Dr. Islam Muhammad || MAJIBU YA KIELIM JUU YA MANHAJ SALAFI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 164

  • @mkude
    @mkude Год назад +5

    MAASHAALLAH ALLAH akulinde DOCTOR YA SHEIKH

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 2 года назад +6

    ALLAH AMHIFADH SHEIKH, KAONGEA VYEMA

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid Год назад +2

    Allah akuhifadhi duktuur. Napenda sana umakini wako wa kuelewesha mambo na Allah azidi kukupa utulivu wa kueneza daawa.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Год назад +3

    Ma sha allah
    Sheikh wetu
    Allah akubariki na akuhifadhi

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Год назад +2

    Shukan sana Sheikh wetu
    Wambie masalafiya jadidah wajeelewe

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Год назад +1

    Maashallah.. Sheikh umefafanua vizuri kuwa mas'ala ya aqidah ndio ya kuyachunga zaidi lkn mas'ala amaliya ni mambo yanayo ruhusu ikhtilafu

  • @sudikisebengo8414
    @sudikisebengo8414 2 года назад +4

    allah akuhifadhi mwenye akili ameelew bila ya uxhabiki

  • @kudrawanguvu5923
    @kudrawanguvu5923 2 года назад +4

    Mashallah Shekh umeeleweka

  • @bahashachembea6922
    @bahashachembea6922 Год назад +1

    Safi sana Raddi apigwe Ibn Uthaymin sio Mabrouk Dr. Islam

  • @yunus-or3ny
    @yunus-or3ny Год назад +2

    Wenye eelmu naakili hujibu kamahivi Maashallah

  • @suleiman5257
    @suleiman5257 2 года назад +4

    MashaAllah jabal Hilo
    Simchezo wape ilmu
    Watu wa tz

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY 2 года назад +3

    Maasha Allah Baarakallah
    Well explained.
    Ufafanuzi mzuuri saana. Na huu ndio UISLAMU

  • @kudrawanguvu5923
    @kudrawanguvu5923 2 года назад +2

    Allah Subhana Wataalla atuongoze ktk kher nyingi

  • @zuhuralukanga8614
    @zuhuralukanga8614 Месяц назад

    Allah akuhufadhi Shekhe uendelee kutuelisha

  • @dktabdurahim3896
    @dktabdurahim3896 Год назад +1

    Alla akuhifadhi naitwa abu ahmad abdurahim bin suleiman for Zanzibar

  • @fatmaally7241
    @fatmaally7241 Год назад +1

    Allah akuhifadhi dr

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhany Год назад

    MaashaAllah shekhe

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b 2 месяца назад

    Waleykum salam warahmatullah

  • @bilalimsafiri6166
    @bilalimsafiri6166 10 месяцев назад

    Allah akuhifadhi Doctor.

  • @husseinkumbiro8908
    @husseinkumbiro8908 Год назад +1

    Mashaallah.

  • @husseinkumbiro8908
    @husseinkumbiro8908 Год назад

    Allah akihifadhi ili uendelee kutufidisha.

  • @RidhwanHassan-u1x
    @RidhwanHassan-u1x 10 месяцев назад

    Mtume Swalallahu alayhi wasalam kaomba dua waislamu wasije kuwa na khitilafu baina yao ila dua iyo ilikataliwa Allah ajua hikma kwaiyo mpaka kiama waislamu watakhitilafiana kiilmu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Год назад +4

    Huyu kweli n duktuue maana anavyo jibu swali mpka unaelewa kabla ya kumalizaaa

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman9631 Год назад +3

    HII NDIO HAKI SASA SIO YULE BAROBARO WA PONGWE MVURUGAJI ALLAH AKUHIFADH DOCTOOR

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Год назад +2

      Kwa kweli shkh Qasim aliuliza maswali mpaka sasa hata moja halijajibiwa.

    • @hashimsaid5546
      @hashimsaid5546 Год назад

      @@user-bp6fb6wo5u mjibiwe wewe kisantili wake

    • @mustafajuma8016
      @mustafajuma8016 2 месяца назад

      Dah mtihani sana

  • @BilalMkasi
    @BilalMkasi Год назад

    Allah akupenguvu kueneza haki

  • @fatmaaibrahim7687
    @fatmaaibrahim7687 Год назад +2

    Dr Islam Salim unangojewa na qassim mafuta kwasababu wewe ulisema Kuna storia kamali ya kuazia usalafi toa darsa uzungumzie tunakungojea

  • @nairobiyouthleaks4549
    @nairobiyouthleaks4549 Год назад +1

    Katika comments naona hapa jahl imekithiri tusome ilm tusije tukazungumza bila ya udhibitisho

  • @husseinkumbiro8908
    @husseinkumbiro8908 Год назад +1

    Akupe umri mrefu.

