Kweli mm achaniwapongeze guys .hapo ndo chanzo chabifu kwenye family zetu.mi baba km hiyo ahishughuliki kikazi ndio faida kumtegemea ndg kisa anapesa afu ety anawazarau
Mpoki baba yake kafa akiwa na miaka miwili alafu mdogo wake wamepishana miaka saba na ni wa baba mmoja na mama mmoja 😅 ati 😂 hii ndio maana ya vichekesho
Nimejifunza kitu hapa na nikikubwa mno sio kila comed ni yakuchekesha kwakweli hii inafundisha
Kweli Kabisa
Tafuta chako kaka
Mpoki unanihangusha unasema baba yako alifariki kipindi unamyaka 2 lakini unamzindi mdogo wako myaka 7 baba na mama mmoja
🤣🤣🤣🤣
Kwelikabisa 😮😢😢😢
hayo yapo kwenye familia zetu kikubwa tutafute pesa
good guy Mpoki we mashine ya kazi
Umeonaeee
Mnataka connection na hamjasoma...mnajua tabu anazopata Gigy money nyinyi 😅😂😂😊😊
🤣🤣🤣 Mpoki chizi huyo
😂😂😂😂😂😂😂
Nawakubari sana, naombeni Like zangu hapa
Tunashukuru sana
Mpoki akosagi majibu
Kama kawida yake
Ujumbe mzuri sana mpoki kawakilsha ,ni funzo.,unaweza ukasaidia ndugu na ndio wakakufilisi hata ukifa kwenye mazishi huwaoni ..
Ila sio wote Jaman?
Sasa ushakufa, utawaonaje?
@@andrewmwaimu6701 🤣🤣🤣
@@andrewmwaimu6701 watoto wako ndio wanabaki na story
Kila mtu atafute chake ...😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Wee mpoki noma
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Ubunifu wa Hali ya juu
Big up guys
Asante sana
Ukweli Mtupu, Mpoki ametoa ujumbe mzuri
Kabiss
Yani huyu na Joti ni watu am bao hawachoshi kabisa
Nikweli
🤣🤣🤣🤣🤣 Mpoki
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Kizimkazi Zanzibar 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🤣🤣
Mtoto anataka pipi tu anaambiwa kelele akitusua nae hatakuwa kama mpoki😂
Kuna kaujumbe humu kameshiba kaabsa 😂❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣
Ila kwakweli mpoki nakukubali Zaid jamaniiii😂😂😂
Pamoja sana
Mpoki 🙌🙌
Noma
Gigy ametulia zake huko hana habari 😂ameingizwa kwenye shida za ukoo flani
🤣🤣🤣🤣
Hahahah Africa kuna vituko😂😂😂
Hatari🤣🤣🤣
"mimi mninunulie pipi sasa" KELELEE😅😅
😀😀😀😀😀
Da!Dogo anakomaa na pipi tu!
Mpoki umeua bend,kaaaaaaaaaa jamani mweeeeeeeeeeeeeeee
Mpoki noma 🤣🤣🤣🤣
Hapo wte wangekuwa waelewa wasikilize album ya Dizasta vina ndy watajuwa elimu😮
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Hahahaha kweli mpoki
Ningekuwa na kishipa ungekitaka!?😅😅😅😅
🤣🤣🤣
Kazi nzur sn mungu awabariki
AMINA
Kuna fundisho kubwa sana hapa. Asanteni sana.
Asante, Nashukuru sana
Fundisho kubwa sana,
Nikipata pesa mnaanza kufa taratibu ili nionekane nawatoa kafara😂😂😂😂😂😂
Mpoki, Mtanga na huo Mzee mnajua.
