SIO POA! TAMBO ZA DOGO JANJA AKIONESHA VIATU, NGUO ZAKE ZA GHARAMA!
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- SIO POA! TAMBO ZA DOGO JANJA AKIONESHA VIATU, NGUO ZAKE ZA GHARAMA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mimi ningependa kama angefungua duka la nguo. Na sio kujigamba. Afanye biashara, au labda kuna biashara nyingine anafanya sisi atujui. Lkn. Ndio maisha aliyo chagua.
Really meaning of am living my life
Kama unatamani janjaro aachie ngoma gonga like apa
Ako tu sawa,nakama pesa iko vaa life is too short...akosawa tu sana,lamuimu ni to giveback to sociaty na kumkumbuka mungu
Big up dogo janja endelea na moyo huo huo MUNGU aendelee kukusaidia ata game boi na wote washike mkono wadogo zako hongera dogo
Balmain
Unicorn low-top sneakers
$1,020 sawa na 2,369,000 hivi 🔥🔥🔥
Awee watuache kila mtu ana maisha yake
Hujui kuvaaa brooo mr mwenyewe nakukalishaa afu weunavaaa brand sio kujuq kuvaaa (mlevi ) skuizi ndovu hakunaa unakunywaa nini sasa
Nenda kwao xx iyoo nyumba ya mama yake aliomjengea ni kama mm bodaboda niliomjengea mama ilaaa Mwisho wao Hawa ni aibu
Nice 👍👍
Nakubaliiiiii
Diamond anaendaga nje anapiga picha za nguo og lakin hanunui🤣🤣🤣 anajinunuliaga zara tu,na ndo anaingiza hela sa huyu anaona kila mtanzania mshamba kama yeye
Hahaha ongera brother umejaribu uko sawa sana❤🇰🇪
Madee kasaidia wasanii wengi sana 🔥🔥🔥🔥
Dogo anaisha maisha yake na nyinyi ishi ya kwenu kumponda ni kosa wakati yeye hajawatukana ukweli anajuwa yeye na mungu wake
Yani kiatu tu milioni mbili 🙌🙌🙌
Dahhh kweli janjaro bless yani kiatu tu milion 30 🤣🤣🙌🙌
Koti lakitambaa cha sofa ili bei kidogo unaweza ukuta 80000 ili
Kama ni original aisee hiyo 80000 labda utoe na matako ndo upewe
Janja kama umeshindwa kuimba usitudanganye na viato mana mavazi sio kuimba nakama una hela kuwa manaja wawengine kama ulivyo saidiwa na Mady pale nyuma
naku unga mkono
acha makasiriko budaa
Uyu dogo ametokeya kuwa mjinga mkubwa saana 😂😂😂
Huyu mwamba anavaa
Hahahaha hahahaha mashabiki tunamambo okay dogo janja fanya yako hapa hapa duniani yamungu mengi kijana pambana pga pamba hiyo pesa unamtafutiya nani kigambe kijana mwenzangu bgabu janjaro
Duwa nyingi sana sana janjaro
🔗
Wasafi mmekusudia nin kumueka shilole wakati janjaro aliposema shemeji yko😃
Njanjaro is Like a congolese 🇨🇩🇨🇩
Wa Congo wanapenda viatu 😂😂🫡🫡
@@itsjustelly4948 wana piga mdomo sana , mpaka ata na nguo ya ndani lazma wakupe beyi yake
Janjaro hebu acha kujizeesha wewe handsome 😍 but l don't know what you look like old man
Mambo
Ahache kudanganya watanzania uyo.
Ivyo viatu vinapatikana china vinanunuliwa dolla 11.
uho ni mhundo wake wakipekee ndo unakifanya kionekane cha kifahari tu.
Anasema watu wakigugo🤣🤣🤣 kwa apo bongo watahangaika kukipata.ila kwa wale watu wanaotumia applications za china online marketing wanaweza kukipiga picha na kitatokea na bei yake hapo hapo.
