Yaani mume kaua mke kachukua pesa yake halafu ndugu wa mume wanawahi kuchukua vyombo halafu watoto wabakie bila kitu chochote yaani bongo ubinamu umekwisha yaani mtu kaua kwa laki sita tu na watoto wamebaki yatima nawaonea huruma hao watoto maana wataanza maisha mapya bila wazazi
Biiiiiig up mwenyekiti.hao ndg wana tamaa ya mali tu. Hata hawaoni uchungu na uhai wa mtu aliyepotea kikatili. Tena na wao mngewakamata wawekwe ndani. Nimeipenda sana mama aliyekuwa anawatetea watoto. Hii dunia kweli inahitaji maombi.
😭😭😭kila ck Joyce kiria anayasema jmn kwenye mahusiano ukiona unapigwa ujue hpo sipo kuna baadhi ya watu wanampiga hy sasa mauwaji kila kukicha mume kuuwa mke mke kuuwa mume 😭😭😭mungu atufanyie wepesi inshallah
Poleni sana. Mheshimiwa waziri anayeshughulikia matatizo ya wanawake na jamii ,nakuomba utafute ufumbuzi wa tatizo la mauaji ya wanawake kila siku nchini Tanzania.
Yaani nikiskia hizi habari zawanaume kuuwa wakezao hapa bongo nachoka kwanini mutudhulumu sisi wanawake ambao sisi pia ndio mamawawatotowenu 😭😭😭naumia kilakukicha lkn kaa ukijua mbiza sakafuni uishia ukingoni labda wende marekani lkn hapa bongo utapatikanatu tena wanafaa wapewe kifungo chakazi ngumu maisha jela maanakunyongwa itakuwa ajapitia maumivu mamamzazi wamke anapitia
Jamn na cc wanawake hebu tujiongezage jaman yaan unapigwaa maalama,upo tuu ona Sasa unakufa unaacha watoto wako,Kama angejiongeza mapema mwanamke mwenzetu si ajabu yasingemkuta hayaa,ewe mwanamke ukiona jitu halisomeki sepaaa mapemaaaaa
Maandiko Matakatifu yanasema siku za Mwisho mtu ataomba akutane na Simba lakini sio Binadamu, maana watakuwa wabaya zaidi kuliko wanyama. Ndicho tunachoshudia leo. Taifa liingie kwenye Toba, Mungu atuondolee laana hii inayoendelea. Mungu atusamehe.
Wanwake tunakutana na mengi sana na mbaya baazi ya jamiii azituamini wanaamini wanawake waongea sana awana eshima bila kujua mungu atusiaide wanawake sana jamani tunapitia mengi sana mungu wangu mungu atusaidie sana jamani uwiiii
Hao ndugu wa mume waliokuwa wanaamisha vyombo nao wangekamatwa watoe ushirikiano itakuwa ndugu yao alipo wanapajua na ndio maana kuwatuma waamishe vyombo
Asante wasafi kwa habari hii ingekua Wana pesa au wanajulikana zingekua zimesambaa lkn maskini huoni poleni watoto wa marehem Allah ndio tegemeo lenu si ndugu 😭😭😭
Wanaume tafuteni pesa acheni kugombania pesa za wanawake kwasababu mama alikuwa anafanya biashara baba inamaana alikuwa anamtegemea mama kwanza wamtafute nayeye auwawe .bora watoto wabaki yatima Mungu atawasaidia
Ndugu wanafikria mali tu badala ya kufikria watoto ambao hawajui hatima yao Mungu wape nguvu ktk kipindi hichi kijana komaa na mdogo wako usiruhusu ndugu wamchukue kama una mashaka nao
