SIO POA! TAMBO ZA DOGO JANJA AKIONESHA VIATU, NGUO ZAKE ZA GHARAMA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • SIO POA! TAMBO ZA DOGO JANJA AKIONESHA VIATU, NGUO ZAKE ZA GHARAMA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 100

  • @pcthemaster9096
    @pcthemaster9096 2 года назад +2

    Mimi ningependa kama angefungua duka la nguo. Na sio kujigamba. Afanye biashara, au labda kuna biashara nyingine anafanya sisi atujui. Lkn. Ndio maisha aliyo chagua.

  • @jameschiper640
    @jameschiper640 2 года назад +3

    Really meaning of am living my life

  • @qualitymediaproduction
    @qualitymediaproduction 2 года назад +11

    Kama unatamani janjaro aachie ngoma gonga like apa

  • @checheblessum8343
    @checheblessum8343 2 года назад +4

    Ako tu sawa,nakama pesa iko vaa life is too short...akosawa tu sana,lamuimu ni to giveback to sociaty na kumkumbuka mungu

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 2 года назад +2

    Big up dogo janja endelea na moyo huo huo MUNGU aendelee kukusaidia ata game boi na wote washike mkono wadogo zako hongera dogo

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo 2 года назад +4

    Balmain
    Unicorn low-top sneakers
    $1,020 sawa na 2,369,000 hivi 🔥🔥🔥

  • @kyelaonlinetv2
    @kyelaonlinetv2 2 года назад +3

    Awee watuache kila mtu ana maisha yake

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 2 года назад +1

    Hujui kuvaaa brooo mr mwenyewe nakukalishaa afu weunavaaa brand sio kujuq kuvaaa (mlevi ) skuizi ndovu hakunaa unakunywaa nini sasa

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 2 года назад +4

    Nenda kwao xx iyoo nyumba ya mama yake aliomjengea ni kama mm bodaboda niliomjengea mama ilaaa Mwisho wao Hawa ni aibu

  • @Ugamax
    @Ugamax Год назад

    Nice 👍👍

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 2 года назад +1

    Nakubaliiiiii

  • @babyjohn2712
    @babyjohn2712 2 года назад +5

    Diamond anaendaga nje anapiga picha za nguo og lakin hanunui🤣🤣🤣 anajinunuliaga zara tu,na ndo anaingiza hela sa huyu anaona kila mtanzania mshamba kama yeye

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 2 года назад +1

    Hahaha ongera brother umejaribu uko sawa sana❤🇰🇪

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex433 2 года назад +5

    Madee kasaidia wasanii wengi sana 🔥🔥🔥🔥

  • @lodrickmwambene133
    @lodrickmwambene133 2 года назад

    Dogo anaisha maisha yake na nyinyi ishi ya kwenu kumponda ni kosa wakati yeye hajawatukana ukweli anajuwa yeye na mungu wake

  • @tariqabdallah763
    @tariqabdallah763 2 года назад +1

    Yani kiatu tu milioni mbili 🙌🙌🙌

  • @anthonymwambepo7441
    @anthonymwambepo7441 2 года назад +1

    Dahhh kweli janjaro bless yani kiatu tu milion 30 🤣🤣🙌🙌

  • @yazidumtulia3
    @yazidumtulia3 2 года назад +2

    Koti lakitambaa cha sofa ili bei kidogo unaweza ukuta 80000 ili

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 года назад

      Kama ni original aisee hiyo 80000 labda utoe na matako ndo upewe

  • @TheFrankTabasamboy
    @TheFrankTabasamboy 2 года назад +6

    Janja kama umeshindwa kuimba usitudanganye na viato mana mavazi sio kuimba nakama una hela kuwa manaja wawengine kama ulivyo saidiwa na Mady pale nyuma

  • @jigflou3205
    @jigflou3205 2 года назад +4

    Uyu dogo ametokeya kuwa mjinga mkubwa saana 😂😂😂

  • @jay-nyeye1900
    @jay-nyeye1900 2 года назад +8

    Huyu mwamba anavaa

  • @sharomapesataiga246
    @sharomapesataiga246 2 года назад +3

    Hahahaha hahahaha mashabiki tunamambo okay dogo janja fanya yako hapa hapa duniani yamungu mengi kijana pambana pga pamba hiyo pesa unamtafutiya nani kigambe kijana mwenzangu bgabu janjaro

