mungu awabariki sana na band yenu idumu wakainuke wafadhiri wengi sana wakuwasapoti. nafarijika kuwaona munabaki katika kuhubiri kwa njia ya uimbaji . na si kuangaika na soko au fedha . mungu awabariki sana. hata hapo malipo mwaweza kuuza CD zenu. kama mlivyo uza Ile ya Kwanza.
Amen...iv jamani hakuna uwezekano kuchangia chochote kwa hii band..mana mm nyimbo zao ni ukombozi,faraja na kila kitu...sipo Tz ila naguswa kwakweli..Mungu awabariki sana hawa waimbaji..I love you guys so much.
Mungu awabaiki sana Sayuni kwaya... your preaching the true word of God through your songs...ni vip mtu aweza ichangia kwaya ni njia moja wapo ya kupata baraka na amini..Mungu awabariki sana..nawapenda
Gods time ... Sikujuaje nyimbo nzuri kama hizi...jamani mungu asifiwe.. akupanulie mipaka
Barikiwa sanaaa Dada Vick Kazi yako ni njema
Yesu.ametukuka.sana
Mungu awatie nguvu zaidi
Nimekumbuka mbali Kwa Hii nyimbo
mungu awabariki sana na band yenu idumu wakainuke wafadhiri wengi sana wakuwasapoti.
nafarijika kuwaona munabaki katika kuhubiri kwa njia ya uimbaji . na si kuangaika na soko au fedha . mungu awabariki sana.
hata hapo malipo mwaweza kuuza CD zenu. kama mlivyo uza Ile ya Kwanza.
Amen...iv jamani hakuna uwezekano kuchangia chochote kwa hii band..mana mm nyimbo zao ni ukombozi,faraja na kila kitu...sipo Tz ila naguswa kwakweli..Mungu awabariki sana hawa waimbaji..I love you guys so much.
Kweli hayupo wa kufanana na Yesu
Tulikotoka ni mbali❤❤
Lets not forget to subscribe.
She is blessed with good song, bado simjui lakini nime barikiwa na nyimbo nyingi zake
hakika hakuna wakufanana na kulingana na Yesu
love you sayuni Band
Mungu awabaiki sana Sayuni kwaya... your preaching the true word of God through your songs...ni vip mtu aweza ichangia kwaya ni njia moja wapo ya kupata baraka na amini..Mungu awabariki sana..nawapenda
MUNGU azidi kuwainua zaidi na zaidi.
Hakika hakuna kama Bwana kati ya mabwana duniani na mbinguni.
aaaaah wacha Yesu asifiwe peke yake. God Bless you Watumishi
Nmebarkiwa sana nyimbo zenu na mavazi yenu pia ya kujistiri
Hakuna
Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri pia muendeleye mbele
Hakuna kabisa
Amina,mubarikiwe sana napenda sana nyimbo zenu
Mpo vizuri sn sayuni band hasa victoria nazareth huwa unanibariki sn nikikuona
Sauti ya wanaume iko mbali lakini wimbo una upako. Asanteni kwa nyimbo nzuri.
amina nawapenda sana kwa kuwa hamjakata tamaa mnazidi kusonga mbele mungu awainue zaidi
MUNGU azidi kuwainua zaidi nabarikiwa sana ninapozitazama nyimbo za sayun band
Nawapenda sanaaa mungu awabariki sanaa
no body like Jesus Christ, I love this song
Amen Akuna wakufunana na Yesu 👏👏👏🙌
Mungu awabariki sana mkazidi kung'ara kwa jina la Yesu. nimebarikiwa sana na huduma yenu
Amina
mbarkiwe sana ndugu zangu mungu abarki huduma yenu
Asanteni sana kwa kukubali kutumiwa
Mbarikiwe sana ndugu zangu.?
JEHOVA azidi kuwatumia..
Mbarikiwe watumisha wa mungu
Mubarikiwe watumishi wa mungu
mungu awabariki sayuni band
Hongereni Sayuni Band
Hakuna duniani wala mbinguni ni were pekeako bwana
amen
Mbarikiwe wapendwa
Emmanuel mgogo pengo lako kubwa mungu akufanyie wepesi urudi
kweli ndugu hii lisong angekuwepo akaunguruma heeee ingenoga sana
usimtegee mwanadam hata ciku moja Emmanuel mgogo aliwakuta wanaimba nae alijiunga tu na wenzie
hongeren saaana
mtabaki kuwa juu akika hata kwenu ametukuka
Nawakubalii
nice
amina,unabarik
Be blessed #sayuni band
+Amos Thomas
Ubarikiwe mtumish wa Mungu
+Amos Thomas
Ubarikiwe mtumish wa Mungu
@@victorianazah Watumishi mpo wapi mbona kimya kingi?
Uko poa sana
#Amen
amen msipozmia mtalipwa.......
mungu yuupande wenu songa mbele acheni kukatatamaaa maana Emmanuel atapatapa kama popo mungu atamtapika.naiweivyo
Amosi Mgeni Jim8i
hongeraa sana sayuni band
Sayuni Band of Mbeya city in Southern Highlands of Tanzania, East Africa with their gospel song titled ''Hakuna''
mungu azidi kuwapigania nikiskiliza huu wimbo na barikiwa. sana
be blessed
@@happyamos2636 UK Iloilo hobo juli
p
amen