PROMISE EP 01 | love story 💕 || House Girl

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • #housegirl #busatitv #bongomovies

Комментарии • 185

  • @FazilimariamMariam
    @FazilimariamMariam 14 дней назад +16

    Nawapenda sana dazuu ebu njo burundi jamani nakupenda wewe na nakai na zatiti

  • @WardaSuleimn
    @WardaSuleimn 13 дней назад +20

    Dah jmn anaemuona zatiti kila Kona akilia alike apa😭😭😭

    • @RobertMalay
      @RobertMalay 11 дней назад

      🤣🤣🤣 Kila movie yy kilio2🤣

  • @EsterJapheth
    @EsterJapheth 7 дней назад +1

    Muvi zenu ni Kali sana mpo vizuri ❤️❤️❤️❤️

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 7 дней назад +1

    Samir uko vizuri nlikukubali kwa love bite kule team ruta🎉🎉🎉

  • @ZamzamMusa-ve5tc
    @ZamzamMusa-ve5tc 13 дней назад +5

    Movie akiwepo zatity na zuu iyo siachi kuangalia nawapenda sana ❤❤❤❤

  • @SamsonRandu-h9u
    @SamsonRandu-h9u 13 дней назад +6

    Malizeni house girl Kwanza kina zuuh❤❤

  • @ZamzamMusa-ve5tc
    @ZamzamMusa-ve5tc 14 дней назад +7

    Kila movie zatity kulizwa na mapenzi jamani nani atampenda zatity 😢😢😢ila pole sana

  • @kidempunga4337
    @kidempunga4337 13 дней назад +1

    Kazi nzuri sana mungu awabariki hamjawahi kukosea

  • @busatitv
    @busatitv 13 дней назад +5

    Hii nayo kaliiiii vijana safi sana

  • @MyimunaTz
    @MyimunaTz 14 дней назад +31

    Mmmmmm mbona Leo mumewangu ataniuwa mana najikuta nalusha muve mboga sija nunua saiz mungu wangu

  • @ummuali3090
    @ummuali3090 13 дней назад +1

    Zatiti unajua kuziplay hizi pati,hongera

  • @WardaKambi
    @WardaKambi 13 дней назад +14

    Zatit umerogwa na mapenz Kila siku unatendwa ww na kulia kwenye mapenz 😊😊😊😊😊

    • @AnnaWaswa
      @AnnaWaswa 13 дней назад +1

      Ukweli uyo zatity amerogwa ashwa😂😂😂

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 13 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @RobertMalay
      @RobertMalay 11 дней назад

      🤣🤣🤣

    • @MwanakomboHassan-kp8vy
      @MwanakomboHassan-kp8vy 10 дней назад

      Yani huyu zatiti kila move yeye hana furaha kilio tu kwake yeye

  • @Hopekiti
    @Hopekiti 13 дней назад +4

    Ila daa pili maboga wanifurahisha hatari,, una vichambo... eti vinywele vinkusimama kma mkutano wa nzi😂😂😂

  • @stevencosmas
    @stevencosmas 8 дней назад +1

    Da mvi zuli ila zuu nimempenda bure anaweza sana kuicheza karata yake tena nizuli ninge muona alive ningependa.nimuowe kabiza.❤❤❤❤❤❤❤

  • @celinaFoya
    @celinaFoya 8 дней назад +2

    Nawapenda Sana busati ❤❤❤

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 13 дней назад +2

    Jaman movie ikiwa na dapili huwa yanoga na dazuu aky kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @YusuphChisagwa
    @YusuphChisagwa 13 дней назад +1

    Jamabu mtatua kwa kazi mzuri mi nipo lebanoni

  • @Saidahkims
    @Saidahkims 9 дней назад

    Zatiti kila movie unalia tu sababu mapenzi wooooi bona ivi zatiti

  • @Maimuna-n3z
    @Maimuna-n3z 12 дней назад +1

    Da pil uko vizur sana mwaaaaaa

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 13 дней назад +2

    Zatiti badilisha karata usije ikakuzoea iwe kweli utuumize wenzio mi sipend uwe unalia mzur wangu wew❤❤❤

