Team Kibwana 2-6 Team Job | Kibwana alia kuhujumiwa, Kamwe na Ibwe waendeleza ubishi, Job atamba
HTML-код
- Опубликовано: 21 июн 2024
- WAPE TABASAMU | Mazungumzo baada ya mechi bado ni ubishani wa makocha Ally Kamwe na Hasheem Ibwe…. Malalamiko ya kuhujumiwa kutoka kwa Kibwana Shomary na tambo za kibabe kutoka kwa Dikson Job.
Hawa hapa wote wakitoa pongeza na kuwashukuru wakazi wa Morogoro kwa muitikio waliouonesha…. ….
FT: Team Kibwana 2-6 Team Job
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#MechiYaHisani #WapeTabasamu #WapeTabasamu2024 Спорт
Wanataniana bwana...hongereni vijana Mungu awabariki kwa majitoleo yenu
Hakika hii ni zaidi ya undugu jana wetu wameleta kitu kuzuri sana hasim ibwe wewe ni mtu wa maana sana ali kamwe wewe unajua sana
Aisee hawa watu wawili Job na kibwana Mungu awabariki sana nawapenda sana
Mimi sina timu hapa,kwa sabsbu wote ni wanangu. Nawapongez sana tena sana Hawa vijana, kwa kazi nzuri wanayofanya.pongezi pia kwa vijana wenziwao waliohusika.pongezi kwa viongozi wote,pamoja na wananchi wote waliohusika.Mwenyezi mungu awabariki sana Watanzania wenzangu🙏🙏
Kibwana na Job nyakati zote wamekuwa ni kiburudisho tisha ndani na nje ya uwanja. Mmetupa burudani na msijali nani kashinda nyie wote ni washindi na walioshinda zaidi wake walengwa yaani wape furaha mama zetu. Big up Kibwana na Job.
Ahahhhhh yn mungu awatunze sana kwa kuprudisha kwa jamii🙏🙏🙏🙏🙏🙏
hii ni zaidi ya burudani , thumb up for all ,,, appreciate
😂😂😂kiukweli mm nawapenda ibwe na kamwe nanakaufanano vile ila kuna yule zakazakazi na Ahmed ally vyenye nimakolo na roho zao zinaendana Asante sana kibwana na job pia ibwe adi alikamwe sauti imemshika
Sometime kuwasikiliza hawa madogo uleta furaha sana Ali na Ibwe
Nimewapenda vijana hongereni sana
Asanteni sana! God Bless you all.
Mungu awabariki
Ahahaha 😂😂😂😂😂 dah kibwana analiaaa😢😢😢😢 pole sana
Something amazing
Kibwana kaka kumbuka kuna maisha mengine baada ya mchezo kaka job ni best yako
Ni utani tu hao wote nahisi bado ni marafiki tu
Utani tu hapo😂
Utani tu huo Wala sio ugomvi
Kibwana mpige job kwenzi moja kichwan maana kakuonea😂😂
Kibwana ,job wanapendana sana
Ibwe na Kamwe mnastahili pongezi saaana kwa hili mlilolifanya, burudani tosha.
All very nice,,,full amazing
Hongereni sana job na kibwana
Hana mkataba wa maisha kibwana bhna😂😂😂😂😂
Utamaduni mzuri sana wa utani wenye kuleta furaha
We Mshery goli gani ilo ulofungwa
Pole kibwana
Hii ni kubwa sana kuliko Ile ya zenjii
Wanafurahisha sana
Mdathir kala hela na akachza kwao
Wape tabasamu imekuwa kubwa kuliko samakiba
Rahasana eti kocha Anamkataba wa maisha 😂😂😂
😂😂😂😂kibwana bwana
Job ni mkimbizi Moro 😂😂
Nimecheka hatari, kweli wameshinda wote 😂😂😂🎉🎉🎉
Masikini Kibwana😢
The best enjoyment 🎉❤
Team job noma sana 👍
Imecheka😊
Ila kibwana😂😂😂😂😂
Feisal sehem aliyopo engineers hersi hawez kuja
Hahaha. Habari za membe kuangusha kabati
Dogo hana adabu... hakuna ugomvi usio na mwisho
Acha uwongo adofu mbna alikuwepo@@jemimabakari
@@jemimabakariwakina msindo mtasigwa yahaya zaid lianga had lusajo mbona wapo pamoja na sop
@@consolathamlimi7883 kweli bhana, walikuwepo.Basi ana kisirani.Lakini wenzie wanamsapoti
Gawaneni bhaaanaaaa jamani kibwana 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂,,nikosage tu ya kula ila bando ni weke jaman
Aah weee usinitania hujawahi kutana na njaa😂😂😂
Hamuachagi kulalamikia refer
😂😂😂 kibwana
Kumbe mpak huko mnatumea tgo pesa😮😮😮😅😮😮😮😅😅😅😅😅
😂😂😂😂Bacca anataka kupitiliza Dodoma
😂😂😂Ibwe
😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ibwe acha lugha za kutaka kuharibu mashindano hayo. 😂😂😂😂
Anatania tu ila inafurahishaaa😂😂
😂😂😂😂😂
Engineer Hersi kanunua Marefa😂😂😂 . Ila Cha kujiuliza Tajiri kabisa GSM timu kibwana 😅
@@GabrielSky64wangempa namba GSM...