🛑FRIJI BOVU AWACHARUKIA SIMBA USAJILI WA AWESU AWESU UMETIA DOA KLABU, BADO LAMECK LAWI, WABADILIKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 13

  • @drallan6879
    @drallan6879 2 месяца назад

    big up dogo fridge Hana mizania mzuri uyanga yanga fridge

  • @DengaAlly-x5b
    @DengaAlly-x5b 2 месяца назад +1

    Friji bovu leo umezingua,dogo yupo sawa

  • @drallan6879
    @drallan6879 2 месяца назад

    unatuzingua fridge bovu:Simba will always be fantastic

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula3642 2 месяца назад

    Fridge Bovu, Ishu ya Mwenda na Awesu are the same ila Kwa Sababu ni Upande Simba Naona Siku Umeanza Kuikanyagia, Huyo Jamaa White Ameelewa Situation

  • @drallan6879
    @drallan6879 2 месяца назад

    utatutambua ligi ikianza fridge bovu

  • @Jumamulha-ok1bw
    @Jumamulha-ok1bw 2 месяца назад

    mm huku nimemuelewa huyu jamaa..ila yeye yupo chin yake hajamuelewa..

  • @SemzigwaHarun
    @SemzigwaHarun 2 месяца назад

    Uyu mzee wa friji bovu saa nyingine zina luka mmeongea vizuli kuusu mwenda apo mbona yeye kavunja mkataba na simba hawaja piga kelele na kashasajiliwa na tim nyingine ndio apo kuna kuna ishu

  • @DamianoTippe
    @DamianoTippe 2 месяца назад

    Unaongea Kwa mihomiko

  • @drallan6879
    @drallan6879 2 месяца назад

    uko so negative Kwa Simba fridge bovu

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 2 месяца назад

    Simba wanaenda kisomi zaidi..
    Wanasoma mikataba nakujua la kufanya..
    Sasa ujanja ujanja niwakufuata mkataba wa mchezaji unasemaje au utaratibu ni kwenda mezani na mambo ya kiswahili?

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula3642 2 месяца назад

    Kuna namna Huyu Jamaa aliitwa Upande Flani Mpaka Lawi ambaye Clip za Nyuma ulitueleza Vizuri Lkn Leo Umebadilika duu Pesa Shikamoo It can change Direction. Jamaa anakuelezea Vizuri Lkn Umetutoa Kwenye Leli, Kiukwel nilikua Nasubiri Video zako Lkn Mmmmmmmh

  • @ABM1963
    @ABM1963 2 месяца назад

    Very unprofessional!
    Unatokaje Kati ya discussion ki holela hivyo? Friji bovu umezengua

  • @cosmasshauri9002
    @cosmasshauri9002 2 месяца назад

    FRIJI BOVU Wapi huelewi? Simba hawajaongea na mchezaji akiwa na mkataba. AWESU alivunja mkataba akawa mchezaji huru, ndio akaenda Simba. MBONA HUELEWI brother😂