Idris Sultan asimulia alivyoishiwa kabisa 'msaidizi wangu alidhani ningejiua'
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2017
- Idris Sultan anasimulia jinsi ambavyo alitoka kuwa mmiliki wa zaidi ya shilingi milioni 500 hadi kuishiwa kiasi cha kushindwa kulipia bili ya umeme na gharama zingine na hadi kwenda kuomba hifadhi kwa mtu ili aishi kwa muda
- Развлечения
katika maisha haya ya leo kila mtu anahistoria yake aliyopitia wengi tunakuwa hatuifahamu na mimi pia nina story yangu na kwa kuielezea youtube nimewafungua macho watu wengi sana na pia wameweza kujifunza kupitia mimi sidhani kama ningekaa kimya watu wangejifunza watu wengi wanaogopa kusema ukweli halisi wa maisha yao kisha kuogopa jamiii ilnayowazungugka at the end of the day its ure life....nimefurahi umetupa mwangaza na sisi wengine......
big up Idris.......
dizzonline aitokuja kutokea interview nzur kama ya idris sultan we are realy enjoying tunataman isiishe aendelee tuuu yani amaizing 👏👏👏👏😍😍😍😍💯💯💯💯💯💯
aiseeh maisha yanachangamoto nyingi sana ishi kwa kuingalia kesho ili usipoteze thamani ya kile ulichonacho. bigg up idriss
Hii interview Kali kinoma yaani Sky haichoshi kuiangalia Big up Sultan
Napenda sana huyu kaka
.mungu akupe maisha marefu
Na utabarikiwa zaidi so cute idris
Hakika dunia ina changamoto. Hongera kwa kupambana na Mungu huwa amuachi anayetafuta. Barikiwa.
Jipe moyo #idris napenda msameh madam #wema ❤❤❤
This is one of the best interview.....inaleta raha lkn inatia moyo pia.
This interview was good.usifanyee kituu ambacho hujui.
kweli kila mtu anaistoria yake maishani aaah story yako ndo maisha yako
Moja ya interview Bora ya Idris
Its funny ila ina Mambo serious yakujifunza
Thanks Sky
Big up idriss aisee maisha haya jomoni
thanks for sharing the under cover struggles.
for sure, the struggle is real.
Uko poah
Leo umejua kunichekesha shemela, hahaha! haya maisha ayajatuachaga Salama aiseee,ila nakupa hongera sana, na nimeamini hakuna kama mama, Allah mrehem mamaangu👏😨😨😨
Ahahahahahah idriss banaaa daaaah rorel model wangu nakubali sanaaa
Nimejifunza mengi kupitia mengi
my dreams natak niwe kama kaka hapo
Kwa kweli idriss umeongea ukweli na pia nimejifunza sana kupitia story yak.japo kila mtu ana yake ila zina tofautiana. mungu akupe uzima na fya tele.kilicho niuzi mimi tu kwako ni kuachana na wema.nilikua siamini ila leo ndio nimeamini kupitia mdomo wako na si kupitia kwa watu.
NIMEKUELEWA SANA IDRISS
Idriss bwana
Learning alot from this story
Andrew Ndambuki yap ofcorse its a big lesson bro from idriss
kweli maisha hayana mwenye nayo
🤣🤣🤣 ety poleni sana Maana hamna hata maswali ya kuuliza
Hahahahahha nampenda uyu kaka kwekwel
Maisha jmn ila usiwe muaz saana
idriss buana ha ha ha
Ali enda kupanga?? Kwani ile gorofa aliyo post sio yake?
evance anasel 😂😂😂
😂😂😂😂😂jamani usinichekeshe mie
This is not an interview, hii ni story!! Dizzim u need to be professional, hamuuliz maswali mnacheka tu, eish!! Huyo dada hapo hata simuelew anafanya nn, anazunguka tu kweny kit 🙄
Belinda Wilson You are very right Belinda, this isn't an interview, this is a conversation. Hii ndio format ya show, hatuhoji bali tunafanya mazungumzo.. Imagine pale unapopewa story na rafiki yako then ukipata jibu basi hiyo ndo style ya show hii
mbavu zang
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hongera
Hongera xana
hongera
Story ya uongo tupu io,
Ukweli Unaujua Wewe
Haya Useme Sasa
King Gideon faaala wewe
yako ya ukweli iko wapi??
Recho Kabodo huyo ni muigizaji na mchekeshaji, ko kukusumbua akili kwake ni kazi ndogo sana
Hahahaaaa
mbona mnacheka tu kama wasenge wasenge