Chadema WAZUNGUMZA kukamatwa kwa kiongozi wa BAVICHA "Haijulikani alipo"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Baraza la Vijana Cha Chadema(BAVICHA) wameiomba Serikali kusaidia kupatikana kwa Katibu Mwenezi wa BAVICHA Twaha Mwaipaya ambaye amepotea kwa zaidi ya masaa 48 mpaka sasa na bado haijulikani wapi alipo
    Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi julai 2, 2022 jijini Dodoma Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chama Chadema (BAVICHA) John Pambalu amesema mpaka sasa taarifa kutoka kwa wanandugu na majirani zinadai amepelekwa jijini Dar es salaam kwaajili ya upekuzi.

Комментарии • 30

  • @barakamsigwa4588
    @barakamsigwa4588 2 года назад +2

    Kutekana tekana nimambo ya kishamba weka hoja chini tubishane kwahoja

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад +2

    hii nchi inaenda kusivyo kwani kupoteza watu nini maana yake? Ila kumbuka kila mtu atavuna alichopanda mungu siyo kipofu.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 2 года назад

    Mumeongea vizuri sana,hongereni💪

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    Yn gvt mnatakiwa mufungie na online tv ambazo nichonganishi

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 2 года назад

      wewe Abuu si mzima online TVs kazi yake si kuimbia taarab na mapambio serikali wana haki kuikosoa serikali na katiba ibara ya 18 inaruhusu

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 2 года назад +1

    Mnapenda kiki nyinyi mnasemaje hamjui aliko wakati mrimsindikiza polis.

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 2 года назад

      wewe ni mcheka kovu asiyefikwa na jeraha

    • @johnsonbagambi1908
      @johnsonbagambi1908 2 года назад

      Upumbavu ni pale unapojiona uko salama kumbe mda wote na wewe nj mtalajiwa tujifunze kupendana hata kama mnatofautiana kisiasa Siasa inabadilika mda wowote

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 2 года назад +1

    Wangesema wangeharibu uchunguzi! Kuweni wavumilivu sbb Sasa viongozi wakuu wanaongea tofauti na kipindi kingine!! Tulinde amani ya Taifa letu

    • @nipolive..2745
      @nipolive..2745 2 года назад

      Tatzo ukanda ukabila ndo unao kutesa. Watu mmeshajua yuko polis Sasa mnaenda kumtafuta wapi. kwingineko. Kama sio kutafuta kiki za kipumbavu. Skia wewe unae ungea kwa kuniogopa swala la siasa kubadilika kawaidatu mbna sio Jambo geni. Ana badlika mke ndugu itakuwa siasa. Pole wewe unae ishi maisha ya kutegeshea kesho mi naishi maisha ya Leo kesho inajitegemea yenyewe.

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 2 года назад

    Mwachieni bila masharti.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    Ww dogo mlopokaji na mchanishi wawananch na gvt kwanza huna mvuto kwenye siasa

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 2 года назад

      wana haki ya kukosoa au kuropoka na kama amefanya makosa sheria za nchi zinasema afikishwe mahakamani within 24hrs na ndugu zake wana haki ya kujua alipo huo ni uvunjifu wa sheria kwa upande wa jeshi la polisi

  • @ibba8082
    @ibba8082 2 года назад

    Hamna Ahibu,Siasa kumbe ni Uwongo 🤔🤔🤔,

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    Yn ww dogo sijui kwnn umchonganish san

  • @mussaathumanimshema7725
    @mussaathumanimshema7725 2 года назад

    Kwani Tanzania bado kuna upinzani ?

  • @joshuamungaki345
    @joshuamungaki345 2 года назад

    Wameasa tena

  • @henryndosi1114
    @henryndosi1114 2 года назад

    Wewe nyumbu hata kiswahili kinakupiga chenga

  • @deusmorris1030
    @deusmorris1030 2 года назад

    tunataka amani ktk nchi yetu hatutaki kukamata kamatana mama ingilia kati wewe ni mama wa wote na tumeona kazi yako

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 2 года назад

    Hivi haya maneno ya maridhiano tunayoyasikia nikwamba polisi wao hawahusiki ikiwa hata hayo maridhiano wanayosema ni kwa sababu ya polisi haohao vinavyoongelewa vingine vinavyoyendeka vingine

    • @hassanmkwama9900
      @hassanmkwama9900 2 года назад

      Nidhamu mhm ktk nchi yoyote, polisi Wana utaratibu wao

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Год назад

    Wakati anaandika Upuuzi na Propaganda Mnachekelea Au hamkemei. Akikamatwa Mnaita Waandishi wa Habari, nani alisema Maridhiano ni kufanya unalotaka na kuvunja sheria usi Kama ter kisa kuna Maridhiano. Hata Mbowe akileta Mchezo anakamatwa ije kuwa Mwaipaya?

  • @henryndosi1114
    @henryndosi1114 2 года назад

    Wewe nyumbu hata kiswahili kinakupiga chenga huna lolote

  • @sagandampullo7405
    @sagandampullo7405 2 года назад

    BADO MTESO YANAENDELEA TU?

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад

    Duu nyinyi chama chenu ni cha waongo na wazushi mlisema kakamatwa kumbe nyinyi wenyewe mlimfikisha kitu cha police

  • @joycekombe7052
    @joycekombe7052 2 года назад

    Kama ni mambo ya ngorongoro, Mchochezi huyo. Muache ale alilolitafuta. Kuzusha vitu visivyo vya msingi.

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 2 года назад

      kipi alichosema ambacho siyo kweli? au watu wakiona ambayo siyo kweli wakae kimya? toa uozo wako hapo.