Ommy Dimpoz featuring Seyi Shay - Yanje (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Rockstar Africa presents ‘Yanje’ a sensational ballad by Ommy Dimpoz's featuring Nigeria sensational Seyi Shay. This is Ommy Dimpoz second official release under his worldwide record and management deal with ROCKSTAR AFRICA . "Yanje" is a song that features 3 languages -- Rwandese, Kiswahili and English. Peek the Mofaya Energy Drink in the scene...which is Alikiba's first product, which will be in market by end of this month.
Business : seven@rockstar4000.com
Facebook: OmmyDimpoz
Twitter: @OmmyDimpoz
Instagram: @OmmyDimpoz
Snapchat: OmmyDimpoz
Hashtag: #Yanje
Leo nimekaa kazn hii nyimbo inakuj 2 kwa kichwa miaka ming san nakumbuk nilikuwa o-level dah siku moja nikuon brooh itakuwa furaha san kwangu ❤❤❤❤❤❤
HATA MIMI LEO IKABIDI NISIKILIZE TUU
Nimependa Sayi shay alivoimba Kiswahili yaan Perfect kama ndo lugha yake Nice song❤😘😍😍
duuuh nyimbo tam jamanii amaakwelii amina na uyo mke wa Abdukiba mnaleta bitu bitam.... ngambo yapilii ukoooo 😆😆😆😆😆kilio kinaazaaaa. apa kwetu nibitu bya MOFAYA❄❄
Anyone listening in 2024
Ata sitoshekii kuangalia daaaaaah ni 🔥🔥🔥🔥kam unakubal ROCK STAR tia Like apo mazee
Congratulations bro , dada hongera kukivuruga kiswahili safi sana +254
What seyi shay did with her Swahili part is beyond amazing
kenyans we love ommy plc like hapa if you agree
He knows
Hii ngoma inaweza kuishawishi serikali iongeze mishahara kwa wafanya kazi.. 🤗🤗🤗🙌🙌🙌🙌
willy wenger
hahahahaha... umemaliza
Ramazani Mulongeca 😂😂😂😂🔥🔥
willy wenger hahahaaaa
willy wenger hahaha
funny guy
HII NGOMA IMEBADILISHA KARANGA KUWA MOFAYA ENERGY GOOD JOB KAMA NA WEWE TEAM ROCKSTAR WEKA LIKE TUJUANE
King Kiba kasema hii ikifikisha 3M views anaachia dude!!! Kama unaamini tutaskia ngoma mpya ya King baada ya wiki moja gonga like hapa twende sawa...
ayaaaaa mbona chache tu
Kituuuuuu
WAP hao Nazi kutafuta views kwa lazima
Bas ngoma mpya baada ya mwaka
Sam Mwakina mbona kipusa alisema ikifikisha m10 mpk sasa kimya leo amepunguza
2024 tuko hapa kwa Ommy Dimpoz.....From Nairobi....❤❤ East Africa
Nice song my bro ommy rockstar 4000 bravo 👏💕💕💕💕💕❤️❤️❤️🍷🍷🍷 mofayaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥
Tisha Xan Mzee baba #OMMYDIMPOZ
VIDEO kali San nice song
🎶🎶 👆 👆 up
rockstar africa ni motooooooo. mambo ni yanje
Here’s for Seyi Shayi omg her voice is something else
Hongera sana dimpozi
Kwa kuimba kit na kushuti vzr kutokana na wimbo
BIG UP ROCK STAR
ALI KIBA MOFIRE
Shamshery Aj woyoooooo yamoyon hayo
hii ndio Kali yao mzee baba ommy nakukubali sana naeza nikasema umekonga nyoyo zao kama unamkubali like hapa then replay
ommy kafanya kweli yani
yaaaaap lazima wakae chini.
