Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nawapenda sana dazuu ebu njo burundi jamani nakupenda wewe na nakai na zatiti
Dah jmn anaemuona zatiti kila Kona akilia alike apa😭😭😭
🤣🤣🤣 Kila movie yy kilio2🤣
Muvi zenu ni Kali sana mpo vizuri ❤️❤️❤️❤️
Samir uko vizuri nlikukubali kwa love bite kule team ruta🎉🎉🎉
Movie akiwepo zatity na zuu iyo siachi kuangalia nawapenda sana ❤❤❤❤
Pammoja
Malizeni house girl Kwanza kina zuuh❤❤
Kila movie zatity kulizwa na mapenzi jamani nani atampenda zatity 😢😢😢ila pole sana
Kazi nzuri sana mungu awabariki hamjawahi kukosea
Hii nayo kaliiiii vijana safi sana
Mmmmmm mbona Leo mumewangu ataniuwa mana najikuta nalusha muve mboga sija nunua saiz mungu wangu
😂😂😂
Chezea busati 😂
Ahahhaha
😂😂😂😂😂
Wewe 😂😂😂😂
Zatiti unajua kuziplay hizi pati,hongera
Zatit umerogwa na mapenz Kila siku unatendwa ww na kulia kwenye mapenz 😊😊😊😊😊
Ukweli uyo zatity amerogwa ashwa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Yani huyu zatiti kila move yeye hana furaha kilio tu kwake yeye
Ila daa pili maboga wanifurahisha hatari,, una vichambo... eti vinywele vinkusimama kma mkutano wa nzi😂😂😂
Da mvi zuli ila zuu nimempenda bure anaweza sana kuicheza karata yake tena nizuli ninge muona alive ningependa.nimuowe kabiza.❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda Sana busati ❤❤❤
Jaman movie ikiwa na dapili huwa yanoga na dazuu aky kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamabu mtatua kwa kazi mzuri mi nipo lebanoni
Zatiti kila movie unalia tu sababu mapenzi wooooi bona ivi zatiti
Da pil uko vizur sana mwaaaaaa
Zatiti badilisha karata usije ikakuzoea iwe kweli utuumize wenzio mi sipend uwe unalia mzur wangu wew❤❤❤
Wee zatiti ntakugota sasa cpend unavyolia kila movie ila nakupenda sana 🎉🎉🎉🎉
Nice one
Jamani zatt ww tena pole Sana mapenzi hayanaga sujaa lkn zatt hebu muache aende utapata mwengine
Zatiti chukua mau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani zatiti kila movie analia tuu ju ya mapenzi,,jameni mjaribu kumpenda tuu🎉🎉❤
Pili bhana eti meno kama folen ya madumu😂😂❤❤❤
Jamani wapili Leo ❤❤❤
Na wapenda sana kazi juyakazi
Mmmh mam ake zuu ni wa motooo 😂😂
Wooooh nilimpeza pili maboga kitambo😂😂❤❤
ila zatiti sijui kwann nampenda
Zatiti kila mahali ww ni wa machozi nakupenda ❤❤❤
Zatiti 😂😂😂😂 kwenye ubora wake kila move yy ijawahi kumuacha Salama ni vilio tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zuu tunakupenda pamoja na za titi munatufunza mengi sana nakai
Kali sana wanangu
We zatiti uyo pia yuwakutoa machozi mwenyewe kama mwizi wakuku😂😂 ayo machozi yko yamekuwa kama yamwanamke wakihidi
Shart lenye amevaa linamikunjo utadhani nyumba ya kunguni 😂😂😂😂😅😅😅kisha zatiti amlilia
Kwenye mapenzi ya dhati silazima uangalie mavazi
Jamani zatiti umelia sana Kila mahali dada ya watu analia to
Zatiti kila muvi uko kwenye kulia tuu inaonesha unapenda sana uko kulia jmn polee
Zatiti na zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Mganga ngonde kimamura ehee njaa njaaa😂😂😂😂😂
