JASINTA Atoa Povu Zito "Diamond haendani na ZUCHU/Ameshuka/Simpendi tena kama zamani"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Mrembo Jasinta amepiga stori na Rick Media na kufunguka juu ya mambo mbalimbali ikiwemo swala la kuhitaji kuwa kwenye mahusiano na Diamond Platnumz n.k
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Diamond #Zuchu

Комментарии • 67

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Год назад +6

    Hovyooooo
    Huyu nae
    Sitaki hata kuendelea kumuona
    Hakika hafai, mshamba sana

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 Год назад +12

    Yaan kitu kinacho nikwaza Kwa wadada nikijifanya wao ni wazur kuliko mwenzake.ila ninacho kiamin Kila mwanamke anasehemu ya uzuri wake na Kuna vitu tunatofautiana sana.ukiona mwanamke mwenzako amechaguliwa na Mt Fulani hata kama ulikuwa unampenda.jua kabisa yule Kuna vitu anakuzidi mbali Sana.hata kama unamzidi sura Kuna vitu MUNGU amempatie ambapo uyo jamaa amekuta muujiza Fulani.....

  • @user-io5rz9sg9y
    @user-io5rz9sg9y Год назад +4

    Wivu huyu msichana kwa zuchu..nenda wewe bc uliekuwa mar...mpumbavu weeeeee....Nakupenda zuchu

  • @IreneInnocent-v9t
    @IreneInnocent-v9t Месяц назад

    I love Jasintaa soooo muchhh😍☹️☹️☹️☹️☹️💕nimerudia hii interview sana

  • @wakushibandfrombushland
    @wakushibandfrombushland 3 месяца назад

    Dada yetu mwanaume aliyekuwa na confidence hawezi kuogopa ,pole sana

  • @kantai737
    @kantai737 Год назад +9

    Yes amebadilisha mazingira he has stopped dating malaya, imagine wivu ya wanawake despite this woman doing so many diamonds video he never even gave her a second look. Sasa mnaumwa.can u even compare urself to zuchu🙄🙄🙄.

  • @lucymtuka3199
    @lucymtuka3199 Год назад +3

    Wewe yasinta humzidi Zuchu chochote shukuru mungu hako kalipstic ndio kanafanya uonekane acha wivu mtoto wa kike mond hakuhitaji

  • @kantai737
    @kantai737 Год назад +7

    😅😅😅 sasa Huyu muuza Shula ndo aje kumsema zuchu kweli??, ila wanawake wana wivu mno.

  • @sharonamondi1854
    @sharonamondi1854 Год назад +4

    Rickiiiiii....tell that ostrich Simba Yuko lucky kudate zuchu

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Год назад +6

    Hahahahàhahahahaha very funny!!! Juzi tuu diamond alitoa yatapita na zuwena.....bado ziko juu sana!!!! Sasa ameshuka wapi? Huyu hata hajielewi.....Sasa Mondi na zuchu ndio kiboko kabisa!!!!

    • @annajohn2488
      @annajohn2488 Год назад

      Diamond ameshukaaaa

    • @amanimapenzi571
      @amanimapenzi571 Год назад

      @@annajohn2488 wapi? Have you checked boomplay and others Spotify etc, let me tell you bado Ako juu sana sana

  • @SophiaYusuph-ff9xb
    @SophiaYusuph-ff9xb Год назад +6

    Dada huyu anawivu sana inaonekana mapenzi ya dai na zuchu yanamkosesha usingizi.zuchu ni mzuri asilia

  • @fifialghoul10
    @fifialghoul10 Год назад +2

    Nyoooo hauna hayaaa unakipiii wew mbele ya zuchu mutaishiy mitandaoni weyeee sasa to puma kwa da much muone sula imemukauka kama muwaa mukavuu mutaishiyaa kusemaa tena prechaa zikingali zinawapandaaaa yuuuuuùu nakuzomey 😉😉😉

    • @elizabethchabluma-zw5qz
      @elizabethchabluma-zw5qz Год назад

      Ndugu tatizo la sisi wanawake wivu alafu wanamuonea zuchu kwa sababu sio mpashukunaku Kama wao wao walitafunwa alafu akawatema kwa sababu no mipapa ya mjini zuchu ndio mwanamke wa kuoa we angalia yy pesa anazo lakini Hana mashauzi bebe wake pesa anazo lakini Wala havimbi ajui kufuja pesa ananidham na pesa hap wengine mabwana wengi kilometa zimesoma Sana jamani alafu hawajui kuwa utamu wa chai sio langi

    • @NelsonDaniel-ou2fg
      @NelsonDaniel-ou2fg Год назад

      ​@@elizabethchabluma-zw5qzDuuuuh

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 Год назад

      Unadanga pia weww😏😏😏😏

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 Год назад +4

    YANI UYU DADA MSHAMBA SANA YN ANATAKA KUJIONA YEYE MZURI KULIKO ZUCHU YANI WEWE NI M,BAYA MPK SHETANI ANAKUKIMBIA KWANZA MECKAP UMEIJAZA KM PEPO AKIKA UNA MAAJABU OVYOOO 😏 PUMBAFU

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 Год назад +2

    Ricky umefanya interview ukiwa Nye....ge .maswali ya kipuuzi na kumuangalia Dada wa watu km umvamie. Mxiew

  • @marciabrown1172
    @marciabrown1172 Год назад +4

    Nanyie hamjui watu wenye wivu ndivyo walivyo waliitaka hiyo nafasi Zuchu labda yeye ndio ameendana nae