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 2 года назад +1

    🔗

  • @ahmedmassoud0806
    @ahmedmassoud0806 2 года назад +3

    Wasafi mmekusudia nin kumueka shilole wakati janjaro aliposema shemeji yko😃

  • @Hope01-officiel
    @Hope01-officiel 2 года назад +7

    Njanjaro is Like a congolese 🇨🇩🇨🇩

    • @itsjustelly4948
      @itsjustelly4948 2 года назад

      Wa Congo wanapenda viatu 😂😂🫡🫡

    • @Hope01-officiel
      @Hope01-officiel 2 года назад

      @@itsjustelly4948 wana piga mdomo sana , mpaka ata na nguo ya ndani lazma wakupe beyi yake

  • @anushkabarvat3924
    @anushkabarvat3924 2 года назад +2

    Janjaro hebu acha kujizeesha wewe handsome 😍 but l don't know what you look like old man

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 2 года назад

    Ahache kudanganya watanzania uyo.
    Ivyo viatu vinapatikana china vinanunuliwa dolla 11.
    uho ni mhundo wake wakipekee ndo unakifanya kionekane cha kifahari tu.
    Anasema watu wakigugo🤣🤣🤣 kwa apo bongo watahangaika kukipata.ila kwa wale watu wanaotumia applications za china online marketing wanaweza kukipiga picha na kitatokea na bei yake hapo hapo.
    Amna kiatu apo,ni cha kipekee bongo ila akina bei yoyote ile $11 only

  • @razakiali1630
    @razakiali1630 Год назад

    Dogo big up

  • @priska4310
    @priska4310 2 года назад +1

    Mziki unaboa hatusikii vzr maongezi

  • @danielsimwanza1046
    @danielsimwanza1046 2 года назад +2

    Aujui kuvaa sio mtu wa fation unauwezo tu wa kununua vitu Kuna machalii wanavaa wew bado Sana fation muachie g nako na jux unavaa brand Ila sio fation

    • @sululuzungu9587
      @sululuzungu9587 2 года назад

      Yn acha2 nashindw nn niseme ila uy bado kabisa ten xn anajivexh vexha2 aombe siku akutane nawatu wanaovaa mpuuz uy

  • @athumanramadhan2347
    @athumanramadhan2347 2 года назад

    big bongee

  • @3malis
    @3malis 2 года назад +1

    Uyo mkuda na mabaunsa wengi ni nan uyo 😂😂😂😂😂😂

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 года назад

    Mmmh

  • @meddybar0tzmeddybar091
    @meddybar0tzmeddybar091 2 года назад +1

    Uyu saiz kalewa Ayo ma Lite, ma love, hall kinuu aseeee..kinu hakiropokeshi ivo...asee

  • @babyjohn2712
    @babyjohn2712 2 года назад +2

    Icho kiatu ni milioni tatu ya kitanzania na koti la balman ni milioni 5 ya kibongo kwa shuguli gan hasa embu akwendre

    • @aftapat5365
      @aftapat5365 2 года назад

      Eti ekwendre
      Yaani huyu ndio kashakuwa mwehu

  • @g_forcemusician4242
    @g_forcemusician4242 2 года назад +6

    Zipo izo kkoo

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад

      Famba hizo.

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 2 года назад +3

    Janjaro umepiga Cha Arusha nini🤣🤣🤣

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 2 года назад +2

    Iyo dude nimeikubali is $850

  • @braynbreezyoficial666
    @braynbreezyoficial666 2 года назад +1

    walimwengu 😀😀 ilo neno huezi kurikosa

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 2 года назад +1

    Tunachelewa kufa tunachelewa kuzeeka☝️

    • @mwanashagladys4581
      @mwanashagladys4581 2 года назад

      Wivu unakusumbua ww kamuchidy blez uyooooo kione kidude😂😂😂😂😂😄 ivi ww nikuulize unacho iko kiatu kione 😂😂🤣🇰🇪