  • @FatumaFeso
    @FatumaFeso 13 дней назад +2

    Wee zatiti ntakugota sasa cpend unavyolia kila movie ila nakupenda sana 🎉🎉🎉🎉

  • @FelistusKimanzi-f2g
    @FelistusKimanzi-f2g 13 дней назад +1

    Nice one

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 13 дней назад +1

    Jamani zatt ww tena pole Sana mapenzi hayanaga sujaa lkn zatt hebu muache aende utapata mwengine

  • @Zainab-v2q2o
    @Zainab-v2q2o 13 дней назад +9

    Zatiti chukua mau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @CarolMwikali-q5v
    @CarolMwikali-q5v 13 дней назад +1

    Jamani zatiti kila movie analia tuu ju ya mapenzi,,jameni mjaribu kumpenda tuu🎉🎉❤

  • @ZekaniS
    @ZekaniS 13 дней назад +1

    Pili bhana eti meno kama folen ya madumu😂😂❤❤❤

  • @AnnastaziaVicent
    @AnnastaziaVicent 14 дней назад +10

    Jamani wapili Leo ❤❤❤

  • @ShànyjumaaJumaashany
    @ShànyjumaaJumaashany 13 дней назад +1

    Na wapenda sana kazi juyakazi

  • @mwanaally4972
    @mwanaally4972 13 дней назад +1

    Mmmh mam ake zuu ni wa motooo 😂😂

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 13 дней назад +2

    Wooooh nilimpeza pili maboga kitambo😂😂❤❤

  • @MariaMartin-vf6eq
    @MariaMartin-vf6eq 8 дней назад

    ila zatiti sijui kwann nampenda

  • @JaneMwambui-uy7dw
    @JaneMwambui-uy7dw 13 дней назад +1

    Zatiti kila mahali ww ni wa machozi nakupenda ❤❤❤

  • @auntmakochela4202
    @auntmakochela4202 9 дней назад

    Zatiti 😂😂😂😂 kwenye ubora wake kila move yy ijawahi kumuacha Salama ni vilio tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EnjoyJosephElikana
    @EnjoyJosephElikana 13 дней назад +2

    Zuu tunakupenda pamoja na za titi munatufunza mengi sana nakai

  • @johactor
    @johactor 13 дней назад +1

    Kali sana wanangu

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 13 дней назад +3

    We zatiti uyo pia yuwakutoa machozi mwenyewe kama mwizi wakuku😂😂 ayo machozi yko yamekuwa kama yamwanamke wakihidi

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 12 дней назад

      Shart lenye amevaa linamikunjo utadhani nyumba ya kunguni 😂😂😂😂😅😅😅kisha zatiti amlilia

    • @Gladys-254
      @Gladys-254 12 дней назад

      Kwenye mapenzi ya dhati silazima uangalie mavazi

  • @MirriamWanjala-h2r
    @MirriamWanjala-h2r 13 дней назад +1

    Jamani zatiti umelia sana Kila mahali dada ya watu analia to

  • @RuuHassan-ik4ws
    @RuuHassan-ik4ws 13 дней назад +1

    Zatiti kila muvi uko kwenye kulia tuu inaonesha unapenda sana uko kulia jmn polee

  • @DomitilaEmily
    @DomitilaEmily 13 дней назад +1

    Zatiti na zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @MaryianKea
    @MaryianKea 10 дней назад

    Mganga ngonde kimamura ehee njaa njaaa😂😂😂😂😂

  • @fammamaboko6543
    @fammamaboko6543 13 дней назад +2

    Tobaaaaaa🙆
    Busati TV mtanisababishia nifukuzwe kibarua ni dah kila mda movie iyo nipo data naweka mwezi ili nisikose yajao ya Busati TV 🎉

  • @LoiceLoice-c1b
    @LoiceLoice-c1b 14 дней назад +5

    😂😂😂😂Huy mama yke zuu Sio Kwa michambo hiy

    • @GloryKabdzo
      @GloryKabdzo 13 дней назад

      😂😂😂😂Chezea pili maboga wewee

    • @MwanajumaMwinzi
      @MwanajumaMwinzi 13 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Betty-t9q
    @Betty-t9q 13 дней назад +3