Watu wazima akili ndogo Kama ya mtoto 😓😢,watoto wameathirika vibaya sana ,wanahitaji watu kuwaliwaza,sio kuanza huo UPUZI WA kuhamisha vyombo🤔😓😢, Doo,wanadamu kweli hamna roho za huruma,WATANZANIA mlio mahali hapo pa mkasa,mmenishangaza SANA,kwa roho zisizo na huruma,kwa akili zisizofikiria, wallahi MWENYEZI MUNGU hajafurahishwa na mnayoyafanya,maamuzi yenu yamenisikitisha sana😢😢😢(WATCHING FROM KENYA)
Ambona tangu magufuli atangulie mauwaji mengi sana raisi na vyombo salama inabidi wawe makini sana nchi inachafuka msifurahie mabarabara na mijengo mkajuwa ndio maendeleo
Jamani watoto wasaidiwe na ustawi wa jamii kwa sababu naona hali siyo nzuri ndugu mara hii wanataka vyombo hata uchungu kwa watoto hakuna hii ni hatar sana kwa kweli
daaah😭😭😭😭poleni wanangu hili liuwaji lilishindwa kutafuta hela zake kwa jasho lake ona sasa umeuwa mkeo umekimbia utaishi maisha mabaya sana bora na ww ujinyonge mkono wa sheria utakupata tu mshenzi mkubwa unaroho ngumu ww muuwaji poleni
Daaaa tuache kuchukua maamuzi mikonone Hali hii nimbaya Sana kwa wanawake ulishindwa a na mkeo ondoka kaanzishe Maisha sehemu nyingine huo ndio ushauri wangu
Hao ndugu wa mume hawana hata haya lo!! Hawana uchungu kabisa na watoto utazani wanafurahia ndugu yao kutoa roho ya mama wa watu! Mijitu sijui ikoje sikuizi daah
Sasa tuseme nn eeeh mana yamezid inafika kipind huruma zinatuishia na tunapoelekea haya mauaji tutaona jambo la kawaida sana,, viongozi husika fanyeni kazi kulingana na muongo wa kaz unavyosema na cyo mpaka muambiwe na kiongozi mkuu wa nchi. Mungu akurehemu 🙏🙏🙏
Naliomba jeshi la polisi Tanzania liangalie hii hali iliopo Kwa ss mauaji ya mezid na piah Bunge liongelee haya mambo bungen sio mnaongelea kuhusu kosata tu
Ndugu wa mwanaume kiboko ata mtu ajazikwa na taratibu lkni ndugu wa mwanaume wamewai vitu kuliko mwenye mari kwanza kumstiri jamani tuwe na huruma tunasamini mali kuliko utu ata sibu awaoni ata majonzi kiboko
Mwenyekiti hongera sana.washindwe hao ndugu na walegee kwa jina la Yesu.mnakimbilia mali ni yenu?
Mama ulokuwa unatetea hao watoto,Mungu akuweke sana,una busara,Embu Mungu akakupe kacheo cha utetezi.
Kbsaa amejitahid kuzingumza Kwa hekima mnoooo
Yaani mume kaua mke kachukua pesa yake halafu ndugu wa mume wanawahi kuchukua vyombo halafu watoto wabakie bila kitu chochote yaani bongo ubinamu umekwisha yaani mtu kaua kwa laki sita tu na watoto wamebaki yatima nawaonea huruma hao watoto maana wataanza maisha mapya bila wazazi
Pole sana mdogo wangu baraka wazazi wasio jielewa ni tatizo kubwa
Kbsaaa yanii wanaleta uchungu kwa watoto sijui itakuwaje jmn 💔
Asante mwk wa mtaa hao ndugu mazuzu sana bila kuwaza msiba wanawaza vitu wanataka hao watoto wataishije
Mmmh jamani wanaume tuwaogope haki
Biiiiiig up mwenyekiti.hao ndg wana tamaa ya mali tu. Hata hawaoni uchungu na uhai wa mtu aliyepotea kikatili. Tena na wao mngewakamata wawekwe ndani. Nimeipenda sana mama aliyekuwa anawatetea watoto. Hii dunia kweli inahitaji maombi.
