1. Kukaa muda mrefu. Baada ya Kukaa dakika 15-30, nyanyuka tembea. 2. Kutokujichanganya na watu. Lack of Socialization 3. Kutolala vya kutosha. Masaa 7-8 4. Msongo. Chronic Stress: Moyo uliochangamka ni dawa. #Tabia zinazoathiri Ubongo 🧠 🙏
🤦♀️🙏SOORY MTUMISHI, JUST NOW GOD HAS GIVES ME THE ANSWERFROM I TIMOTH 4:6" OF YOU HIVE INSTRUCTUON TO THE BELIEVERS YOU W'LL BE A GOOD SERVANT OF CHRIST JESUS...)8" PHYSICAL EXRSISE HAS SOME VALUE, BUT SPRITUAL EXRCISE IS VALUABLE IN EVERY WAY,BECAUSE IT PROMISES LIFE BOTH FOR THE PRESENT AND FOR THE FUTURE ")UBARIKIWE ZAIDI MTUMISHI KWA VISSION HII
Yote unayosema ni kweli!🙏
Shukrani sana
Thanks pastor God bless you karibu meru kenya
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mahubiri mazuri. Mungu akupendi nguvu zaidi na akubariki.
amen🙏🙏
Mm ubongo Wangu nahisi na waza mpaka kupitiliza 😢😢
Asante sana
Asante pastor Kwa elimu
Nifuate kwa yangu tafadhali
Nashukuru kwa ushauri wako
It's true husalimii mtu.wanakushangaa
AMEEN 🙏🙏🙏🏧🏧✈ ndege hiyo chukua ni yako Rohoni
amen🙏🙏
1. Kukaa muda mrefu. Baada ya Kukaa dakika 15-30, nyanyuka tembea.
2. Kutokujichanganya na watu. Lack of Socialization
3. Kutolala vya kutosha. Masaa 7-8
4. Msongo. Chronic Stress: Moyo uliochangamka ni dawa.
#Tabia zinazoathiri Ubongo 🧠
🙏
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏
amen🙏🙏
Najifunza sana kupoteze ila nashindwa
endelea kujitahidi taratibu unaweza usikate tamaa
Namwelewa
MUNGU akubariki sana pastor!
Ahsante sana Pastor
Asante mchungaji
Mndughu wangu.
ASANTE pastor
Nakuekewa sana kaka yangu Mmbaga
Nifuate kwa channel yangu tafadhali
Nakubaliana nawe Mchungaji barikiwa sana
Like apa kama umemwelewa coment ya kwanza
asante kwa kuendelea kujifunza
Kazi yako njema
Be blessed peasant of God🙏🙏
Barikiwa pastor.
Nimekuona AGNES, hongera sana dada❤❤
Kweli kabisa mchungaji
Endelea kuhekimishwa zaidi pr, ukawe mbaraka kwa watu.
amen🙏🙏
Nifuate kwa channel yangu tafadhali
❤❤
Saf karibu tdm
🤦♀️🙏SOORY MTUMISHI, JUST NOW GOD HAS GIVES ME THE ANSWERFROM I TIMOTH 4:6" OF YOU HIVE INSTRUCTUON TO THE BELIEVERS YOU W'LL BE A GOOD SERVANT OF CHRIST JESUS...)8" PHYSICAL EXRSISE HAS SOME VALUE, BUT SPRITUAL EXRCISE IS VALUABLE IN EVERY WAY,BECAUSE IT PROMISES LIFE BOTH FOR THE PRESENT AND FOR THE FUTURE ")UBARIKIWE ZAIDI MTUMISHI KWA VISSION HII
Mimi nimejifunza kitu
Kweli ci kua najua.😮
Basi ata iyo ibada iwe fupi lisaa tuuu inatosha
Mojawapo ya mafunzo ya kijeshi Kuna wiki 6 kutokulala usiku na mchana vipi kuhusu iyo Kuna madhara yoyote??
Sasa pastor kama mafuta ya alizeti sio mazuri ni mafuta yapi yanafaa zaidi
Na mm nahitaji kujua coz ndo mafuta ninayotumia na nilijua ndo sahihi ki Afya sasa na yenyewe so mazuri yapi yanafaa kwa Afya
Hata simu ni sawa?
Dini gani ya kweli pastor? Hebrew 4 vs 7 _10
Sasa sababu ya kusikia sauti masikioni nini inanitesa
Kama unasikia sauti ambazo hazina chanzo cha sauti inaweza kua shida ya kisaikolojia wahi upate ushauri.
Shalom wapendwa.
Halafu nikiwa Nina tatizo la kukosa usingizi nifanyeje ?
Tazama hii video hapa chini pastor ametoa majibu 👇👇
ruclips.net/video/bPjvtXhdvyw/видео.html
Nifuate kwa channel yangu tafadhali
Ahsante sana Pastor
Nifuate kwa yangu tafadhali