2013 SUBARU FORESTER SJ, GARI IMEPOKELEWA VIZURI TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 20

  • @anthonypaul7078
    @anthonypaul7078 11 месяцев назад

    Kaka maelezo mazuri na yamejitosheleza… big up 💪🏿

  • @jacklinemwijage3810
    @jacklinemwijage3810 2 месяца назад

    Namba yako please

  • @maximillianmagesa2758
    @maximillianmagesa2758 8 месяцев назад

    Jamaa kaelezea vzr sana. Kongore

  • @maximillianmagesa2758
    @maximillianmagesa2758 8 месяцев назад

    Naomba review ya Ford escape XLT ya mwaka 2012

  • @Dbway-qi8uc
    @Dbway-qi8uc Год назад

    Good 👍

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq 5 месяцев назад

    gari yenye CVT unawezatumia option ya manual kweli ?

  • @pasalmdemu7225
    @pasalmdemu7225 3 месяца назад

    Unapatikana wapi?

  • @PetroleumEngXpert
    @PetroleumEngXpert 11 месяцев назад +1

    ○Iv izi gari Subaru SJG 2013 mpk 2015 hazisumbui maintainance na service kweli??
    ○Na je vipuri vyake vinapatikana kiurahisi??
    #ThecarloversTz

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq 5 месяцев назад

    umetoa shule aisee,ila nina swali kuhusu hiyo eyesight technology sana sana kwenye pre collision control, vipi gari ikisimama wakati nyuma kuna gari ingine inakuja kwa speed?

  • @josephpeter3829
    @josephpeter3829 6 месяцев назад +1

    Mkuu ivi pale chini kuna ya steering upande wa kulia chini kuna kama kibox kdg ivi kama umbo lake limekaa kama hard disc ivi boss kile ni kitu gani najiuliza sana

    • @thecar_lovers_tz
      @thecar_lovers_tz  6 месяцев назад

      Electronic Toll Collection system (ETC) kwajili ya malipo ya barabarani kama kwenye madaraja ya kulipia mfano kwetu hapa tungesema daraja la nyerere na hata kwenye mall kubwa kama mlimacity..unachomeka kadi ikiwa na salio ukifika sehemu za malipo system zinascan automatically...ila kwetu ndio havina kazi...

  • @SuleimanKilonzo
    @SuleimanKilonzo 5 месяцев назад

    Engine Oil ya Forester SJ5 ambayo ni Non Turbo kama sikosei ni 0w 20 na SJG ambayo ni Turbo ndio 5w 30

    • @thecar_lovers_tz
      @thecar_lovers_tz  5 месяцев назад

      Umewahi kutumia 0W-20 kwenye SJ5 japo ndio recommended?

  • @alenyema
    @alenyema Год назад +1

    hapo kwenye FB20 na ej20 tungeangalia ipi ni nzuri

    • @thecar_lovers_tz
      @thecar_lovers_tz  Год назад +2

      Tunaweza jibu hapa, "FB" ni nzuri zaidi sababu shida ya Headgasket imetatuliwa kiasi kikubwa.

    • @upendo1020
      @upendo1020 Год назад +1

      @@thecar_lovers_tz Asant

  • @kelvinkimaro7957
    @kelvinkimaro7957 2 месяца назад

    Imekuwa introduced 2008 ikawa relised 2013

  • @MarwaZakariaTongori-cl3lr
    @MarwaZakariaTongori-cl3lr Год назад

    mkuu nakusubilia utuletee subaru legacy non turbo