Victoria Nazah - Hakuna

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 64

  • @Smyleelly
    @Smyleelly Месяц назад

    Gods time ... Sikujuaje nyimbo nzuri kama hizi...jamani mungu asifiwe.. akupanulie mipaka

  • @Godfrey_lusekelo
    @Godfrey_lusekelo 4 месяца назад +1

    Barikiwa sanaaa Dada Vick Kazi yako ni njema

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 2 года назад +1

    Yesu.ametukuka.sana

  • @adsonphilipo108
    @adsonphilipo108 5 лет назад +1

    Mungu awatie nguvu zaidi

  • @stephanomwinyi2
    @stephanomwinyi2 Год назад

    Nimekumbuka mbali Kwa Hii nyimbo

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 7 лет назад +2

    mungu awabariki sana na band yenu idumu wakainuke wafadhiri wengi sana wakuwasapoti.
    nafarijika kuwaona munabaki katika kuhubiri kwa njia ya uimbaji . na si kuangaika na soko au fedha . mungu awabariki sana.
    hata hapo malipo mwaweza kuuza CD zenu. kama mlivyo uza Ile ya Kwanza.

    • @beatriceviktor4195
      @beatriceviktor4195 4 года назад

      Amen...iv jamani hakuna uwezekano kuchangia chochote kwa hii band..mana mm nyimbo zao ni ukombozi,faraja na kila kitu...sipo Tz ila naguswa kwakweli..Mungu awabariki sana hawa waimbaji..I love you guys so much.

  • @rizmarkabraham8705
    @rizmarkabraham8705 4 года назад

    Kweli hayupo wa kufanana na Yesu

  • @StellaKinyungu
    @StellaKinyungu 3 месяца назад

    Tulikotoka ni mbali❤❤

  • @Smyleelly
    @Smyleelly Месяц назад

    Lets not forget to subscribe.
    She is blessed with good song, bado simjui lakini nime barikiwa na nyimbo nyingi zake

  • @adamambangilekalinga4382
    @adamambangilekalinga4382 7 лет назад +1

    hakika hakuna wakufanana na kulingana na Yesu
    love you sayuni Band

  • @beatriceviktor4195
    @beatriceviktor4195 4 года назад

    Mungu awabaiki sana Sayuni kwaya... your preaching the true word of God through your songs...ni vip mtu aweza ichangia kwaya ni njia moja wapo ya kupata baraka na amini..Mungu awabariki sana..nawapenda

  • @philipohumphrey991
    @philipohumphrey991 7 лет назад +1

    MUNGU azidi kuwainua zaidi na zaidi.

  • @gabrielfesto1067
    @gabrielfesto1067 6 лет назад +1

    Hakika hakuna kama Bwana kati ya mabwana duniani na mbinguni.

  • @favouredblessed1642
    @favouredblessed1642 6 лет назад +1

    aaaaah wacha Yesu asifiwe peke yake. God Bless you Watumishi

  • @naomimgori8382
    @naomimgori8382 4 года назад

    Nmebarkiwa sana nyimbo zenu na mavazi yenu pia ya kujistiri

  • @NathanTheGosple
    @NathanTheGosple Год назад

    Hakuna

  • @paulmwati448
    @paulmwati448 7 лет назад +1

    Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri pia muendeleye mbele

  • @yasintaerasto5735
    @yasintaerasto5735 4 года назад

    Amina,mubarikiwe sana napenda sana nyimbo zenu

  • @joycekaganga7920
    @joycekaganga7920 6 лет назад

    Mpo vizuri sn sayuni band hasa victoria nazareth huwa unanibariki sn nikikuona

  • @sammyerima1099
    @sammyerima1099 7 лет назад

    Sauti ya wanaume iko mbali lakini wimbo una upako. Asanteni kwa nyimbo nzuri.