    • @mubaarakamussa9567
      @mubaarakamussa9567 Год назад

      Maasha Allah,,, Aamin aaamin,,,,nimefaidika na sheikh,,, Allah amlinde na ampe wenye manufaa

  • @kichachu6391
    @kichachu6391 Год назад +2

    Ukweli mchungu ndio maana hizbu ssalafi wameumia Allah mrehumu Sheikh Ibnu Uthaimin kwa kutubainishia uhakika wa hawa watu

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Год назад +1

      Kwa hiyo yeye kuwatoa wengine halali!? Akitolewa yeye kwa haki amedhulumiwa!? Hhhhhhhhhhhhh muna mizani nzuri sanaa.... Allah akupe umri mrefu shkh mafuta umeweka wazi mpaka wanalia jamaa...

    • @kichachu6391
      @kichachu6391 Год назад

      @@user-bp6fb6wo5u قبل أن تحكم على أحد أنه سلفي أو ليس بسلفي لا بدا أولا أن تعرف حقيقة السلفية فكل من تنطبق عليه هذه الحقيقة فهو سلفي لأن الحكم على الشيء فرع عن تصوره
      فعرف لي السلفية ثم قل لي هل كل من تتهمونه بأنه ليس سلفيا مخالف لهذه الحقيقة أم لا

    • @saidali9379
      @saidali9379 Год назад

      @@user-bp6fb6wo5u wapi amemtowa mtu na ametafsiri maneno ya mwanachuoni? Tuacheni kufuata ushabiki hayo maneno yako wazi kabisa

    • @husseinabdul7948
      @husseinabdul7948 Год назад

      @@user-bp6fb6wo5u acheni din kuifanya mjuu mkawa mnachezea mnavyo taka wakati din ni amana tumekabidhiwa na kwa Allah azzawajala tutaenda ulizwa din sio ushabeki flan akisema kwa mujibu w kitabullah wasunatRasuri wye utaki mpaka aseme flan kwakua wampenda din haiko hvyo..

    • @abuubakarhuseni-hy8ii
      @abuubakarhuseni-hy8ii Год назад

      Hata afike miaka mia huyo jadidah kasimu mafuta azidi kupoteza watu

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Год назад +1

    #Uthaimin anakubalika n wafalme na wafausi wa wafalme tu

    • @moussamohammad5073
      @moussamohammad5073 Год назад

      Sio kweli, Mche Allah. Uthaymin anakubika na kila aliyenusa rehe ya ilmu.

  • @athmanshire4768
    @athmanshire4768 Год назад

    Ndio kina mafuta na pote lake ndio wanakashif waliowakhalif lakini silingine Bali ni Hasad maana paka sahi bayaan iko wazi kuwa majadida ni ujahil ndio umewatawala katika nyoyo zao ,Allah awaongoze na atuongoze sote kwenye njia ya Hakki.

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Год назад

    Pengine duktuur angetupa mifano ya hawa majadida wanavyo pinga wenzao katika masuala ambayo sio ya itikadi, yani kama masuala ya kifiqhi, ikhwa ikiwa lipo itakua faida kubwa sana, sababu shkh hapa hakutaja hata moja, na sisi tunahitaji ili kuwajibu majadida hawa.

    • @hay3_8kal
      @hay3_8kal Год назад

      Ningependa ujiulize swali hili kama wataka kuona alichoongelea duktur ni kweli... Ni sheikh gani kati ya Hawa wanajiita masalafi ambaye amemkubali sheikh ama wanafanya daawah na sheikh ambaye anarekodi video??
      Nazungumzia huku kenya ama TZ
      Utaona wao wako na masheikh ambao wameelewana kifikra na wanakubaliana kimawazo... Wengine wote ambao hawakubaliani... Wamejitenga nao na shida kubwa ni kuwa wanawapiga vita wakiwaita hizbi ama mubtadi'
      Tafakari hayo

  • @ahmedrageahmedrage9134
    @ahmedrageahmedrage9134 2 года назад +5

    Hizbyyy

  • @alahdaly1
    @alahdaly1 Год назад

    Dr Islam, anazungumzia ikhtilaaf ya wao kwa wao, baina ya wahabiyya. walotoka katika ahlu sunnah wal jamaa ni uwahabi, ndio walozua katika aqida, thulathiyya tauhiid, tajsiim, na takfir. sasa wamechoka na aqida yao wenyewe.

