Jamani wausika wa huba tufanyieni kama kapuni episode 1 mpaka ya mwisho tuna enjoy tunaelewa stori mwanzo hadi mwisho tunaomba jamani huba inaonesha inastori kali zaidi tunawaomba 🙏
Unaweza kuwabagua bwana hawaja fanana sana maana mmoja mwembamba mwengine ana unene kidogo na sura zao pia sio za kubabaisha kiasi kwamba useme huwezi kuwabagua Mimi niwaone dakika moja tu halafu wakae wiki nzima wakija nawabagua
Rehema Nzemeri Nani? Amekwambia kama wakenya hawa, useme mnafanana kabila, Tanzania wajaluo na Kenya Luo. Hawa wanatokea Tanzania Musoma mkoa wa Mara Haya Mkoa wa Mara Musoma upo Kenya?
Kwahiyo Africa nzima Kenya ndo mnajua kiingereza mbona mna sifa sana ee south Africa,Zimbabwe mbona wanaongea kiingereza safi sana, kwataarifa yako Tz kunawatu wanaongea kiingereza mpk utashangaa
Carroles muulize huyo anayefanya interview kwa nini hajasema South Africa wala Zimbabwe akasema Kenya,kama angetaja nchi zingine ningesema pia iko juu,upo?
Nashukuru mungu na mm nimepata pacha wakiume mungu akujaalie na we we unaependa kupata mapacha gonga like twende sawa
Na mungu anipe wakiume na Mimi naomba sana mapenzi yake yatimie sio yangu..
Kama unapenda kuzaa pacha mungu akujaalie gonga like
Aminarabillalamina
amen
Ameen
napenda sana pacha jmn ila bahati mby wametangulia mbele ya haki vidume v3 namuomba allah anipe tn wengine duwa zenu nahitaji jmn
Amen
Mungu anibariki na mimi uzao wa tumbo langu kupta mapacha.
Namuomba Mungu na Mimi anipe mapacha jomoni
Ninao pacha Zahara na zamaradi wamefanana cn namuomba cn mungu anikuzie I love you twins.
Mimi napenda sana pacha
Nawapenda sana pacha
Huba mmeitendea haki 💖💖💖💖
Hongereni sana Regina na Christina. Endelezeni kipaji chenu na Mungu atawasaidia.
Mungu alinipa mapacha yusra na sumaiya lakini Mungu aliwapenda zaidi 😭😭😭 namuomba allh anipe tena lnshaallh 🙏🙏
pole sana inshaallah mungu ni mwema sana utapata wengeni tena
Namuomba mungu na mm anijaliye watt mapacha lkn wenye heri na mm na watu wengine na wakumjuwa mungu sana in sha allah khery
kama na wewe ni mkurya gonga like hapa tujuwane
Naomi Charles good
Nimependa ndugzang hao
Wa tarime moja☝☝☝
Raha kweli
Jamani wausika wa huba tufanyieni kama kapuni episode 1 mpaka ya mwisho tuna enjoy tunaelewa stori mwanzo hadi mwisho tunaomba jamani huba inaonesha inastori kali zaidi tunawaomba 🙏
Mashauz Classic hiro kapu renyewe wameishia kati
Saf
Twins😘😘
Amin
Waooo nawapend sana mapacha
Ee mungu skia kilio changu uzao wangu nijaalie nizae mapacha wanao fanana sana kwani nawapenda sana
Nawapenda sana ki ukwel mnavaa vizr mno
Mwandishi hujui kuhoji maswali ya msingi kwani watanzania hawajui kiingereza eti umesoma kenya wewe chiziiii kabisa
Lafuzi ya Kenya
Imagine!! alivyo kilaza yeye anafikiri kila mtu ni hivyohivyo.
Wanafanana sana safi sana wajina na pacha wako
Mume fanana mashaa Allah
Wakiwa wawili mtu anaweza watafautisha lkn akiwa mmoja mtu waeza tatizika kweli
mmoja mnene kidog kuliko mwenzake
Ndivyo inavyo kuwa
Nawapenda sana hawa wadada wamefanana had raha
Mweny kenge lazim asitambue km kuna tofauti make kuna mnene kias na mwembamba iyo nayo sio tofauti
Ata sura hawafanani kivile
Like it
kuna mref na mfup na mmoja mwembamba
Eee...mmoja ni munene na mwengine ni mwembamba
Na christina kidogo si mweusi sana kama regina
Il huyu mmoja mwemba kidogo pia kapanda.
