Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Waawoooo asant sana nilikuwa najiuliza wanafanyaje kutengenez hii kitu ❤
Nimejifunza kitu ❤
Asant dada nimekuelewa ubarikiwe sana❤
Asate dada kw kutufundisha ila nimependa jinsi ulivyo kata saizi zote yani kwa ulefu na duara maan si wengine atuna kifaa icho cha kukatia urefu kwaiyo tutakata kwa duara.asante kazi nzuri
Asante dada ubarikiwe
Hongera kwa video hii,pia ahsante kwa kutufundisha.....naomba kupata mawasiliano yenu.ahsante
Ninzur sana
Asante my Mungu akubariki. Na je ndizi zingine sio nzuri mpaka ndizi mzuzu
Zinakuwa nzuri pia
Kazi nzuri naomba mawasiliano yenu plz aksante
Barikiwa❤
Nnavingi vyakujaribu. Thank u
Asanteee!! Nakumbuka nliomba hii kitu
Hiyo dear
Hi dear mi nataka hiyo mashine nipo znz mi ninayo ya kawaida
Barikiwa my.. nakupenda bure
❤❤ 1:13
Great snack..Love Mziwanda Bakers
Mbeya wanaita matoki.. asante dia kwa somo tutapika😊
Ahsante kwa jina lingine pia
Ahsante dada unasaut nzur
Asante sana dada.ubarikiwe zaidi
Ahsante dada yangu
Nimeipenda
Mambo mazuri tushindwe wenyewe,barikiwa madam
Amiin dear
Safiii
😊Naomba nielekez wawasap ukinitmia video yajins yakupik tamb zanjegel
Asnte dada nimeipenda
Shukrani my
Mashallah bdo za mihogo insha'Allah
In shaa Allah kheri
Asnte dada nimekuelew
Zangu zinatoka kubwa kubwa af baadaye zinakuwa ngumu kwann jamani
Mungu azidi kukutia nguvu
MashaaAllah
Mbeya zinaitwa matoki
😘😘😘
Asante mumyy
Asante dada
Huku Arusha kuna ndizi mshale na kimalindi je zinafaa au lazima iwe mzuzu?
Inafaa ila iache ikomae sana
Wow. 👌👌
Mbona mimi nikipika zinaanza kua nyeusi kabla hazijaiva dada?? Msaada tafadhali
Usinunue ndizi zilizoiva sana
Kuna ndizi ukianza tu kuzikaanga zinaungua tatizo ni nini?? Au aina ya ndizi pia inachangia??
Aina ya Ndizi pia mafuta yakiwa moto sana
Asante kwa elimu. Kuna mtu niliona anaziosha ndizi baada ya kuzikata crips kabla hajaziweka kwenye mafuta.kuna ulazima wa kufanya hivyo?
Inasaidia kuipunguza wanga ila hakuna ulazima
Nakipataje hickory kimashine
Bukoba hazifai au lazima mzuzu
Mama ang mbn mi mejaribu hazkauki jmn
Ulikata size ndogo ndogo dear? Huwa zinakuka zenyewe kwenye mafuta
Nashuru nilikua nataka kufanya biashara hii lakin nilikua sijui jins yakutengeneza
Karibu
Samahani dada unaweza kunisaidia namba yako ya sim nahitaji ushauri kutoka kwako
Hyo mashine ya kwanza inapatikana kwako?
Ndio zipo
Nilikuwa naihitaji je n kias gan ?
