Namshukuru Mungu kupata nafasi hii Tena kusikiliza maombi haya, maana Jana nilikuwa kazini ucku, hivyo ckuwa na utulivu wa kuzikilza, kutokana na nature ya kazi yangu
Nayafuatilia maombi haya nje ya muda wa lano, nimechelewa kuomba. Niliamka kuomba muda wa lango, lkn nilisahau kabisa maombi ya midnight prayer, nikalala Tena.
Ameen Ameen 🎉
Amen 🙏🙏 Amen 🙏🙏
AMEN
Mungu anisaidie😢 maana dah
Neno la MUNGU huja kwa wakati sahihi😊
Amen
Pole kamanda, duu unakoa Hadi mie naisi vibaya, naona kama mie ndio naumia, damu ya Yesu ikuponye kamanda
Pole mtumishi k kifua
Ameeen
Namshukuru Mungu kupata nafasi hii Tena kusikiliza maombi haya, maana Jana nilikuwa kazini ucku, hivyo ckuwa na utulivu wa kuzikilza, kutokana na nature ya kazi yangu
Tunajua, nikiwa kazini nilikuwa nakumbuka,, ila kazi zikanibana
Nayafuatilia maombi haya nje ya muda wa lano, nimechelewa kuomba. Niliamka kuomba muda wa lango, lkn nilisahau kabisa maombi ya midnight prayer, nikalala Tena.