JESHI LA POLISI LIMEMUHOJI AFANDE FATMA KIGONDO KUSIKA KUWATUMA VIJANA KUBAKA NA KUMLAWITI BINTI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 сен 2024

Комментарии • 10

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 19 дней назад +7

    Kweli mwana wa mwenzio kumfanyia hivyo. Ungemtafuta kama mwanao umuonye. Mwanaume muhuni hawezi acha tabia yake ya kutaka vibinti vidogo. Maana wewe ushakua mtu mzima

    • @cathe-wr7gb
      @cathe-wr7gb 19 дней назад +2

      Kwa kweli na mabinti wadogo wanabeba mizigo mikubwa kuliko uwezo wao watafika wamechoka

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 17 дней назад

      Mtu mzima ovyooo

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 19 дней назад +3

    Kumbe hata polis wanagomea mahakama a.mbona wanasemaga kueshim sheria au wao hawamo.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 19 дней назад +1

    Wasiojulikana mko wapi huyu afande amefanya kitu mbaya sana hebu mwangalieni angalieni je?inafaa apelekwe katavi au

  • @HOSEAHALLAN-tt3gx
    @HOSEAHALLAN-tt3gx 18 дней назад

    Tunaitaji katiba jama ujiga umezidi polisi awafai vigogo selakalini wanatumia vibaya sasa tumeyoka sanatu

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 19 дней назад +1

    Shimo hilo.walichimba sijui.md gan jaman duh.kiukweli watu sio poa

    • @MwashumuNassoro
      @MwashumuNassoro 18 дней назад

      Sio kweli acha kumtetea huyo afande kafanya vibaya au nduguyo

    • @JofreyMsigwa-ok7hv
      @JofreyMsigwa-ok7hv 16 дней назад

      Hapana hyo amezungumzia Yale mauwaji ya kuzikwa wakiwa hai ​@@MwashumuNassoro

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 19 дней назад

    Mueken ndan mnatuambia ivyo iri turidhike