Barnaba ~ Mambo aliyofanyiwa na Zuchu mbele ya Diamond Platnumz, Hatari sana! Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 авг 2022
  • Barnaba amsifia Zuchu kwa Mapishi, Aandaliwa Chakula mbele ya Diamond Platnumz na Familia yake nzima! Story kamili Tazama hapa
    Part 1 ~ • Barnaba - Atoa Sababu ...
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 73

  • @productivityprogressprince5156
    @productivityprogressprince5156 Год назад +16

    Ni rahisi saaaaana kumpenda barnaba jamani he is sooo humble❤️❤️

  • @husseinmasangya1272
    @husseinmasangya1272 Год назад +13

    Zuchuuu angeongeza kitu kikubwaaa sanaaaa

  • @michaelomondi7912
    @michaelomondi7912 Год назад +3

    Barnaba is so humble ,,,yani na ukubwa wake aliamua kumsikiliza Mariooo ...nakubali 🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥

  • @yustayusuph9101
    @yustayusuph9101 Год назад +8

    Mimi nimeshampa zuchu baraka zangu zotee za kuolewa na diamond platnams, yaye ndiye simba JIKE wangu kwa simba DUME wangu diamond platnams, go zuchu go usisikilize maneno ya walimwengu jali diamond platnams anakujali vipi? acha hao wenye sura zao za matangazo waringe nazo wewe pambana kivyako hakika utafika mbali mno mungu ni mwema, mashemeji zako ndio hao wanakukubali kinoma noma majungu ya vigwegwe pita nayo hivi

  • @kimah9461
    @kimah9461 Год назад +23

    Mie Somali walahi napenda wa tz❤️Great People MashaAllah🥰

    • @SalahAbdi007
      @SalahAbdi007 Год назад

      😂😂😂magalka kasexo

    • @kimah9461
      @kimah9461 Год назад

      @@SalahAbdi007😏

    • @samiya4527
      @samiya4527 Год назад

      Msomali wa wapi unaishi wapi walalo

    • @kimah9461
      @kimah9461 Год назад

      @@samiya4527 Mkenya walalo naishi europe

    • @alliymohamedalliy6524
      @alliymohamedalliy6524 Год назад +1

      Napenda wasomali, humu Ingekuwa kuna Dm ningekufata

  • @mariamstephano2744
    @mariamstephano2744 Год назад +11

    Ety mzanzibar atatuuwa 😂😂zuchu weee

  • @kephatz2814
    @kephatz2814 Год назад +5

    Barnaba hujakosea sepa nae simba nchi itakuja kukaa 🔥🔥#Lilommy. Kizazi Sana ✌️

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Год назад +6

    Owwww!! Ndiyo maana Mond anakaa na huyo binti Zuchu. Kumbe ni binti mkarimu sana jamani. Mond ni binti sahihi ya wewe kumwoa. Usimwache huyo binti. Fuata tabia njema ya kwake. Nakupa angalizo kijana. Zuchu ni sahihi kwako Nasib.

  • @graceraphael6658
    @graceraphael6658 Год назад +1

    Barnaba uko so honestly,Aisee watu hawajuagi kushukuru hata kwa kidogo nimekupenda bureee❤️❤️

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +8

    Barnaba nimependa unashurani mungu akusimamie God bless you

  • @louangesid
    @louangesid Год назад +15

    I like the way Barnaba appreciate 😍
    He’s so humble

    • @joangitau8166
      @joangitau8166 Год назад +1

      IiiIiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiioiiiiiiiiii

  • @lulumalima1739
    @lulumalima1739 Год назад +3

    Barnaba congrats for mature. You’re humble, greatful to your colaborators. Zuchu was appreciated too wife material. Barnaba you rock!

  • @babuunavaz9843
    @babuunavaz9843 Год назад +8

    Kizazi Sana yaani!! 🔥🔥

  • @garmafamily6987
    @garmafamily6987 Год назад +4

    Mwalike na diamonds Platnumz kwenye show hiyo lilom

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Год назад +8

    Afu Apo watu wanakuja kusema DIAMOND M BAYA ANAROHO MBAYA JAMAN BINADAM KAZI

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Год назад +1

    Gosh I love Barnabas I swear.....he appreciates alot! He will grow very much!

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Год назад +1

    nimempenda san barnaba kupindia mondi simbaaaa upo juuuuuuu sana

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Год назад +5

    Jamaa Hana roho yawabongo huyu sure kbsa .

  • @dariusirakoze4518
    @dariusirakoze4518 Год назад +11

    Barnaba hapa Rwanda tunakupenda Sana ❤️❤️

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 Год назад +3

    This man is so humble

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 Год назад +3

    Hawa ndiyo wanaume wa kusikiliza sasa siyo wale wakujisifia uzinifu na kulamba lips☺Barnaba nakukubali sana

  • @zenabibie5033
    @zenabibie5033 Год назад +3

    Diamond ni mkarimu sanaa

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Год назад +3

    Executive produce diamond platnumz simba napenda vile Mopao anamshukuru simba MoPaOOntop

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 Год назад

    MOPAO uko very humble, yani trust me kwenye mikono ya DIAMOND utafanya biashara kubwa sana ya muziki.. na trust me sasa ndio utaona ukubwa jinsi mtu anavyotengenezwa...