safiiiii dimpooooooooozzzzzzzzzzzz
3 years later and the song still sound fresh to me💪
I don't understand lyrics... But I loved this song....From Nepal🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵
Safi sanaaa hakuna kukatika katika kama mashoga
Ngoma kubwa sana saluuute ommy Endelea kuendelea kua kwenye ubora wako
Ommy huwezi kuja kutoa hit kama hii abadani🏃🏃🏃🏃
uku kwetu ni mwendo wa mofayaaa💃💃💃💃💃💃💃 ma voice za MOFAYA TEAM KIBA oyeeeeeee
Namuona simba kwa mbali akiwatch hii video wasafi tv 📺 akipiga diamond 💎 Karanga akishushia na energy drink 🍹 ya kingkiba mofaya huku akitafakari akijifariji kumkumbuka zari the bosslady wanje
fredrick Matiku
#MOFAYAAAAAAA
dubai dubai dubai ommy dimpoz imetufikia ngoma kaliii🔥🔥🔥💣💣💣booom
seyi shay nailed the swahili!!! 🥰
And ommy, still one of my faves!!
And i love this track
Much love from 🇹🇿
Baby Mbwira, Ndumva 🇧🇮
Baby tell me, I’m listening
Baby niambie, nakusikia 🇹🇿
Kirundi & English & Swahili 👌🏽
Cherisse Mugabekazi Mugabekaz lov it cute
Dennic Mtn tnx
Cherisse Mugabekazi welcome where am i
Cherisse Mugabekazi baby mbwira!!
Cherisse Mugabekazi thank you for translating
nice song mzee baba
ulikunywa mo fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sio kwa ngoma kari kiasi ichi
Kinachotuangaisha ni utimu tu hakuna chengine. Mbona vijana wanajitahid tu kufanya kazi nzuri bila kuangalia katoka timu gani. Hongereni wanamuziki wote mnaopambana.
Hongera kwa mtazamo wako mzuri mm nipo wcb lkn nasapoti wasanii wote
upo sawa
Ally Kassim kweli kabsa ifike muda watanzania tuwe na umoja kama wa Nigeria...isitoshe watanzania tunatengeneza mzikii nzuri sna
kassim umeongea kweli
Safi, lkni nyimbo kma n mzuri utaimba mpka chooni, alikibavoice.
Nothing better than a love song you can’t understand 😍
Thelma Igbo your right my dear
Team rwandaa.. We luv the bang hit, nyc job ommy
Naiona mofaya kwa mbaliiiii .song kaliiiiii uko good sana ommy
Definition of maturity... Safi sana
Ommy dimpoz bro pole sana Na mungu akusaidie upone Na uendelee Na kaz yako ya muziki ,I Mic u so much ure a big artist in tz and more than kibba Na sahv naskiliza Ngoma yako ya yanje,
Kama unakubali kuwa hii ngoma kali gonga like
Kama umeona mo🔥🔥🔥 kwa gari ya ommy like please, video Kali sana
nimeiona bro
👍
👍
umetisha
Kweli ni 🔥🔥🔥🔥
It's 2022 but this song 🎵 still hits different ❤
2023, still listening to it
Hongera sana Dimpoz..jisongi ni la ukweli
Jmn tufikishe 3M tupate mofaya nyingne......Yanje
Kusema ukweli ommy kafanana na davido
Come on Rwandans show some love 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
love from kenya i respect you ommy no drama a real man
Wow my song for this time. "Baby mbwiraaaa mdumva" kinyarwanda in the song!!!!
Michele salama why don't you say "kibantu"people from kigoma gonna say it "kiha"Burundians will say"its kirundi "Rwandese will say the same let's just chill and enjoy the song
Joy Habonimana yes you are right let enjoy the song
Daaah bonge ya ngoma...mo fayaaaaaaaaaa
I love this song. Big up Ommy and Seyi Shay.
Wimbo wa kwanza wa Ommyd Dimpoz kuachana na staili zake za kimachepele za miaka ya nyuma. Kwa muda mrefu sana Ommy Dimpoz amekuwa akiimba kwa mtindo mmoja, lakini kwa Yanje, hakika amefanya mabadiliko. Hongera sana. Hapa sasa tunajua hii ni Rockstar na ile ya zamani ni Mubenga!
Muddyb Mwanaharakati hahahaaaa ameswitch kihakili zaidi saiv
umeusahau Cheche
Cheche kaimba kama akiwa na Mubenga! Vilevile tu. Hujasikiliza naona!