  • @djswai3484
    @djswai3484 2 года назад +1

    Janjorooo 😅😅😅 ukivaaje etii unapendezaa mchagaa OG apo kawaka kinoma aisee

    • @edwardtrigga5701
      @edwardtrigga5701 2 года назад

      Siyo kila anae toka kaskazini ni mchaga huyo ni mrangi

  • @saidihalilimikidadi1848
    @saidihalilimikidadi1848 2 года назад +1

    Warangi kwa matamboo😂😂😂

  • @innocent__tz
    @innocent__tz 2 года назад +1

    Kweli wewe ni dogo, bado unatamba na viatu🤣🤣

  • @michaellagwen8198
    @michaellagwen8198 2 года назад +1

    Mbona kama kalewa

  • @michaelalex2954
    @michaelalex2954 2 года назад +1

    Hio kiatu kariakoo ipo 350000 mwambie asitudanganye

  • @JohnPaul-ch5mw
    @JohnPaul-ch5mw 2 года назад

    You feel the wait 😅😅😅

  • @mlachakeofficial8289
    @mlachakeofficial8289 2 года назад +4

    Mashemeji wananiita bigy. .

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 2 года назад +3

    Dogo kwenye kuvaa ss hv tumuachie diamond tu

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 2 года назад +1

    Uyu fala kwel hahaha

  • @denisendagano8326
    @denisendagano8326 2 года назад

    Kiyato ina uza 270.000$

  • @ingopasco5526
    @ingopasco5526 2 года назад +2

    Chuga haijawahii kufeli Lebo ya chuga popote itashine

  • @josephcairo2225
    @josephcairo2225 2 года назад +1

    poa

  • @mozespatinam9296
    @mozespatinam9296 2 года назад +1

    Watu wana shindana magari
    Private jet majumba wewe acha ushamba kushindana kuvaa

  • @key.one_tz2767
    @key.one_tz2767 2 года назад +3

    Kalume vipo kama vyote

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 2 года назад +1

    ongea kiswahili kijana

  • @kandoromwamba505
    @kandoromwamba505 2 года назад +1

    Nyinyi wasafi amjielewi

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 2 года назад +1

    Huu sasa ni ushoga wewe mwanamume mzima baada kuongea mambo ya msingi ya kimuziki unaanza kuongea mambo ya mavazi pengine hata umeolewa na mwanamke ndie anae kulisha na kukuvalisha

  • @elmiaxmed6870
    @elmiaxmed6870 2 года назад +1

    Huyo dogo aache mafix kutushika hamna kitu hapo mbna tunazo na sio bei hiyo

  • @alfredalfred9990
    @alfredalfred9990 2 года назад +2

    Dogo acha mbwembwe iyo sio OG iyo yako ni $200 dollars
    Ya ukweli kweli ni $1200 DOGO JANJA DANGANYA WABONGO WEWE THE Artist of tanzania 🇹🇿 faking 😑 2 much

    • @felixluguga645
      @felixluguga645 2 года назад

      Alfred @ Hiyo original kaka na bei yake ni dollar 1,500.Tumpe credit dogo yuko vizuri sana

  • @kennedykisaghu6888
    @kennedykisaghu6888 2 года назад +2

    Bongeee

  • @solangekubota9487
    @solangekubota9487 2 года назад

    Onesha majumba, bwana n'a sio viatu kaka

  • @chefaziz6913
    @chefaziz6913 2 года назад +2

    Mshamba tu wewe maku na huwezi kua kama a,y coz ambwene haja wahi kua fala kama wewe

  • @omariondesmart9426
    @omariondesmart9426 2 года назад

    Janja 😃😃😃 bigi

  • @simontemba1851
    @simontemba1851 2 года назад +1

    Chuga man

  • @bonnysure8706
    @bonnysure8706 2 года назад

    Janja mi ni muuni wa Chuga pia lakn uache unoko laaliful 🤔

  • @emmanueltarimo892
    @emmanueltarimo892 2 года назад +2

    Acha ushamba janjaro..mastaa wanaonesha mijengo, private jet na magari ya kifahari, sio nguo na viatu

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 года назад

      Unampangia matumizi ya hela za mwanaume mwenzio?

  • @benrhymes_1229
    @benrhymes_1229 2 года назад +2

    ni hatari mno ikiwa haturudishi shukrani za dhati kwa wanawake🙏ruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html

  • @whitelove_og369
    @whitelove_og369 2 года назад +1

    #UNAAMBIWA JAJA HANA KAZI TENA MSIKILIZE MENEJA WAKE HAPAruclips.net/video/DSkPX3IxQDg/видео.html