umetoa shule aisee,ila nina swali kuhusu hiyo eyesight technology sana sana kwenye pre collision control, vipi gari ikisimama wakati nyuma kuna gari ingine inakuja kwa speed?
Mkuu ivi pale chini kuna ya steering upande wa kulia chini kuna kama kibox kdg ivi kama umbo lake limekaa kama hard disc ivi boss kile ni kitu gani najiuliza sana
Electronic Toll Collection system (ETC) kwajili ya malipo ya barabarani kama kwenye madaraja ya kulipia mfano kwetu hapa tungesema daraja la nyerere na hata kwenye mall kubwa kama mlimacity..unachomeka kadi ikiwa na salio ukifika sehemu za malipo system zinascan automatically...ila kwetu ndio havina kazi...
Kaka maelezo mazuri na yamejitosheleza… big up 💪🏿
Ahsante mkuu
Namba yako please
Jamaa kaelezea vzr sana. Kongore
Ahsante kaka, karibu.
Naomba review ya Ford escape XLT ya mwaka 2012
Good 👍
gari yenye CVT unawezatumia option ya manual kweli ?
Unapatikana wapi?
○Iv izi gari Subaru SJG 2013 mpk 2015 hazisumbui maintainance na service kweli??
○Na je vipuri vyake vinapatikana kiurahisi??
#ThecarloversTz
umetoa shule aisee,ila nina swali kuhusu hiyo eyesight technology sana sana kwenye pre collision control, vipi gari ikisimama wakati nyuma kuna gari ingine inakuja kwa speed?
Mkuu ivi pale chini kuna ya steering upande wa kulia chini kuna kama kibox kdg ivi kama umbo lake limekaa kama hard disc ivi boss kile ni kitu gani najiuliza sana
Electronic Toll Collection system (ETC) kwajili ya malipo ya barabarani kama kwenye madaraja ya kulipia mfano kwetu hapa tungesema daraja la nyerere na hata kwenye mall kubwa kama mlimacity..unachomeka kadi ikiwa na salio ukifika sehemu za malipo system zinascan automatically...ila kwetu ndio havina kazi...
Engine Oil ya Forester SJ5 ambayo ni Non Turbo kama sikosei ni 0w 20 na SJG ambayo ni Turbo ndio 5w 30
Umewahi kutumia 0W-20 kwenye SJ5 japo ndio recommended?
hapo kwenye FB20 na ej20 tungeangalia ipi ni nzuri
Tunaweza jibu hapa, "FB" ni nzuri zaidi sababu shida ya Headgasket imetatuliwa kiasi kikubwa.
@@thecar_lovers_tz Asant
Imekuwa introduced 2008 ikawa relised 2013
mkuu nakusubilia utuletee subaru legacy non turbo