Eh Mungu kwa nini inchi yetu Congo tulitenda zambi gani ambayo huwezi kutusamehe eh mungu wetu, Sikia maombi ya wana wako vile tunavyo kulilia, tunajuwa ya kwamba una uwezo kusimamisha vita katika inchi yetu ambayo ulitubariki nayo, tukumbuke Mungu wetu asiye lala.
Congo mungu tu yepeke nimachozi mchana nausiku inauma sana e mungu sisi kwanini 😭😭😭😭😭🤦🤦🤦🤦🤦
Eh Mungu kwa nini inchi yetu Congo tulitenda zambi gani ambayo huwezi kutusamehe eh mungu wetu, Sikia maombi ya wana wako vile tunavyo kulilia, tunajuwa ya kwamba una uwezo kusimamisha vita katika inchi yetu ambayo ulitubariki nayo, tukumbuke Mungu wetu asiye lala.
Pole kwetu sote wanna wa fizi
Barikiwa sana kwa kazi nzuri ya kutangaza injili kupatia nyimbo hizi
hakika wimbo huu umenitoa machozi,barikiweni sana pia Sunday mlitubariki kanisani kwetu elim
Amen asant kwa kazi kubwa
Mbarikiwe
Mmbarikie sana
One of my songs all the times.
Ichi ya ngu