Barnaba ~ Mambo aliyofanyiwa na Zuchu mbele ya Diamond Platnumz, Hatari sana! Part 2
HTML-код
- Опубликовано: 23 авг 2022
- Barnaba amsifia Zuchu kwa Mapishi, Aandaliwa Chakula mbele ya Diamond Platnumz na Familia yake nzima! Story kamili Tazama hapa
Part 1 ~ • Barnaba - Atoa Sababu ... - Развлечения
Ni rahisi saaaaana kumpenda barnaba jamani he is sooo humble❤️❤️
Zuchuuu angeongeza kitu kikubwaaa sanaaaa
Barnaba is so humble ,,,yani na ukubwa wake aliamua kumsikiliza Mariooo ...nakubali 🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Mimi nimeshampa zuchu baraka zangu zotee za kuolewa na diamond platnams, yaye ndiye simba JIKE wangu kwa simba DUME wangu diamond platnams, go zuchu go usisikilize maneno ya walimwengu jali diamond platnams anakujali vipi? acha hao wenye sura zao za matangazo waringe nazo wewe pambana kivyako hakika utafika mbali mno mungu ni mwema, mashemeji zako ndio hao wanakukubali kinoma noma majungu ya vigwegwe pita nayo hivi
Mie Somali walahi napenda wa tz❤️Great People MashaAllah🥰
😂😂😂magalka kasexo
@@SalahAbdi007😏
Msomali wa wapi unaishi wapi walalo
@@samiya4527 Mkenya walalo naishi europe
Napenda wasomali, humu Ingekuwa kuna Dm ningekufata
Ety mzanzibar atatuuwa 😂😂zuchu weee
Barnaba hujakosea sepa nae simba nchi itakuja kukaa 🔥🔥#Lilommy. Kizazi Sana ✌️
Owwww!! Ndiyo maana Mond anakaa na huyo binti Zuchu. Kumbe ni binti mkarimu sana jamani. Mond ni binti sahihi ya wewe kumwoa. Usimwache huyo binti. Fuata tabia njema ya kwake. Nakupa angalizo kijana. Zuchu ni sahihi kwako Nasib.
Barnaba uko so honestly,Aisee watu hawajuagi kushukuru hata kwa kidogo nimekupenda bureee❤️❤️
Barnaba nimependa unashurani mungu akusimamie God bless you
I like the way Barnaba appreciate 😍
He’s so humble
IiiIiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiioiiiiiiiiii
Barnaba congrats for mature. You’re humble, greatful to your colaborators. Zuchu was appreciated too wife material. Barnaba you rock!
Kizazi Sana yaani!! 🔥🔥
Mwalike na diamonds Platnumz kwenye show hiyo lilom
Afu Apo watu wanakuja kusema DIAMOND M BAYA ANAROHO MBAYA JAMAN BINADAM KAZI
Gosh I love Barnabas I swear.....he appreciates alot! He will grow very much!
nimempenda san barnaba kupindia mondi simbaaaa upo juuuuuuu sana
Jamaa Hana roho yawabongo huyu sure kbsa .
Barnaba hapa Rwanda tunakupenda Sana ❤️❤️
Kyii ni atari na wa nya,,,,,,🤣
This man is so humble
Hawa ndiyo wanaume wa kusikiliza sasa siyo wale wakujisifia uzinifu na kulamba lips☺Barnaba nakukubali sana
Diamond ni mkarimu sanaa
Executive produce diamond platnumz simba napenda vile Mopao anamshukuru simba MoPaOOntop
MOPAO uko very humble, yani trust me kwenye mikono ya DIAMOND utafanya biashara kubwa sana ya muziki.. na trust me sasa ndio utaona ukubwa jinsi mtu anavyotengenezwa...
ZUCHU FOR LIFE OF MOND. UMWOE ANA UKARIMU WA PEKEE. BARNABA HAWEZI KUSEMA BURE NI MKARIMA SANA ZUCHU. ukiona hivyo ni sahihi umwoe. Achana na ma x wako wamezeeka. Huyu ni saizi yako.
Kabisa
#LSD ON AIR MOPAO🔥
napenda Sana kazii yako broo
Kali
Full interview 🔥🔥
You are the best bro💚💯🔥
Mungu akutie nguvu
Wa Zanzibari mpooooo🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Tupo mama
Uko vizuri kaaaaaaa
That why the song sound is a taarabu bro 😎
After my diamond is u Barnaba boy❣❣
Vihumwa humwa vya Zenji♥️♥️♥️
Nakubali
Hii interview sijui kwa nini, yaan naisikiliza mala ya 3 saizi
Enjoy fam,usisahau kushare kwa groups za whatsapp 👍
Wewe mimi?!! Yana nimeisikiliza saba mara sabini, leo ndio nimegundua ule usemi uzuri wa mwanamke sio sura ni tabia, kumbe kinachomfanya diamond platnams ampende zuchu na kuwa karibu nae kila wakati ni ukarimu wa zuchu na kujali, zuchu ni mwanamke wa kawaida sana lakin kumbe mungu kuna vitu ambavyo mungu amemuwekea vinavyofanya watu waliopo karibu nae wavutiwe navyo na kumpenda
Me 2 mara kibao tu sichoki kusikiliza yaani haichoshi
Nomaaaaaaaaaaaa
Wasafi ni habari nyengine
WCB ni moto wa kuotea mbali, wakiamua kushuka jambo lako wakipaisha jambo lako huwa wanatumia nguvu nyingi sana za kunifanyia promosheni na kuwekeza pesa zao nyingi mno ili uende mjini , yan kifipi wcb wakishika jambo lako huwa wanalifanya kuwa lao
❤😍❤🔥🔥🔥🔥💯
Wooooooooooow
Gentlemen.....the way anaongea sio kujisifu sana .....no kulamba lips🤨humble .......good decision work with diamond platnumz.....🙌🙌🙌
Barbara unapenda sana kula kitu kidogo unataja chakura
🔥🔥🔥
Marombosso🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
like nying kwa diamond platnumz
Simba is barnaba
🔥🔥⛽️🚬
My brother umetsha sana ila sorry mtt wa masaki yuko wap coz ni family mmoja asipoonekana lazma kuulza
🥰😍
Upige kolabo pia na konde boy
Mentality wako?
Kk bonge ra álbum ira haiwezi kunoga bira harmonize
Nenda katoe nae wewe ili inoge 😀😀
Send me your number bro kuna kazi nataka unifanyie
🔥🔥🔥