MISSION IMPOSSIBLE [21]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 704

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 месяца назад +14

    Kiukweli ngwengwee anajuwaaa mpaka anajuwa tenaaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @AngelMfrank
    @AngelMfrank 2 месяца назад +45

    Huyu jamaa alieigiza police adi movie ikiisha kitambi chote kwishaaaa😂😂😂😂

  • @Aroinia
    @Aroinia 2 месяца назад +228

    Jamn tunaompenda dogo ngwengwe gonga like hata tano tu😢

    • @StyvanoKat
      @StyvanoKat 2 месяца назад +1

      Poa poa Kaka chado masta

    • @OmmyRaym-p7q
      @OmmyRaym-p7q 2 месяца назад +3

      Mimi apa afsa yuk vym mno

    • @GdHc-ct3dh
      @GdHc-ct3dh Месяц назад

      Jamn hakuna m2 ananipa Raha kama cheusi 😅😅😅

    • @Elizakilisipinilikolika1996
      @Elizakilisipinilikolika1996 Месяц назад

      dogo ametisha sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 2 месяца назад +23

    Uyu dogo nampenda sana❤❤❤🎉izo busu alizopewa hatolala leo

  • @annap-z7c
    @annap-z7c 2 месяца назад +30

    Ni nzurii kwakwelii Hongera kwa kazi nzurii

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev 2 месяца назад +10

    Chadoo upoo juu sanaa kamtoweni baga move itazidi kunoga tenaaa

  • @IdrissaBalqis
    @IdrissaBalqis 2 месяца назад +7

    Bang which 😂😂😂😂ngwengwe nomaaaa sana kbs😅😅😅 chado balaaaaaa❤❤❤❤❤

  • @ZainabMusa-q7k
    @ZainabMusa-q7k 2 месяца назад +15

    Mnaeka dakika kidogoo😢😢aaaaah nyinyi bwanaaaa

  • @athumaniomari3526
    @athumaniomari3526 2 месяца назад +6

    Ngwengwe na chado dah aiseee nawakubali sana

  • @HamisHussein-w9g
    @HamisHussein-w9g 2 месяца назад +6

    Safi sana gwengwe nakupenda Mungu akukuzie kipaji chako

  • @RajabSufian
    @RajabSufian 2 месяца назад +30

    Huyu dogo wawapi CHADO apewe maua yke...🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @MwanapiliSidi
    @MwanapiliSidi 2 месяца назад +9

    😂😂alafu gwegwe Sasa waaaah part zake ana cheza POA mashaallah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 chado mast na time Yako Hamna mbambambaaaaas wapi kelele kwenu weweweeeeeeeeeee😂

  • @SeyydAll_amin
    @SeyydAll_amin 2 месяца назад +9

    Nakubali chado master sema cheusi mapepe

  • @MarKarim-km2yh
    @MarKarim-km2yh 2 месяца назад +14

    Huyu askari miguu aichoki eee kila cku ye kukimbiza watu apoi 😂😂😂😂😂😂 alafu posho zenyew apati

  • @AnnaTimotheo-f6x
    @AnnaTimotheo-f6x 2 месяца назад +11

    Ngwengwe aaah keep it up young 🔥

  • @RojaMedia-t7n
    @RojaMedia-t7n 2 месяца назад +34

    chado uko fasta sana nakubali mziki wako

  • @alexketto7351
    @alexketto7351 2 месяца назад +62

    Ngwe ngwe Anajua Sanaaaaa😀

    • @octavianmushi
      @octavianmushi 2 месяца назад

      Sana yaan

    • @Elizabet2694
      @Elizabet2694 2 месяца назад

      Anaweza sana ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AugustinEtungano
    @AugustinEtungano 2 месяца назад +9

    Huyu ngwengwe ni moto anajuwa sana nitamuleta Congo fizi😊

  • @rajabokio
    @rajabokio 2 месяца назад +10

    Huyu askari is very fan anakimbia vipi 😂😂😂

  • @essaumanoho99
    @essaumanoho99 2 месяца назад +34

    Ngwe ngwe mtu master

  • @sillyrobby2978
    @sillyrobby2978 9 дней назад +2

    Ngwengwe nomaaa sanaaaaa

  • @TumainiHezron-f7d
    @TumainiHezron-f7d Месяц назад +1

    Hahahahahaha huyu askar kweli ji hamnazo jamanii hebu fanyeni kumzingatia maokoto maana kazi alonayoo ni hatali

  • @BrianMassika
    @BrianMassika 2 месяца назад +4

    Chado u're my G, I love your creativity endless ❤❤❤from Kenya, big up bro

  • @saidilikemba
    @saidilikemba 2 месяца назад +2

    Naipenda San hiii move nakumbuka mbar San chado nakubr damu yangu sheber sheber

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 2 месяца назад +2

    😂watu wa uswizi mnaboa. Chendu eti chendu cheusi safi sana wapi like ya mzee wa misumari🎉🎉😂