Hahahaha kaka noma kilo 1000
sasa hivi anaandikiwa ndo maana anacopy hadi melody
Ebanaaaaa this is my jam in 2018!!!! 🔥🔥🔥 zimetoka ngoma nyiiiingi in this year but this one dahhhhhhhhhhhhh ; respect to you omy and seyi .
Our golden Seyishay. That voice! Seyi the voice. That girl is fire brand 🔥 🔥
Wadau wa #December mpoooooo. Me nasikiliza good music. #Ommy ulitisha sana.
Just killed it bro......Yaan ni mofaayaaaaa
Akuna nyimbo apo nyimbo mbovu
Karim Naushady labda maskio yako ndo mabovu hayajazoea kuskiliza vitu vizuri
This is a nice song and good video... Lets stop these issues of teams in music since they aren't good in music development...I think if you have a team it denies you a chance to celebrate good music coz you will think your ashamed supporting the music of yo opponent... Keep good music alive
Hii nyimbo ni kali sana gonga like, ongeza views
Hapo mwanzo nilijua huyu demu Seyi shay ni mkenya aisee kumbe ni kitu toka West Africa, Dimpoz hebu fanya something utuletee ngoma nyingine na huyu manzi maana ni.🔥🔥🔥🔥
Daaaaah hich kitu ni moto hope ulitumia mo faya b4 hujaingia studio
Zinah Krishna tena nahisi katumia mingimingiiii
Ukitaka kuona #MOFAYA pause 0:52 utaiona Vizuri
Like kama Umeipokea MOFAYA
Ukiachilia mbali Wimbo umeenda Shule sio Wapiga Kelele kama Nyimbo za Kanisani
Hapa Style za Msikitini Unaimba kama Unaeleweka Ili Usikike na Kueleweka 😂😂😂😂😂
#MO🔥
Sadi Ngolo yaaaa nmeona #MOFAYA 😂😂😂😂🔥🔥
willy wenger
Karibu Kuitumia Pia
Maana Imeletwa Kwa7bu yetu wote
Inasha narudia2 ngoma kaly sana
Ngoma ainamasaa 24 uko trending .. Kunapopo anajiita mkali .. Uyu kondeboi.. Ngoma INA siku2 ..amnakitu... Asante sana poz kwa poz
Josep Lihiru kuna popo wanaitwa vibamia pia usiwasahau ,
Josep Lihiru atatafuta pakujificha hii ngoma haina konde boy wala simba wote chali
Josep Lihiru no
ARUSHA TV mapumbu boy
Can't get this song off replay..... And to think Seyi is a Nigerian na venye anatoa Kiswahili imeenda shule........ Napenda tu.....
Ommy ommy omari nyembo asante kakaaaa
Ommy wangu this will be my wedding song this year iko dope
Ndoa yako tayar
Amani Denis 😂😂😂😂
@@amanidenis8629 na mm nmekuja kuuliza😂😂
Namjibia hiv; Corona iliharibu kamati yote ilisambaratika..na mchumba akatotomea kusikojulikana
Vipi hiyo ndoa tayari
Dah!!! Safi sana kaka umetisha mwambie Alikiba naye aachie ngoma ila umetisha kinomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
am a Kenyan but i think Rwandesee should be declared officially the language of love...Ommy this one issa hit and that nigerian bae her swahili napenda
this comment just melted my heart 🇷🇼
Mambo @Hellen Waithaka u right
🎵♥️♥️♥️♥️♥️
bonge moja la ngoma mzee baba
Kirundi +swahili +English =Mofayaaaaaa🔥
Bahati Brwn1 nomaaa
KENYA MPO+254👏👏MPATIE DIMPOZ LIKE HAPA AMEVUNJA KIMIA
Penzi umeliweka vitani, raha umeiondoa
Nilijaribu uwe ndani, mwenyewe umejitoa
Nakwangu katu sijutii, umejitia doa
Kukanyaga mwiba sivuti, maumivu kuchomoa omg seyi shay
ngoma Kali kinyama umetixha mzeebaba Dar!! dem kaimba pow sana 👌👌👌👌👌
Hapo umefunika Mzee sio unapiga ngoma nyingi zote sauti moja unabadili maneno tu.Big up Ommy.