Kibat kikubwa kina patikana wap
Dear ili ndizi isiteleze paka unga wa sembe
Ahsante dear 😘
Af mnaeka nn mpk znakauka mamy
Many naomba namba zako plz
Nahitaji namna ya kupata hivyo mashine hivyo nipo geita
Naomba kujua kifaa hiko umenunua wapi
Hicho kwenye vyombo vya mtumba vipo au check maduka ya vyombo makubwa vipo pia
Pemba tunaziita mkono wa tembo
Ooh nashukuru kujua jina hili 😃😃
Matoke nyanda za juu kusini
Fontana George
Mashallah na kikojozi inafaa kwa crips
Waawoooo asant sana nilikuwa najiuliza wanafanyaje kutengenez hii kitu ❤
Nimejifunza kitu ❤
Asant dada nimekuelewa ubarikiwe sana❤
Asate dada kw kutufundisha ila nimependa jinsi ulivyo kata saizi zote yani kwa ulefu na duara maan si wengine atuna kifaa icho cha kukatia urefu kwaiyo tutakata kwa duara.asante kazi nzuri
Asante dada ubarikiwe
Hongera kwa video hii,pia ahsante kwa kutufundisha.....naomba kupata mawasiliano yenu.ahsante
Ninzur sana
Asante my Mungu akubariki. Na je ndizi zingine sio nzuri mpaka ndizi mzuzu
Zinakuwa nzuri pia
Kazi nzuri naomba mawasiliano yenu plz aksante
Barikiwa❤
Nnavingi vyakujaribu. Thank u
Asanteee!! Nakumbuka nliomba hii kitu
Hiyo dear
Hi dear mi nataka hiyo mashine nipo znz mi ninayo ya kawaida
Barikiwa my.. nakupenda bure
❤❤ 1:13
Great snack..Love Mziwanda Bakers
Mbeya wanaita matoki.. asante dia kwa somo tutapika😊
Ahsante kwa jina lingine pia
Ahsante dada unasaut nzur
Asante sana dada.ubarikiwe zaidi
Ahsante dada yangu
Nimeipenda
Mambo mazuri tushindwe wenyewe,barikiwa madam
Amiin dear
Safiii
😊Naomba nielekez wawasap ukinitmia video yajins yakupik tamb zanjegel
Asnte dada nimeipenda
Shukrani my
Mashallah bdo za mihogo insha'Allah
In shaa Allah kheri
Asnte dada nimekuelew
Zangu zinatoka kubwa kubwa af baadaye zinakuwa ngumu kwann jamani
Mungu azidi kukutia nguvu
MashaaAllah
Mbeya zinaitwa matoki
😘😘😘
Asante mumyy
Asante dada
Huku Arusha kuna ndizi mshale na kimalindi je zinafaa au lazima iwe mzuzu?
Inafaa ila iache ikomae sana
Wow. 👌👌
Mbona mimi nikipika zinaanza kua nyeusi kabla hazijaiva dada?? Msaada tafadhali
Usinunue ndizi zilizoiva sana
Kuna ndizi ukianza tu kuzikaanga zinaungua tatizo ni nini?? Au aina ya ndizi pia inachangia??
Aina ya Ndizi pia mafuta yakiwa moto sana
Asante kwa elimu. Kuna mtu niliona anaziosha ndizi baada ya kuzikata crips kabla hajaziweka kwenye mafuta.kuna ulazima wa kufanya hivyo?
Inasaidia kuipunguza wanga ila hakuna ulazima
Nakipataje hickory kimashine
Bukoba hazifai au lazima mzuzu
Mama ang mbn mi mejaribu hazkauki jmn
Ulikata size ndogo ndogo dear? Huwa zinakuka zenyewe kwenye mafuta
Nashuru nilikua nataka kufanya biashara hii lakin nilikua sijui jins yakutengeneza
Karibu
Samahani dada unaweza kunisaidia namba yako ya sim nahitaji ushauri kutoka kwako
Hyo mashine ya kwanza inapatikana kwako?
Ndio zipo
Nilikuwa naihitaji je n kias gan ?
Kibat kikubwa kina patikana wap
Dear ili ndizi isiteleze paka unga wa sembe
Ahsante dear 😘
Af mnaeka nn mpk znakauka mamy
Many naomba namba zako plz
Nahitaji namna ya kupata hivyo mashine hivyo nipo geita
Naomba kujua kifaa hiko umenunua wapi
Hicho kwenye vyombo vya mtumba vipo au check maduka ya vyombo makubwa vipo pia
Pemba tunaziita mkono wa tembo
Ooh nashukuru kujua jina hili 😃😃
Matoke nyanda za juu kusini
Fontana George
Mashallah na kikojozi inafaa kwa crips
Ahsante dada yangu