  • @Afroman52
    @Afroman52 2 месяца назад +34

    Cc wengine tupo kupambania dakika ziengezwe angalau ziwe ata 25 nyinyi mpo kuomba like na mkizipata cjui mnazifanyia nn hongera kwa crew yote ya chado masta kwa kazi nzuri

    • @FitinaWilondja-m7c
      @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад +2

      Umeongea point san wana niker mm

    • @TamashaKiswagala
      @TamashaKiswagala 2 месяца назад +2

      Yani kweli wanaboa kweli 😢

    • @Mamygumbo
      @Mamygumbo 2 месяца назад +1

      Sijui huwa wanazifanyia nn izo like yan mpaka wanaboa

    • @scola4suu
      @scola4suu Месяц назад +1

      ❤❤

    • @sammybaby25
      @sammybaby25 Месяц назад +1

      Yaan ht hawaelewi wanachotaka

  • @GerilsonCaitan-x2c
    @GerilsonCaitan-x2c 2 месяца назад +4

    Daaa CHADO man ntuwe MWAMBA BAGA. Akutane na mze wa missumary😢😢😢❤

  • @ItsMtotowamahaba-zc8ie
    @ItsMtotowamahaba-zc8ie 2 месяца назад +17

    Kenyans tunafwatilia tulike hapa 🇰🇪 ❤❤

  • @KagegaAbdlah
    @KagegaAbdlah 2 месяца назад +16

    Wao Leo nimewai nipo no 8 nawapenda nyie watu

  • @TinaBenedictor-l8w
    @TinaBenedictor-l8w 2 месяца назад +8

    Jaman namkubali ngwengwe mtoto ana misondo hatar.

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 2 месяца назад +2

    Ila ngwengwe katoa kijembe,eti...which,where,who?😂😂😂😂 yani i like😊 mpo vizuri 🎉🎉🎉🎉

  • @MukrmAbdalla
    @MukrmAbdalla 2 месяца назад +6

    Kazi nzur chado master❤❤❤

  • @mussamatambo9108
    @mussamatambo9108 2 месяца назад +4

    Dogo ngwengwe anajua mpk anakela very talented

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 2 месяца назад +3

    Kazi safi sana watching from 🇰🇪🇰🇪

  • @EstherEsther-h2w
    @EstherEsther-h2w 2 месяца назад +10

    Kazi nzuri chado pokea maua yko🎉🎉🎉🎉🎉 mtu aniambie nyimbo n ya nani😊😊

  • @Hannibal-zu7xg
    @Hannibal-zu7xg 2 месяца назад +40

    Napenda huu wimbo

  • @AhmadAlaee-x1r
    @AhmadAlaee-x1r 2 месяца назад

    Dogo hongera apew maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉chado najma cheusi nawapenda sanaaaaa❤❤❤❤❤

  • @Alutacontinue75
    @Alutacontinue75 2 месяца назад +12

    Chado tunapo tazama hii movie hakika tunajihisi tupo Sayari nyengine wallah😂❤❤❤❤💯💯💯💯💯💯💯💯💯✌️

    • @Magret-fi2gs
      @Magret-fi2gs 2 месяца назад

      Kabisa yani niliangalia ep zote kwa siku moja saa hii narudia rudia😂😂❤❤

  • @ladyj5089
    @ladyj5089 2 месяца назад +10

    Wale wanao kubali kua bonge atapingwa n kitu kizito n chado gonga like

  • @AyishaAyisha-k9r
    @AyishaAyisha-k9r Месяц назад +5

    Jamani huu wimbo nimewupenda🎉

  • @MtiliCharles
    @MtiliCharles 2 месяца назад +11

    Jaman tunao mpend Chado master

  • @ShamsaGao-nn1ge
    @ShamsaGao-nn1ge 2 месяца назад +203

    Wanaosema kwa sku vipande viwili gonga like hp

    • @boxdad
      @boxdad 2 месяца назад +2

      Aongeze dakk inatosha

    • @emanuelyntamila9141
      @emanuelyntamila9141 2 месяца назад +6

      Minaona dakika siomchongo zingekua 2 kwasiku ingekuamzuka sana

    • @MarianNdunde
      @MarianNdunde 2 месяца назад +3

      Halafu ikiisha tutawatch nn😂😂

    • @benmpoletv683
      @benmpoletv683 2 месяца назад +1

      Kazi kuntu

    • @YusraShazma
      @YusraShazma 2 месяца назад +1

      Bwana mbili au dakika ziwe hats hamsin

  • @Thuma_junior
    @Thuma_junior 2 месяца назад +17

    Bangi which bangi where Bangi who mbona tutachoka kusimamisha mwaka huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰🥰👍👍👍👍