  • @alahdaly1
    @alahdaly1 Год назад +1

    hakuna wahabi aweza kuhadithia historia ya uwahabi, hakuna mtu akijua historia ya uwahabi atakubali uwahabi, bado hujasema ongea uwahabi uleanzaje na muanzilishi tarikhi yake ni ipi

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 Год назад +2

    Sheikh lslam umesema kweli kupitia ibn uthaymy alieelewa kaelewa alnaepunga ni hao waliofamya salafi ni chama

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 2 месяца назад

    Doctor Islam tatzo amekaa kisiasa sana hakuna majibu yaliyo Nyooka juu ya wale wanao watusi kina sheikh rabii al madkhali akiuliza anazuga na kukwepa kujibu,
    Manhaj salaf gani Iko hvyo, wanachuoni wanatukanwa na kuvunjiwa heshima yeye anawatetea wanao watukana na haweki wazi kuhusu msimamo wake juu ya wawanachuoni Hawa.
    Sijawah elewa Manhaj salaf anayo izungumzia siasa nyingiii.

  • @ounaogot
    @ounaogot Год назад

    assalam aleikum, maneno ya busara lakini watasikiza

  • @abdulkarimurassa3548
    @abdulkarimurassa3548 Год назад +2

    هههههه،
    Kaanzisha hiwari ya kielimu, tunasubiri muendelezo wa hiwari, tuko makini kufatilia, SIMBA KASHANGURUMA TANGA PONGWE, TUNASUBIRI MAJIBU KUTOKA KWA DUKTUUR.
    ila alhamdulillahi Dr Islam kadhihirisha aliyokuwa ameyaficha muda mrefu sana,

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Kumbe mjinga kisharopokwa Tena huko 😂

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Год назад

      @@hilalkhalfan1452 ndugu hivi ni sawa kumwita shkh Mafuta mjinga? Haya kheri bwana mkubwa, ila na nyie msifanye hasira maana kajibiwa kielimu hata ni aibu huyu kuitwa duktuur.

    • @saidali9379
      @saidali9379 Год назад +1

      Mafuta akieshimu mashekhe wenziwe basi ataeshimika akidhalilisha wenziwe pia atadhalilika! Anajivuwa nguo mwenyewe!

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@saidali9379 mafuta hana elimu ya kukaa jukwaani kabisaaa. Angepangiwa watoto asomeshe Qur-an ni afazali kwake. Ati anasema Mtume saw kafariki mwez muandamo 12. Wakati mwaka huo kwa hesabu za falaki yaani miandamo ya mwezi tarehe hio inajitokeza siku ya ijumaa nne na ijumaa tano. Sasa Mtume saw kafariki ijumaa tatu haiendani na hio tarehe. Basi hata ingeendana basi pia huwezi kuhukumu nia za watu. Analazimisha iwe watu wanafurahia kifo wakati nia zao wameenda kwaajili ya mazazi. Mie nafkiri JUHA anayo chembe ya akili kuliko mafuta. Yaani kama elimu huna basi ata akili inaweza kukusaidia mara nyengine.

    • @husseinabdul7948
      @husseinabdul7948 Год назад

      Muogopeni Allah s.w.t nyinyi mwaifanya dini kama mchezo Allah s.w.t atufahamishe ktk ili akiamua nasi kutufanya vituko ashindwi

  • @selemanijafari9225
    @selemanijafari9225 5 месяцев назад

    Basi salafi wapo sawa

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u 2 года назад +9

    Naona kama bado doctor hujafungua vizuri, kama mimi sijaelewa haya mambo yameanza wapi na vipi? Pia wewe ni nani bado hapako wazi, na unawakusudia nani hao huku kwetu? Kama unatuchenga kiujanja ujanja habiib... tuwekee wazi, ingawa kaa tayari jamaa watakujibu tu.

