😂😂alafu gwegwe Sasa waaaah part zake ana cheza POA mashaallah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 chado mast na time Yako Hamna mbambambaaaaas wapi kelele kwenu weweweeeeeeeeeee😂
Cc wengine tupo kupambania dakika ziengezwe angalau ziwe ata 25 nyinyi mpo kuomba like na mkizipata cjui mnazifanyia nn hongera kwa crew yote ya chado masta kwa kazi nzuri
Chado we Zaid ya Kanumba..nimeangalia film zote ila huu umeuwa bro..na kidem jau anafanya vizuri sanaa na ngwengwe ni kiboko ya wajanja..wachezaji hawa wawili naomba uwashirikishe kwenye kijacho..wanawezaaa. Love From Oman🇴🇲❤️✍️🏼✍️🏼
Ila chado dhuuu!!! Hako kabinti unakaharibu bado mapema. Unakachezesha sehemu za mapenzi sana. Muhurumiye başı mtoto wa watu asije kuharibika bado mdogo
Kiukweli ngwengwee anajuwaaa mpaka anajuwa tenaaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Huyu jamaa alieigiza police adi movie ikiisha kitambi chote kwishaaaa😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂 kabisaaa
😂😂😂😂
😂😂😂kaz anayo
Yan kaz anayo😅😅😅
Jamn tunaompenda dogo ngwengwe gonga like hata tano tu😢
Poa poa Kaka chado masta
Mimi apa afsa yuk vym mno
Jamn hakuna m2 ananipa Raha kama cheusi 😅😅😅
dogo ametisha sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyu dogo nampenda sana❤❤❤🎉izo busu alizopewa hatolala leo
Ni nzurii kwakwelii Hongera kwa kazi nzurii
Chadoo upoo juu sanaa kamtoweni baga move itazidi kunoga tenaaa
Bang which 😂😂😂😂ngwengwe nomaaaa sana kbs😅😅😅 chado balaaaaaa❤❤❤❤❤
Mnaeka dakika kidogoo😢😢aaaaah nyinyi bwanaaaa
Ngwengwe na chado dah aiseee nawakubali sana
Safi sana gwengwe nakupenda Mungu akukuzie kipaji chako
Huyu dogo wawapi CHADO apewe maua yke...🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
😂😂alafu gwegwe Sasa waaaah part zake ana cheza POA mashaallah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 chado mast na time Yako Hamna mbambambaaaaas wapi kelele kwenu weweweeeeeeeeeee😂
Nakubali chado master sema cheusi mapepe
Huyu askari miguu aichoki eee kila cku ye kukimbiza watu apoi 😂😂😂😂😂😂 alafu posho zenyew apati
😂😂😂😂😂
We acha tu 😂😂
Ngwengwe aaah keep it up young 🔥
chado uko fasta sana nakubali mziki wako
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ngwe ngwe Anajua Sanaaaaa😀
Sana yaan
Anaweza sana ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu ngwengwe ni moto anajuwa sana nitamuleta Congo fizi😊
Huyu askari is very fan anakimbia vipi 😂😂😂
Ngwe ngwe mtu master
Ngwengwe nomaaa sanaaaaa
Hahahahahaha huyu askar kweli ji hamnazo jamanii hebu fanyeni kumzingatia maokoto maana kazi alonayoo ni hatali
Chado u're my G, I love your creativity endless ❤❤❤from Kenya, big up bro
Naipenda San hiii move nakumbuka mbar San chado nakubr damu yangu sheber sheber
😂watu wa uswizi mnaboa. Chendu eti chendu cheusi safi sana wapi like ya mzee wa misumari🎉🎉😂
Cc wengine tupo kupambania dakika ziengezwe angalau ziwe ata 25 nyinyi mpo kuomba like na mkizipata cjui mnazifanyia nn hongera kwa crew yote ya chado masta kwa kazi nzuri
Umeongea point san wana niker mm
Yani kweli wanaboa kweli 😢
Sijui huwa wanazifanyia nn izo like yan mpaka wanaboa
❤❤
Yaan ht hawaelewi wanachotaka
Daaa CHADO man ntuwe MWAMBA BAGA. Akutane na mze wa missumary😢😢😢❤
Kenyans tunafwatilia tulike hapa 🇰🇪 ❤❤
Wao Leo nimewai nipo no 8 nawapenda nyie watu
Jaman namkubali ngwengwe mtoto ana misondo hatar.