Tobaaaaaa🙆Busati TV mtanisababishia nifukuzwe kibarua ni dah kila mda movie iyo nipo data naweka mwezi ili nisikose yajao ya Busati TV 🎉
😂😂😂😂Huy mama yke zuu Sio Kwa michambo hiy
😂😂😂😂Chezea pili maboga wewee
😂😂😂😂😂😂😂😂
Duu!Anaemuona zatiti kila movie analia,like tukisonga
Zatiti anauzi sasa movie zote analia na wanaume
Movi nzuri sana❤❤❤❤❤
Mjuba💯hudochi💯 Maya 💯nawote mlocheza mmetenda haki
❤❤❤
❤❤🎉
Jamani zatiti muoneeni huruma yaani yeye kila move ni wakulia tu mda wote 😂😂😂
I get you😂😂😂
Ahhh me nshaboeka kuona zatiti analia tena ahhh
Zatity acha tukupe mkenya akutuluze kwa mapenzi juu umelia sana huko tz kuja kenya mamaa
Zatiti Unafaa Tukufanyie Maombe Cyo Kwa Yatika Wa Mapenzi Kiasi Icho Kila Maali Unaachwa Duuu Aliekurogwa Alikurugwa Kweliii😢😢😢😢😂😂😂😂
Leo mm wannee
Kazi yamoto
Bongee moja la kazii alooooo💯🔥🔥🔥💯
❤❤❤🎉
Safi kaz nzuri
Jmn huyu mama anaharibu Anabwata sana hatakama ni ndo kuigiza ila anatuumiza masikio bhna😅😅😂
Punguza sauti
Jmn zatit mtamkaush machoz kila sehem analia
Yaan zatiti na zuu ndio wa kulia katik😂😂 hii busati
Wa kwanza leo
Meno kama folen za madumu😅😅
Mbona huyu zatiti kila move analia hivo
Da zatiti mapenz yamekutenga sana
Zatiti tunaomba in the next movie uwe na furahaa tena wala sio uzuni maana pia Sisi tunauzinika mno😢😢
Zatiti wangu hatuchekani sote ni yatima wa mapenzi nakupnda mno❤❤
Samir we fundii nakuona kama shurkan baba kamuaa baba😊
Zatiti unann lakin mbona kila move unalia too pole sana unatia huruma
Mweee zatiti polee mwayaaa
Zatiti hio pat waieza kulia 😂😂😂😂😂😂
Tausi wanaume 5 kwa uchi gan 😂😂😂😂😂
😂😂
Zatiti kipenzi umetendwa tena jamani 😂😂😂
Nimeshagundua kua zatiti hiki ni kipaji chake ssa chakulia maskini waaah😢😢😢😢
❤❤❤❤🎉
Tena huyo mama kelele yuko huku daah!😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
Zatiti kwa kulia jamani had unanipa uchungu.lakini kazi nzuri ❤
Agachuuu😂😂😂 pili maboga ❤
Pili maboga jamani miss you too much
Wasita jamani leo habali zenu wapenzi wa zuu na kai itika kwa kugonga like hapa
Zatiti huna nyota ya mapenzi jamanii 😢😢
Uyu zatiti Kila muvi ni wakulizwa na mapenzi, mpenzi furaha kwenye muvi nyengine
Hio agachu ya pili maboga mimi ndio I like😂
😂😂😂😂dada mcharuko ndani ya nyumba 😂😂😂
Eti kibushuti,mbegu ya kongo😂😂😂😂😂😂
Jamani zatiti mbona yuwateswa na mapenzi kwenye Kila filamu
Zatiti wangu maskini yamungu kilasikunalia
Ila huyu mama ananifuraisha kwel😂😂😂
Zatity kila sehemu ni kulia tu 😢
Mmmmmmmmzatiti ww kuliatuu
Jamani zatiti kila movie walia
Jamani mbona mnamliza zatiti na mapenzi muoneeni huruma zatiti
Ngonde Leo msela 😂😂😂
Nomaaaaa
Hii movie imechangamka nanuyu mamake zuu😂😂😂jamani niko kazini mtanifanya kibarua kiote nyasi😅
Mh move kali sanaaaaaah
Pili maboga jmn nimefurahi kukuona 😂😂😂
❤❤❤❤❤nawapenda jmn mnaigiza mpk nawatamani
jmn mbn zatiti munamuonea sana kila sehemu yeye nikulia tu jmn 😢😢😢
Wange badilisha kidogo kuhusu zatiti
Zatiti unazidi kwa kulia unaanza kunikera
