KUTOKA KENYA VIFUNGO NA MAAGANO YA ADUI YAHARIBIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 90

  • @HarunMchana
    @HarunMchana 18 дней назад

    Amen and amen napokea uponyaji kwajina laYesu amen 🙏

  • @josphenembunde5805
    @josphenembunde5805 Год назад +1

    Pastor Sumbe niombee nami ifunguliwe maisha yangu yote🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @loreenmwambinguloreen7373
    @loreenmwambinguloreen7373 2 года назад +1

    Amen MUNGU ukutane nami ciku ya leo 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @AnnaMsofe-y3k
    @AnnaMsofe-y3k Месяц назад

    Mtumishi shalumu mchungaji wa bwana upo eneo gani Arusha Nina matatizo ndugu zangu wmekuwa maadui katika maisha yangu mwingine amefikia wakati akataka kuniua Kwa silaha mchungaji

  • @MamaSila-gl8su
    @MamaSila-gl8su Год назад +1

    Amen Amen Baba

  • @hakofafrancis7063
    @hakofafrancis7063 6 месяцев назад

    Mungu kuanzia leo najiunganisha na madhabahu ya vuka Jordan

  • @mariejosebigirimana609
    @mariejosebigirimana609 Год назад +1

    AMEN i receive it in JESUS name

  • @JoycePareyio
    @JoycePareyio Месяц назад

    jina la mungu linuliwe apaye alive
    tehuwa mutumishi wanke
    ni Joyce nkutonka narok umenkuwa musahanda kwamaisha
    yangu mungu ankubariki

  • @TREASUREZION8
    @TREASUREZION8 Год назад

    TEAM USA🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇰🇪🇰🇪🇰🇪GOD IS SO AWESOME....🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AmissaNduwimana-wt6ud
    @AmissaNduwimana-wt6ud 10 месяцев назад

    Mungu atushindiye Hatuwezi pekeyetu🧘🧘

  • @jacquelinendanga6259
    @jacquelinendanga6259 2 года назад

    NAPENDA NIUZULIE NA NINYI KWENYE ILE MAJENGO MAMPYA YA KANISA JIMPYA LA VUKA YORDAN
    AMEN.

  • @jacquelinendanga6259
    @jacquelinendanga6259 2 года назад

    Ohhhh , m'y GOD pâle pana MUNGU MZIMA NAMI NAHAKIKA KAMA NIKAKANYANGA HAPO
    NDAKUWA NA MUNGU MZIMA NDAPATA CHOCHOTE NAHITAJI
    AMEN , AMEN , AMEN BABA ANAYE WEZA VYOTE
    NA AMINI KAMA UNANIPENDA NA ULINIPENDA NA UNAZIDI KU NIPENDA
    NIPE NAMI BABA.

  • @jeffmaloba5534
    @jeffmaloba5534 2 года назад

    Malaika sumbe uniombee nipate feza mingi nitoke hapa Congo nije pale Arusha tu ushangilie Mungu pamoja , Amen

  • @MatumainiZawadi
    @MatumainiZawadi 11 месяцев назад

    Mungu ni kubuke namimi 🙏🙏🙏🙏🙏🇨🇩

  • @marykanini7610
    @marykanini7610 2 года назад +2

    Ameeeeeeen,,,akuna anayeweza kuzipapambanua njia za Mungu,,akika yeye ni mwaminifu 🙏🙏🙏

  • @mariaomega1977
    @mariaomega1977 7 месяцев назад

    Mungu akubariki baba

  • @SamuelFadjo
    @SamuelFadjo 10 месяцев назад

    Jambo baba mimi ni faradja naomba uniombeye Mungu anifanyikishe kiroho na kiuchoumi

  • @lilymwasi1221
    @lilymwasi1221 2 года назад +1

    Amen 🙏🙏🙏 bishop God bless you

  • @faithesekon1622
    @faithesekon1622 Год назад

    Please pastor remember my family in prayers

  • @imanitv4225
    @imanitv4225 2 года назад +1

    Kwakweli Mungu mwaminifu sikuzote siku baada yasiku MUNGU kutuonekania machana kama usiku.
    Wana vuka YORODANI mutukuze MUNGU PAMOJA NAMI KWAKWELI MUNGU YUMWEMA.

    • @imanitv4225
      @imanitv4225 2 года назад

      Asante MUNGU akubariki.

    • @kennytwinzi821
      @kennytwinzi821 2 года назад

      Nimekukumbuka mtumishi...Barikiwa sana.

  • @sayunianania6183
    @sayunianania6183 Год назад

    Ameni.

