Mtumishi shalumu mchungaji wa bwana upo eneo gani Arusha Nina matatizo ndugu zangu wmekuwa maadui katika maisha yangu mwingine amefikia wakati akataka kuniua Kwa silaha mchungaji
Ohhhh , m'y GOD pâle pana MUNGU MZIMA NAMI NAHAKIKA KAMA NIKAKANYANGA HAPO NDAKUWA NA MUNGU MZIMA NDAPATA CHOCHOTE NAHITAJI AMEN , AMEN , AMEN BABA ANAYE WEZA VYOTE NA AMINI KAMA UNANIPENDA NA ULINIPENDA NA UNAZIDI KU NIPENDA NIPE NAMI BABA.
Kwakweli Mungu mwaminifu sikuzote siku baada yasiku MUNGU kutuonekania machana kama usiku. Wana vuka YORODANI mutukuze MUNGU PAMOJA NAMI KWAKWELI MUNGU YUMWEMA.
Pastor naomba musahada wa maombi ili nizae iyi mwaka 2023 mtoto mapasa garçon wa 2 na Mungu afunguwe safari yangu kuenda amerique Mimi na mume wangu na batoto yangu Niko refuge Uganda amen
Mtumishi wa Mungu Eli bariki sumbe niko mbeya ninaomba uniombee niombee mimi Happy Aloyce Myumbo ninaoteshwa ndito mbaya na ni mjamzito pia nyota. Sina kazi kifupi naomba nisaidie nisaidie malaika
Pasta nakupendaka Sana KWELI KWELI n'a Nina MINGI hakushukuru Tanguy nilipatana n'a KANISA VUKA YORDAN Kabisa KABISA Tangia nafuata mafundisho YA IYI KANISA NAJISIKIAKA KAMA KUKO KIYU NILIFAIDIKA KWA KIROHO NAKUPENDA PASTA WEWE NA WAUZURIA KANISA IYI.
PASTA CHALOOM , CHALOOM MCHUNGAJI NAOMBA UNIOMBEE NIWEZA KUFIKA HUKO KWENYE KANISA LA VUKA YORDAN NASIYO MBALI NI MWISHO YA IYI MWAKA NAKUJA TUMIKIA KANISA KABISA KABISA.
Amen and amen napokea uponyaji kwajina laYesu amen 🙏
Pastor Sumbe niombee nami ifunguliwe maisha yangu yote🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen MUNGU ukutane nami ciku ya leo 🙌🙌🙌🙌🙌
Mtumishi shalumu mchungaji wa bwana upo eneo gani Arusha Nina matatizo ndugu zangu wmekuwa maadui katika maisha yangu mwingine amefikia wakati akataka kuniua Kwa silaha mchungaji
Amen Amen Baba
Mungu kuanzia leo najiunganisha na madhabahu ya vuka Jordan
AMEN i receive it in JESUS name
jina la mungu linuliwe apaye alive
tehuwa mutumishi wanke
ni Joyce nkutonka narok umenkuwa musahanda kwamaisha
yangu mungu ankubariki
TEAM USA🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇰🇪🇰🇪🇰🇪GOD IS SO AWESOME....🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu atushindiye Hatuwezi pekeyetu🧘🧘
NAPENDA NIUZULIE NA NINYI KWENYE ILE MAJENGO MAMPYA YA KANISA JIMPYA LA VUKA YORDAN
AMEN.
Ohhhh , m'y GOD pâle pana MUNGU MZIMA NAMI NAHAKIKA KAMA NIKAKANYANGA HAPO
NDAKUWA NA MUNGU MZIMA NDAPATA CHOCHOTE NAHITAJI
AMEN , AMEN , AMEN BABA ANAYE WEZA VYOTE
NA AMINI KAMA UNANIPENDA NA ULINIPENDA NA UNAZIDI KU NIPENDA
NIPE NAMI BABA.
Malaika sumbe uniombee nipate feza mingi nitoke hapa Congo nije pale Arusha tu ushangilie Mungu pamoja , Amen
Mungu ni kubuke namimi 🙏🙏🙏🙏🙏🇨🇩
Ameeeeeeen,,,akuna anayeweza kuzipapambanua njia za Mungu,,akika yeye ni mwaminifu 🙏🙏🙏
Mungunimkuhu
Mungu akubariki baba
Jambo baba mimi ni faradja naomba uniombeye Mungu anifanyikishe kiroho na kiuchoumi
Amen 🙏🙏🙏 bishop God bless you
Please pastor remember my family in prayers
Kwakweli Mungu mwaminifu sikuzote siku baada yasiku MUNGU kutuonekania machana kama usiku.
Wana vuka YORODANI mutukuze MUNGU PAMOJA NAMI KWAKWELI MUNGU YUMWEMA.
Asante MUNGU akubariki.
Nimekukumbuka mtumishi...Barikiwa sana.
Ameni.
