JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MCHELE YA KUNG'ARISHA, YENYE SCRUB NDANI YAKE VYOTE KWA PAMOJA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Kwenye uzalishaji wa sabuni za tiba mbali mbali unaweza kubuni kitu chochote unacho kiwaza tena Cha asili kabisaaa.
    Leo hii tutaenda kujifunza JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MCHELE YA NG'ARISHA YENYE SCRUB NDANI YAKE, VYOTE VIWILI KWA PAMOJA.
    hii ni sabuni ya urembo na vipodozi na unatumiwa na mtu yeyote yule na kwenye ngozi ya Aina zote.
    Kama ulipitwa na Jinsi ya kutengeneza sabuni ya mchele kwa awamu ya kwanza Basi gusa Link hapo chini.

Комментарии • 39

  • @justinakaronge5270
    @justinakaronge5270 2 года назад +2

    Hujataka kufundisha,ila umetaka tuone tu haya kaa na ujuzi wako,asante

  • @fatmatwaib7737
    @fatmatwaib7737 2 года назад

    Kutengeneza hivi vitu unatakiwa kuwa makini sana na vipimo maana unatumia chemicals,lkn km unafundisha bila vipimo ni kazi bure

  • @mwanaidliana5769
    @mwanaidliana5769 2 года назад

    Mbona mmekata sauti na hutoi maelezo ya vipomo

  • @amushemustafa
    @amushemustafa Год назад

    Mihata sipend kufwatilia mana unamaliza bando lako buree tuu analeza vitu ambavyo havijatimia

  • @officiallearhfrank9135
    @officiallearhfrank9135 4 года назад

    Je twaruhusiwa kutumia rangi pia

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 года назад +1

      Nyeupe Mana uwezi kumuuzia mtu sabuni ya mchele alafu iwe nyekundu au kijani Wala akuelewei

  • @mwinyihabiba366
    @mwinyihabiba366 4 года назад +1

    Huo Mchele ni kiasi gani? Na costic solution ni kiasi gani

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 года назад

      Mchele robo costic solution imechukuliwa resho ya lita 2

  • @sabahali7748
    @sabahali7748 4 года назад

    helloo mm nahitaji hz mod zinapatikana wapi? na km ninekosea kutaja hl jn mn sjalisikia vizur kwa jn jengine naweza sema kifaaa kinachofanya shap ya sabuni

  • @dorothygeorvid6557
    @dorothygeorvid6557 3 года назад

    Mpo vizuri ila mnatufundishs km vile tunajua siku nyingine fanyeni ni ninyi tu mnajua mnafundisha. Mfano unasema unawek a mchele robo

  • @stellahwilliam3166
    @stellahwilliam3166 4 года назад

    Tatizo hakuna vipimo maalumu ya hvyo vtu mnavyoweka

  • @mariammwinyi5177
    @mariammwinyi5177 3 года назад

    Haya mafuta yaaina gani au ya kupikia

  • @fanterbaby8853
    @fanterbaby8853 4 года назад

    Ivo vifaa vinapatikana wap

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 года назад

      Maduka yanayo uza maligafi za ujasiliamali au unaweza kutuandikia kupitia WhatsApp yetu tukuuzie sisi wenyewe

  • @mwinyihabiba366
    @mwinyihabiba366 4 года назад

    Hio ya kimiminika uloweka ya kutakatisha ni nini

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 года назад

      Inatwa Ra-Whiter kwa maelezo zaidi tuandikie kupitia WhatsApp yetu 0755912838

  • @nasiekukephas5289
    @nasiekukephas5289 4 года назад

    Hii video irudie maana kuna vitu vingi umeweka hujavisema

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 года назад +1

      Tutafanya ivo 🤝

  • @rehemasaidy4381
    @rehemasaidy4381 4 года назад +1

    Sabuni moja bei gan madukani fake ni nyingi

  • @rahmamtoi4497
    @rahmamtoi4497 3 года назад

    Kaka hueleweki

  • @SkillswithSisha
    @SkillswithSisha 4 года назад +1

    Mafuta gan umeweka??

  • @lawrenciamkolwe796
    @lawrenciamkolwe796 2 года назад

    Samahani vitu hivi vinapatikana maduka gani

  • @mwahscune2717
    @mwahscune2717 4 года назад +1

    Kitu gani umeweka chakutakatisha?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 года назад

      Ra-Whiter

    • @mwahscune2717
      @mwahscune2717 4 года назад

      Yani hicho ulicho weka mwishon hicho ndio nakitaka

  • @kitchenwithaisha2279
    @kitchenwithaisha2279 3 года назад

    Mafuta gani?

  • @iluushaaban730
    @iluushaaban730 3 года назад

    Mm nataka ninunuwe moja kwa moja naipataje

  • @joharimadua8342
    @joharimadua8342 4 года назад

    Hiyo ya kutakatisha gliseline ama vaseline?