  • @janemasaba5950
    @janemasaba5950 Год назад +1

    Thank you lord

  • @drusillahnyabwengi7831
    @drusillahnyabwengi7831 2 года назад +2

    AMEN AMEN in Jesus name AMEN and Glory to God
    . I believe and trust in God that I will never lucky everything

    • @martinaqambadu1827
      @martinaqambadu1827 2 года назад

      Askofu nisaidie mambo yangu magumu nipate kufunguliwa

  • @drusillahnyabwengi7831
    @drusillahnyabwengi7831 2 года назад +2

    Pastor niombe Mungu afungue njia nipate pesa ya kumpeleka msichana high school next year in Jesus name AMEN

  • @roselyneisiyee1436
    @roselyneisiyee1436 2 года назад +1

    Ameeeeeeen ! Bwana YESU Na ASIFIWE......

  • @RAMAZANIBARUTI-mb3gn
    @RAMAZANIBARUTI-mb3gn 11 месяцев назад

    Anen😮😮😮❤😊

  • @gracemueni3235
    @gracemueni3235 2 года назад +1

    Amen 🙏 Amen 🙏💖

  • @neseryanmollel6012
    @neseryanmollel6012 Год назад +1

    His name to be Glorified

  • @bibentyokibiha1510
    @bibentyokibiha1510 2 года назад

    Pastor naomba musahada wa maombi ili nizae iyi mwaka 2023 mtoto mapasa garçon wa 2 na Mungu afunguwe safari yangu kuenda amerique Mimi na mume wangu na batoto yangu Niko refuge Uganda amen

  • @DevotaLedawi
    @DevotaLedawi 6 месяцев назад

    Mimi devota ezekieli mt 22:52 umishi mimi nateseka pamoja kizazi changu sijui nifanyeje simtoto wa kike wala wakiume wanisikie mtumishi nisaidie

  • @eldahkemunto67232
    @eldahkemunto67232 2 года назад

    Mungu aweza yote akuna kitu kigumu kwake nifunguwe maombi namaono amina

  • @السنتكينيه
    @السنتكينيه 4 месяца назад

    Please,, pastor naomba uombeee familia yetu upate urejesho

  • @ReubenMichael
    @ReubenMichael 11 месяцев назад

    🙏🙏🙏👏👏📖📖

  • @judithabuko6006
    @judithabuko6006 Год назад

    Waaaauuuu Ameeeen

  • @felixmwaoga5527
    @felixmwaoga5527 2 года назад

    Mtumishi wa Mungu Eli bariki sumbe niko mbeya ninaomba uniombee niombee mimi Happy Aloyce Myumbo ninaoteshwa ndito mbaya na ni mjamzito pia nyota. Sina kazi kifupi naomba nisaidie nisaidie malaika

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 2 года назад

    Barikiwa Bishop Elibarick sumbe

  • @beatricebukuru9425
    @beatricebukuru9425 2 года назад

    YESU naomba ufungue nafamiria yangu yote

  • @nenepondamali
    @nenepondamali 2 года назад

    Asante sana baba mimi nimefungwa ninaitaji kufunguliya

  • @vumiliakilozo3868
    @vumiliakilozo3868 2 года назад

    Amena

  • @furahamangi4715
    @furahamangi4715 2 года назад

    AMEN ushuhuda umeningz san naamin nimefunguliqa

  • @judithabuko6006
    @judithabuko6006 Год назад

    Mtumishi wa Mungu naomba unisaidie kwa maombi naitaji kujenga nyumba

  • @rutagengwasteven7879
    @rutagengwasteven7879 2 года назад

    Amen amen

  • @halimaamani7525
    @halimaamani7525 Год назад

    Bishop naomba umuombee mjukuu wangu Joshua amelala akiamka amechanjwa kifuani juu upande wa kulia chale 10 na anakula sana sabuni

  • @pendonnko7151
    @pendonnko7151 2 года назад +1

    Glory to God, I really appreciate you bishop Elibarick sumbe since I saw you there kingor

  • @esterjuma827
    @esterjuma827 16 дней назад

    Nipate wapi mtu mwenyeupendo namna hii mungu nikumbuke na mimi niondoree roho ya kukatariwa