Nime kubali sana mm nawe kama umeikubal.gonga like hapa
pamoja
mambo ni motooo
Usiachie ngoma nyingine kwa haraka,,fanya kama King Kiba.....
MOFAYAAAAAAAA
team za nin vijana wote wa bongo wakijituma wanaweza kama unaamin gonga #like kwaapa
san
Alex Platnum
Atar san ommy
Alex Platnum sure bro
Hii nayo iko juu...Ommy Dimpoz wa kitambo amerundi...much love
Umeona eee
Sikutegemea kusikia ngoma Kali namna hii!! Kali sanaaaaa
Kuanzia #ommy unaimba hii #Yanje ni bonge moja LA ngoma, nadhani hata ww ukilickiliza unakuwa na feelings flani amazing. Heshima kwako. Jipange kwaki2 kingine. Hakika hii ni #MofAyA
Ndio maana mimi ni Team Kiba for life kwa sababu hatukosei .Hatuvimbi kwa sababu tunajua duniani tunapita njia.Goma kali hili Bongo nzima halijawahi kutokea ndo kwanza limeanza kwa Team Kiba.ROCKSTAR AFRICA #Mofaya.Tunakunywa na hatulewi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌 nakubali bro
Garlenty Omar :Wimbo wa mwaka video ya kwaka msanii wa mwaka Ommy Dimpoz ni mofaya
wezi nyie hamna jipya mambo yapo wcb
Ester Promy :Tuliwaibia mke ama pesa?
Acheni kuwa negativity siku zote nyimbo kali hii hebu tumsifie maana nyie kila kitu mnaponda tu hata kizuri
Waambie mwanangu.
Na mark register +254 kama uko present likes hapa tafadhali!
We wish you quick recovery ommy...Kenya twakuombea
Huu wimbo haki ya nani unaweza kumrudisha Zari kwa Mondi, oya masela mwenye namba yake amtumie ili amtumie mzazi mwenzie, mambo yaishe tu. Sema Ommy wewe konyoo sana bonge moja ya wimbo.
Gerald Kitalima umeonaee
Gerald Kitalima hahaha nyimbo moto sana
😂😂😂😂#Mofaya #RockStarAfrica 🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇷🇼🇳🇬
Gerald Kitalima ya ukweli sana hii
Hahahahaha fala kwel ww sem jiwe ni mo🔥🔥
#🇹🇿🇷🇼🇳🇬
Ngoma kali sana kama unaikubali usipite bila like hapa wap team kiba
hata mm ommy hua sikufatilii sana Lkn.hapa umecheza nakuanzia sasa usinibwage shabiki Wako sasaaaaaa twendenalo
👍🔥🔥🔥👏👏👏
Me here coz Seyi said I would have a fever for this …still on top 🔥
dah hii nyinbo nzuri balaa kama umeikubali like hapa
waoo kama umeikubali video hii tuungane kwa pamoja kuitizama mara nyingi nyingi like hapa kama tuko pamoja bila utim hii ngoma kali jamani
ni kali sana
That is how musician sing #ommy i like it Yanje
Truth be said ommy is way and I mean much way better than diamond if only he can get that much exposure...am so in love with this song😙😙 from 254
I'm here for Seyi Shay. Mad love
That's really kabooom... video & the tune is Dope👍🏾👌🏾😍
Team wig woteeee kimyaaaaaaa dimpoz kwel we n baba yahooooo
Mungu kaumba sauti tam jaman duuhh.Ukisikiliza haka kanyimbo vimawazo vyakuoa vinaanza kujipitisha kichwani ndo tunapopishana hapo....Here enjoying vitamin music 2019
Sema yeah moto ume anza kuja, bado king mwenyewe🔥🔥
mofayaaaaaa you killed it
In luv with songBig up ommy
Mda uu nipo job na focus kwenye mitikati ila kichwa kinasema Yanje itakusaidia focus
Nimerudi tena na bado upendo wa wimbo ni ule ule❤
Watu wangu wa gulf hit like before zifike million😉
Gulf 2po ndaaani
Big ommy,uko vzr broo,Tumeupokea mziki mtamu,
Safi sana.....kizazi sana Mubenga
ahhhh this guy's voice is out of this world no lies