Thank you lord
AMEN AMEN in Jesus name AMEN and Glory to God
. I believe and trust in God that I will never lucky everything
Askofu nisaidie mambo yangu magumu nipate kufunguliwa
Pastor niombe Mungu afungue njia nipate pesa ya kumpeleka msichana high school next year in Jesus name AMEN
Matumishi naomba umuombee mwanangu kansa
Ameeeeeeen ! Bwana YESU Na ASIFIWE......
Anen😮😮😮❤😊
Amen 🙏 Amen 🙏💖
His name to be Glorified
Pastor naomba musahada wa maombi ili nizae iyi mwaka 2023 mtoto mapasa garçon wa 2 na Mungu afunguwe safari yangu kuenda amerique Mimi na mume wangu na batoto yangu Niko refuge Uganda amen
Mimi devota ezekieli mt 22:52 umishi mimi nateseka pamoja kizazi changu sijui nifanyeje simtoto wa kike wala wakiume wanisikie mtumishi nisaidie
Ubalikiwe sana mtumshi
Mungu aweza yote akuna kitu kigumu kwake nifunguwe maombi namaono amina
Please,, pastor naomba uombeee familia yetu upate urejesho
🙏🙏🙏👏👏📖📖
Waaaauuuu Ameeeen
Mtumishi wa Mungu Eli bariki sumbe niko mbeya ninaomba uniombee niombee mimi Happy Aloyce Myumbo ninaoteshwa ndito mbaya na ni mjamzito pia nyota. Sina kazi kifupi naomba nisaidie nisaidie malaika
Barikiwa Bishop Elibarick sumbe
YESU naomba ufungue nafamiria yangu yote
Asante sana baba mimi nimefungwa ninaitaji kufunguliya
Amena
AMEN ushuhuda umeningz san naamin nimefunguliqa
Mtumishi wa Mungu naomba unisaidie kwa maombi naitaji kujenga nyumba
Amen amen
Bishop naomba umuombee mjukuu wangu Joshua amelala akiamka amechanjwa kifuani juu upande wa kulia chale 10 na anakula sana sabuni
Glory to God, I really appreciate you bishop Elibarick sumbe since I saw you there kingor
Nipate wapi mtu mwenyeupendo namna hii mungu nikumbuke na mimi niondoree roho ya kukatariwa
Amen Amen 🙏🙏
Kupenda kuzuri
Amen good wow 🙏🙏
Ameen
Amen
GLORY to God
Ameeeen
Huyu SUMBE hata mimi nimewahi kumuota
Ameen nami nipone
Yale mambo Mungu anatenda mwanadam alie mwilini hawezi kuelewa nayo
Ubarikiwe saaana Malaika wa bwana na mimi piya naitaji kufunguliwa
Naitaji maombi nanyi huko
MUNGU wa Bishop Elibariki ani guse kwa matatizo n'a vifungo nanivio
Baba niombee na mmi nafungwa na vifungo vingii na kiwanja cangu pia kimefungwa nataka kukiuza kwa lizaa yangu
Naomba k
Ujua uko wapi
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
📖📖🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇿🇲
Pasta nakupendaka Sana KWELI KWELI n'a Nina MINGI hakushukuru Tanguy nilipatana n'a KANISA VUKA YORDAN
Kabisa KABISA
Tangia nafuata mafundisho YA IYI KANISA NAJISIKIAKA KAMA KUKO KIYU NILIFAIDIKA KWA KIROHO
NAKUPENDA PASTA WEWE NA WAUZURIA KANISA IYI.
niombee mimi ni pastor lakini mimi sifanyi uduma kwa sasa naomba maombi
eeee Mungu niguse na mmi nishuhudie makuu yako
Bishop unapatikana wapi
Mimi nimmoja wawatoto7 time baki 2 hakuna baba mama babu shangazi Bibi babu tukomboe n avizazi vetu namadhabahu yaukoo
PASTA CHALOOM , CHALOOM MCHUNGAJI
NAOMBA UNIOMBEE NIWEZA KUFIKA HUKO KWENYE KANISA LA VUKA YORDAN NASIYO MBALI NI MWISHO YA IYI MWAKA
NAKUJA TUMIKIA KANISA KABISA KABISA.
Pasta nombre nipate Kibali napesa zakunisaidia mwanzo YA MAISHA ki mwili baba.
Nami naomba nipate pesa yaku nirudisha kwetu congo kwasababu sizoeye uku Burundi ,naigine anime pesa yaku fika sikumoya kwenye ile mazabau y'a vuka yordani ilinamimi nishuhundiyake pale arusha,oobeye piya mume wangu mungu amubariki kipesa naki roho
Amen
Please niombee My fiance awe My husband na aachane na mama mtu mzima
😳😳😳😭😭😭🤔🤔🤔
Mmeo ni kibenteni anapenda kulelewa so na ww utaweza kumlea?
E
Naitaji maombi nikokazi naungua mauti ujenzi nakataliwa popote niendapo niombe nirudisiwe nyota yakazi ndoa nakuniliwa kiwanfokingine
Amen amen
Ameeeen
Amen
Ii ushuhuda inani jenga sana.ile Bishop iko mbali sana ingetamani kushiriki Siku moja katika Kanisa ili.
Amen
Amen Amen Amen
Amen amen amen amen
Amen amen