CHRISTINA NA REGINA: PACHA WANAOTIKISA TAMTHILIA YA HUBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #PACHA
    #CHRISTINA
    #REGINA

Комментарии • 115

  • @witineskikiwa1906
    @witineskikiwa1906 5 лет назад +112

    Nashukuru mungu na mm nimepata pacha wakiume mungu akujaalie na we we unaependa kupata mapacha gonga like twende sawa

    • @dinahsangu5107
      @dinahsangu5107 4 года назад

      Na mungu anipe wakiume na Mimi naomba sana mapenzi yake yatimie sio yangu..

  • @neemasalum950
    @neemasalum950 5 лет назад +435

    Kama unapenda kuzaa pacha mungu akujaalie gonga like

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 5 лет назад +95

    Mungu anibariki na mimi uzao wa tumbo langu kupta mapacha.

  • @saitakitalika7970
    @saitakitalika7970 5 лет назад +93

    Namuomba Mungu na Mimi anipe mapacha jomoni

  • @saudambwilo3666
    @saudambwilo3666 5 лет назад +18

    Ninao pacha Zahara na zamaradi wamefanana cn namuomba cn mungu anikuzie I love you twins.

  • @suraiyasaidy2849
    @suraiyasaidy2849 5 лет назад +16

    Mimi napenda sana pacha

  • @elizasilayo8410
    @elizasilayo8410 5 лет назад +7

    Nawapenda sana pacha
    Huba mmeitendea haki 💖💖💖💖

  • @juliasmtobesya5031
    @juliasmtobesya5031 4 года назад

    Hongereni sana Regina na Christina. Endelezeni kipaji chenu na Mungu atawasaidia.

  • @sabiyuzk1052
    @sabiyuzk1052 4 года назад +1

    Mungu alinipa mapacha yusra na sumaiya lakini Mungu aliwapenda zaidi 😭😭😭 namuomba allh anipe tena lnshaallh 🙏🙏

    • @halimafowady1147
      @halimafowady1147 4 года назад

      pole sana inshaallah mungu ni mwema sana utapata wengeni tena

  • @thuwaibaabdallah3515
    @thuwaibaabdallah3515 4 года назад +7

    Namuomba mungu na mm anijaliye watt mapacha lkn wenye heri na mm na watu wengine na wakumjuwa mungu sana in sha allah khery

  • @naomicharles7426
    @naomicharles7426 5 лет назад +67

    kama na wewe ni mkurya gonga like hapa tujuwane

  • @aminakassim8272
    @aminakassim8272 5 лет назад +6

    Raha kweli

  • @mashauzclassic7504
    @mashauzclassic7504 5 лет назад +27

    Jamani wausika wa huba tufanyieni kama kapuni episode 1 mpaka ya mwisho tuna enjoy tunaelewa stori mwanzo hadi mwisho tunaomba jamani huba inaonesha inastori kali zaidi tunawaomba 🙏

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 5 лет назад +8

    Twins😘😘

  • @janethfugamila5848
    @janethfugamila5848 3 года назад

    Amin

  • @sarahsarah4919
    @sarahsarah4919 4 года назад

    Waooo nawapend sana mapacha

  • @fuloraamos5216
    @fuloraamos5216 4 года назад +1

    Ee mungu skia kilio changu uzao wangu nijaalie nizae mapacha wanao fanana sana kwani nawapenda sana

  • @floraphilbert5870
    @floraphilbert5870 5 лет назад +1

    Nawapenda sana ki ukwel mnavaa vizr mno

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 5 лет назад +16

    Mwandishi hujui kuhoji maswali ya msingi kwani watanzania hawajui kiingereza eti umesoma kenya wewe chiziiii kabisa