Tena ni wapuuz kweli kweli
Hii hali inayo endlea kwa sasa siyo ya kawaida shetani amesha mwaga miroho michafu watu wanauana ovyo tuombe sana🙏
Hawa akina juma Abdala na Saidi mmmh
@@maryjonh311 Hata kina John na Frank nao hawajapoa.Ni kumuomba MUNGU tu.
@@aishahazary4097 umeonaee akunamajina ni kuuwanatu
AMIIIN
AMIIIN
😭😭😭kila ck Joyce kiria anayasema jmn kwenye mahusiano ukiona unapigwa ujue hpo sipo kuna baadhi ya watu wanampiga hy sasa mauwaji kila kukicha mume kuuwa mke mke kuuwa mume 😭😭😭mungu atufanyie wepesi inshallah
Nikiwa mdogo,nilisema " sitapigwa mara tatu" ni mara mbili naondoka
@@mamachris6811 🤝🤝
@@mamachris6811 🤝🤝🤝
Bunge linacha kuongelea mambo kama haya ya kikatili wanamaliza ya kupiga sarakasi bungeni na kuimba nyimbo ya mama amina
Kweli. Ni uozo toka juu mpaka chini. Serikali hovyo sana hii
😔😔😔😔
Yaani naona Serekali ndo inasababisha haya matukio kwanini wasichukue uwamuzi wa nae uwa auwawe
Huyo sio mwanaume ila khanithi barazuli mjinga mshenzi hajitambui yaani mwanamme mzima anamuua mke wake kwa pesa tena pesa katafuta mke!!!
Hujazikwa watu washakuja kubeba kila kitu chako😭😭
Poleni sana.
Mheshimiwa waziri anayeshughulikia matatizo ya wanawake na jamii ,nakuomba utafute ufumbuzi wa tatizo la mauaji ya wanawake kila siku nchini Tanzania.
Mwenyekiti Yuko sahihi kwanini wanawahi kuchukua mizigo
Ewe mwenyezi ilaze roho ya malehemu amina
Mama asante sana unaongea ukweli wengine wanaona mteremko
ndugu wa mme wanataka vyombo 🙄🙄🙄🙄
Dua zinaitajika kwa sana Tanzania yetu viongozi wa dini wakae wapitishe dua Maana hali inatisha
]
DDC Mlimani park, mnanionyesha njia yakwetu
Jmn mauwaji ni meng sana ckuhz
Sana m mmoja naogopa ata kuolewa au kuwa na mausiano kwa ss ngj nisubili kdg
Yaani nikiskia hizi habari zawanaume kuuwa wakezao hapa bongo nachoka kwanini mutudhulumu sisi wanawake ambao sisi pia ndio mamawawatotowenu 😭😭😭naumia kilakukicha lkn kaa ukijua mbiza sakafuni uishia ukingoni labda wende marekani lkn hapa bongo utapatikanatu tena wanafaa wapewe kifungo chakazi ngumu maisha jela maanakunyongwa itakuwa ajapitia maumivu mamamzazi wamke anapitia
Inalillahi wainailahi rajuun poleni watoto Allah atawakuza lnshaallah 😭😭inauma lakini hakuna jinsi.
Inalillah wainnaillah rajion maskini watt watateseka baba atafungwa maisha mama yao hayupo Tena duniani
Mtakuja kuelewa tu kuwa nchi hii saizi iko chini ya shetani! Ila kwa vile hatuna macho ya kiroho tuendelee! Viongozi waliopo hawana baraka za Mungu!
P1 sana
Mngenyonga wachache wa mfano na watu wakaona, basi hayo manunda yangejifikiria kabla ya kuua binaadamu mwenzao.
Polenì sana 😭
Tumuombe sana mungu shetani yupo kazini
Mwenyekiti hngera sana
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu
Poleni sanà
Poleni sanà
Pesa yake imemtoa uhai, Hilo janaume si lingeenda kuuza vidole vyake apate pesa, poleni watoto na ndugu za marehemu.
