QAREEN 006 NAMNA MAHUSIANO YANAVYO HARIBIWA NA SHAYTWANI HUYU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 7

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw 27 дней назад +1

    Ahsante sana

  • @Qs3557
    @Qs3557 26 дней назад

    Nakufuatilia na masomo yako yamenifunza mengi asant sana,ila mimi nina maswali mawili kutokana na mada zako,1.je maquareen wa mababu zangu au ndugu zangu waliofariki wanaweza kunilinda na uchawi na wanaweza kuniletea bahati kwenye mambo yangu? Mfano bahati ya kupata pesa

    • @jitihadaonlinetv739
      @jitihadaonlinetv739  26 дней назад

      @@Qs3557 hawawez kukulinda Wala kukunufaisha sababu hawana jukumu lolote kwako zaid ya kujifurahisha nafs zao sababu watu wao walisha kufa zamani hivyo watakudanganya na kukufanya mtumwa wa kuwatumikia tu

    • @Qs3557
      @Qs3557 26 дней назад

      @@jitihadaonlinetv739 asant sana

  • @Qs3557
    @Qs3557 26 дней назад

    Swali la pili ni kwamba,mimi nilitolewa kwenye kitengo na boss na nilifuatilia nikajua rafiki zangu waliniroga wakapewa wao hio nafasi, pia wakanifunga nisirudi tena pale kwenye hyo nafasi na boss mpaka leo ni kweli hanielewi,je uchawi huo unaweza kuniathili kwenye masuala ya pesa au kunirudisha nyuma kiuchumi? Mana hua naota sana ndoto za mazingira ya zamani,shule na kijijini,nimehangaika sana kwa waganga hzo ndoto haziishi