Team Kibwana 2-6 Team Job | Kibwana alia kuhujumiwa, Kamwe na Ibwe waendeleza ubishi, Job atamba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024
  • WAPE TABASAMU | Mazungumzo baada ya mechi bado ni ubishani wa makocha Ally Kamwe na Hasheem Ibwe…. Malalamiko ya kuhujumiwa kutoka kwa Kibwana Shomary na tambo za kibabe kutoka kwa Dikson Job.
    Hawa hapa wote wakitoa pongeza na kuwashukuru wakazi wa Morogoro kwa muitikio waliouonesha…. ….
    FT: Team Kibwana 2-6 Team Job
    Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
    #MechiYaHisani #WapeTabasamu #WapeTabasamu2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 63

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 6 дней назад +6

    Wanataniana bwana...hongereni vijana Mungu awabariki kwa majitoleo yenu

  • @jumambwambo
    @jumambwambo 6 дней назад +13

    Hakika hii ni zaidi ya undugu jana wetu wameleta kitu kuzuri sana hasim ibwe wewe ni mtu wa maana sana ali kamwe wewe unajua sana

  • @zaitunsuleiman5851
    @zaitunsuleiman5851 5 дней назад +4

    Aisee hawa watu wawili Job na kibwana Mungu awabariki sana nawapenda sana

  • @user-tp2ds6ug9p
    @user-tp2ds6ug9p 6 дней назад +2

    Mimi sina timu hapa,kwa sabsbu wote ni wanangu. Nawapongez sana tena sana Hawa vijana, kwa kazi nzuri wanayofanya.pongezi pia kwa vijana wenziwao waliohusika.pongezi kwa viongozi wote,pamoja na wananchi wote waliohusika.Mwenyezi mungu awabariki sana Watanzania wenzangu🙏🙏

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 5 дней назад +2

    Kibwana na Job nyakati zote wamekuwa ni kiburudisho tisha ndani na nje ya uwanja. Mmetupa burudani na msijali nani kashinda nyie wote ni washindi na walioshinda zaidi wake walengwa yaani wape furaha mama zetu. Big up Kibwana na Job.

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammad 6 дней назад +4

    Ahahhhhh yn mungu awatunze sana kwa kuprudisha kwa jamii🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @allytwalib7787
    @allytwalib7787 5 дней назад +2

    hii ni zaidi ya burudani , thumb up for all ,,, appreciate

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 5 дней назад +3

    😂😂😂kiukweli mm nawapenda ibwe na kamwe nanakaufanano vile ila kuna yule zakazakazi na Ahmed ally vyenye nimakolo na roho zao zinaendana Asante sana kibwana na job pia ibwe adi alikamwe sauti imemshika

  • @user-tf2bz8ou1c
    @user-tf2bz8ou1c 6 дней назад +5

    Sometime kuwasikiliza hawa madogo uleta furaha sana Ali na Ibwe

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 6 дней назад +2

    Nimewapenda vijana hongereni sana

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 6 дней назад +2

    Asanteni sana! God Bless you all.

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 6 дней назад +3

    Mungu awabariki

  • @abubakalimavumbi5846
    @abubakalimavumbi5846 5 дней назад +2

    Ahahaha 😂😂😂😂😂 dah kibwana analiaaa😢😢😢😢 pole sana

  • @philberthphilipo189
    @philberthphilipo189 6 дней назад +4

    Something amazing

  • @rockkubhe6416
    @rockkubhe6416 6 дней назад +4

    Kibwana kaka kumbuka kuna maisha mengine baada ya mchezo kaka job ni best yako

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 6 дней назад +2

    Kibwana ,job wanapendana sana

  • @dochikibaraza2944
    @dochikibaraza2944 5 дней назад +2

    Ibwe na Kamwe mnastahili pongezi saaana kwa hili mlilolifanya, burudani tosha.