😭😭😭😭
Wez hao waupande wa mwanaume
Wanaume jamani.yaan wake tutafte ela mzitake.tukae tu eti tunajza choo.sa tuwafanyeje nyie viumbe
Umeonaaa wenzie wanauzaa hata vodoree wapate pesaa Sasa yeye anamuua mkeee kisaa raki sitaaa mjinga kabisaaa huyoooo
Mungu abariki hawa wamama ..hizo vitu singeenda hivo..Mungu uwalinde watoto wa marehemu🙏
Jamn na cc wanawake hebu tujiongezage jaman yaan unapigwaa maalama,upo tuu ona Sasa unakufa unaacha watoto wako,Kama angejiongeza mapema mwanamke mwenzetu si ajabu yasingemkuta hayaa,ewe mwanamke ukiona jitu halisomeki sepaaa mapemaaaaa
Mwenyekiti yupo sawa
Mwenyeki safi sana 👍
Inalilah waina Lilah la juun mungu amlaze Mahalia pena Pepon Amin
Maandiko Matakatifu yanasema siku za Mwisho mtu ataomba akutane na Simba lakini sio Binadamu, maana watakuwa wabaya zaidi kuliko wanyama. Ndicho tunachoshudia leo. Taifa liingie kwenye Toba, Mungu atuondolee laana hii inayoendelea. Mungu atusamehe.
Jmn dunia imeisha
AMIIIN
😭😭😭😭😭Ee Mungu tuonekanie taifa la Tanzania Baba
Hongera mwenyekiti kwa kuwasaidia hao watoto wapate haki Yao vikienda kwa hao ndugu wenye tamaa watoto hawatapata
Daaa poren sanaa watoto kuondokewa na mamaaa
Wanwake tunakutana na mengi sana na mbaya baazi ya jamiii azituamini wanaamini wanawake waongea sana awana eshima bila kujua mungu atusiaide wanawake sana jamani tunapitia mengi sana mungu wangu mungu atusaidie sana jamani uwiiii
Kaka zangu mlio oa kwani mnaferi wapi kuua wake zenu bila huruma inaniumiza mno hasa nikifikilia awo watoto 😭😭
Ndugu wa mume wanajua nini kuhusu mauaji hayo mbona wanawahiya vyombo vya marehemu? Waisaidie polisi kupatikana muuwaji ambae ni ndugu yao sivinginevo
poleni sana yaani watoto wapelekwe upande wa mama yake marehemu
Hao ndugu wa mume waliokuwa wanaamisha vyombo nao wangekamatwa watoe ushirikiano itakuwa ndugu yao alipo wanapajua na ndio maana kuwatuma waamishe vyombo
Loooh
Pesa zake zimemua😭😭😭mume Mario huyo atafutwe afungwe
Mtoto nae anaonekana mkavuu sijui ndio hana uchungu
Asante wasafi kwa habari hii ingekua Wana pesa au wanajulikana zingekua zimesambaa lkn maskini huoni poleni watoto wa marehem Allah ndio tegemeo lenu si ndugu 😭😭😭
Mwenyekiti uko vizuri ao wanataka kumficha ndugu yao
Innahlillahy wainnah elehy rajiuun Sasa wanaume umezaa n mke watt wakubwa Tena wamuuwa mkeo ... SubhanaAllah. Waume mbona mwakosa ihsan
Wanaume tufanye kazi, tusipende kitonga.. wanaume wengi siku hz wanahudumiwa badala ya kuhudumia familia.
