Nashkuru vile Anita aliponyoka kwa Rosemary na yule mlinzi wake Nashkuru pia vile alimpata Matayo na Peni natumai simu, laptop na gari zile alitumia za yule mlinzi wa kutesa wa Rosemary hazina vitu vya kuwafuata kina Anita na wenzake, shukran kwenu nyote Mwandishi, msimuliaji D'Oen na Simulizi Mix yote kwa ujumla shukran sana kwa kutufikishia hii Simulizi ya kusisimua na zingine nyingi
Ili hiwe tamu sasa inabidi mathayo amuue peniela halafu uraisi achukue mwamba mwenyewe judge Eribariki na waziri mkuu rose Mary mkozuma picha liendelee
Sijaona bado unyama wa Dr Joshua ndio maana nataka tuone kwa judge eribarick , mpaka sasa simulizi ya Mlango wa nyuma wa yule dogo alieenda mpaka congo iinabaki kuwa namba moja
Na ile yakina mathayo na papii gosi gosi inabaki namba mbili ile yakina gosi gosi mpaka wanakimbia nchi na mathayo anakubari kufungwa baada ya kuua watu kanisani
Anna binti wa Rai's aliuliza who is the next jibu tunalipata kwa hii sehemu ya 7 doctor Joshua tunampeleka ahera mwamba amesema 😄😄😄😄so be attention tuki feli na hii process we're coming for you
Shukran Musmuliji ongera kutupa brdan biragusahau mutunzi Patrc nakukubarikabisa we nimujuzi wadau tunapata mupambanaji mwengine kwahiyo Erbarik
😭😭😭😭😭😭
Ila matayo kweli jasiri karim Anatoka kula mzigo ww unaenda kumuangalia peni kama yupo salama
Team mathayo hoyeeee
Hoyeeeee na Anita ❤❤❤❤ + Peniela
Hongera shujaa wetu Anita kurudi kwa mtaalam Matayo
Waoooooooo Anita mutafute Matayo naona Erbarik anaripa usarti wake mufurahie Peniela uuuuuiiiiiiiiiii📢📢📢📢📢📢📢📢
Nashkuru vile Anita aliponyoka kwa Rosemary na yule mlinzi wake Nashkuru pia vile alimpata Matayo na Peni natumai simu, laptop na gari zile alitumia za yule mlinzi wa kutesa wa Rosemary hazina vitu vya kuwafuata kina Anita na wenzake, shukran kwenu nyote Mwandishi, msimuliaji D'Oen na Simulizi Mix yote kwa ujumla shukran sana kwa kutufikishia hii Simulizi ya kusisimua na zingine nyingi
Anita pole sana kwa maswahibu yalokukuta lkn kwa yote kazi lazima iendelee team matayo hatuyumbishwi na mtu wala kiti
Thx God, hatimae Anita amekutana na Matayo.
Elbaliki ananikela San yani msalit mkubwa uyo
Sasa nimepoa nilikua sinaamani ata kwaajili ya Anita alihamdullh mungu walinde awa jeshi la mtu 3.❤❤🫂
Watu hawalali jamani khaa ila sio mbaya shukran sana simulizi mix my favorite director oen
Woow ! Twende kz thanks Smix kwa muendelezo 🙏🏻
Nimewahi afadhali😂 asante d kwa mwendelezo🔥
Hatimae matayo amekutana na Anita👏👏
D oen siku mmoj two sikuskia sauti yko hp bas nimekuw mgonjwa dah hongera we baba Ubarikiwe Allah akulinde ww na fimiliya yko
🤣🤣🤣🤣🤣😂🤸♀️🤸♀️🤸♀️ yaan wagonjwa wa sauty ya d tuko wengi kumbe
@@zaytoona2215 😂😂😂😂yn huyu ni kipenz cha watu hd rha
Uwiii wagonjwa tupo wengi, jamani OEN amebarikiwa Sauti Hadi Raha,nilimfaidi Sana IMPINDISILO
@@peninamwailunda8813 mh
Namb 1 leo asante simulizi mix🥰🥰🥰🥰
Peniela atupe siri😝
Mwamba mwenyewe Judge Elibariki namkubali sana kajiongeza mapema sana
Nimechelewa ila si mbaya nimefika peniel wangu Mathayo na ruby pole sana
Peniela ni balaa jamani
Shukran sna simulizi mix 🙏 yaaan hii PENIELA ni nzuri wallah nahic itaisha na utamu wake🔥🔥🔥🔥🔥
Ili hiwe tamu sasa inabidi mathayo amuue peniela halafu uraisi achukue mwamba mwenyewe judge Eribariki na waziri mkuu rose Mary mkozuma picha liendelee
@@babukundya8450 🤣🤣🤣🤣🙌umetisha ndugu
Sijaona bado unyama wa Dr Joshua ndio maana nataka tuone kwa judge eribarick , mpaka sasa simulizi ya Mlango wa nyuma wa yule dogo alieenda mpaka congo iinabaki kuwa namba moja
Na ile yakina mathayo na papii gosi gosi inabaki namba mbili ile yakina gosi gosi mpaka wanakimbia nchi na mathayo anakubari kufungwa baada ya kuua watu kanisani
@@babukundya8450 Kuna chuma kinaitwa kiapo Cha damu
Ahsante saana
Asante ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ 🎉🎉🎉🎉
Asante simulizi mix
Penieee good lady with bad attitude 🤭🤭keep it up D
Good job Anita ❤
Dah Leo nilibanwa na mambo ya uinjilist, ndio napata nafasi shz, hakuna chezea Sabato!!!!
Good job guys
Allhamdulilahi this 🫂🫂 goes to my favourite Annitah💞💞💞
Asante sana
Thnx d
DR 'OEN KUNA ZILE HATUKUZIKIZA MBA KA MWISHO
🔥🔥🔥🔥
Simliz mix ongera sana kwa ujumla wa simliz
Anna utashangaa bd maana ata hapo ulipo peniela yuko ndani anajilia vyake na mlinzi wa Rai's 🤣🤣🤣🤣🤣hizo again zako zitakuwa mingi hadi uchokeeee
Anna binti wa Rai's aliuliza who is the next jibu tunalipata kwa hii sehemu ya 7 doctor Joshua tunampeleka ahera mwamba amesema 😄😄😄😄so be attention tuki feli na hii process we're coming for you
Shukran saanaa😍😘
Thanks
Mashaallah ❤❤
Asate sana simlizi mix d oen
Mabinty 6 mulituacha stage...tukiwangoja...hadi leo hatujui walipanda ..gari gani😅
Stories za huyu mtunzi zichunge zote haziishagi😛
@@banajuliana758 ukizikosa humu zinakuw zipo smixapp
@@ayubusalehehussenimrutu-ek2mh kwa nini sasa watupe nusu naingine waweke?
@@banajuliana758 kule zinauzwa
@@ayubusalehehussenimrutu-ek2mh
Same na hapa kadiri tunangalia wanaongeza pesa
❤️❤️❤️👌
Wala kitu
Watu wanawai jamani
🔥🔥
💏
✌❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
Matayo Matayo Matayo 😂😂 he want to kill the president 😂
🔥🔥