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Год назад +4

    ZUCHU FOR LIFE OF MOND. UMWOE ANA UKARIMU WA PEKEE. BARNABA HAWEZI KUSEMA BURE NI MKARIMA SANA ZUCHU. ukiona hivyo ni sahihi umwoe. Achana na ma x wako wamezeeka. Huyu ni saizi yako.

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Год назад +2

    #LSD ON AIR MOPAO🔥

  • @moniboetz6369
    @moniboetz6369 Год назад +2

    napenda Sana kazii yako broo

  • @fabicshofficial
    @fabicshofficial 9 месяцев назад

    Kali

  • @babalaujamaa7131
    @babalaujamaa7131 Год назад +2

    Full interview 🔥🔥

  • @Kingprince174
    @Kingprince174 Год назад +1

    You are the best bro💚💯🔥

  • @philipogelevance6339
    @philipogelevance6339 Год назад

    Mungu akutie nguvu

  • @thaniakassim7687
    @thaniakassim7687 Год назад +2

    Wa Zanzibari mpooooo🤩🤩🤩🤩🤩🤩

  • @matembobandari1576
    @matembobandari1576 Год назад

    Uko vizuri kaaaaaaa

  • @mimokassim2306
    @mimokassim2306 Год назад +1

    That why the song sound is a taarabu bro 😎

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Год назад

    After my diamond is u Barnaba boy❣❣

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 Год назад

    Vihumwa humwa vya Zenji♥️♥️♥️

  • @denismvula300
    @denismvula300 Год назад +1

    Nakubali

  • @godfreyndelwa
    @godfreyndelwa Год назад +11

    Hii interview sijui kwa nini, yaan naisikiliza mala ya 3 saizi

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  Год назад +3

      Enjoy fam,usisahau kushare kwa groups za whatsapp 👍

    • @yustayusuph9101
      @yustayusuph9101 Год назад +1

      Wewe mimi?!! Yana nimeisikiliza saba mara sabini, leo ndio nimegundua ule usemi uzuri wa mwanamke sio sura ni tabia, kumbe kinachomfanya diamond platnams ampende zuchu na kuwa karibu nae kila wakati ni ukarimu wa zuchu na kujali, zuchu ni mwanamke wa kawaida sana lakin kumbe mungu kuna vitu ambavyo mungu amemuwekea vinavyofanya watu waliopo karibu nae wavutiwe navyo na kumpenda

    • @mpawenayoemmeline8522
      @mpawenayoemmeline8522 Год назад

      Me 2 mara kibao tu sichoki kusikiliza yaani haichoshi

  • @fundiwamoldzapevingblock6378
    @fundiwamoldzapevingblock6378 Год назад +1

    Nomaaaaaaaaaaaa

  • @hamishalidy5696
    @hamishalidy5696 Год назад +10

    Wasafi ni habari nyengine

    • @yustayusuph9101
      @yustayusuph9101 Год назад

      WCB ni moto wa kuotea mbali, wakiamua kushuka jambo lako wakipaisha jambo lako huwa wanatumia nguvu nyingi sana za kunifanyia promosheni na kuwekeza pesa zao nyingi mno ili uende mjini , yan kifipi wcb wakishika jambo lako huwa wanalifanya kuwa lao

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 Год назад +3

    ❤😍❤🔥🔥🔥🔥💯

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Год назад

    Wooooooooooow

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Год назад

    Gentlemen.....the way anaongea sio kujisifu sana .....no kulamba lips🤨humble .......good decision work with diamond platnumz.....🙌🙌🙌

  • @timodawa6610
    @timodawa6610 Год назад

    Barbara unapenda sana kula kitu kidogo unataja chakura

  • @odenikalelo8485
    @odenikalelo8485 Год назад +1

    🔥🔥🔥

  • @rickstyleboy9373
    @rickstyleboy9373 Год назад +2

    Marombosso🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kirangipaul816
    @kirangipaul816 Год назад

    like nying kwa diamond platnumz

  • @chaibomomadesaidechaibomom7244
    @chaibomomadesaidechaibomom7244 Год назад +2

    Simba is barnaba

  • @chidymngoni4516
    @chidymngoni4516 Год назад

    🔥🔥⛽️🚬

  • @abdalluhally6419
    @abdalluhally6419 Год назад

    My brother umetsha sana ila sorry mtt wa masaki yuko wap coz ni family mmoja asipoonekana lazma kuulza

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa8695 Год назад +4

    🥰😍

  • @nurumwenkale3387
    @nurumwenkale3387 Год назад +1

    Upige kolabo pia na konde boy

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад +1

    Mentality wako?

  • @yusufukelele4639
    @yusufukelele4639 Год назад +1

    Kk bonge ra álbum ira haiwezi kunoga bira harmonize

  • @threevoicemusic8694
    @threevoicemusic8694 Год назад +4

    Send me your number bro kuna kazi nataka unifanyie

  • @joysarah
    @joysarah Год назад +1

    🔥🔥🔥