    • @gweh3144
      @gweh3144 2 года назад +5

      السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
      Sheikh amejibu hili swala kwa kuitumia jawabu ya mwanachuoni mkuu Sheikh Muhammad bin Uthaimeen. Ameeleweka wala hajatuchenga. Shida hapa ni kwamba munataka utajaji wa majina ya watu. Sheikh bin Uthaimeen hajataja majina mbona wamtaka sheikh Yislaam ataje majina maalumu? Hebu tuacheni fitnah za kuvunja swafu za ahlu-ssunah wal jamaa3ah.
      اللهم أرنا الحق حقا وارزقنا اتباعه وأرنا باطلا باطل وارزقنا اجتنابه

    • @SHECK177
      @SHECK177 2 года назад

      @@gweh3144 shukran

    • @ado6505
      @ado6505 2 года назад

      I have never seen a stupid comment like this. Illiterate people like you are the ones who will come here to comment baseless comments. Ikiwa mambo haya hujaelewa hadi sasa from this video(which I doubt if you watched this video to the end) then I’m sorry to say youa re still illiterate and ignorant. The relatives you are talking about , now you tell us who they are cause Dr. Islam has no specific group like those who claim to be “SALAFI” and the rest are like kuffaar. And let them Jibu I’m sure they have nothing in their brains. Let them google well.

    • @Team-t6k
      @Team-t6k 2 года назад +1

      Acha fujo na acha ushabiki katika uwislam alisema mwenyewe yoyote anayetaka swala la dini ao kuhusu kutuhumu watu na kuwatowa kwenye salafy kama dini zawa baba zenu basi alisema leta jambo linamfanya yeye ao kutuhumu ma sheikh wa sunna mumuite kisha muika chini mleta mda ya kielimu tena iyi sio page yake iko na page yake usiwi kasuku na kuropokwa pasina mpango .

    • @yotesawatu
      @yotesawatu 2 года назад +1

      Kaka kama ujaelewA itabidi ukasomeshwe madrasa ama tukueleze kwakizungu ??

  • @kichachu6391
    @kichachu6391 Год назад +1

    نشكر الدكتور بهذا التوضيح وأتمنى أن تكون الرسالة قد وصلت إلى الحزب السلفي المدخلي وإن كانوا يكرهون هذا الاسم لكن هذه هي حقيقتهم فهم لا يعادون من لم يتمسك بمنهج السلف بل من كان خارج حزبهم وجماعتهم فهم الحزبيون حقيقة لأن البراء والولاء عندهم مبنيان على الحزب لا على الكتاب والسنة
    أخيرا ينبغي تنظيف صفوف أهل السنة من سرطان المداخلة

    • @aliabdallah710
      @aliabdallah710 Год назад

      كفاك ما قاله أبو الفاضل قاسم مفوت عن هذا الحربي قح

    • @aliabdallah710
      @aliabdallah710 Год назад

      ما قلت شيء إلا تمتمة

    • @kichachu6391
      @kichachu6391 Год назад +1

      صحيح كفاني تجريح مافوتا أن الدكتور إسلام على الحق لأن مافوتا يجرح من خالف حزبه وجماعته فهو أكثر الناس تمسكا بالحزبية فالسلفي عنده من كان معه في حزبه

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Год назад

      @@kichachu6391 كلكم فى الوادى والدعوة الصحيحة فى الوادى
      فمافوتا و إسلام وكلكم عباد القصور
      دعوتم الله من عبادة الأصنام إلى عبادة الحكام ومن عبادة القبور إلى عبادة القصور

    • @kichachu6391
      @kichachu6391 Год назад

      @@aishathabit3732 أظن ما تدرين ما تقول فراجع أفكارك جيدا قبل أن تكتبي

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Год назад

    WEE MUONGO
    NI LINI MAWAHABI WAKAWA NA UMOJA ?LINI
    NA NYIE MKO MAPOTE KIBAO NA
    LIPI KATIKA MAPOTE YENU
    AMBALO NDIO SAHIHI?

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Год назад +1

    JEE NA WAPI MTUME SAW AMESEMA KUWA TUTENGENEZE DHEHEBU LINALOITWA SALAFY?????

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      YAANI WATU WANAGOMBANIANA USALAFY WALA HAIPO KATIKA SHERIA KUFUATA HILO KUNDI. NI KUNDI LIMETUNGWA JUZI NA SASA LIMEJAA MIFARAKANO. KAMA DINI NDIO INGEKUWA SALAFY BASI ISINGETUFIKA LEO, KUNDI HATA MIAKA 20 HAIJAFIKA KUJA ZANZIBAR NA AFRIKA NA SASA TAYARI IMEKUWA WAISLAMU HAMKANI, JEE INGEKUWA INAMIAKA ALAU MIA SI TUNGEKUWA WAISLAMU TUSHACHINJANA????.