Ila ngwengwe katoa kijembe,eti...which,where,who?😂😂😂😂 yani i like😊 mpo vizuri 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzur chado master❤❤❤
Dogo ngwengwe anajua mpk anakela very talented
Kazi safi sana watching from 🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri chado pokea maua yko🎉🎉🎉🎉🎉 mtu aniambie nyimbo n ya nani😊😊
Napenda huu wimbo
🎉 tkzazi
Dogo hongera apew maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉chado najma cheusi nawapenda sanaaaaa❤❤❤❤❤
Chado tunapo tazama hii movie hakika tunajihisi tupo Sayari nyengine wallah😂❤❤❤❤💯💯💯💯💯💯💯💯💯✌️
Kabisa yani niliangalia ep zote kwa siku moja saa hii narudia rudia😂😂❤❤
Wale wanao kubali kua bonge atapingwa n kitu kizito n chado gonga like
😂😂😂litamkuta jambo
Jamani huu wimbo nimewupenda🎉
You so cute 😍
yaani wimbo mzuri kinoma😊
Jaman tunao mpend Chado master
Wanaosema kwa sku vipande viwili gonga like hp
Aongeze dakk inatosha
Minaona dakika siomchongo zingekua 2 kwasiku ingekuamzuka sana
Halafu ikiisha tutawatch nn😂😂
Kazi kuntu
Bwana mbili au dakika ziwe hats hamsin
Bangi which bangi where Bangi who mbona tutachoka kusimamisha mwaka huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰🥰👍👍👍👍
Duuh
Chado Master naomba iiii nyimbo jmn
Tunao mkubali dogo ngwengwe weka like apa
Oy chozi nakukubali kinoma ani ila sema in mwanetu chado nimeishia seem ya 21 nataka mwendelez chozi langu
Owa hiii ngoma toweni ya wawaaaa wabobishii
Ngwengwe hoyeeee
Oya nani Kam chadooo❤ wap MWANANGU ngwengwe au kichwa njichooo
Ngwengwe yupo sw sana huy dg
Yani amaneno😂
Anamaneno na mama ake😂
Ninyi vichaa wangu mnajuwa kuigiza Yani hatari kama yote chado kitengo
Ilo cheusi lioga kweli
chado tufanyie basi ep 2 siku moja filamu yako ni nzur san wlh fany ivo chado utakuwa umefany vzr tuwa mbili 2
ngwengwe nampenda sanaaaaa ❤❤❤❤
Chado uko vizury sana ndugu
Sema masta daa najiona kabisa mimi na kiemu changu Cha form 3.😅😅😅
Gwenge na Nyau watakuwa waigizaji bora sana wanajua uhalisia
Kazi nzuri ❤🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦❤❤❤
Ngwengwe anajuwa kuigiza dogo uko vizuri ❤
Chado mnyama nakubali sana
Cheus umetisha umekimbizwa na police umefika maskan kwa wahuni na ww unatamba😂😂😂
Oya una unyama mwingi na muko chap xan🎉🎉🎉🎉
Chado we Zaid ya Kanumba..nimeangalia film zote ila huu umeuwa bro..na kidem jau anafanya vizuri sanaa na ngwengwe ni kiboko ya wajanja..wachezaji hawa wawili naomba uwashirikishe kwenye kijacho..wanawezaaa.
Love From Oman🇴🇲❤️✍️🏼✍️🏼
Jamaa yupo vizuri lakini usimulinganishe na kanumba that is a legend
@@jacobmachua160labd aseme kitale
Kabisa yn asimfanishe na kanumba
Sikupingag move zako chado upo vizur sana lakin nimemuelewa sana gwegwe yupo vizur kama ww mwenyew muinuwe bwana
kazi nzuri sna chado mastar na kudi lako ❤❤❤❤❤❤❤ sema nn ww unasikiliza mashabbiki zako kaka nakukubali sana chado master ❤❤❤
Jamani chado kivuluge wakidemujau nakupendasana🎉🎉nakukubarisana
As coisas belas podem ser esquecidas, mas pessoas especiais duram eternamente. Bom dia From Mozambique 🇲🇿❤💞
Appreciate what you doing broo
Najima umenikumbusha enzi izo napenzi langu jipyaa
Chado changamkia mwana huyo Mwagika
Kazi iendelee jaman movies nzuri sana
Hiiii kar sana umetisha chado 🎉🎉 sema unachelewa kuzitoa kaka
Leo pia nimewahi kama wengine, ila sihitaji likes
Napenda chado na ngwegwe walivyoigiza dah❤
wanaompenda chado master gonga like👊👊👊
Ngwengwe nakupenda buleee❤
Ila chado dhuuu!!! Hako kabinti unakaharibu bado mapema. Unakachezesha sehemu za mapenzi sana. Muhurumiye başı mtoto wa watu asije kuharibika bado mdogo
Polic Ameishiwa pozi 😂😂😂 chado wew Nomaa sarut kaka❤ na like iyoo😮
Nikiangalia hii move najikuta na smile 😊😊 sana2
Sema huyu dogo mkali jamn ukweli usemwe anajua sana Salut kwake
Kazi nzuri sana Mr. Chado🤛
hii move nauza sana aisee
Askari ataka fimbo huyo 😂😂😂😂ila chado wanifurahisha n hiyo theeenaaa😂😂❤
Shadow master bro kazi zako ziko poa San sanaaaaaa onera
Nampenda sana mama ngwengwe na ngwengwe kutoka iraq
Chado master nakuomba babangu turetee baga boy
nice job ,watu wanafanana dogo ngwengwe like son
Nyimbo yake ya khuba wanao ikibali like moja bc wazee wa misumari😮😮😮😮😮😮
amezng chado noma sana mistary
Kama wampenda chado like zikuje❤❤🎉
Chado wew ni master kweli nakubali bro
Mm wa kwanza leo
🎉
Kwa hilo nni
Mtoto Leo nimeona shingo ake live kama twiga kidemu jicho❤❤❤❤.ila uyu afande njaa sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Huyu askari ananifurahisha jamani 😅😅😅😅😅sio kwa kukimbia huko😂
Chado Master Big Up Bro..unaweza na unaweza tena ❤❤❤
Namkabali sana Chador master, sana wanangu, mwasema Askali naona zuna natka jicho😂😂😂
Minapendaa hi movi
chado master uko good unatoa movie kwa wakat
Hongera chado nawapenda sana🎉
Kwa naye mkubali kibonge 🤣👍👍👍👍vp chado alikuwa unajuwa yatakuwa je😂😂😂😂