🤣🤣🤣🤣
Nawapenda sana dazuu ebu njo burundi jamani nakupenda wewe na nakai na zatiti
Dah jmn anaemuona zatiti kila Kona akilia alike apa😭😭😭
🤣🤣🤣 Kila movie yy kilio2🤣
Muvi zenu ni Kali sana mpo vizuri ❤️❤️❤️❤️
Samir uko vizuri nlikukubali kwa love bite kule team ruta🎉🎉🎉
Movie akiwepo zatity na zuu iyo siachi kuangalia nawapenda sana ❤❤❤❤
Pammoja
Malizeni house girl Kwanza kina zuuh❤❤
Kila movie zatity kulizwa na mapenzi jamani nani atampenda zatity 😢😢😢ila pole sana
Kazi nzuri sana mungu awabariki hamjawahi kukosea
Hii nayo kaliiiii vijana safi sana
Mmmmmm mbona Leo mumewangu ataniuwa mana najikuta nalusha muve mboga sija nunua saiz mungu wangu
😂😂😂
Chezea busati 😂
Ahahhaha
😂😂😂😂😂
Wewe 😂😂😂😂
Zatiti unajua kuziplay hizi pati,hongera
Zatit umerogwa na mapenz Kila siku unatendwa ww na kulia kwenye mapenz 😊😊😊😊😊
Ukweli uyo zatity amerogwa ashwa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Yani huyu zatiti kila move yeye hana furaha kilio tu kwake yeye
Ila daa pili maboga wanifurahisha hatari,, una vichambo... eti vinywele vinkusimama kma mkutano wa nzi😂😂😂
Da mvi zuli ila zuu nimempenda bure anaweza sana kuicheza karata yake tena nizuli ninge muona alive ningependa.nimuowe kabiza.❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda Sana busati ❤❤❤
Jaman movie ikiwa na dapili huwa yanoga na dazuu aky kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamabu mtatua kwa kazi mzuri mi nipo lebanoni
Zatiti kila movie unalia tu sababu mapenzi wooooi bona ivi zatiti
Da pil uko vizur sana mwaaaaaa
Zatiti badilisha karata usije ikakuzoea iwe kweli utuumize wenzio mi sipend uwe unalia mzur wangu wew❤❤❤
Wee zatiti ntakugota sasa cpend unavyolia kila movie ila nakupenda sana 🎉🎉🎉🎉
Nice one
Jamani zatt ww tena pole Sana mapenzi hayanaga sujaa lkn zatt hebu muache aende utapata mwengine
Zatiti chukua mau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani zatiti kila movie analia tuu ju ya mapenzi,,jameni mjaribu kumpenda tuu🎉🎉❤
Pili bhana eti meno kama folen ya madumu😂😂❤❤❤
Jamani wapili Leo ❤❤❤
Na wapenda sana kazi juyakazi
Mmmh mam ake zuu ni wa motooo 😂😂
Wooooh nilimpeza pili maboga kitambo😂😂❤❤
ila zatiti sijui kwann nampenda
Zatiti kila mahali ww ni wa machozi nakupenda ❤❤❤
Zatiti 😂😂😂😂 kwenye ubora wake kila move yy ijawahi kumuacha Salama ni vilio tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zuu tunakupenda pamoja na za titi munatufunza mengi sana nakai
Kali sana wanangu
We zatiti uyo pia yuwakutoa machozi mwenyewe kama mwizi wakuku😂😂 ayo machozi yko yamekuwa kama yamwanamke wakihidi
Shart lenye amevaa linamikunjo utadhani nyumba ya kunguni 😂😂😂😂😅😅😅kisha zatiti amlilia
Kwenye mapenzi ya dhati silazima uangalie mavazi
Jamani zatiti umelia sana Kila mahali dada ya watu analia to
Zatiti kila muvi uko kwenye kulia tuu inaonesha unapenda sana uko kulia jmn polee
Zatiti na zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Mganga ngonde kimamura ehee njaa njaaa😂😂😂😂😂
