Roasting (MAWEST vs HALELUYA)
HTML-код
- Опубликовано: 29 дек 2022
- #chekatu #standupcomedy #Swahili #Coymzungu #diamondplatnumz #jolmaster #dogosele #comedy #comedyshow #comedyvideo #standupcomedy #comedy #comedia #comedian #comeback #comedyshorts #comedian
Приколы
I ❤️ wasafi, I ❤️ cheka tu...... You guys talk relevance EVERYWHERE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Viongozi wetu oyeeeeeeeeeeeh 😂
Hivi huwa ni siku gani hiki kipindi kwa WASAFI TV?
@@detlantamarooned1809 jpili
@@mcultureculture3790 Shukrani sana,ni muda gani inakua?
Ok
Hiyo Luyaa we wanna love ndio ujinga gan huyooo
We wanna laugh sio love
Tuliya
Mawest pure talent🙌
Naitazama tokea chuo kikuu Dodoma
Mawest is killer, 🙌🏿
Mawest umetisha sana
Buku ta buku tatu hahahaha
Unyama 😂
Hallelujah we ni fala sana.. sana aise😂😂😂😂keep it up bro..contents zako hua zinanihusu sana 😂😂
Wote wakali Wang😀
Wakwanza apa from mbeya
Mawest🔥🔥🔥
Haleluya Jitahidi Kufanya Mazoezi Ubunifu Unakupotea...
a k a masumbuko
😂😂😂
😂😂😂🙌
Mawest😂😂
Mawest on 🔥🔥🔥🔥
Mawest anajua sana🤣🤣🤣
Cheka tu mpo kimya sana
Wazee siku hz mnakuwa kimya sana
Nahitajika nipande stagen
Matembere
Hallelujah content zimeisha bro unakosa ubunifu...zen hiyo Luuuyaaa we Wana Lough nilishakwambiaga Haina mzuka,,tazama respond ya audience ilivyo....
Jamaa ni mmoja wa comedian wakali na anayetumia akili sana. Sema hiyo Luya labda atafute nyingine.
Nakazia hapo kwenye luyaaa......inaboa sana
@@antipascann2797 nilimwambia ila hataki kubadilika,mpaka siku akasema jukwaani kuwa Kuna watu hata hii luuya inawakera,, audience waliguna yee hajui tu ,hawawezi mwambia pale mbele kuwa unaboa ila wanaboleka.
@@charybdis8113 ana content za kawaida now days....huwa tunaangalia watu wanacheka Kwa namna gani ,je una punch after punch yaani watu Wana muendelezo wa kucheka...mtazame Mawest,Eliud,Deogratius,Mc Lukinga n.k utajua Nini namaanisha ..si Kwa ubaya ila Kwa kujengana usitumie akili kubwa Kwa wanaostahili akili ndogo utajichosha na kuwachosha zen lengo litafeli...🙏
@@bashiriwilliam5982 na ikifika mahali kwenye comedy ukawa unatumia maelezo marefu ndo uifike punch line alf unaendelea tn na maeeleeeezo alf ndo unatoa tena joke na inawezkn watu wasicheke....... Dah ni taa nyekundu hiyo itabidi ujitathimini upya na ustudy audience
NB:siyo kwa ubaya we wana laafu😄