  • @christinatuyangale3577
    @christinatuyangale3577 4 года назад

    Wanafanana sana safi sana wajina na pacha wako

  • @mwanakombosuleiman6161
    @mwanakombosuleiman6161 4 года назад

    Mume fanana mashaa Allah

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 5 лет назад +3

    Wakiwa wawili mtu anaweza watafautisha lkn akiwa mmoja mtu waeza tatizika kweli

  • @naomidaniel3161
    @naomidaniel3161 5 лет назад +3

    mmoja mnene kidog kuliko mwenzake

  • @maggiedio3310
    @maggiedio3310 5 лет назад

    Nawapenda sana hawa wadada wamefanana had raha

  • @happynescharles1511
    @happynescharles1511 5 лет назад +2

    Mweny kenge lazim asitambue km kuna tofauti make kuna mnene kias na mwembamba iyo nayo sio tofauti

  • @agnesbo8812
    @agnesbo8812 4 года назад

    Like it

  • @annasixbert7634
    @annasixbert7634 5 лет назад +9

    kuna mref na mfup na mmoja mwembamba

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 5 лет назад

      Eee...mmoja ni munene na mwengine ni mwembamba

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад

      Na christina kidogo si mweusi sana kama regina

  • @tunuyaomar5017
    @tunuyaomar5017 5 лет назад +15

    Il huyu mmoja mwemba kidogo pia kapanda.

  • @salomebonifasi4936
    @salomebonifasi4936 4 года назад

    napenda sana mapacha

  • @winnienelima837
    @winnienelima837 4 года назад

    Mungu wangu Ata na mimi nisaidie nitakapo olewa na mimi nijifungue 3 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @haulatmohd3283
    @haulatmohd3283 3 года назад

    Hawa wanabaguka kama wanangu ila ukiwaona wamefanana nawapenda sana natamani nipate wakiume sasa wafanane na baba yao

  • @rabiaathuman5865
    @rabiaathuman5865 5 лет назад +1

    ❤❤❤❤

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 5 лет назад +7

    Kumbe mupowawiri nirijuwa mmoja tyu jamanihadi raha

  • @happylumumba6077
    @happylumumba6077 4 года назад

    Eee mungu na Mimi nipatie mapacha Kama Hawa nawapenda buree

  • @gloryjoseph6824
    @gloryjoseph6824 5 лет назад

    Minilijua mmoja

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад +4

    Smart Mapacha,

  • @lilyanmongi1946
    @lilyanmongi1946 5 лет назад +8

    Wamefanana ila mmoja ni mnene kidogo zaidi ya mwenzake

  • @asmafadhili1627
    @asmafadhili1627 4 года назад +1

    Natamani nipate mapacha kwakweli wakike

  • @yemenhussein7790
    @yemenhussein7790 5 лет назад +1

    Unaweza kuwabagua bwana hawaja fanana sana maana mmoja mwembamba mwengine ana unene kidogo na sura zao pia sio za kubabaisha kiasi kwamba useme huwezi kuwabagua Mimi niwaone dakika moja tu halafu wakae wiki nzima wakija nawabagua

  • @joycejulias184
    @joycejulias184 5 лет назад +7

    Na mim mkurya wa tarime naomba kuingza na nyie

  • @mecktyudithmgindo210
    @mecktyudithmgindo210 4 года назад

    jamani CD Yao imeandikwaje ninunue niangalie naona wananivutiwa

  • @swimmermoddy3263
    @swimmermoddy3263 5 лет назад +1

    mamoja

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 4 года назад

    Yaan hadi Raha jaman

  • @hawahamza3173
    @hawahamza3173 4 года назад

    Jaman wananifurahish wanavy igiza tamthilia ya huba

  • @pendondossy2158
    @pendondossy2158 4 года назад

    Napenda wanavyotamka j

  • @tatianarida1780
    @tatianarida1780 4 года назад

    jamani tufautishen lani ni mlefu na mwembamba pia na tristina mfupi kidogo na mnene

  • @wegesar7886
    @wegesar7886 5 лет назад +5

    Wakurya nyamongo wapi sasa

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 5 лет назад +10

    Haha na kuolewa mtaolewa pamoja??