  • @farajakigula4715
    @farajakigula4715 7 лет назад

    amina nawapenda sana kwa kuwa hamjakata tamaa mnazidi kusonga mbele mungu awainue zaidi

  • @josephnicolaus915
    @josephnicolaus915 5 лет назад

    MUNGU azidi kuwainua zaidi nabarikiwa sana ninapozitazama nyimbo za sayun band

  • @ombenikisunga5059
    @ombenikisunga5059 5 лет назад

    Nawapenda sanaaa mungu awabariki sanaa

  • @gosbethkivike2289
    @gosbethkivike2289 7 лет назад

    no body like Jesus Christ, I love this song

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 6 лет назад

    Amen Akuna wakufunana na Yesu 👏👏👏🙌

  • @alunabrightonmwaisongwa1973
    @alunabrightonmwaisongwa1973 7 лет назад

    Mungu awabariki sana mkazidi kung'ara kwa jina la Yesu. nimebarikiwa sana na huduma yenu

  • @fransickimela.nashukurunis6754
    @fransickimela.nashukurunis6754 6 лет назад

    mbarkiwe sana ndugu zangu mungu abarki huduma yenu

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 лет назад +2

    Asanteni sana kwa kukubali kutumiwa

  • @happybali7709
    @happybali7709 7 лет назад

    Mubarikiwe watumishi wa mungu

  • @edinaamoni7704
    @edinaamoni7704 6 лет назад

    mungu awabariki sayuni band

  • @williamelitwaza8224
    @williamelitwaza8224 7 лет назад +1

    Hongereni Sayuni Band

  • @mosessichela9915
    @mosessichela9915 5 лет назад

    Hakuna duniani wala mbinguni ni were pekeako bwana

  • @braitonmwankemwa3663
    @braitonmwankemwa3663 7 лет назад

    amen

  • @emmanuelmwasenga7521
    @emmanuelmwasenga7521 7 лет назад

    Mbarikiwe wapendwa

  • @fadhilimbeyale7680
    @fadhilimbeyale7680 6 лет назад

    Emmanuel mgogo pengo lako kubwa mungu akufanyie wepesi urudi

    • @bilihaniadriano8604
      @bilihaniadriano8604 6 лет назад

      kweli ndugu hii lisong angekuwepo akaunguruma heeee ingenoga sana

    • @oliveryonah2566
      @oliveryonah2566 6 лет назад

      usimtegee mwanadam hata ciku moja Emmanuel mgogo aliwakuta wanaimba nae alijiunga tu na wenzie

  • @kelvinmwalunenge309
    @kelvinmwalunenge309 7 лет назад

    hongeren saaana

  • @nemesdavid6699
    @nemesdavid6699 6 лет назад

    mtabaki kuwa juu akika hata kwenu ametukuka

  • @ombenikisunga5059
    @ombenikisunga5059 5 лет назад

    Nawakubalii

  • @sayuninathan7062
    @sayuninathan7062 6 лет назад +1

    nice

  • @rehemakalipa7494
    @rehemakalipa7494 7 лет назад

    amina,unabarik

  • @amosimgeni
    @amosimgeni 7 лет назад +2

    Be blessed #sayuni band

  • @eliajonathan3654
    @eliajonathan3654 7 лет назад

    Uko poa sana

  • @amosimgeni
    @amosimgeni 7 лет назад

    #Amen

    • @muujizakasiwa8365
      @muujizakasiwa8365 7 лет назад

      amen msipozmia mtalipwa.......

    • @annagavu5636
      @annagavu5636 7 лет назад

      mungu yuupande wenu songa mbele acheni kukatatamaaa maana Emmanuel atapatapa kama popo mungu atamtapika.naiweivyo

    • @rugemurasalumu2935
      @rugemurasalumu2935 6 лет назад

      Amosi Mgeni Jim8i

  • @winfridamilton6820
    @winfridamilton6820 7 лет назад

    hongeraa sana sayuni band

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 7 лет назад

    Sayuni Band of Mbeya city in Southern Highlands of Tanzania, East Africa with their gospel song titled ''Hakuna''

  • @saramabusinge949
    @saramabusinge949 7 лет назад

    p

  • @braitonmwankemwa3663
    @braitonmwankemwa3663 7 лет назад

    amen