🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA PHILIPO SEHEMU YA 2 - MACH 19 /2024
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- 🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA PHILIPO SEHEMU YA 2 - MACH 19 /2024
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Naitwa Rose ni kmr dada Vero unasimlia vizr sana jamni barikiwa ...kwenye uduma hizi Kuna vita sana mungu akushindie Filipo
Nakuxhukuru xan da Vero maaana unatupa somo kila iitwapo leo mungu akubariki xan 🙏🙏
Hii madhabahu alioalikwa filipho kwenda kufundisha watumishi haikua madhabahu ya mungu ninavoona ilikua na makandokando hapakua na mungu🙊🙊
YAJAYO YANAUDHUNISHA😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Jamani VERO nahisi Philipo anaingizwa kwa mchungaji wa ROSE 😂😂😂😂😂😂
Na kupata
I love you Efm
Aisee tunakoelekea ataingizwa kwa shetani asante kwa simulizi
Ila da veronica jmn uku hoi mm khaaaa eti.k cm changu kimechakaa duuuuh unajuwa unjuwa tena na tena ❤
Dada Vero mimi naitwa Angel mimi msikilizaji sana wasimulizi napenda unavyosimulia unasauti nzuri sana tena sana
Jamna philipho ajawahi pana hata nafuu kidg kweny maisha yake ,,,Mungu amtie nguvu philipho
Hii kama nimewahii kumsikia anasimulia ila sjuiii ngoja tuendelee
Naitwa Evi rickyson mziray baba vero kanisa la kaka filipo lipo wapi.
Jaman mbona majang😂
Hao wapo sana philipo Mimi nakuelewa ni maneno ya kichawi
Utupu wa kiroho ni hatarii mno
Nataman n mimi siku n mim niletehee simuliz kwenu
Mfuate inbox vero
eehe filipo unaenda kudondokea kwa fire masoni jamani maisha haya mungu akutangulie
😢
Dada Veronica naomba niulizie na vip wanavyo tuambia wanatoa misukure ivi nikweli
Hii story inataka kafanana na moja da vero alitusimuliga yule kaka alitoka gerezani akawa mtumishi akatumiwa nauli kwenda dar kumbe ni kwenda kusafirisha madawa ya kulevya 😂😂😂
Ila watumish tulio nao siku hiz Mungu atusaidie sijui tunaponaje
Ndo inatisha hata kumjua aliye WA Mungu kweli
@@MsAggie5 ndugu mm hata nachoka najiuliza cjui niache kwenda kanisan nisali nyumbani? Mm hata sielew hasa jij letu la dar limechafuka sana kila mtumish anataka mafanikio ya haraka Yan kwa dalili ninazoona sion hata huduma iliyo sahihi wengi ni mazingaombwe Mungu wa Mbingun atusaidie jmni
@@banguhamimi Ninasali home nashukuru Mungu kwa kila jambo
@dayana5513story😅
@@dayana5513story ila Mungu amesema rukusanyike bado tunatakiwa kusikiliza mafundisho amesema wakusanyikapo wawil watatu yeye yupo mm naona cha msingi tulud magotin kumuuliza Mungu tusitawaliwe na hisia na miujiza
Mazabau za nguvu za giza
😢