery pamoja na jpm

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Год назад +1

    Endlea Kupumzka Kwa AMAN..BABA WA TAIFA.LETU TANZANIA.. Tulikupenda sana ila MUNGU Akakupenda Zaidi....

    • @PamelaMathew
      @PamelaMathew 8 месяцев назад

      Ni kweli MUNGU ampe pumziko la Amani kwake,
      Tulikua na mpanbanaji saaana,ameacha history ktk Taifa letu, mpaka ndani ya mataifa mengine 😭😭😭😭