shalom watumishi wa mungu ,mimi naitwa pastor Kado kutoka australia natamani kujua au kuelimishwa kuhusu mke wa kwanza wa adam ni nani? wote tunajua kwamba ni HAWA but kuna mafundisho mengi ya wachungaji wengine wanasema kwamba mke wkwanza wa ADAM ni LILITH ! tuna hitaji ufafanuzi Mzuri kuhusu hili jambo maana watu wanasema wana nukuu kitabu cha MWANZO 1:27 please tunaomba hii mada mtufafanulie asante mbarikiwe sana.
Soma Mwanzo 4:1 na Mwanzo 3:20. Lakini nikutahadhalishe ndugu katika Kristo kwamba kuna vitabu ambavyo vipo na havina mamlaka ya Kimungu sasa visikupe blesha bure. Kitabu cha kweli ni Biblia tu ndiyo Mungu ametupa na kutoka taarifa zote humo. Habari za Lilith hazipo kwanye Biblia na ukitaka kujua wa kwanza kuwepo pale Eden soma Ezekiel 28:13 na kuendelea.
Very powerfull ❤
Darasa zuri sana hili mbarikiwe
Amenn❤❤
shalom watumishi wa mungu ,mimi naitwa pastor Kado kutoka australia natamani kujua au kuelimishwa kuhusu mke wa kwanza wa adam ni nani? wote tunajua kwamba ni HAWA but kuna mafundisho mengi ya wachungaji wengine wanasema kwamba mke wkwanza wa ADAM ni LILITH ! tuna hitaji ufafanuzi Mzuri kuhusu hili jambo maana watu wanasema wana nukuu kitabu cha MWANZO 1:27 please tunaomba hii mada mtufafanulie asante mbarikiwe sana.
Soma Mwanzo 4:1 na Mwanzo 3:20. Lakini nikutahadhalishe ndugu katika Kristo kwamba kuna vitabu ambavyo vipo na havina mamlaka ya Kimungu sasa visikupe blesha bure. Kitabu cha kweli ni Biblia tu ndiyo Mungu ametupa na kutoka taarifa zote humo. Habari za Lilith hazipo kwanye Biblia na ukitaka kujua wa kwanza kuwepo pale Eden soma Ezekiel 28:13 na kuendelea.
Tunahitaji watu kweli kama askofu ngonyani na prof .Gamanywa