MADAM RITA ampigia salute HARMONIZE, adai kumkatalia BSS kulimjenga ‘Hata angenitukana ningemwelewa’

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 63

  • @appolonation
    @appolonation 2 года назад +8

    Sky salama!! Eee kuna swala nataka kukwambi!! Liko tofauti na interview ya Madam RITHA! Mimi naitwa Appolo Gideon kutoka Rwanda 🇷🇼. I am Blogger ! Kuna tatizo huku Mshindi Wa miss East Africa Miss Shanitha Paka saaa hajapewa Gari lake alilo shindia mwaka Jana !. Kama inawezekana Mina we mukawauliza walio anda. Mr RenaCallist . Asanteni.

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla6316 2 года назад +18

    Wakati mwengine unapaswa ufeli kwanza ili ufanikiwe. Madam Rita yupo sahihi mana ile ni kazi yake.

  • @AnkoAndy12
    @AnkoAndy12 2 года назад +5

    Very true Madam Rita he’s so Good I Love the Guy! Baby sky ( he’s wife kapata Hubby safi sana!
    May Godbless them

  • @beatricecharles2571
    @beatricecharles2571 2 года назад +17

    Harmonize 🔥🔥🔥✊

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 года назад +11

    Hakika twakupenda ❤🇨🇭🇹🇿

  • @sifaeltv4327
    @sifaeltv4327 2 года назад +8

    NAMPENDA MADAM RITA YUPO SO SWEETY

  • @nimbonaalexandre1159
    @nimbonaalexandre1159 Год назад +1

    Kond jeshi hongela mama,😍😍🇧🇮💝

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 2 года назад +16

    Kweli kabisa Madam umenena vema Sana, high school I didn't do well at all but at college I was amazed with my results, even my high school classmates they could not believe their eyes at college. ❤️❤️❤️I LOVE HOW PROFESSIONAL YOU ARE 👌👌👌

  • @AnkoAndy12
    @AnkoAndy12 2 года назад +5

    Madam Rita I Love u Girl keep it up!

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +6

    We love you more madam Rita ❤ 😘

  • @PedritoAdamoadamo-wj1ie
    @PedritoAdamoadamo-wj1ie Год назад

    Haua wato icia surito npennni harmonizi aiyoneche bomgo foleva huuyo tinaona huncu nye daymodi hakuinamia bomgo fuleva sannna hanpa uwelito Moçambique cabudelegado macomia subiyee pinta ndo
    Anackea 🎉🎉🎉❤

  • @Juniorboss04
    @Juniorboss04 2 года назад +10

    Harmonize ni jeshi❤️❤️❤️

    • @TheNewKid_TV
      @TheNewKid_TV 2 года назад +1

      Namkubali sana konde👊👊❤❤❤

  • @ndayijeanclaude5094
    @ndayijeanclaude5094 2 года назад

    Kusema ukweli pale mwamba aliimba vibaya, ila namkubali sana aliijituma,akafuata malengo yake mwisho wa siku akatiboa, congratulations too you Mwamba Jeshiii

  • @jumakondo3527
    @jumakondo3527 2 года назад +2

    Your so romantic madame RITA CUTE SANA

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 года назад +3

    Ila alichosema ni kweli ukipigwa teke ni kuongezewa hatua mfano kama madonga alivopigwa na alisikia vibaya sana ila mngu siku zote kitu anakifanya kuwa kizito mbele kuna mafanikio

  • @raymondmuga7542
    @raymondmuga7542 2 года назад +1

    Well said

  • @asombampesa7825
    @asombampesa7825 2 года назад

    Madam hiyo ni kweli

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 Год назад

    Kutoka Mozambique sky nakukubali sana hujawi kuleta watu wasio jielewa

  • @raphaeljickson371
    @raphaeljickson371 2 года назад +1

    Ashukuliwe DIAMOND ndokamfua mpaka akafika alipo sasa

  • @rashidramadhan7708
    @rashidramadhan7708 2 года назад +1

    Jeshi pita na Madam bhana mambo yasiwe mengi

  • @saidihamisi5962
    @saidihamisi5962 Год назад

    Usijiteteee loh mboya mlifanya kwel

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 2 года назад

    Ni kweli siku ile hakufanya vizuri hata lafidhi haikua nzuri malaika akatamka maraika

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 2 года назад +1

    Where is Mohammed Hussein

  • @alira6789
    @alira6789 2 года назад +1

    Ni kwell alichosema madam inabid kutengenezwe kitu kitakachowafanya watu wajue walioanzisha bongo flava na kuipgania moka leo kwasabab itatufanya kuepelekea pale kwenye lengo lilokusudiwa kwa pamoja..kam waliweza kuileta kwetu wataweza kuipeleka na kwawengine

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 2 года назад +3

    🐘🐘🐘🔥🔥🔥

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 2 года назад +1

    Tena bora hajimanara ndo anawapandisha kidogo wanajulikana

  • @harrysonngosha7931
    @harrysonngosha7931 2 года назад +1

    naomba niongeee nyota uwa ni ngumu kuonekana sio kosa lenu .....pia jibu lipokwa mandonga alie pigwa ila yeye ndio maarufu kuliko aliempiga

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 года назад

    Madam Ritha ana huruma sana...na kukataliwa au kuonekana hutakiwi au huwezi humfanya mtu apambane zaidi, ndio maana wengi waliofanikiwa leo kwa jasho lao ni wale waliotokea ktk mazingira fulani magumu...
    Master J pia ni mkweli na anajiamini..tukubali tuu hiyo cku ilimpa Harmonize hasira na nguvu ya kupambania ndoto yake..
    Mungu azidi kukuinua kijana.

