JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MCHELE YA KUNG'ARISHA, YENYE SCRUB NDANI YAKE VYOTE KWA PAMOJA.
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Kwenye uzalishaji wa sabuni za tiba mbali mbali unaweza kubuni kitu chochote unacho kiwaza tena Cha asili kabisaaa.
Leo hii tutaenda kujifunza JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MCHELE YA NG'ARISHA YENYE SCRUB NDANI YAKE, VYOTE VIWILI KWA PAMOJA.
hii ni sabuni ya urembo na vipodozi na unatumiwa na mtu yeyote yule na kwenye ngozi ya Aina zote.
Kama ulipitwa na Jinsi ya kutengeneza sabuni ya mchele kwa awamu ya kwanza Basi gusa Link hapo chini.
Hujataka kufundisha,ila umetaka tuone tu haya kaa na ujuzi wako,asante
Kutengeneza hivi vitu unatakiwa kuwa makini sana na vipimo maana unatumia chemicals,lkn km unafundisha bila vipimo ni kazi bure
Mbona mmekata sauti na hutoi maelezo ya vipomo
Mihata sipend kufwatilia mana unamaliza bando lako buree tuu analeza vitu ambavyo havijatimia
Je twaruhusiwa kutumia rangi pia
Nyeupe Mana uwezi kumuuzia mtu sabuni ya mchele alafu iwe nyekundu au kijani Wala akuelewei
Huo Mchele ni kiasi gani? Na costic solution ni kiasi gani
Mchele robo costic solution imechukuliwa resho ya lita 2
helloo mm nahitaji hz mod zinapatikana wapi? na km ninekosea kutaja hl jn mn sjalisikia vizur kwa jn jengine naweza sema kifaaa kinachofanya shap ya sabuni
Ndio
Mpo vizuri ila mnatufundishs km vile tunajua siku nyingine fanyeni ni ninyi tu mnajua mnafundisha. Mfano unasema unawek a mchele robo
Tatizo hakuna vipimo maalumu ya hvyo vtu mnavyoweka
Haya mafuta yaaina gani au ya kupikia
Ivo vifaa vinapatikana wap
Maduka yanayo uza maligafi za ujasiliamali au unaweza kutuandikia kupitia WhatsApp yetu tukuuzie sisi wenyewe
Hio ya kimiminika uloweka ya kutakatisha ni nini
Inatwa Ra-Whiter kwa maelezo zaidi tuandikie kupitia WhatsApp yetu 0755912838
Hii video irudie maana kuna vitu vingi umeweka hujavisema
Tutafanya ivo 🤝
Sabuni moja bei gan madukani fake ni nyingi
0755912838
Kaka hueleweki
Wahuni tu hao wako.kibiashara sio kufundisha
Mafuta gan umeweka??
Mafuta ya Mise
In english
Calmel coconut oil
Naweza tumia mafuta ya mawese??
Ndio
Samahani vitu hivi vinapatikana maduka gani
Kitu gani umeweka chakutakatisha?
Ra-Whiter
Yani hicho ulicho weka mwishon hicho ndio nakitaka
Mafuta gani?
Mm nataka ninunuwe moja kwa moja naipataje
0755912838
Hiyo ya kutakatisha gliseline ama vaseline?
Inaitwa Ra-White
@@rabaonetv mmh asante