SONGA MBELE (Jikung'ute mavumbi) - Paradise choir Ruanda moravian mbeya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Usitarajie mambo mazuri tu, hata mambo mabaya yatakufika. watakaokutendea ubaya huo ni ndugu wa karibu na wewe, kama neno la Mungu lisemavyo katika "mika 7:6c "adui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake mwenyewe" mathayo 10:36 " na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
    hivyo huna sababu ya kurudi nyuma.... SONGA MBELE TU.
    #lyrics
    Inuka simama jikung'ute mavumbi, sawa umedharauliwa, na umekataliwa.
    Jifunge mkanda, piga moyo konde, safari iendee.
    ni kazi ya Mungu aliyekupa yupo, ndugu usikate tamaa, nakusihi songa mbele.
    Walifanya kwa Yesu, wewe u nani?
    Aliyemsaliti mwanafunzi wake.
    Aliyemkana Petro/Simoni
    Wewe u nani?
    Usitarajie mazuri tu, na mabaya yanakuja, Yale ya kuumiza moyo ni mengi.
    Watakao tenda ni ndugu, tena wa karibu nawe, wale ulio waamini kwa dhati.
    Walifanya kwa Yesu, wewe u nani?
    Aliyemsaliti mwanafunzi wake.
    Aliyemkana Petro/Simoni
    Wewe u nani?
    Majaribu yangalipo kwetu, kutuimarisha, tusonge mbele.
    hilo la mwanzo tu, mengi yanakuja. (Mtumishi wake)
    (Ni kama hadithi, omba yasikupate, maumivu yake hayaelezeki, ni bora ungesimuliwa ila usisalitiwe , maumivu yake hayaelezeki. aiyooo lelele - aiyoo lelelelelele)
    (Aliyekuita ni Mungu usihangaishwe na ya wanadamu, timiza kusudi lake - aaahh songa mbele)
    Songa Mbele, Songa Mbele, mtazame Bwana yesu pekee
    (Ni hali gani aliyokuwa nayo yusufu,kuuzwa utumwani na ndugu zake tena kaka zake,
    Uchungu gani alioubeba moyoni, kuuzwa kwa potifa na ndungu zake*kaka zake*.......
    laiti wangejua wanatimiza kusudi la Mungu kwa kuota ndoto, Hawakutambua wanamfanya kuwa waziri mkuu wao na vizazi vyao...
    Aliyekuita ni Mungu usihangaishwe na ya wanadamu, timiza kusudi lake - Bwana atakulinda, tena atakubariki, taji anaiandaa na uzima wa milele.... aaahh songa mbele)
    songa mbele, songa mbele, mtazame Bwana yesu pekee
    (aiyooo lelel - aiyoo lelelelelele)
    Appreciation
    Song Composer and Writer - James Frank Mwidunda
    Drums - Emmanuel Mwakamele
    Bass Guitar - Musa Mwakanyamale
    Solo Guitar - Ezekiel Mpimba
    Rhythm Guitar - Dr. Tuntufye
    Main piano - Jerry Mwakanyamale
    AUX 1 - Sam Kameta (meta king)
    AUX 2 - Joshua
    Tombs - Emmanuel Ngoloke

Комментарии • 56

  • @jenniferkalinga736
    @jenniferkalinga736 4 дня назад

    Waooh hii nyimbo mmejua kuimba hakika wanatuumiza watu wa karibu.Mung awabariki sana

  • @subiralingson6464
    @subiralingson6464 День назад

    Aiseee huu wimbo unanbariki mno natamani kila nikija mbeya nikija kanisani uimbwe kuna huu na mwingine aiseee

