WEWE RAFIKI WA ANNA MPUMBAVU UNAJITOA SAMANI KWA ALUFU AMSINI MBELE YA SHEMEJI ALUFU UNAMBEMBELEZA NA KUMREMBA SHOGA YAKO PELE KAKATAA UNGEMALIZA WACHA TAMAA MADAM
Wew shoga ake mtu ungetumia akili wakati mwenzio amekubali ungeishia hapo hapo ungelamba iyo 50k na patty yenu ingeendelea lakin hujui kusoma alama za nyakati...ila demu anampenda mshkaji asimuache
Part Two Niachie Lini Wakuu Mcheke mtu anatoa machoz kabisa😂📌
Tunamshkur sana big brother kwa kutup mafunzo kupitia watu kun vit Ving tunajifunz 😅😅😅
Van usishushe iyo mpaka views 1000😂😢😢😢
Sema we Nae Ivan Unazingua san Hzi Chalange mzee znaharib xna mahusian ya watu
Saivi
@@Ivan17_tz mpaka wafike views 1000
Huyu shoga mnafik sana amejarib kumcomvice alkuw hatak
Ni Aibu kubwa Sana MTU anakuoenda kisha unababaika Kwa pesa Tu kweli pesa nyoko🇬🇷🇬🇷🇹🇿
😂😂😂😂 mwanamke kwa pesa , Asie mahusiano yataharibika
😂😂😂😂😂 nilli liya sana 😂😂😂😅
Pesa iyi Dhaaaaah 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata mimi mweyewe tusidanganyane usije nijaribu na pesa nitaanguka vibaya😂😂😂
Sijapenda hata kidogo 😢 hz challenge za kumshawish mtu mtakuja kusababisha watu wajiuwe
Kaka angu nakukubali sana na ninakufatilia sana ila hapo umezingua sana ivan dah sijapenda kabisa dah inauma sana
Marekani UK😂😂😂elfu 50 zimemchanganya
Ivan huyo big ukampandisha floo ya ngapi kachoka balaa😂😂😂
Mambo ya kuharibiana mood za birthday....
😂😂kume anza kuchanga mkaa
🎉🎉
Aivan na alivobonge uyo mrefu utaweza kumbeba alizimia shaur yko 😂😂😂😂😂😂😂😂
Achana na laki 3
Kazi nzuri...ila tafta camera nzuri
WEWE RAFIKI WA ANNA MPUMBAVU UNAJITOA SAMANI KWA ALUFU AMSINI MBELE YA SHEMEJI ALUFU UNAMBEMBELEZA NA KUMREMBA SHOGA YAKO PELE KAKATAA UNGEMALIZA WACHA TAMAA MADAM
Yaan kanikera mpk m kanikera tena
Ushoga wa sikuiz sijapenda kabisa anajua kabisa kwenye pesa hakuna anaeweza kukataa yaan 😢😢
Marafiki watu wabaya sana walah
Sema mwanangu hizo challenge zenu miyeyusho kinoma. Unawatafutia watu matatizo. Tafuten content nyingine bana
Hawa watu msiwajaribu jmn, ni wana nenge😅 ya hatari🙌🙌😝 ila kw upande wang mm uyu shem miyayusho kwel 😅
Mwamba kasha sema atakubali
amn rafk apoo
Heee xixi Wanawake tuna tamaa
Dahh aisee namhurumia broo wangu huyo dahh wanawake
Wanawake ovyoo jmn.khaaaa tamaaaa
😂😂😂
Da
Aivan unazambi jaman 😂😂
Aisha alijua kabisa ni michongo yao dah
Aisee imeniuma sana jaman kaka ameumia sana wanawake tuache tamaa😢😢😢
😂😂 mwamba mpk ameishiwa nguvu
Let’s Go Part Two🔥🤝
😂😂😂😂
We Ivan Ivan Ivan na huyo shoga mnafiki moto unawahusu
Badae shemeji atatembea na uyo dada
Pati two toa leo leo
Angalieni challenge zenu mnapata faida gani sasa
Me nanyoosha😂
Tuwaishie part 2
Hivi ivan hizo nguo zako kama,brother,k, c uwe unapiga pamba
😂😂😂😂
Weee ata me nakubali kuja 😅laki tatu mchezo
Van ww 😂
Wewe uyo rafiki hapana kwann. Uweke mkazo et katoka marekani
Ila nyie wa dada 😢😢😢
Hii sijapenda kwakweli
Yan wew unauliza et pesa inanafas yakuhalibu mapenzi wakat pesa inanafas inatoahad uhai
Achia leo
Uyo dada kwanza tayari kaingia tamaa na iyo elfu 50
Et Brazil mbona unacheka cheka
Naww baba muwe mnaakili banh yakujiongeza
Oyaaa weka mzigo baba
Ivan bro kwa staili iyo dah inasikitisha sna kuharibu mahusiano ya watu kwa upande wangu mm hii imeniumiza sna nigga!