  • @rehemanzemeri4313
    @rehemanzemeri4313 5 лет назад +8

    Kumbe wakenya tuna sifa

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 5 лет назад +1

      Rehema Nzemeri Nani? Amekwambia kama wakenya hawa, useme mnafanana kabila, Tanzania wajaluo na Kenya Luo. Hawa wanatokea Tanzania Musoma mkoa wa Mara Haya Mkoa wa Mara Musoma upo Kenya?

    • @nancyfamilysharesmoments7634
      @nancyfamilysharesmoments7634 5 лет назад

      Wakenya mnamatatizo

    • @rehemanzemeri4313
      @rehemanzemeri4313 5 лет назад

      Anamuuliza kingereza chako ni safi kwani umesomea Kenya,meaning tuko juu

    • @nancyfamilysharesmoments7634
      @nancyfamilysharesmoments7634 5 лет назад +1

      Kwahiyo Africa nzima Kenya ndo mnajua kiingereza mbona mna sifa sana ee south Africa,Zimbabwe mbona wanaongea kiingereza safi sana, kwataarifa yako Tz kunawatu wanaongea kiingereza mpk utashangaa

    • @rehemanzemeri4313
      @rehemanzemeri4313 5 лет назад +1

      Carroles muulize huyo anayefanya interview kwa nini hajasema South Africa wala Zimbabwe akasema Kenya,kama angetaja nchi zingine ningesema pia iko juu,upo?

  • @halimalikutu3790
    @halimalikutu3790 4 года назад

    Me mama yangu anao na me cjui ntalithi uzao wa pili jaman pacha rahaa

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 5 лет назад +1

    Da kumbe mapacha

  • @gracesimon6590
    @gracesimon6590 5 лет назад +2

    Jaman wazur

  • @catherineewald4041
    @catherineewald4041 5 лет назад +7

    Mnajishaua tyuu mbn sisi n pacha watatu na atutafut kiki tumefanana kama yai😅😅😅😅

    • @nuruabraham3769
      @nuruabraham3769 5 лет назад

      Catherine Ewald hahahaaa duh!

    • @agnessjohn8404
      @agnessjohn8404 5 лет назад +2

      Catherine Ewald utafute kiki kwani we ni star Sijui unaongea nini wewe halafu sidhani Kama unajua maana ya kiki

    • @catherineewald4041
      @catherineewald4041 5 лет назад +1

      @@agnessjohn8404 kwa we n nan mpka uteseke ivo we unajua mana ya kiki mdudu wew

    • @ninahmpilla1012
      @ninahmpilla1012 5 лет назад

      Hamna fan

    • @catherineewald4041
      @catherineewald4041 5 лет назад

      @@ninahmpilla1012 we unayo fan??? Na jina lako baya ka tusi nyoooooo unajua maana ya fan mbuz weyee

  • @yemenhussein7790
    @yemenhussein7790 5 лет назад +2

    Hawajafanana sanaa kawaida tu

  • @abdukhafidhdaud2029
    @abdukhafidhdaud2029 4 года назад

    Siri ya mma ilkua mvi nzul jmni

  • @rahmasarumaa2480
    @rahmasarumaa2480 4 года назад

    Hawachangany hat kdogo

  • @marrylima5242
    @marrylima5242 5 лет назад

    Chirstina ni mnene na ni mfupi pia pacha wake ni mwembamba na ni mrefu

  • @aishakilimo2924
    @aishakilimo2924 4 года назад

    mhmh ni sana lakin mmoja mnene mwengine mwembamba

  • @hawamkamba2407
    @hawamkamba2407 5 лет назад

    ata hawajafanana bana

  • @julianasuleman219
    @julianasuleman219 5 лет назад +2

    Uba iwe lisaa badala ya nusu saa