Uyu mzee wa friji bovu saa nyingine zina luka mmeongea vizuli kuusu mwenda apo mbona yeye kavunja mkataba na simba hawaja piga kelele na kashasajiliwa na tim nyingine ndio apo kuna kuna ishu
Simba wanaenda kisomi zaidi.. Wanasoma mikataba nakujua la kufanya.. Sasa ujanja ujanja niwakufuata mkataba wa mchezaji unasemaje au utaratibu ni kwenda mezani na mambo ya kiswahili?
Kuna namna Huyu Jamaa aliitwa Upande Flani Mpaka Lawi ambaye Clip za Nyuma ulitueleza Vizuri Lkn Leo Umebadilika duu Pesa Shikamoo It can change Direction. Jamaa anakuelezea Vizuri Lkn Umetutoa Kwenye Leli, Kiukwel nilikua Nasubiri Video zako Lkn Mmmmmmmh
big up dogo fridge Hana mizania mzuri uyanga yanga fridge
Friji bovu leo umezingua,dogo yupo sawa
unatuzingua fridge bovu:Simba will always be fantastic
Fridge Bovu, Ishu ya Mwenda na Awesu are the same ila Kwa Sababu ni Upande Simba Naona Siku Umeanza Kuikanyagia, Huyo Jamaa White Ameelewa Situation
utatutambua ligi ikianza fridge bovu
mm huku nimemuelewa huyu jamaa..ila yeye yupo chin yake hajamuelewa..
Uyu mzee wa friji bovu saa nyingine zina luka mmeongea vizuli kuusu mwenda apo mbona yeye kavunja mkataba na simba hawaja piga kelele na kashasajiliwa na tim nyingine ndio apo kuna kuna ishu
Unaongea Kwa mihomiko
uko so negative Kwa Simba fridge bovu
Simba wanaenda kisomi zaidi..
Wanasoma mikataba nakujua la kufanya..
Sasa ujanja ujanja niwakufuata mkataba wa mchezaji unasemaje au utaratibu ni kwenda mezani na mambo ya kiswahili?
Kuna namna Huyu Jamaa aliitwa Upande Flani Mpaka Lawi ambaye Clip za Nyuma ulitueleza Vizuri Lkn Leo Umebadilika duu Pesa Shikamoo It can change Direction. Jamaa anakuelezea Vizuri Lkn Umetutoa Kwenye Leli, Kiukwel nilikua Nasubiri Video zako Lkn Mmmmmmmh
Very unprofessional!
Unatokaje Kati ya discussion ki holela hivyo? Friji bovu umezengua
FRIJI BOVU Wapi huelewi? Simba hawajaongea na mchezaji akiwa na mkataba. AWESU alivunja mkataba akawa mchezaji huru, ndio akaenda Simba. MBONA HUELEWI brother😂