    • @East_Africa_120
      @East_Africa_120 Год назад +1

      Nani kakwambia salafiy ni madhehebu

    • @East_Africa_120
      @East_Africa_120 Год назад

      Na ikiwa ni madhehebu bhas ni madhehebu ya haki

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@East_Africa_120 SEMA NENO MOJA UELEWEKE. maana sms yako ya pili inapingana na ya mwanzo yake. Kwaio watu kama nyie ni kujipotezea mda tu kukujibu. Kwanza tafuta elimu, inaonyesha ujinga mwingi umekufanya ujipinge mwenyeo. Tuseme hivyo unavyotaka ya kuwa salafy ni dhehebu la haki. BADO SUALI LANGU HUKU JIBU.
      WAPI MTUME SAW AMESEMA TUFUATE DHEHEBU LA SALAFY?

    • @tariqsinga8440
      @tariqsinga8440 Год назад

      @@hilalkhalfan1452 wap Mtume alisema tujiite mashafiy,hambaly,hanafiy,sufiy, Tabligh,ibadhi,ikhwaniy,hizbu Tahrir,Ansar Sunna,Ashaaira,Sunni,Shia n.k?

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Год назад

    😄😄😄😄mawahabi hii ndo dini yao miaka yao yote ya umri wao kazi yao ni kukosoana tu na kubishana hovyo kama wehu....

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Год назад +1

    Ukasuku tu sasa elimu yako wewe nini? Copy and paste?
    Masalafy nyoote mnakuwa kama mandondocha

    • @saidmadizi9152
      @saidmadizi9152 Год назад +1

      Kwani ndugiangu ilimu c inachukuliwa kwa wanachuoni au kua unataka atoe akilini mwake

    • @moussamohammad5073
      @moussamohammad5073 Год назад

      @@saidmadizi9152 Mwambie mjinga huyo.

    • @fatmaally7241
      @fatmaally7241 Год назад

      Hujui kitu ndomana unasema hivo

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Год назад +2

    Mi najuuliza hivi hawa watu wanao shtumu watu we si salafi huo usalafi wana umiliki wao!? Wana uakika wao ni masalafi!? HAKIM WA KWELI NI ALLAH tum achi yy sio kutwa fulani ame kosea wapi nimpige radi

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 Год назад

    Kwa hiyo hata jitu la bida'a ni salafy

    • @mohassan1978
      @mohassan1978 Год назад +1

      Shk ahlu sunnah wal jamaah wote ni salafi. Hanafi maliki shafi hanbali wote ni salafi na kutofautiana ktk maduala ya fiqhi hakumtoi mtu kuwa si salafi. Hata asome maulidi na hitma hao bado ni salafi
      Iwapo kutakuwa na tofauti ya aqida yaani tawhid hapo unaweza kusema huyu sio salafi. Km kalimtu tawhid ipo tofauti hapo unaweza kusema huyo sio salafi
      Dni sio chama cha siasa wala timu ya mpura. Hivyo wale wanaoita wenzao makafiri au wanafiki ilhali wanatumia qurani na sunna wanakosea. Kazi ya kuhkumu ni ya Allah labda km mtu atapinga aqida ya kiislamu huyo tutasema ni kafiri. Allahu aalam

  • @jumanneissa7118
    @jumanneissa7118 Год назад +4

    Wadanganye mahzib wenzio

  • @jumanneissa7118
    @jumanneissa7118 Год назад

    Kilicho ulizwa na majibu tofauti

    • @selemanimartin1081
      @selemanimartin1081 Год назад

      Hakuna doctor hapo

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Год назад +4

      @@selemanimartin1081 hamuwezi kuelewa kwa sababu mmeshafanya usalafi ni chama na sio kumfuata mtume na mswahaba zake

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Год назад +1

      @@selemanimartin1081 wewe ndio Doctor tufanye.umeshinda.