Tobaaaaaa🙆
Busati TV mtanisababishia nifukuzwe kibarua ni dah kila mda movie iyo nipo data naweka mwezi ili nisikose yajao ya Busati TV 🎉
😂😂😂😂Huy mama yke zuu Sio Kwa michambo hiy
😂😂😂😂Chezea pili maboga wewee
😂😂😂😂😂😂😂😂
Duu!Anaemuona zatiti kila movie analia,like tukisonga
Zatiti anauzi sasa movie zote analia na wanaume
Movi nzuri sana❤❤❤❤❤
Mjuba💯hudochi💯 Maya 💯nawote mlocheza mmetenda haki
❤❤❤
❤❤🎉
Jamani zatiti muoneeni huruma yaani yeye kila move ni wakulia tu mda wote 😂😂😂
I get you😂😂😂
❤❤❤
Ahhh me nshaboeka kuona zatiti analia tena ahhh
Zatity acha tukupe mkenya akutuluze kwa mapenzi juu umelia sana huko tz kuja kenya mamaa
Zatiti Unafaa Tukufanyie Maombe Cyo Kwa Yatika Wa Mapenzi Kiasi Icho Kila Maali Unaachwa Duuu Aliekurogwa Alikurugwa Kweliii😢😢😢😢😂😂😂😂
Leo mm wannee
Kazi yamoto
Bongee moja la kazii alooooo💯🔥🔥🔥💯
❤❤❤🎉
Safi kaz nzuri
Jmn huyu mama anaharibu
Anabwata sana hatakama ni ndo kuigiza ila anatuumiza masikio bhna😅😅😂
Punguza sauti
Jmn zatit mtamkaush machoz kila sehem analia
Yaan zatiti na zuu ndio wa kulia katik😂😂 hii busati
Wa kwanza leo
Meno kama folen za madumu😅😅
Mbona huyu zatiti kila move analia hivo
Da zatiti mapenz yamekutenga sana
Zatiti tunaomba in the next movie uwe na furahaa tena wala sio uzuni maana pia Sisi tunauzinika mno😢😢
Zatiti wangu hatuchekani sote ni yatima wa mapenzi nakupnda mno❤❤
Samir we fundii nakuona kama shurkan baba kamuaa baba😊
Zatiti unann lakin mbona kila move unalia too pole sana unatia huruma
Mweee zatiti polee mwayaaa
Zatiti hio pat waieza kulia 😂😂😂😂😂😂
Tausi wanaume 5 kwa uchi gan 😂😂😂😂😂
😂😂
Zatiti kipenzi umetendwa tena jamani 😂😂😂
Nimeshagundua kua zatiti hiki ni kipaji chake ssa chakulia maskini waaah😢😢😢😢
❤❤❤❤🎉
Tena huyo mama kelele yuko huku daah!😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
Zatiti kwa kulia jamani had unanipa uchungu.lakini kazi nzuri ❤
Agachuuu😂😂😂 pili maboga ❤
Pili maboga jamani miss you too much
Wasita jamani leo habali zenu wapenzi wa zuu na kai itika kwa kugonga like hapa
Zatiti huna nyota ya mapenzi jamanii 😢😢
Uyu zatiti Kila muvi ni wakulizwa na mapenzi, mpenzi furaha kwenye muvi nyengine
Hio agachu ya pili maboga mimi ndio I like😂
😂😂😂😂dada mcharuko ndani ya nyumba 😂😂😂
Eti kibushuti,mbegu ya kongo😂😂😂😂😂😂
Jamani zatiti mbona yuwateswa na mapenzi kwenye Kila filamu
Zatiti wangu maskini yamungu kilasikunalia
Ila huyu mama ananifuraisha kwel😂😂😂
Zatity kila sehemu ni kulia tu 😢
Mmmmmmmmzatiti ww kuliatuu
Jamani zatiti kila movie walia
Jamani mbona mnamliza zatiti na mapenzi muoneeni huruma zatiti
Ngonde Leo msela 😂😂😂
Nomaaaaa
Hii movie imechangamka nanuyu mamake zuu😂😂😂jamani niko kazini mtanifanya kibarua kiote nyasi😅
Mh move kali sanaaaaaah
Pili maboga jmn nimefurahi kukuona 😂😂😂
❤❤❤❤❤nawapenda jmn mnaigiza mpk nawatamani
jmn mbn zatiti munamuonea sana kila sehemu yeye nikulia tu jmn 😢😢😢
Wange badilisha kidogo kuhusu zatiti
Zatiti unazidi kwa kulia unaanza kunikera
🤣🤣🤣🤣