Amna kiatu apo,ni cha kipekee bongo ila akina bei yoyote ile $11 only
Dogo big up
Mziki unaboa hatusikii vzr maongezi
Aujui kuvaa sio mtu wa fation unauwezo tu wa kununua vitu Kuna machalii wanavaa wew bado Sana fation muachie g nako na jux unavaa brand Ila sio fation
Yn acha2 nashindw nn niseme ila uy bado kabisa ten xn anajivexh vexha2 aombe siku akutane nawatu wanaovaa mpuuz uy
big bongee
Uyo mkuda na mabaunsa wengi ni nan uyo 😂😂😂😂😂😂
Mmmh
Uyu saiz kalewa Ayo ma Lite, ma love, hall kinuu aseeee..kinu hakiropokeshi ivo...asee
Icho kiatu ni milioni tatu ya kitanzania na koti la balman ni milioni 5 ya kibongo kwa shuguli gan hasa embu akwendre
Eti ekwendre
Yaani huyu ndio kashakuwa mwehu
Zipo izo kkoo
Famba hizo.
Janjaro umepiga Cha Arusha nini🤣🤣🤣
Nouma sana!🤣🤣🤣🤣🤣😅
N ck hiz hawez kukaa mbl ya camera pacna mawan 🙌😹
😂😂😂
Iyo dude nimeikubali is $850
1500 dollar Marekani.
@@felixluguga645 marecani ya wapi iyo ukaikuta dukani ama ni online
walimwengu 😀😀 ilo neno huezi kurikosa
Tunachelewa kufa tunachelewa kuzeeka☝️
Wivu unakusumbua ww kamuchidy blez uyooooo kione kidude😂😂😂😂😂😄 ivi ww nikuulize unacho iko kiatu kione 😂😂🤣🇰🇪
Janjorooo 😅😅😅 ukivaaje etii unapendezaa mchagaa OG apo kawaka kinoma aisee
Siyo kila anae toka kaskazini ni mchaga huyo ni mrangi
Warangi kwa matamboo😂😂😂
Kweli wewe ni dogo, bado unatamba na viatu🤣🤣
Mbona kama kalewa
Hio kiatu kariakoo ipo 350000 mwambie asitudanganye
😁😁😁😁😁
Ya kariakoo feki
You feel the wait 😅😅😅
Mashemeji wananiita bigy. .
Dogo kwenye kuvaa ss hv tumuachie diamond tu
Uyu fala kwel hahaha
Kiyato ina uza 270.000$
Chuga haijawahii kufeli Lebo ya chuga popote itashine
poa
Watu wana shindana magari
Private jet majumba wewe acha ushamba kushindana kuvaa
Kalume vipo kama vyote
😂 😂
ongea kiswahili kijana
Ni aibu kwakweli
Nyinyi wasafi amjielewi
Huu sasa ni ushoga wewe mwanamume mzima baada kuongea mambo ya msingi ya kimuziki unaanza kuongea mambo ya mavazi pengine hata umeolewa na mwanamke ndie anae kulisha na kukuvalisha
Huyo dogo aache mafix kutushika hamna kitu hapo mbna tunazo na sio bei hiyo
Vienu nyie feki tatizo
Dogo acha mbwembwe iyo sio OG iyo yako ni $200 dollars
Ya ukweli kweli ni $1200 DOGO JANJA DANGANYA WABONGO WEWE THE Artist of tanzania 🇹🇿 faking 😑 2 much
Alfred @ Hiyo original kaka na bei yake ni dollar 1,500.Tumpe credit dogo yuko vizuri sana
Bongeee
Onesha majumba, bwana n'a sio viatu kaka
Mshamba tu wewe maku na huwezi kua kama a,y coz ambwene haja wahi kua fala kama wewe
Janja 😃😃😃 bigi
Chuga man
Janja mi ni muuni wa Chuga pia lakn uache unoko laaliful 🤔
Acha ushamba janjaro..mastaa wanaonesha mijengo, private jet na magari ya kifahari, sio nguo na viatu
Unampangia matumizi ya hela za mwanaume mwenzio?
ni hatari mno ikiwa haturudishi shukrani za dhati kwa wanawake🙏ruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html
#UNAAMBIWA JAJA HANA KAZI TENA MSIKILIZE MENEJA WAKE HAPAruclips.net/video/DSkPX3IxQDg/видео.html