  • @PeninnahMwangunda
    @PeninnahMwangunda 18 дней назад +1

    Nawapenda bureeee ❤❤❤❤

  • @TusseMwakifwamba-yl6xe
    @TusseMwakifwamba-yl6xe 3 дня назад

    Nabarikiwa sana na huu wimbo jaman

  • @HappyMwakitwile
    @HappyMwakitwile 19 дней назад

    Mungu aitunze paradise choir

  • @lilianjohn3626
    @lilianjohn3626 6 дней назад

    Tusitarajie mazuri tu, Yale ya kuumiza moyo ni mengi😢

  • @greatprotestant8549
    @greatprotestant8549 8 месяцев назад +3

    My favorite choir,,,, kazi nzuriiiii❤

  • @ShadrackLuvanda-n4s
    @ShadrackLuvanda-n4s Месяц назад

    Hakika Mwenyezi Mungu awabariki sana ninyi watu, wimbo mzuri, ujumbe mzuri, mmeimba na Mungu akiwa nanyi, aina hizi za nyimbo zimekua n adimu mnooo

  • @pumarice2710
    @pumarice2710 7 месяцев назад +2

    Naisubilia Kwa hamu video ya wimbo huu jamani mwenyezi Mungu awasaidie❤❤❤❤❤

  • @eliasagrey4987
    @eliasagrey4987 9 месяцев назад +6

    Nilikuwa naisubiri kwa hamu video yenye mwonekano murua km hii , barikiwa sana Kaka, huu wimbo nimekuwa nautumia kusonga mbele katika vikwazo mablimbali kwenye huduma, Lkn pia nautumia mara nyingi kuwatia moyo wenzangu, Barikiweni sana

  • @isackmsomba5688
    @isackmsomba5688 11 месяцев назад +4

    Jamani huu wimbo unanibariki sio utani na nauhitaji kweli mweee❤❤❤❤❤❤

  • @DeboraJoseph-b8g
    @DeboraJoseph-b8g 9 месяцев назад +3

    Nawapenda watu wa Mungu kazi zenu ni njema mbele za Mungu wetu.Mungu awafunike.

  • @janekasalile5435
    @janekasalile5435 8 месяцев назад +2

    Maumivu ya kusalitiwa yanararua Moyo, lakini kwa uweza wa Mungu na Neema yake inakuwezesha kusonga mbele.

  • @davidtusemen2195
    @davidtusemen2195 6 месяцев назад +1

    Mungu aendelee kuwainua kwa viwango vya juu zaidi

  • @jumapkasekwa
    @jumapkasekwa 2 месяца назад

    Hongereni sana

  • @neemamwakimenya5274
    @neemamwakimenya5274 10 месяцев назад +3

    Nawapenda Bure mungu azid kuinua vipawa vyenu mfike mbali

  • @attubulenge530
    @attubulenge530 7 месяцев назад +1

    Aiseee nawapenda sana hii kwaya Mungu awatunze

  • @IsraelMwabeza
    @IsraelMwabeza 2 месяца назад

    Mungu awabarik sana

  • @isayambata3866
    @isayambata3866 9 месяцев назад +3

    jamniii huu wimbo unanibariki sanaaaah sas video yake inatoka liniii??!

  • @joelmwamlima5686
    @joelmwamlima5686 9 месяцев назад +2

    Barikiwa sana

  • @JeniphaMbalanji-sy7qi
    @JeniphaMbalanji-sy7qi 8 месяцев назад +2

    Nawakubali sana mungu haendelee kuwapa nguvu na umoja wenu udumu

  • @gracejason5443
    @gracejason5443 6 месяцев назад +1

    Mubarikiwe sana

  • @VailethWille
    @VailethWille 8 месяцев назад +2

    Mungu awabariki nabalikwa sana na hii nyimbo

  • @joycecharles2953
    @joycecharles2953 6 месяцев назад +1

    Kuna mahali huu wimbo umenivusha, Can't wait for the official video..