    Duu!Anaemuona zatiti kila movie analia,like tukisonga

  • @EzekiaMsemwa-sk7ow
    @EzekiaMsemwa-sk7ow 10 дней назад +1

    Zatiti anauzi sasa movie zote analia na wanaume

  • @IddiMiraji-w8h
    @IddiMiraji-w8h 6 дней назад

    Movi nzuri sana❤❤❤❤❤

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 13 дней назад +5

    Mjuba💯hudochi💯 Maya 💯nawote mlocheza mmetenda haki

  • @omarywangala161
    @omarywangala161 11 дней назад +1

    Jamani zatiti muoneeni huruma yaani yeye kila move ni wakulia tu mda wote 😂😂😂

  • @lovenesskyungai7882
    @lovenesskyungai7882 13 дней назад +1

    I get you😂😂😂

  • @ThamimaRajabu-bs2nd
    @ThamimaRajabu-bs2nd 13 дней назад +1

    ❤❤❤

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 13 дней назад +1

    Ahhh me nshaboeka kuona zatiti analia tena ahhh

  • @افااقع
    @افااقع 13 дней назад +1

    Zatity acha tukupe mkenya akutuluze kwa mapenzi juu umelia sana huko tz kuja kenya mamaa

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 13 дней назад +2

    Zatiti Unafaa Tukufanyie Maombe Cyo Kwa Yatika Wa Mapenzi Kiasi Icho Kila Maali Unaachwa Duuu Aliekurogwa Alikurugwa Kweliii😢😢😢😢😂😂😂😂

  • @pendochacha1326
    @pendochacha1326 14 дней назад +3

    Leo mm wannee

  • @PWEZATV
    @PWEZATV 13 дней назад

    Kazi yamoto

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 13 дней назад +1

    Bongee moja la kazii alooooo💯🔥🔥🔥💯

  • @SomoeBatuli
    @SomoeBatuli 13 дней назад

    Safi kaz nzuri

  • @SalumMathias-bt2us
    @SalumMathias-bt2us 13 дней назад +1

    Jmn huyu mama anaharibu
    Anabwata sana hatakama ni ndo kuigiza ila anatuumiza masikio bhna😅😅😂

  • @ManfeitaShahbani
    @ManfeitaShahbani 11 дней назад +1

    Jmn zatit mtamkaush machoz kila sehem analia

  • @BabyvisterMjeni
    @BabyvisterMjeni 12 дней назад +1

    Yaan zatiti na zuu ndio wa kulia katik😂😂 hii busati

  • @AbigaelVosevya
    @AbigaelVosevya 14 дней назад +4

    Wa kwanza leo

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 10 дней назад +2

    Meno kama folen za madumu😅😅

  • @thhtthht1485
    @thhtthht1485 13 дней назад +1

    Mbona huyu zatiti kila move analia hivo

  • @FatumaSaidi-l9z
    @FatumaSaidi-l9z 8 дней назад

    Da zatiti mapenz yamekutenga sana

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 13 дней назад +1

    Zatiti tunaomba in the next movie uwe na furahaa tena wala sio uzuni maana pia Sisi tunauzinika mno😢😢

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 10 дней назад +1

    Zatiti wangu hatuchekani sote ni yatima wa mapenzi nakupnda mno❤❤

  • @jpizzo7938
    @jpizzo7938 13 дней назад +1

    Samir we fundii nakuona kama shurkan baba kamuaa baba😊

  • @ZanuraJumanne
    @ZanuraJumanne 13 дней назад +1

    Zatiti unann lakin mbona kila move unalia too pole sana unatia huruma

  • @Christinasalim-j5h
    @Christinasalim-j5h 13 дней назад +1

    Mweee zatiti polee mwayaaa

  • @maryammaryam7354
    @maryammaryam7354 13 дней назад +2

    Zatiti hio pat waieza kulia 😂😂😂😂😂😂

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf 13 дней назад +2

    Tausi wanaume 5 kwa uchi gan 😂😂😂😂😂

  • @MarthaPastory-o7g
    @MarthaPastory-o7g 13 дней назад +1

    Zatiti kipenzi umetendwa tena jamani 😂😂😂

  • @SalomengandiNzungu-it5ph
    @SalomengandiNzungu-it5ph 13 дней назад +1

    Nimeshagundua kua zatiti hiki ni kipaji chake ssa chakulia maskini waaah😢😢😢😢

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 13 дней назад +1

    ❤❤❤❤🎉

  • @Bintnailah
    @Bintnailah 13 дней назад +1

    Tena huyo mama kelele yuko huku daah!😂😂😂😂

  • @khantz974
    @khantz974 11 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ImeldaGaitan
    @ImeldaGaitan 13 дней назад +4

