Nitende mema nitavuna mema, hayo mema nitayapata si kwa yule mtu niliyemtendea, hapana, ila Ni kwa namna nyingine kabisa,,,, nimeelewa Sana na limeniweka sawa,,, Mungu akubariki mwalimu.
Nuru yenu na iangaze... Kwa maana rahisi Ni kwamba "kule kumfanania Yesu Kristo kukiwa dhahiri katika maisha ya mtu, hiyo ndiyo Nuru". Yaani mfumo mzima wa maisha ya mwamini unatakiwa umdhihirishe YESU... Katika mwenendo, usemi, tabia, matendo na vingine vingi. Ukihusisha mstari huo wa Mathayo 5:16 na Hilo somo la 'Apandacho mtu' pamoja na mistari mingine iliyosomwa hapo, utagundua kuwa sualaa la ukarimu au kutoa vitu kwa watu Ni moja ya matendo ya mtu anayemjua Yesu; na Mara zote mtu akifanya Jambo Hilo, anakuwa anamdhihirisha YESU/anafanya tendo ambalo kwalo Mungu anatukuzwa. Ubarikiwe Sana.🤝
Amen🙏🙏
🙏 amen
Nitende mema nitavuna mema, hayo mema nitayapata si kwa yule mtu niliyemtendea, hapana, ila Ni kwa namna nyingine kabisa,,,, nimeelewa Sana na limeniweka sawa,,, Mungu akubariki mwalimu.
A very perfect brief 🤝 ubarikiwe Sana
Big up
Hakika
Mathay 5:16 mtumish naomb hapo! cjaelewa vizur kuhusu hio nuru ni nuru ipi anayoisema hapo
Nuru yenu na iangaze... Kwa maana rahisi Ni kwamba "kule kumfanania Yesu Kristo kukiwa dhahiri katika maisha ya mtu, hiyo ndiyo Nuru". Yaani mfumo mzima wa maisha ya mwamini unatakiwa umdhihirishe YESU... Katika mwenendo, usemi, tabia, matendo na vingine vingi.
Ukihusisha mstari huo wa Mathayo 5:16 na Hilo somo la 'Apandacho mtu' pamoja na mistari mingine iliyosomwa hapo, utagundua kuwa sualaa la ukarimu au kutoa vitu kwa watu Ni moja ya matendo ya mtu anayemjua Yesu; na Mara zote mtu akifanya Jambo Hilo, anakuwa anamdhihirisha YESU/anafanya tendo ambalo kwalo Mungu anatukuzwa.
Ubarikiwe Sana.🤝
@@hosianaibrahimu9243 ok vizur naomb usome mathy 6:23 na 10: 27 afu unambie vizur hapo
@@harunialfred5319 Rudi pale kwenye andiko la MATHAYO 5, kisha anza mstari wa 13 hadi 16 upate picha ya anamaanisha nini asemapo nuru yenu iangaze
@@p.eliamhenga ok sawa mstar wa16 hapo nimeuelewa vizur asantee🙏
Uhakika, mungu akubariki mtumishi wa mungu.