  • @missyoung3386
    @missyoung3386 2 месяца назад +4

    Chado Master naomba iiii nyimbo jmn

  • @ibrahamexample
    @ibrahamexample 2 месяца назад +6

    Tunao mkubali dogo ngwengwe weka like apa

  • @abdallahshabani8667
    @abdallahshabani8667 2 месяца назад +2

    Oy chozi nakukubali kinoma ani ila sema in mwanetu chado nimeishia seem ya 21 nataka mwendelez chozi langu

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 2 месяца назад +3

    Owa hiii ngoma toweni ya wawaaaa wabobishii

  • @omarokech7395
    @omarokech7395 2 месяца назад +13

    Ngwengwe hoyeeee

  • @AdamMuba
    @AdamMuba 2 месяца назад

    Oya nani Kam chadooo❤ wap MWANANGU ngwengwe au kichwa njichooo

  • @hashimvilla7089
    @hashimvilla7089 2 месяца назад +26

    Ngwengwe yupo sw sana huy dg

  • @MbatiazakariambatiaMbatia
    @MbatiazakariambatiaMbatia 2 месяца назад +3

    Ninyi vichaa wangu mnajuwa kuigiza Yani hatari kama yote chado kitengo

  • @MayaKhairun
    @MayaKhairun 2 месяца назад +7

    Ilo cheusi lioga kweli

  • @Modeboy-y1x
    @Modeboy-y1x 2 месяца назад

    chado tufanyie basi ep 2 siku moja filamu yako ni nzur san wlh fany ivo chado utakuwa umefany vzr tuwa mbili 2

  • @MarcMutegetsi
    @MarcMutegetsi 3 дня назад

    ngwengwe nampenda sanaaaaa ❤❤❤❤

  • @AbasiNgawile
    @AbasiNgawile 2 месяца назад +4

    Chado uko vizury sana ndugu

  • @johgraphix
    @johgraphix 2 месяца назад +2

    Sema masta daa najiona kabisa mimi na kiemu changu Cha form 3.😅😅😅

  • @happymwaruwa6979
    @happymwaruwa6979 2 месяца назад

    Gwenge na Nyau watakuwa waigizaji bora sana wanajua uhalisia

  • @Paulmlambo327
    @Paulmlambo327 2 месяца назад +8

    Kazi nzuri ❤🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦❤❤❤

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 2 месяца назад

    Ngwengwe anajuwa kuigiza dogo uko vizuri ❤

  • @KaskeboyKaskeboy
    @KaskeboyKaskeboy 2 месяца назад +4

    Chado mnyama nakubali sana

  • @NasriRamadhani-po1lz
    @NasriRamadhani-po1lz 2 месяца назад +4

    Cheus umetisha umekimbizwa na police umefika maskan kwa wahuni na ww unatamba😂😂😂

  • @MaurusNamahala
    @MaurusNamahala 2 месяца назад +1

    Oya una unyama mwingi na muko chap xan🎉🎉🎉🎉

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi6474 2 месяца назад +13

    Chado we Zaid ya Kanumba..nimeangalia film zote ila huu umeuwa bro..na kidem jau anafanya vizuri sanaa na ngwengwe ni kiboko ya wajanja..wachezaji hawa wawili naomba uwashirikishe kwenye kijacho..wanawezaaa.
    Love From Oman🇴🇲❤️✍️🏼✍️🏼

    • @jacobmachua160
      @jacobmachua160 2 месяца назад +4

      Jamaa yupo vizuri lakini usimulinganishe na kanumba that is a legend

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 2 месяца назад

      ​@@jacobmachua160labd aseme kitale

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 Месяц назад

      Kabisa yn asimfanishe na kanumba

  • @LucyJames-t2e
    @LucyJames-t2e 2 месяца назад

    Sikupingag move zako chado upo vizur sana lakin nimemuelewa sana gwegwe yupo vizur kama ww mwenyew muinuwe bwana

  • @SelemaniIddy-nc1n
    @SelemaniIddy-nc1n 2 месяца назад

    kazi nzuri sna chado mastar na kudi lako ❤❤❤❤❤❤❤ sema nn ww unasikiliza mashabbiki zako kaka nakukubali sana chado master ❤❤❤

  • @JasminRobert-qd8cl
    @JasminRobert-qd8cl 2 месяца назад

    Jamani chado kivuluge wakidemujau nakupendasana🎉🎉nakukubarisana

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 2 месяца назад +2

    As coisas belas podem ser esquecidas, mas pessoas especiais duram eternamente. Bom dia From Mozambique 🇲🇿❤💞