Kumbe munalijua ilo ndio maana muna2uwa
@@gulfomanbb2119 pesa na mali zote za mwanaume...piga kazi,lete hesabu yote mezani, matumizi napanga mimi,pamoja na kuhudumia mchepuko
@@josephlorri431 subu2
@@gulfomanbb2119 hahaa huogopi gunia la moto
Dah hao watoto Ndio wanapelekwa kıjijini maisha Yao yameshabadilika tena kisa pombe
Nimeumia sana 600000 inaoia roho ya mama ambaye watoto wake bado wanamuhitaji kwa malezi eee Mungu tusaidie sijui tunakwenda wapi
Mwenyekiti safi sana
Naogopa kuolewa sasa mie jamani 😭😭😭😭 maana hii hali imekuwa tete mh mwenyezi mungu tusaidie sis waja wako🤲🤲
Muombe Mungu atakupa Mume mwema
@@mamachris6811 Amiin 🙏
Endelea kuomba mamy kwa maana mie nilipata mlokole haswa lakini nilikua mapigwa mpk nachanganyikiwa
Safi kabisa mwenyekiti
Wanaume tafuteni pesa acheni kugombania pesa za wanawake kwasababu mama alikuwa anafanya biashara baba inamaana alikuwa anamtegemea mama kwanza wamtafute nayeye auwawe .bora watoto wabaki yatima Mungu atawasaidia
Ndugu wanafikria mali tu badala ya kufikria watoto ambao hawajui hatima yao Mungu wape nguvu ktk kipindi hichi kijana komaa na mdogo wako usiruhusu ndugu wamchukue kama una mashaka nao
Poleni sana watoto wa marehemu Mungu akawakumbuke wanangu
Pole xana na mungu awaxaidie
Mmm hatar kila kikicha mauaji
Duuh hawa wanaume imekuwa too much sasa!! Shuwain wahed
Wahed hv inamaana gan😀
@@obeydmwemezi3663 wahed ni mmoja😂😂
Yan tunaishi nao Kwa hofu kubwa
Mbona wanaume tunakuwa makatili namna hii , ehee mungu atuepushie haya maahsira sisi wanaume
Sana Mungu awasaidie
Watu wazima akili ndogo Kama ya mtoto 😓😢,watoto wameathirika vibaya sana ,wanahitaji watu kuwaliwaza,sio kuanza huo UPUZI WA kuhamisha vyombo🤔😓😢, Doo,wanadamu kweli hamna roho za huruma,WATANZANIA mlio mahali hapo pa mkasa,mmenishangaza SANA,kwa roho zisizo na huruma,kwa akili zisizofikiria, wallahi MWENYEZI MUNGU hajafurahishwa na mnayoyafanya,maamuzi yenu yamenisikitisha sana😢😢😢(WATCHING FROM KENYA)
Mmmmh jmn mbona wametoa vituu fasta jmn
Nikweliii wasivipeleke nihaki ya watoto
Watu Wana roho ngumu khaa,mtu hata hajazikwa wameanza kuhamisha vitu? Mmhh
Ambona tangu magufuli atangulie mauwaji mengi sana raisi na vyombo salama inabidi wawe makini sana nchi inachafuka msifurahie mabarabara na mijengo mkajuwa ndio maendeleo
Innalillah wainnalillah lajiun aseee wanawake cc tujtahd kujua mabaya namazur ukiona mwanaume ulonae n cmba mkali jmn tuwe tunajham kukmbia mapema kulko kujfanya tunamioyo yakuvmlia mateso tuvmilie shda zamaisha c vpgo manyanyaso
Hiyo Familia ya Mme wanaroho mbaya Sana,,,yaani waue alafu wachukue vitu
Jamani watoto wasaidiwe na ustawi wa jamii kwa sababu naona hali siyo nzuri ndugu mara hii wanataka vyombo hata uchungu kwa watoto hakuna hii ni hatar sana kwa kweli
Mungu atusaidie sana laki sita inaua mtu!
daaah😭😭😭😭poleni wanangu hili liuwaji lilishindwa kutafuta hela zake kwa jasho lake ona sasa umeuwa mkeo umekimbia utaishi maisha mabaya sana bora na ww ujinyonge mkono wa sheria utakupata tu mshenzi mkubwa unaroho ngumu ww muuwaji poleni
Pesa yenyewe laki 6 mtihani kwakweli
Uko sahihi mama na wewe kaka uko sahihi viandikwe..my poleni sana wafiwa..innalillah wainna ilaih rajiun
I still don't understand why women entertain their abusive relationships
Daaaa tuache kuchukua maamuzi mikonone Hali hii nimbaya Sana kwa wanawake ulishindwa a na mkeo ondoka kaanzishe Maisha sehemu nyingine huo ndio ushauri wangu
Watanzania wenzangu huyu akikamatwa ahukumiwe kwa kunyongwa live hii mbona imekuwa Kama mazoea.
