Mungu kupitia mtumishi wako uniepushe na madhabahu zozote za ukoo my family and I...God bless you much our prophet tuzidi kubarikiwa zaidi kupitia wewe Amina🙏🙏
Ameen ,kupitia somo hili nabii kila uchawi uliotokana na ukoo nimauchoma katika Jin la Yeah kristo na najiungamanisha na madhabah ya WRM vikachomwee na kukoma in the name of JESUS Ameen
Maombi yangu ni kuwa kiongozi mkubwa sana chuon kwetu nyota yangu ing'ae sana Nipate mdhamini 2025 nisome masters UDSM nipate G.P.A FIRST CLASS 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 juu ya madhabahu ya WRM nnaimani nimefanikiwa
Yaan kwakwel uyu ni mm nakuaga nafanya matukio kweny ndoa yangu tenaa bira mm kupenda jmn yaan spendi jinsi ninavyofanyaga jmn Mungu nisaidie tu piah naomba kuzungumza naww Tafadhali
Mimi ninachiamini ni kwamba tangu nikupompokea Kristo siko chini ya laana ya ukoo, na siwezi kuyaombea to a tena nitakuwa kama mbwa kuyarudia matapishi,Yesu alishamalza yooote. Ya nini Mimi kuyakumbuka tena.
Yani naamin Mimi nimevishwa hayo madhabahu ya miungu Mana sifani kwa lolote Ahante mtumishi wa Mungu kwa mahubir Nimejifunza kitu ila nataman ningekuona jamani hata uniombee unifundishe kumjua Mungu zaidi
Mungu nikomboe na maagano ya familia na ukoo wangu
Mungu naomb ufungue familia yangu kutok kwenye mazabahu za ukoo katik jina la yesu kristo muweza wa you. Amina
Mungu kupitia mtumishi wako uniepushe na madhabahu zozote za ukoo my family and I...God bless you much our prophet tuzidi kubarikiwa zaidi kupitia wewe Amina🙏🙏
Be blessed a man of God
Ameen Baba Angu nakupenda Sana Mungu Azidi kukutia Nguvu katika kufanya kazi yake na uzidii kufichua yale yaliojificha
profet nikolaus suguye mungu aendelee kukutunza wewe na familia Yako kwa kweli kuna vitu vikubwa tunaviona ubarikiwe.
Najiungamanisha na madhab hii,mungu nisaidie kuivunja madhabau ya miZim ya ukoo
Amina napokea
Mungu akubariki kwa mafundisho juu laana ya ukoo
Asante mtu wa Mungu tunafunguliwa jamani najiunganisha na neema ya kutolewa kwenye madhabahu za ukoo
Mungu naomba unifungue kwenye madhabau zaukooo nakataaa kwa jinala yesu
Mungu akubarik mutumish
Amina baba napokea
Mungu nakutukuza
Ameniiii kesho yangu inaenda ubarikiwe napokeaaaaaaaaa kwa jina la yesu
Mungu wa nabii suguye naomba uiondoe familia yetu kwenye màdhabahu ya ukoo. Amen
Napokeaaaaaa
This Man of God is a blessing to mankind. The broken and sinners got saved through his ministration of worship.
Ameen
Amen
shikamooo , naomba kusaidiwa katika kiroho
Amen Baba
Mungu naomba nifungue kutoka madhabahu za ukoo
Amina baba
Nifunguliwe kwajinalayesu kupitia nabii wabwana nafamilia yangu Amina.
Prophet suguye very powerful than devil
Amen baba
Mungu atutoe ktk laana za ukoo. Asante Sana mtumishi wa Mungu Kwa mafundisho mazuri sana.
Powerufl teaching God servant.
I have testimony next time I come back to visity Tanzania I will come back to the church
Mungu akubariki
Leo napokea utajiri kwa jina la yesu
Ameen ,kupitia somo hili nabii kila uchawi uliotokana na ukoo nimauchoma katika Jin la Yeah kristo na najiungamanisha na madhabah ya WRM vikachomwee na kukoma in the name of JESUS Ameen
Ongera mtumishi WaYesu
Naomba mungu anifungulie maisha yangu mm na mme wangu
Kuvishwa kwa roho pasipo kujua true kabisa hayo mambo yapo Ameen
LORD JESUS CHRIST......... i really need your touch and holy- fire all over me and my family. I believe in you!
Listening to it my Faith very much stirred- up. Glory to Jesus, thank u Prophet Nicolaus
Jesus thank you
Amen
amina napokea baba
Maombi yangu ni kuwa kiongozi mkubwa sana chuon kwetu
nyota yangu ing'ae sana
Nipate mdhamini 2025 nisome masters UDSM
nipate G.P.A FIRST CLASS
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
juu ya madhabahu ya WRM nnaimani nimefanikiwa
Najiungamanisha na mazabahu hii familia yangu ikakombolewe
Ameen
I just cant stop loving your messages.May Lord open the hearts of whoever listens to this wonderful confession of life!
Mungu azindi kuongezeka nguvu kutoka mbinguni Mimi mkezeri manyori nyamuswa natesaka sana nashetani
Re mungu nipe moyo mpya
Powerful insightful word!
Lord Jesus break all the evil alter's that have been holding my and my family for Your Glory.
Asante,
Najiungamanisha na ibada MUNGU naomba nisaidie
Hallelujah
amina baba
Amen amen amen amen
nimebarikiwa sana
Yaan kwakwel uyu ni mm nakuaga nafanya matukio kweny ndoa yangu tenaa bira mm kupenda jmn yaan spendi jinsi ninavyofanyaga jmn Mungu nisaidie tu piah naomba kuzungumza naww Tafadhali
Aminaaaa
Yesu unipite unapowadhuru wengine amen.
Jembe 💪💪💪💪
Ameeen daddy
Uko wapiiii prophet Nata man I siku moja nkuoneee na mungu akubriki na aendelee kukuongozaa
Amina
Unapozuru wengine unikumbuke na mimi Mungu wangu
Mimi ninachiamini ni kwamba tangu nikupompokea Kristo siko chini ya laana ya ukoo, na siwezi kuyaombea to a tena nitakuwa kama mbwa kuyarudia matapishi,Yesu alishamalza yooote. Ya nini Mimi kuyakumbuka tena.
YESU YU HAI
Yani naamin Mimi nimevishwa hayo madhabahu ya miungu Mana sifani kwa lolote Ahante mtumishi wa Mungu kwa mahubir Nimejifunza kitu ila nataman ningekuona jamani hata uniombee unifundishe kumjua Mungu zaidi
Naomba kusamehewa zambi zangu nilizozifanya kwakuwaza nakutenda
Unavunja vipi
Yani kweli na mimi nakuwa na sura ya bibi pale tu ninapowashwa sura nisaidie nabii
Yaani na mm hvyhvy jamani mm nitafika kanisani kwake naomba sana Mungu anipe kibali chakufika
jamani nawapigia sm amupokei nataka munielekeze mliko nije
Every Altar has his priest
Unafeli wapi Mtumishi wa Mungu kifungu umetusomea kizuri Sana kuhusu madhabuhu, ila mifano inatoka nje kabisa na kifungu
navunja masabahu zao kwa imani
Nabii naomba unisaidie nabeba zinztoka
Mchungaji Ata mimi Nina vifungo sijampata mume wakunioa, niombee.
Ok
Amen
Ameen
amina baba
Ameen
Ameen
Ameen
Ameen
Yesu uhai
Amen
Amen
Ameen
Ameen