  • @mridea1989
    @mridea1989 2 месяца назад +1

    Appreciate what you doing broo

  • @NasraJuma-b4v
    @NasraJuma-b4v 2 месяца назад +4

    Najima umenikumbusha enzi izo napenzi langu jipyaa

  • @ngalarajab
    @ngalarajab 2 месяца назад +5

    Chado changamkia mwana huyo Mwagika

  • @PeterMlekwa-i8q
    @PeterMlekwa-i8q 2 месяца назад

    Kazi iendelee jaman movies nzuri sana

  • @Ohsamumdudu
    @Ohsamumdudu 2 месяца назад +2

    Hiiii kar sana umetisha chado 🎉🎉 sema unachelewa kuzitoa kaka

  • @Hirmizz
    @Hirmizz 2 месяца назад +6

    Leo pia nimewahi kama wengine, ila sihitaji likes

  • @JoyceCheni
    @JoyceCheni Месяц назад

    Napenda chado na ngwegwe walivyoigiza dah❤

  • @nyiramba
    @nyiramba 2 месяца назад +6

    wanaompenda chado master gonga like👊👊👊

  • @MiradjiAsina
    @MiradjiAsina Месяц назад

    Ngwengwe nakupenda buleee❤

  • @mwanjammassa8563
    @mwanjammassa8563 2 месяца назад

    Ila chado dhuuu!!! Hako kabinti unakaharibu bado mapema. Unakachezesha sehemu za mapenzi sana. Muhurumiye başı mtoto wa watu asije kuharibika bado mdogo

  • @MissFreeda
    @MissFreeda 2 месяца назад

    Polic Ameishiwa pozi 😂😂😂 chado wew Nomaa sarut kaka❤ na like iyoo😮

  • @AishaNdegwa-wo9ov
    @AishaNdegwa-wo9ov 2 месяца назад

    Nikiangalia hii move najikuta na smile 😊😊 sana2

  • @mctcher9297
    @mctcher9297 2 месяца назад

    Sema huyu dogo mkali jamn ukweli usemwe anajua sana Salut kwake

  • @MasauShida
    @MasauShida 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana Mr. Chado🤛

  • @FAISARYBOSSLONDON
    @FAISARYBOSSLONDON 2 месяца назад +4

    hii move nauza sana aisee

  • @mesamesa3698
    @mesamesa3698 2 месяца назад

    Askari ataka fimbo huyo 😂😂😂😂ila chado wanifurahisha n hiyo theeenaaa😂😂❤

  • @ZahariaChombo-n2o
    @ZahariaChombo-n2o 2 месяца назад

    Shadow master bro kazi zako ziko poa San sanaaaaaa onera

  • @HseiarAkre
    @HseiarAkre Месяц назад

    Nampenda sana mama ngwengwe na ngwengwe kutoka iraq

  • @AminaShaban-h9r
    @AminaShaban-h9r 2 месяца назад

    Chado master nakuomba babangu turetee baga boy

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 2 месяца назад +1

    nice job ,watu wanafanana dogo ngwengwe like son

  • @yuss_deblazeyuss_deblaze4640
    @yuss_deblazeyuss_deblaze4640 Месяц назад +1

    Nyimbo yake ya khuba wanao ikibali like moja bc wazee wa misumari😮😮😮😮😮😮

  • @Kasimuhakimukasim
    @Kasimuhakimukasim 2 месяца назад +2

    amezng chado noma sana mistary

  • @EliudNdoli
    @EliudNdoli 2 месяца назад +6

    Kama wampenda chado like zikuje❤❤🎉

  • @TysonPekeshe
    @TysonPekeshe 2 месяца назад

    Chado wew ni master kweli nakubali bro

  • @KautharSaleh
    @KautharSaleh 2 месяца назад +8

    Mm wa kwanza leo

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 2 месяца назад +2

    Mtoto Leo nimeona shingo ake live kama twiga kidemu jicho❤❤❤❤.ila uyu afande njaa sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @HadijaDIQAYO-eo2hd
    @HadijaDIQAYO-eo2hd 2 месяца назад

    Huyu askari ananifurahisha jamani 😅😅😅😅😅sio kwa kukimbia huko😂

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi6474 2 месяца назад +1

    Chado Master Big Up Bro..unaweza na unaweza tena ❤❤❤

  • @MohammedDhidha-gi2pu
    @MohammedDhidha-gi2pu 2 месяца назад

    Namkabali sana Chador master, sana wanangu, mwasema Askali naona zuna natka jicho😂😂😂

  • @Ummy-cr9nf
    @Ummy-cr9nf 2 месяца назад +3

    Minapendaa hi movi

  • @HussenPambamoto
    @HussenPambamoto 2 месяца назад

    chado master uko good unatoa movie kwa wakat

  • @SoniaAbdala-w7s
    @SoniaAbdala-w7s 2 месяца назад

    Hongera chado nawapenda sana🎉

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 2 месяца назад

    Kwa naye mkubali kibonge 🤣👍👍👍👍vp chado alikuwa unajuwa yatakuwa je😂😂😂😂