  • @user-jh8rr8yd5g
    @user-jh8rr8yd5g 6 дней назад +1

    All very nice,,,full amazing

  • @FarajaMzila
    @FarajaMzila 6 дней назад +3

    Hongereni sana job na kibwana

  • @HassanSeif-mh6oh
    @HassanSeif-mh6oh 6 дней назад +2

    Hana mkataba wa maisha kibwana bhna😂😂😂😂😂

  • @romwaldkj4754
    @romwaldkj4754 6 дней назад +1

    Utamaduni mzuri sana wa utani wenye kuleta furaha

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 6 дней назад +3

    We Mshery goli gani ilo ulofungwa

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 6 дней назад +1

    Pole kibwana

  • @mohammedyjshemweta1390
    @mohammedyjshemweta1390 5 дней назад +1

    Hii ni kubwa sana kuliko Ile ya zenjii

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 6 дней назад

    Wanafurahisha sana

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga 6 дней назад +2

    Mdathir kala hela na akachza kwao

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 5 дней назад +1

    Wape tabasamu imekuwa kubwa kuliko samakiba

  • @ceankiiza9945
    @ceankiiza9945 5 дней назад +1

    Rahasana eti kocha Anamkataba wa maisha 😂😂😂

  • @zaitunsuleiman5851
    @zaitunsuleiman5851 5 дней назад +2

    😂😂😂😂kibwana bwana

  • @sarahmtuka2292
    @sarahmtuka2292 5 дней назад +2

    Job ni mkimbizi Moro 😂😂

  • @issayandeki9985
    @issayandeki9985 6 дней назад

    Nimecheka hatari, kweli wameshinda wote 😂😂😂🎉🎉🎉

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 6 дней назад +2

    Masikini Kibwana😢

  • @ribelathaponsian421
    @ribelathaponsian421 5 дней назад

    The best enjoyment 🎉❤

  • @malkandrew2921
    @malkandrew2921 5 дней назад +2

    Team job noma sana 👍

  • @hidayahassan8014
    @hidayahassan8014 6 дней назад

    Imecheka😊

  • @KelvinRobert-mn2mn
    @KelvinRobert-mn2mn 5 дней назад +1

    Ila kibwana😂😂😂😂😂

  • @damasdaudi7799
    @damasdaudi7799 6 дней назад +4

    Feisal sehem aliyopo engineers hersi hawez kuja

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 5 дней назад

      Hahaha. Habari za membe kuangusha kabati

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 5 дней назад

      Dogo hana adabu... hakuna ugomvi usio na mwisho

    • @SophiaChmpaya
      @SophiaChmpaya 5 дней назад

      Acha uwongo adofu mbna alikuwepo​@@jemimabakari

    • @consolathamlimi7883
      @consolathamlimi7883 5 дней назад

      ​@@jemimabakariwakina msindo mtasigwa yahaya zaid lianga had lusajo mbona wapo pamoja na sop

    • @jemimabakari
      @jemimabakari 5 дней назад

      @@consolathamlimi7883 kweli bhana, walikuwepo.Basi ana kisirani.Lakini wenzie wanamsapoti

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb 6 дней назад

    Gawaneni bhaaanaaaa jamani kibwana 😂😂😂

  • @KelvinRobert-mn2mn
    @KelvinRobert-mn2mn 5 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂,,nikosage tu ya kula ila bando ni weke jaman

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 5 дней назад

      Aah weee usinitania hujawahi kutana na njaa😂😂😂

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga 6 дней назад

    Hamuachagi kulalamikia refer

  • @RehemaYakuti
    @RehemaYakuti 4 дня назад

    😂😂😂 kibwana

  • @Kisimbi-on2ju
    @Kisimbi-on2ju 6 дней назад

    Kumbe mpak huko mnatumea tgo pesa😮😮😮😅😮😮😮😅😅😅😅😅

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 6 дней назад

    😂😂😂😂Bacca anataka kupitiliza Dodoma

  • @Tunually
    @Tunually 4 дня назад

    😂😂😂Ibwe

  • @WitnessMasunga
    @WitnessMasunga 6 дней назад

    😂😂😂

  • @ZuhuraIsmail-xb4cx
    @ZuhuraIsmail-xb4cx 6 дней назад

    😂😂😂😂

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 6 дней назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 6 дней назад +2

    Ibwe acha lugha za kutaka kuharibu mashindano hayo. 😂😂😂😂

    • @thetrends472
      @thetrends472 6 дней назад +2

      Anatania tu ila inafurahishaaa😂😂

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb 6 дней назад

    😂😂😂😂😂

    • @GabrielSky64
      @GabrielSky64 5 дней назад

      Engineer Hersi kanunua Marefa😂😂😂 . Ila Cha kujiuliza Tajiri kabisa GSM timu kibwana 😅

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 5 дней назад

      ​@@GabrielSky64wangempa namba GSM...