Dah naumia sana maana wakati yupo ulaya akiugua mwaka1999 nakumbuka nilikuwa hospt ya Mount meru binti yangu amelazwa kazi ilipofika tar 11.10.99 mwanangu alipata mtoto wa kiume bado tupo hospt tar 14.10.99 Kiongozi SHUJAA Njegere alipata dunia nililia sana kwa jinsi alivyoiongoza Tz mungu AILAZE ROHO yake pema peponi🤲❤❤🙏🎉🎉🎉
Pumzika kwa amani baba pumzika kwa amani jpm pumzika kwa amani Benjamin mkapa pumzika kwa amani John komba pumzika kwa amani samwel sitta pumziken kwa amani viongozi wa taifa la jamhuli ya muungano wa tanzania
Tujuane tuliesikiliza leo tena
Yaani nilihuzunika sana!,Sintasahau
Daah 💔💔😭😭 tupendane Jamani. Endelea KUPUMZIKA Kwa Amani Mwalimu.
Dah naumia sana maana wakati yupo ulaya akiugua mwaka1999 nakumbuka nilikuwa hospt ya Mount meru binti yangu amelazwa kazi ilipofika tar 11.10.99 mwanangu alipata mtoto wa kiume bado tupo hospt tar 14.10.99 Kiongozi SHUJAA Njegere alipata dunia nililia sana kwa jinsi alivyoiongoza Tz mungu AILAZE ROHO yake pema peponi🤲❤❤🙏🎉🎉🎉
Hongera sana Baba wa Taifa hata tulioko Hiku Ulaya bado tutakukumbuka zaidi ya zadi
Naumia kwa sababu sikupata hata nafasi ya kumuona live ingawa mwaka 1996 nilikua na miaka mitatu! Ninaumia sana
Pumzika kwa amani baba pumzika kwa amani jpm pumzika kwa amani Benjamin mkapa pumzika kwa amani John komba pumzika kwa amani samwel sitta pumziken kwa amani viongozi wa taifa la jamhuli ya muungano wa tanzania
Pumzika Kwa amani baba pumzika Kwa amani john Komba pumzika Kwa amani JPM
Legend Komba R.I.P mzee wetu
Mbaguzi wa dini na kaacha ubaguzi wa hii nchi kuongozwa na Waislm na wakatoliki tu kwenye urasi
Naumia sana maana 1999 ndio kwanza nilikuwa na miaka 2 na miezi 10 sikuwahi kumuona baba wa taifa
Umepitwa na mengi pole!
Leo nimekwambia nashuka wangu yani mwalimu mystery pamoja na jpm
Endlea Kupumzka Kwa AMAN..BABA WA TAIFA.LETU TANZANIA.. Tulikupenda sana ila MUNGU Akakupenda Zaidi....
Ni kweli MUNGU ampe pumziko la Amani kwake,
Tulikua na mpanbanaji saaana,ameacha history ktk Taifa letu, mpaka ndani ya mataifa mengine 😭😭😭😭