  • @yohanawillimas4154
    @yohanawillimas4154 8 месяцев назад +1

    Wimbo bora kabisaaa❤❤

  • @tumainkyejo2314
    @tumainkyejo2314 11 месяцев назад +2

    Mungu awe nanyi katika huduma mko vizuri sana

  • @tizydorcasantony9190
    @tizydorcasantony9190 10 месяцев назад +2

    Kwaya yangu pendwa. Nawapenda

  • @CheyoEver
    @CheyoEver 7 месяцев назад +1

    Amina

  • @bahatimwaitenga4488
    @bahatimwaitenga4488 11 месяцев назад +2

    MUNGU awatunze na awakumbuke

  • @victorychoirstars8882
    @victorychoirstars8882 10 месяцев назад +2

    ❤❤❤

  • @matridampeligwa6415
    @matridampeligwa6415 5 месяцев назад +2

    Nawakubali sana

  • @TunsumeMchewere
    @TunsumeMchewere 4 месяца назад

    Mungu awabariki sana kwa nyimbo nzuri na zenye maana uwa natamani sana kila wakati nisikilize nyimbo zenu

  • @HappyMpenzu
    @HappyMpenzu 2 месяца назад

    Najisikia raha kila ninapo usikiliza huu wimbo mtunzi naomba ni mjue

  • @WakiliMsomi-xt1fq
    @WakiliMsomi-xt1fq 2 месяца назад

    Amina sana mtunz

  • @rosebianchi1998
    @rosebianchi1998 4 месяца назад

    Jamani huu Wimbo uwekwe audio mack ni Mzuri sana una utukufu

  • @AswileMwasalemba
    @AswileMwasalemba 5 месяцев назад

    Watumishi nabarikiwa sana kuwepo katikati yenu

  • @elvilamwambambale950
    @elvilamwambambale950 6 месяцев назад +1

    Mungu azid kukuinua mwl James

  • @AbelAbbel
    @AbelAbbel 4 месяца назад

    Nimiongon mwa kwaya iliyobarikiwa

  • @guadenciamapunda6593
    @guadenciamapunda6593 3 месяца назад

    Wimbo mzuri sana lkn sauti haipo vizuri.

  • @janethsadock4559
    @janethsadock4559 10 месяцев назад +1

    Jamani Kwanini hamtoi albam?mnatukwaza wapenzi wenu

  • @christiandumalukhy9006
    @christiandumalukhy9006 7 месяцев назад +1

    Nimebarikiwa sanq aisee na huu winbo... And i would like to ask kama wewe ndo James Frank wa "Tunamtaka Tabitha"

  • @rufinapetro2496
    @rufinapetro2496 5 месяцев назад

    Yaani hii ni live 😊😊😊😊

    • @JamesFrankMwidunda
      @JamesFrankMwidunda  Месяц назад

      Hii Co live official release from the choir... But karibu ushiriki nasi katika ibada ya kufanya live recording ya album ya kwaya hii mwaka huu tareh 31/10/2024 tughimbe hall mbezi...... Ubarikiwe

  • @danacheroallos9667
    @danacheroallos9667 5 месяцев назад +1

    Wimbo safi kabisa...where is the video that has clear sound?

    • @JamesFrankMwidunda
      @JamesFrankMwidunda  Месяц назад

      31/10/2024, kwaya itafanya live recording.. Huu ni wimbo ambao upo kwenye hii project.. Naomb nitumie fursa hii kukukaribisha ushiriki pamoja nasi... Ubarikiwe

  • @deborasimon422
    @deborasimon422 4 месяца назад

    🎉🎉🎉❤

  • @rufinapetro2496
    @rufinapetro2496 5 месяцев назад

    Jamani video bado????? Hii nyimbo nimeipenda sana sipati audio wala video

  • @isayasinkonde7738
    @isayasinkonde7738 10 месяцев назад +2

    Hongereni sana

  • @KubroKaghobela
    @KubroKaghobela 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤

  • @shereendoreen8411
    @shereendoreen8411 11 месяцев назад +2

    ❤❤❤

  • @GrolyFredy-uf1tx
    @GrolyFredy-uf1tx 10 месяцев назад +2

    ❤️❤️❤️❤️

  • @tumainkyejo2314
    @tumainkyejo2314 11 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤

  • @jeniphapoul17
    @jeniphapoul17 10 месяцев назад +2

    ❤❤

  • @atuganilelupassa9495
    @atuganilelupassa9495 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