Ndio aligombea umisi huyo
napenda sana mapacha
Mungu wangu Ata na mimi nisaidie nitakapo olewa na mimi nijifungue 3 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hawa wanabaguka kama wanangu ila ukiwaona wamefanana nawapenda sana natamani nipate wakiume sasa wafanane na baba yao
❤❤❤❤
Kumbe mupowawiri nirijuwa mmoja tyu jamanihadi raha
Eee mungu na Mimi nipatie mapacha Kama Hawa nawapenda buree
pokea
Minilijua mmoja
Smart Mapacha,
MWANAHALIMA MWACHILI Mcjichubue ni wazuri sana!
@@stephenameeenlowoko323 Kabsaaaa wako Smart.
Wamefanana ila mmoja ni mnene kidogo zaidi ya mwenzake
Lilyan Mongi kwer umegundua ilo eee
Natamani nipate mapacha kwakweli wakike
Unaweza kuwabagua bwana hawaja fanana sana maana mmoja mwembamba mwengine ana unene kidogo na sura zao pia sio za kubabaisha kiasi kwamba useme huwezi kuwabagua Mimi niwaone dakika moja tu halafu wakae wiki nzima wakija nawabagua
Na mim mkurya wa tarime naomba kuingza na nyie
jamani CD Yao imeandikwaje ninunue niangalie naona wananivutiwa
mamoja
Yaan hadi Raha jaman
Jaman wananifurahish wanavy igiza tamthilia ya huba
Napenda wanavyotamka j
jamani tufautishen lani ni mlefu na mwembamba pia na tristina mfupi kidogo na mnene
Wakurya nyamongo wapi sasa
Haha na kuolewa mtaolewa pamoja??
Husna Uthman 😂😂😂
@@rehema2018 mume mmoja awaoe wote au😳😳😳
Mariya Al ndio
@@mariyaal5366 eeeh
Kumbe wakenya tuna sifa
Rehema Nzemeri Nani? Amekwambia kama wakenya hawa, useme mnafanana kabila, Tanzania wajaluo na Kenya Luo. Hawa wanatokea Tanzania Musoma mkoa wa Mara Haya Mkoa wa Mara Musoma upo Kenya?
Wakenya mnamatatizo
Anamuuliza kingereza chako ni safi kwani umesomea Kenya,meaning tuko juu
Kwahiyo Africa nzima Kenya ndo mnajua kiingereza mbona mna sifa sana ee south Africa,Zimbabwe mbona wanaongea kiingereza safi sana, kwataarifa yako Tz kunawatu wanaongea kiingereza mpk utashangaa
Carroles muulize huyo anayefanya interview kwa nini hajasema South Africa wala Zimbabwe akasema Kenya,kama angetaja nchi zingine ningesema pia iko juu,upo?
Me mama yangu anao na me cjui ntalithi uzao wa pili jaman pacha rahaa
Wanafanana
Da kumbe mapacha
Mnapendez xaan
Mamb
Jaman wazur
Mnajishaua tyuu mbn sisi n pacha watatu na atutafut kiki tumefanana kama yai😅😅😅😅
Catherine Ewald hahahaaa duh!
Catherine Ewald utafute kiki kwani we ni star Sijui unaongea nini wewe halafu sidhani Kama unajua maana ya kiki
@@agnessjohn8404 kwa we n nan mpka uteseke ivo we unajua mana ya kiki mdudu wew
Hamna fan
@@ninahmpilla1012 we unayo fan??? Na jina lako baya ka tusi nyoooooo unajua maana ya fan mbuz weyee
Hawajafanana sanaa kawaida tu
Siri ya mma ilkua mvi nzul jmni
Hawachangany hat kdogo
Chirstina ni mnene na ni mfupi pia pacha wake ni mwembamba na ni mrefu
Ndy
mhmh ni sana lakin mmoja mnene mwengine mwembamba
Exactly
ata hawajafanana bana
Uba iwe lisaa badala ya nusu saa
Nimewapend buree watt wazur