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 2 года назад +1

    I want to know where is he now

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 года назад +6

    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI ATAKUPA UTAKACHO.,*#
    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html

  • @kiatu
    @kiatu 2 года назад +1

    Tunakufa na Bongoflavor tu…

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 2 года назад +1

    🥰🥰

  • @vansclassic2131
    @vansclassic2131 2 года назад

    Madam ritta we ni mdangaji sana mimacho tu hatari

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 2 года назад +1

    Hakukumjenga, sijawah ona BSS ikatoa vipaji

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад +1

    yule angelikuwa
    pekeyake asinge toka
    alikuwa ajui kabisa

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 2 года назад

    Sasa wewe madam unasema watu waku follow acc yako si unawekaga private au uliacha?

  • @isunga1964
    @isunga1964 2 года назад +5

    YAANI NIMEMUELEWA SANA MADAM NIKIKUMBUKA DARASA LA SABA TULIFAULU WATU WA HOVYO KABISA LAKINI WANAUME WENGI WALIKUWA NA AKILI DARASANI KWETU LAKINI WALIFELI NILISHANGAA UKIANGALIA SASA HIVI WANAMAISHA MAZURI KULIKO SISI MAANA WENGI WALISOMA SHULE BINAFSI ACHA KABISA MAISHA HAYA 😜😜

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 2 года назад

    KUNA WATU "HURUMA HAIWASAIDII" DAAAAAAH!
    NIMECHUKUA HII.

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +1

    Nikawaida mandela alika jela 27 years akatoka akawaongoza waliye mfungaa

    • @mornizetz7718
      @mornizetz7718 2 года назад

      Hapana mandela ajiefungwa sie aliekuja kuongoza nchi ifuatilie ten hiy stry

  • @tamarmwasimba7533
    @tamarmwasimba7533 2 года назад +4

    ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
    MAMBO 5 MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE UGONJWA WA KANSA DAWA YA KUTIBU KANSA YA AINA YOYOTE..*# ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @protinimusic8866
    @protinimusic8866 2 года назад +5

    ruclips.net/video/He-LYHMIYrQ/видео.html
    MVUTO MKUBWA WA KUPENDWA NA WATU POPOTE DUNIANI UTAKAPO PITA,.,*# ruclips.net/video/He-LYHMIYrQ/видео.html

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +2

    ruclips.net/video/1vLhImUkvD4/видео.html
    DAWA YA KUNG'ARISHA NGOZI YA USO WAKO HUZUIA USO KUZEEKA MAPEMA......*...*#ruclips.net/video/1vLhImUkvD4/видео.html

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 года назад +5

    Yaan wewe dada mlimkandamiza sn jeshi mie kiukweli sikupend basi jambo mngemtia moyo azidi kukaza but na ndiyo maana siku ile alikuita jukwaani ulioa haya 🇶🇦🇹🇿

    • @mantoumm4448
      @mantoumm4448 2 года назад

      Sasa alikuwa ajui kuimba uyo harmo

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 года назад

    Sns sikuhizi mnalipwa na Harmonize?? Kila tittle yenu lazima jina la Harmo liwepo😂😂

  • @allykilimanjaro1430
    @allykilimanjaro1430 2 года назад

    Tuvingereza feki ongea lugha yako

  • @BLINDREPORT2023
    @BLINDREPORT2023 2 года назад

    GUSA HAPA ruclips.net/video/TNPxt7ltHSo/видео.html UTANISHUKURU BADAE

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 2 года назад +2

    Huna lolote ww na uyo korosho mwenzio

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 2 года назад +3

      siku zte kumchukia aliefanikiwa ni kujiumiza tu

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 2 года назад

    Mnatukosea sana nyie watangazaji, Huwezi kumwita mwanamke alie vaa shanga miguuni madamu, Au hamna elimu kuhusu madamu? Madamu ni jina la heshima sana mjue! Ukimwita mtu madamu, Lazima umuhakiki kama anaendana na heshima ya madamu!

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 года назад +5

    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI ATAKUPA UTAKACHO.,*#
    ruclips.net/video/6tia-5UH4MI/видео.html

  • @tamarmwasimba7533
    @tamarmwasimba7533 2 года назад +5

    ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
    MAMBO 5 MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE UGONJWA WA KANSA DAWA YA KUTIBU KANSA YA AINA YOYOTE..*# ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @protinimusic8866
    @protinimusic8866 2 года назад +5

    ruclips.net/video/He-LYHMIYrQ/видео.html
    MVUTO MKUBWA WA KUPENDWA NA WATU POPOTE DUNIANI UTAKAPO PITA,.,*# ruclips.net/video/He-LYHMIYrQ/видео.html

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +2

    ruclips.net/video/1vLhImUkvD4/видео.html
    DAWA YA KUNG'ARISHA NGOZI YA USO WAKO HUZUIA USO KUZEEKA MAPEMA......*...*#ruclips.net/video/1vLhImUkvD4/видео.html