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Год назад +1

      Haya jibu wewe mwanazuoni

    • @amourbadal3331
      @amourbadal3331 Год назад +1

      @@selemanimartin1081 acha ushabiki sikiliza haki

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 Год назад +1

    Huna hoja hizib tu wewe umeshabainika mrengo wako na ndio mwisho wako

    • @arifali3942
      @arifali3942 Год назад +2

      Hapo uhizbi ni sheikh Uthaimin rahimahullah maan yy katowa fatwa ya sheikh Uthaimin rahimahullah acheni ushabiki katika dini Mahizbi ni hao waliona tabia alizozizungumza sheikh Uthaimin rahimahullah

    • @mashaurimvungi2232
      @mashaurimvungi2232 Год назад +1

      @@arifali3942 Wewe unionekana jambo umelijua juzi hiyo fatwa ya uthymin hamuielewi barhiyani alipokuja na kile kitabu chake cha udaku alijibiwa kuhusu hiyo fatwa ya uthymin na akaulizwa maswali 10 hajajibu na hatajibu mpaka anakufa huyu naye kaja kama hinyo yeye kajificha ficha sasa sikiliza majibu ya rudud yake kutoka kwa sheikh KASSIMU atajua nyie niakina nani sururiyu anataka HURUMA ya watu barahiyani atawauza muda si mrefu

    • @hemedahmed3094
      @hemedahmed3094 Год назад

      @@mashaurimvungi2232 fikra za mafuta ni mgando na wafuasi wake ni wajinga alaf hawajijui kuwa ni wajinga
      اذِل كَلب لَيُذِكَ اِلا نَبَحَهُ فَتُرُكُ اِلا يَوْمِ لقِيَت يَنبَهُ
      Mtabweka sana

    • @mansourhubby7398
      @mansourhubby7398 Год назад +2

      Chaka lenu limetiwa moto

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Год назад +1

      @@mashaurimvungi2232 we chiz Baki na uchiz wako

  • @leonardmbonea429
    @leonardmbonea429 Год назад

    Hizbi wewe

    • @abdulshamte
      @abdulshamte Год назад +1

      Akhiy majibu aliyoyatoa ni ya Sheikh Utheimin sio yake, kama raddi apigwe Sheikh Utheimin. Je hayo aliyasema Sheikh sio ya Haki? Usifate mkumbo tu akhy

    • @leonardmbonea429
      @leonardmbonea429 Год назад

      Huyu ni hizbi tu na hakuna hizbi anayeelewa maneno ya mwanawachuoni makusudio ya ibn uthymiin sio hayo

    • @mkude
      @mkude Год назад

      @@leonardmbonea429 nyinyi mnataka kufanya usalafy kama kikundi chenu,atakacho sema shekhe wenu basi mnakichukja hicjo hicho, mjibuni sheikh uthaymee

    • @leonardmbonea429
      @leonardmbonea429 Год назад

      @@mkude shekh uthymiin hana kauli ya kutetea uhizbi alafu hamna salafi mjinga Kama usemavyo. Ukikosea dini salafi atakuambia, ukileta uhizbi salafi atakuambia na nyinyi hamtaki

    • @mkude
      @mkude Год назад

      @@leonardmbonea429 yaani wewe hata ueleweki hata kuandika hujui,nenda kasome dini wewe,acha kushabikia dini hii sio chama cha siasa au kikundi,hata alichoeleza Sheikh Uthymii ALLAH amlipe kila LA kheir naona hujaelewa kitu,basi wewe uelewa wako utakuwa na shida sanaaa. ALLAH akuongoze

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Год назад

    Mtu anaongea ujinga ety mijitu mengine inapongeza ety umeongea point acheni ujinga uwoo jishuhulisheni na kuisoma dini yenu mujuwe angalau nikina nani mahizbi.

    • @athumanmandwa764
      @athumanmandwa764 Год назад +4

      Ittaqillaaha akh Uislam si ushabiki

    • @user-dr8mi4qp3n
      @user-dr8mi4qp3n Год назад +3

      هداك الله ikiwa maneno ya shekh uthaymiin ni ujinga je vip maneno yako wew ambayo yametawaliwa na ushabiki na ghuluu ndani yake

    • @seifsaid9905
      @seifsaid9905 Год назад +3

      Achan chkuiiiiiiiii

    • @saidhalfan3452
      @saidhalfan3452 Год назад +1

      Chuki iyo

    • @swalehmudhihir6612
      @swalehmudhihir6612 Год назад

      Sasa nani mjinga kati yako na hao???wewe bainisha wapi kwenye makosa katika hayo maneno yake tupate kuongoka