Nakufuatilia na masomo yako yamenifunza mengi asant sana,ila mimi nina maswali mawili kutokana na mada zako,1.je maquareen wa mababu zangu au ndugu zangu waliofariki wanaweza kunilinda na uchawi na wanaweza kuniletea bahati kwenye mambo yangu? Mfano bahati ya kupata pesa
@@Qs3557 hawawez kukulinda Wala kukunufaisha sababu hawana jukumu lolote kwako zaid ya kujifurahisha nafs zao sababu watu wao walisha kufa zamani hivyo watakudanganya na kukufanya mtumwa wa kuwatumikia tu
Swali la pili ni kwamba,mimi nilitolewa kwenye kitengo na boss na nilifuatilia nikajua rafiki zangu waliniroga wakapewa wao hio nafasi, pia wakanifunga nisirudi tena pale kwenye hyo nafasi na boss mpaka leo ni kweli hanielewi,je uchawi huo unaweza kuniathili kwenye masuala ya pesa au kunirudisha nyuma kiuchumi? Mana hua naota sana ndoto za mazingira ya zamani,shule na kijijini,nimehangaika sana kwa waganga hzo ndoto haziishi
Ahsante sana
Ahsante nawe kwa kutazama
Nakufuatilia na masomo yako yamenifunza mengi asant sana,ila mimi nina maswali mawili kutokana na mada zako,1.je maquareen wa mababu zangu au ndugu zangu waliofariki wanaweza kunilinda na uchawi na wanaweza kuniletea bahati kwenye mambo yangu? Mfano bahati ya kupata pesa
@@Qs3557 hawawez kukulinda Wala kukunufaisha sababu hawana jukumu lolote kwako zaid ya kujifurahisha nafs zao sababu watu wao walisha kufa zamani hivyo watakudanganya na kukufanya mtumwa wa kuwatumikia tu
@@jitihadaonlinetv739 asant sana
Swali la pili ni kwamba,mimi nilitolewa kwenye kitengo na boss na nilifuatilia nikajua rafiki zangu waliniroga wakapewa wao hio nafasi, pia wakanifunga nisirudi tena pale kwenye hyo nafasi na boss mpaka leo ni kweli hanielewi,je uchawi huo unaweza kuniathili kwenye masuala ya pesa au kunirudisha nyuma kiuchumi? Mana hua naota sana ndoto za mazingira ya zamani,shule na kijijini,nimehangaika sana kwa waganga hzo ndoto haziishi
Ndio inawezekana kwa wasilimia 85