Wengne wanaukumiwa vp
@@samwelimoshi5614 anyongwe live
Hao washenzi wanaoanza kuonyesha tamaa za mali inakuwaje?
Hivi wanaume nyinyi mnajielewa kweli wakati mnaua wake zenu huwa mnafikiria watakaoteseka ni watoto kwa sababu huyo kashakufa
Na hiyofamilia ni waroho wa Mali wanajuaje kama Mali za ndugu yao
Alikuwa anafanya kazi gani
Mhm😭😭😭
Mbona watanzania mwauwana ivo astaghafiruuu hivi samia yuko wp jmani ama muute mashekhe mfanye baraza la kiislam 🤔🤔🤔
😅😅Tumechoka sasa
Kipind nimeolewa nilipingwa kofi moja nilitoka adi leo ni miaka 8 niliona nisije kuumia
Mwanamke mwenzangu ukiisha ona mmepishana kauli halafu tabia ya mumeo unaijua anza kuondoka
Eeh Mungu
Wakinamama oyeeee ,,,,majirani oyeeeee
Duh ninja imeisha poleni sana
Hawa ndugu wa mume hawana hata haya. Rohooo
Ninaomba mawasiliyano ya hao
Watoto ili niweze kutoa pole
Nichangie kidogo Poleni sana
Watoto
Wabunge wako wapi
Sheria ya kunyongwa itekelezwe. Acheni kufumba macho tutaisha.
Mwenyekiti apewe ulinzi
Wanaume wanaume Mungu anawaona. Mtapata laana kwakutowa roho za watoto wawatu.
Kwanza hivyo vitu siajabu kanunua mwanamke alafu ndugu wa mme wanakuja kujibebea tu bac waseme ndugu yao alipo kwa sasa
Hao ndugu wa mwanamme ivo vitu vyao kwani
Da mtihani jamani
Inalilah. 😭mtangazaji sauti kma ya zamaradi mketema❤
Hao ndugu wa mume hawana hata haya lo!! Hawana uchungu kabisa na watoto utazani wanafurahia ndugu yao kutoa roho ya mama wa watu! Mijitu sijui ikoje sikuizi daah
Kama ndugu yao Wana roho za tamaa hao
Sasa tuseme nn eeeh mana yamezid inafika kipind huruma zinatuishia na tunapoelekea haya mauaji tutaona jambo la kawaida sana,, viongozi husika fanyeni kazi kulingana na muongo wa kaz unavyosema na cyo mpaka muambiwe na kiongozi mkuu wa nchi. Mungu akurehemu 🙏🙏🙏
Hizi ndio zama za mwisho🙌
Joyce kiria kila siku anasema
Naliomba jeshi la polisi Tanzania liangalie hii hali iliopo Kwa ss mauaji ya mezid na piah Bunge liongelee haya mambo bungen sio mnaongelea kuhusu kosata tu
laki sita unatoa uhai wa mtu😢😢😢
Sasa Kwanini hamjawapigia simu polisi
Ndugu wa mwanaume kiboko ata mtu ajazikwa na taratibu lkni ndugu wa mwanaume wamewai vitu kuliko mwenye mari kwanza kumstiri jamani tuwe na huruma tunasamini mali kuliko utu ata sibu awaoni ata majonzi kiboko
Hyo family ni shida wana tamaa ya vitu sana ndio mana walimrith marehemu ili kudhibit mali asa wangekua matajiri sijui ingekuaje daah dunia hii
Daa
Watanganyika, hatar kwa pesa, sioi bongo noma laki sita ameua mkewe noma