  • @ashleynatalie3872
    @ashleynatalie3872 Год назад +5

    Mcheeeeeeeeew zuchu kakuzidi urembo don't you ever charge people by their looks or anything 😢😢😢

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 Год назад +1

      Jamani andikeni kiswahili English mnakosea sasa hapo Ashley unaandikaje Charge people sio hivyo. Huwezi ukacharge mtu labda ku charge simu

  • @IreneInnocent-v9t
    @IreneInnocent-v9t Месяц назад

    Rick tell Jasinta i like her😍

  • @dianamonyo1960
    @dianamonyo1960 Год назад +3

    Mlikua mnasubiri zuu aachwe ndo mjiweke pale,imekula kwenu

  • @dianamonyo1960
    @dianamonyo1960 Год назад +4

    Sura imemkauka kama yangu

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 Год назад +2

    Wew dada unajidanganya hakuna mwanaume anae kuogopa , sema wanaume hatutaki wadangaji

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Год назад +9

    Ovyo tu huyo yy mwenyewebatani kwa hivyo yy ndo anaendana na dai zuchu anamfaa dai sana tena zuchu yupo romantic sana na dai hivyo hivyo ss huyu sijui kipofu

    • @annajohn2488
      @annajohn2488 Год назад

      Zuchu kabaya

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 Год назад

      @@annajohn2488 umba basi kama zuchu tukuone umbaji wako binadamu wote mwenyezi mungu kawaumba wazuri ss sijui ww ni nani .ww unavyomuona hivyo kwetu ndio kizuri chetu sijui umenielewa

  • @OthmanOthman-pz8pv
    @OthmanOthman-pz8pv Год назад +5

    Hiv ili janajike halijion yy ndio likajifananishe na zuchu hovyyooooo

  • @MarjohReginald-wx8mm
    @MarjohReginald-wx8mm Год назад

    Anajibu maswali vizuri much love 😘

  • @samielvutsipa52
    @samielvutsipa52 Год назад

    Uyu mwanamke mrembo Aka wayi onekana kwenye video ya diamond platnmz ita kuwa Kali sana na ita fika mbali sanA

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 Год назад +1

    Uyo mhaya kakomaa kama ugoko Hana mvuto angeliacha ata kujipodoa

  • @salommmbaga8491
    @salommmbaga8491 Год назад

    Kabaya sana sema ndo vile wanaume wanahuruma hi ni takataka shenz

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад

    Is Dubai more expensive than 🇺🇸 or Europe?

  • @CedOG
    @CedOG Год назад +1

    Huu MunyaRwanda🇷🇼

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад +2

    Diamond amekutumia akikuficha kama ARVs

  • @AlhajiRocky-xd5vl
    @AlhajiRocky-xd5vl Год назад +3

    Unahis wanakuogopa kumbe vile huvutiiii 😂😂😂

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 Год назад +1

    Mzuri hana nyumba dar

  • @ingabireshakira9631
    @ingabireshakira9631 Год назад

    Diamond 21:13

  • @michaelkipara8205
    @michaelkipara8205 Год назад +1

    Sasa huyu ndo anajiita mzuri,kwa uzuri Gani aliokua nao,na hyo makeup utafikiri cartoon

  • @sharonamondi1854
    @sharonamondi1854 Год назад +2

    Nonsense......mmmmmh wivu!

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Год назад +1

    Aca wivu wamayisha yawatu utofanikiwa kwa roho mbaya

  • @mwasamiramedics2666
    @mwasamiramedics2666 Год назад +1

    😂😂😂😂 wivu mubaya,wivu ni roho ya kichawi.

  • @saumumasha4900
    @saumumasha4900 Год назад +2

    Mwambie ameze wembe 😏😏😏

  • @estheraimee8053
    @estheraimee8053 Год назад

    Mbone Zuchu nibinti mrembo kuliko uyu dada ?

  • @shishgal2274
    @shishgal2274 Год назад +1

    Takataka gani hii....

  • @yakfizahran4536
    @yakfizahran4536 Год назад +1

    Mahojianoo mabovuuu 😏😏

  • @chuseboy
    @chuseboy Год назад

    Sema umerithi udhurii😂mtangazaji apo umechapia alaf imeunga😂😂😂

  • @kulthummohamed101
    @kulthummohamed101 Год назад +1

    Hana hata aibu wend unaendan SAS na mond nyoo

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi Год назад

    Lakini nikweri vimbau mbau yote aipendezi

  • @evelynekaneza
    @evelynekaneza Год назад

    Wivu

  • @lm6373
    @lm6373 Год назад

    Kwani diamond anauzuri gani sura kama wale wale Australia weusi sioni lolote la ajabu .

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Год назад +1

    NICHEKE MIE ZUCHU AMKA MAPEMA

  • @kantai737
    @kantai737 Год назад +3

    Wewe ricki ni ovyo kabisa hio ndo swali unaona unaweza uliza mtu, yaani Tanzanian journalism very stupid.wewe mwenyewe hata zuchu hawei kuangalia mara mbili useless.

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Год назад

    tatizo lenu nyie watangazaji mkiona mwanamke ana body basi nanyie mnakimbia kuwaoji mbona amuwaoji wengine wapo kibao midia za michongo amjui kazi zenu anae wapa hii kazi ya kuoji nani

  • @salommmbaga8491
    @salommmbaga8491 Год назад

    Yaani ili la kijinga kweli