    Zatiti kwa kulia jamani had unanipa uchungu.lakini kazi nzuri ❤

  • @SabrahNibuka
    @SabrahNibuka 13 дней назад +1

    Agachuuu😂😂😂 pili maboga ❤

  • @zeyadazeyada8050
    @zeyadazeyada8050 13 дней назад +1

    Pili maboga jamani miss you too much

  • @NeemaElias-n8j
    @NeemaElias-n8j 14 дней назад +5

    Wasita jamani leo habali zenu wapenzi wa zuu na kai itika kwa kugonga like hapa

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba 13 дней назад +1

    Zatiti huna nyota ya mapenzi jamanii 😢😢

  • @MyMobile-ee6iv
    @MyMobile-ee6iv 10 дней назад

    Uyu zatiti Kila muvi ni wakulizwa na mapenzi, mpenzi furaha kwenye muvi nyengine

  • @eshanjira6203
    @eshanjira6203 13 дней назад +5

    Hio agachu ya pili maboga mimi ndio I like😂

  • @Mwanalimamasumbo
    @Mwanalimamasumbo 10 дней назад +1

    😂😂😂😂dada mcharuko ndani ya nyumba 😂😂😂

  • @khadijakheiri5745
    @khadijakheiri5745 13 дней назад +2

    Eti kibushuti,mbegu ya kongo😂😂😂😂😂😂

  • @MejuSimba
    @MejuSimba 12 дней назад +1

    Jamani zatiti mbona yuwateswa na mapenzi kwenye Kila filamu

  • @MimiMunezero
    @MimiMunezero 12 дней назад +1

    Zatiti wangu maskini yamungu kilasikunalia

  • @محمدسعود-ق5ف7ك
    @محمدسعود-ق5ف7ك 13 дней назад +1

    Ila huyu mama ananifuraisha kwel😂😂😂

  • @SalomeKija
    @SalomeKija 13 дней назад +2

    Zatity kila sehemu ni kulia tu 😢

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 13 дней назад +1

    Mmmmmmmmzatiti ww kuliatuu

  • @JohorahassanHadi
    @JohorahassanHadi 13 дней назад +1

    Jamani zatiti kila movie walia

  • @BerthaDickson-t8s
    @BerthaDickson-t8s 13 дней назад +1

    Jamani mbona mnamliza zatiti na mapenzi muoneeni huruma zatiti

  • @AyshaSalumu
    @AyshaSalumu 12 дней назад +1

    Ngonde Leo msela 😂😂😂

  • @hassanammy4343
    @hassanammy4343 13 дней назад +1

    Nomaaaaa

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 13 дней назад +1

    Hii movie imechangamka nanuyu mamake zuu😂😂😂jamani niko kazini mtanifanya kibarua kiote nyasi😅

  • @fredstarch5184
    @fredstarch5184 13 дней назад

    Mh move kali sanaaaaaah

  • @PhorahMahaza-o5b
    @PhorahMahaza-o5b 11 дней назад +2

    Pili maboga jmn nimefurahi kukuona 😂😂😂

  • @DoryboniphaceCosta
    @DoryboniphaceCosta Час назад

    ❤❤❤❤❤nawapenda jmn mnaigiza mpk nawatamani

  • @AishaRamadan-ik7ip
    @AishaRamadan-ik7ip 9 дней назад

    jmn mbn zatiti munamuonea sana kila sehemu yeye nikulia tu jmn 😢😢😢

  • @GalaxyA-ve8tu
    @GalaxyA-ve8tu 11 дней назад +1

    Wange badilisha kidogo kuhusu zatiti

  • @PhanyKemunto
    @PhanyKemunto 13 дней назад +2

    Zatiti unazidi kwa kulia unaanza kunikera