Zitafika salamu zako🤣🤣🤣
Kweli mm achaniwapongeze guys .hapo ndo chanzo chabifu kwenye family zetu.mi baba km hiyo ahishughuliki kikazi ndio faida kumtegemea ndg kisa anapesa afu ety anawazarau
🤣🤣🤣 Umeonaeee
Wapooo wanawaza wapewe kamazao waombe mtaji na sio malala miko wanataka wapewe Bure Buree Tuuu
Nimeipenda hii jambo Roho hii mm sina
🤣🤣🤣🤣
Ningekua na kishipa ungekitaka? 😅😅
Mnajua tabu anazopata mbwa jike ulaya?😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Hawajua
Kuoga elfu 30 simpo kumi laki tatu ogeni wote apo😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Nkweli mpoki ni noma na pia ukweli ndio huu
Anajua sana
Unataka kuchanika😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Tangu uanze kufanikiwa, sisi familia tumeanza kupungua 😂😂
PESA INAMFANYAA MTU ANAKUWA JEURI SANA 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 anajeuri sana
Mponk una nn wewe 😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣
Shenz sana eti heri kuzaliwa mbwa ulaya
😂😂😂😂
4:48 mama mama suburi 😂😁😂
Cheki anavyo tembea mjomba eti ebu shika hizi
🤣🤣🤣🤣
Haha😂 gigimani kapata tabu kupata hela afu😂 mnaomba hela kirahisi 😂
🤣🤣🤣🤣
Haya kweli kwenye Maisha yakiswahili
Nawakubari sana, Sauti ipo vizuri
Asante sana
Mama imma yupo wapi? 😂😂
😂😂😂
Uyo ndo Mpokeee
🤣🤣🤣🤣
Mama subiri 🤣🤣🤣🤣😂
Mpoki yuko sahihi . Hawa ndugu ukiwa maskini hawakutafuti wala kika
Kweli😂😂
Daaaah ila mpoki 🎉🎉🎉🎉
Mpoki jiniasi kawajibu ukwel mtupu kihuni
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Nimejifunza kitu hapa
Respect
😂😂😂😂😂😂mjomba ni mama
Yani mimi nikiwaonaga hawa bibi chala mtanga huyo mzee mpoki mkojani na wakuvanga nawapenda sana comed wangu wa maisha
Hiiio dunua balaa
Mpok 😂😂😂😂
Yupo
Jaman, hii dunia. Ukipata mali 😂😂😂😂❤
Nawakubari sana
Pesa na cheo bila busara ni kipengele
🤣🤣🤣
Ila kuna kaukweli kidogo kwa uhalisia wa maisha yetu ya ki Afrika
Sana
😂😂
Sanaaas
Duh mpoki aisee...😂
Mzee wa watu katolewa kwenye siti
Mtanga😂😂 et Ana bajaji 24 bodaboda 32 natembeaje kwa mguu😂😂😂
🤣🤣🤣
😂
Jamani jamani! Sasa Gigy hapa katokea wapii😂
🤣🤣🤣🤣
Mtanga eti mama ongea 😂😂😂😂
Gari yangu xo lazima aendeshe mtu😂😂😂😂😂😂😂mpoki katoa boko
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Hahahhahah mbwa jikee anapata shida gan ulayaa
🤣🤣🤣🤣
Ningekua na kishipa ungeomba nikugawie😂😂
😃😃😃😃
Kaz nzr sana ila ningeshrk ningekujib
Umgejibu vip
Tujifuze
Ukifanyia hivyo kabila kama langu hata kwenye kikao hutonyanyuka
Kijiba cha roho
Kwanini 🤣🤣🤣
😂😂😂eti ww hatujuani anae nijua ni mamako ambae ni dadangu
🤣🤣🤣
Unatokea kwa nyuma kwa ile ni engine ya “beetle”, mpoki bana.😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Unaenda kuzimu mkazi 😅😅😅
Ndio wa Africa tulivo
Uonaeee
Ubebe lulu 🥰😂😂
Kivip?
😂😂😂😂😂
Mpoki baba yake kafa akiwa na miaka miwili alafu mdogo wake wamepishana miaka saba na ni wa baba mmoja na mama mmoja 😅 ati 😂 hii ndio maana ya vichekesho
😂😂😂
Jamaa anajua sana❤❤❤❤❤
Kweli kabisa
Ungekuwa na kishipa mngekipata
🤣🤣🤣🤣
Nona sana
Ahahaha mpoki Ana maneno xopoaa
🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 eti utachanika au unataka kuchanika
🤣🤣🤣🤣
Hehee pesa za tajiri ni za tajiri
😂😂😂Msukuma buana chukua maua yako😂😂🎉
😂😂😂😂😂
Ila kwenye Quality ya sauti bado sana
Unataka Sauti Gan Ndugu
@@Chekesha watu wanaongea sauti ina mwangi, microphone inayotumika hainasi sauti vizuri
Makelele kibao nyuma ya video
Ni kwel
Eti "Endelea mama"...😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Hich kikao angekuwep mkojan kingeish kw ngumi😂😂😂😂
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Ila wewe mpoki kiboko bonge la ujumbe
Tafuta HELA
Rukundu rumwee
😀😀😀😀
Saut iko chn
Itakuwa Sabufa yako haina saut
Pandisha juu
Ningekuwa na kishipa ungekitaka
Utu uzima ni hela😂
🤣🤣🤣
Huo mdio ukweli wa maisha yakiswahili wivu unawatawala roho mbaya balaa kubwa ndiomaana kufanikiwa ni balaa kubwa kwenye familia zakiswahili
Acha wakiamua watakuroga vibaya waswahili ni noma wanaroho za wivu
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fadhira haina umuhimu ,
😂😂😂