Asante mtumishi wa Mungu umenikumbusha ndoa yangu ilivunjika kwasababu yamama mkwe na wifi zangu yaan mme alikuwa hawezi kufanya lolote bila kushirikisha hawa watu hata mngejadili chumbani lazma kikao kikakaliwe wakisema ndio au hapana ndio kitakachofanyika yaan asante kwakutujenga kweli mwenye masikio naaskiee na kuelewa
Babangu wacha Mungu aendee kkueka huishi miaka mingi,napenda mafunzo yako sana ,nisipokuskiza kichwa inauma
Pr uje Uganda 🇺🇬
Angalia mtoto wa mumgu❤❤❤ hakika nakupenda muchungaji ❤❤❤❤❤❤❤
Pst Daniel mungu akubariki nakupenda na kusema masaibu tunayoyapitia kwa ndoa ukweli mtupu mafundisho haya.
BABA tunaomba uje na Dodoma tafadhari! Ninahitaji sana mafundisho yako hasa nikikuona mtumishi
Pastor mungu akubariki sana kwa neno alilolitia kinywani mwako.
Aki huyu pastor si angekuwa Kenya, huu ni ukweli anaongea,nimeshuhudia mengi kwa hawa watu
Ukweli mtupu Usichoke kutuhubiria manake watupatia maarifa kabxa barikiwa Sana mtumishi🙏💖
Pastor uje moshi haya ndio yameshamiri. Ubarikiwe mnoooo
Mgogo unatufungua macho mungu awe nawe akuongoze akujazie hekima amani iwe nawe Amen
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri
Hakika pasto imenigusa sana.ndoa yangu imesambalatika kupitia mama mkwe.mpaka Sasa miaka minne.
Kabsa🎉
Ubarikiwe sijutiagi mudawangu kukufuatiriawewe
Mungu akumbaki. Muchungaji. Ni. Martin mpeketoni. Hongera naba muchungaji
Jamani❤nikwelii. Kabisa. Ubarikiwe😂😂💃
Asante mtumishi wa Mungu umenikumbusha ndoa yangu ilivunjika kwasababu yamama mkwe na wifi zangu yaan mme alikuwa hawezi kufanya lolote bila kushirikisha hawa watu hata mngejadili chumbani lazma kikao kikakaliwe wakisema ndio au hapana ndio kitakachofanyika yaan asante kwakutujenga kweli mwenye masikio naaskiee na kuelewa
Mungu akujazi nguvu baba muchungaji maana ijili yako niyaukweli kabisa hayo ndio haswaa maisha yetu wanandamu
Mungu akuongezee uzima tyu mgogo
Live long mchungaji karibu Bungoma Kenya
Amen mtumishi Mungu awaponye
Mimi ni martin. Kutoka. Mpeketoni mafidisho. Malo yamenidia sana
Familia nyingi zime logwa
Napitia magumu kwny ndoa yngu sbb ya mama mkwe
Yote ni kweli sema tupone
Uje na iringa mtumishi
Kweli kabisa sema tupone
Barkiwa
Lakini pia Kuna wazuri kama wangu😂😂😂😂😂😂😂