Mwanaume kaanza kuvuta Mdomo 😂😂😂😂
😂😂😂 jmn tutawaogopa wadada masikini yn bila kumuona mtu 😢😢
Jamaa nakuhurumia nataka part 2 nione yani mwili ote unajihisi kuchoka
Aaaa ivan 17 unatisha sana
Me mwanamke lkn hii imeniuma sana kaka wawatu jmn😢
Ndo maana mambo ya marafik wakujuana maisha yangu sitak
Sema mmemfoce uyo dada
Nikitoka apo ushoga unakwisha yaan ndo maana mimi sinaga shoga 😮
Hapa unaweza kuta pumbu ziko chin tayar 😅
Mkiambiwa tafut ela nyie mnatafuta uchiii😅😅😅😅 n yatawaliz saaan😢😢😢
Kwakweliii 😂😂😂
@JasmineMsofe 😎😎
Mbona ile ya msanii hujaimalizia
Itakuwa alipigwa😂😂ikaishia hapo
Bora nikae single tu
Huu usenge mtakuja kuuana😂
Ivan umenichekesha kinoma,
ila pesa shikamooo
Oya ixhuxhe leo bhn
Uyu mwanamke sio mtu mzuri atakuwa anampenda shemeji yake wanawake tutafika mbinguni tumechoka😢
Baba achia part 2 mwanang
Huo ijinga wakuwa challenge wTu mtasababisha watu wauwane shauti yenu
Sa urafikigani hu, etc bff bff wa nyokwe, unakubali vp kumchoma bff wako😏😏
Kuna vishawishi vingine mtu atoboi
Tupe part 2 haraka
Mimi sija pend ivani 😢😢😢
Marekani then UK 😂😂
Pesa hiyo hiyo inanafasi ya kuharibu urafiki pia
Fanyaneni kama wakenya wanaweka challenge yote ilivyo nnyi mpk siku nyingine hainogi sana
Lete paty2
Ivan ww achia part two tuone mwanag
Atakubali tu
Nataka challange na madem zangu woteee😂😂😂
Utalia. Mzeee😊😊😊
Pesa Ina nguvu sana
Izoo Challenge me naona Zina alibu tyu mahusiano ya watyu
Kaka mpolee
Hata inge kuwa ako ka bff yake 👯 kange kubali 😂ni kana zugatu 😂
Hii challenge ni hatar balaa
Alaf ivan mnafik kwel et kma hamtak bc tuishie hapa😂😂😂
Ila shoga wanaponza ivoo mhmmm ushaharibu ushoga wenu
Wee kelo yangu umalizage video vizuri. Bhana😂
Kabs sis
Pesa inahalibu Sana tu bila shida
Part 2unatoa lini
Ivan hio imeniuma minilijuwatu kama yatatokea umekosea sana ungesikia Wana party hio ungeachana navyo tu
Leta tunaisubili
Huyu dada nae mnafki sn
Broo part 2
Ivan Mimi sijapenda bwana😢
Shoga mnafiki angemtumia ata sms usije ni challenge na usipige
Wew shoga ake mtu ungetumia akili wakati mwenzio amekubali ungeishia hapo hapo ungelamba iyo 50k na patty yenu ingeendelea lakin hujui kusoma alama za nyakati...ila demu anampenda mshkaji asimuache
Mapenz ya mliza big aivan 17 paty 2
Ira ukweli uko wazi lvan 17 kama shoga tu yani ana bonga so pow kama Chala wa uswazi
Huyo dada alikuwa kwenye challenge nyingine nahis hizi challenge smtyms wanapanga watu,haiwezekani kila siku awe anakutana na hao challengers
Tunaomba part 2 ya grace
Ivan mbona hivo sasa part two ya kule goba mbona hujaleta