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 2 года назад

    Amen Amen 🙏🙏

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Kupenda kuzuri

  • @marieakili3005
    @marieakili3005 2 года назад

    Amen good wow 🙏🙏

  • @eldahkemunto67232
    @eldahkemunto67232 2 года назад

    Ameen

  • @millicentrabera
    @millicentrabera 2 года назад

    Amen

  • @mariejosebigirimana609
    @mariejosebigirimana609 2 года назад +1

    GLORY to God

  • @lucystella9612
    @lucystella9612 2 года назад

    Ameeeen

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 Год назад

    Huyu SUMBE hata mimi nimewahi kumuota

  • @eldahkemunto67232
    @eldahkemunto67232 2 года назад

    Ameen nami nipone

  • @rerisamba
    @rerisamba 6 месяцев назад

    Yale mambo Mungu anatenda mwanadam alie mwilini hawezi kuelewa nayo

  • @anniemusimbwa2806
    @anniemusimbwa2806 2 года назад

    Ubarikiwe saaana Malaika wa bwana na mimi piya naitaji kufunguliwa

  • @KisigaDaudi
    @KisigaDaudi Год назад

    Naitaji maombi nanyi huko

  • @makalabalagizi6291
    @makalabalagizi6291 Год назад

    MUNGU wa Bishop Elibariki ani guse kwa matatizo n'a vifungo nanivio

  • @mariejosebigirimana609
    @mariejosebigirimana609 2 года назад

    Baba niombee na mmi nafungwa na vifungo vingii na kiwanja cangu pia kimefungwa nataka kukiuza kwa lizaa yangu

  • @DevotaLedawi
    @DevotaLedawi 6 месяцев назад

    Naomba k
    Ujua uko wapi

  • @mariejosebigirimana609
    @mariejosebigirimana609 2 года назад

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @ReubenMichael
    @ReubenMichael 11 месяцев назад

    📖📖🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇿🇲

  • @jacquelinendanga6259
    @jacquelinendanga6259 2 года назад

    Pasta nakupendaka Sana KWELI KWELI n'a Nina MINGI hakushukuru Tanguy nilipatana n'a KANISA VUKA YORDAN
    Kabisa KABISA
    Tangia nafuata mafundisho YA IYI KANISA NAJISIKIAKA KAMA KUKO KIYU NILIFAIDIKA KWA KIROHO
    NAKUPENDA PASTA WEWE NA WAUZURIA KANISA IYI.

  • @juliusmwachofi6692
    @juliusmwachofi6692 Год назад

    niombee mimi ni pastor lakini mimi sifanyi uduma kwa sasa naomba maombi

  • @mariejosebigirimana609
    @mariejosebigirimana609 2 года назад

    eeee Mungu niguse na mmi nishuhudie makuu yako

  • @rehmanmwaruka6640
    @rehmanmwaruka6640 6 месяцев назад

    Bishop unapatikana wapi

  • @DevotaLedawi
    @DevotaLedawi 6 месяцев назад

    Mimi nimmoja wawatoto7 time baki 2 hakuna baba mama babu shangazi Bibi babu tukomboe n avizazi vetu namadhabahu yaukoo

  • @jacquelinendanga6259
    @jacquelinendanga6259 2 года назад

    PASTA CHALOOM , CHALOOM MCHUNGAJI
    NAOMBA UNIOMBEE NIWEZA KUFIKA HUKO KWENYE KANISA LA VUKA YORDAN NASIYO MBALI NI MWISHO YA IYI MWAKA
    NAKUJA TUMIKIA KANISA KABISA KABISA.

  • @jacquelinendanga6259
    @jacquelinendanga6259 2 года назад

    Pasta nombre nipate Kibali napesa zakunisaidia mwanzo YA MAISHA ki mwili baba.

    • @kisandosamy4924
      @kisandosamy4924 Год назад

      Nami naomba nipate pesa yaku nirudisha kwetu congo kwasababu sizoeye uku Burundi ,naigine anime pesa yaku fika sikumoya kwenye ile mazabau y'a vuka yordani ilinamimi nishuhundiyake pale arusha,oobeye piya mume wangu mungu amubariki kipesa naki roho

    • @kisandosamy4924
      @kisandosamy4924 Год назад

      Amen

  • @pendonnko7151
    @pendonnko7151 2 года назад

    Please niombee My fiance awe My husband na aachane na mama mtu mzima

  • @joakimuawaki4250
    @joakimuawaki4250 Год назад

    E

  • @eldahkemunto67232
    @eldahkemunto67232 2 года назад

    Naitaji maombi nikokazi naungua mauti ujenzi nakataliwa popote niendapo niombe nirudisiwe nyota yakazi ndoa nakuniliwa kiwanfokingine

  • @kitumainimwamiespoir
    @kitumainimwamiespoir Год назад +1

    Amen amen

  • @VenelandaKabura-bc8dk
    @VenelandaKabura-bc8dk Год назад

    Ameeeen

  • @GHgh-hq3zj
    @GHgh-hq3zj 2 года назад

    Amen

    • @alexnangando279
      @alexnangando279 2 года назад

      Ii ushuhuda inani jenga sana.ile Bishop iko mbali sana ingetamani kushiriki Siku moja katika Kanisa ili.

  • @barakakibona5615
    @barakakibona5615 Год назад

    Amen

  • @mirynjeri5850
    @mirynjeri5850 Год назад

    Amen Amen Amen

  • @MatumainiZawadi
    @MatumainiZawadi 11 месяцев назад

    Amen amen amen amen

  • @JohnKhalfan
    @JohnKhalfan 7 месяцев назад

    Amen amen