WOTE WAKAMATWA MDOMO WAWAPONZA ,LISSU,MNYIKA,SUGU, WAKAMATWA BAADA YA KUTAKA KUCHOCHEA VURUGU MBEYE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • WOTE WAKAMATWA MDOMO WAWAPONZA ,LISSU,MNYIKA,SUGU, WAKAMATWA BAADA YA KUTAKA KUCHOCHEA VURUGU MBEYE

Комментарии • 14

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 29 дней назад +1

    Tanzania mnaonewa sana nnjooni kenya tuwafunze

    • @femidayahaya9293
      @femidayahaya9293 29 дней назад

      nyamaza kimya....ucongee yacyofaa ni waz kabisa unahamacsha uvunjifu wa aman

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Месяц назад

    Mtumishi tunaomba muo organise maombi ya kitaifa! Tunamuitaji sana MUNGU kwa kweli.

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 29 дней назад

    Tatizo la watu wetu ni uelewa mdogo. Mnawapa wenzenu TAABU. Bila sababu za msingi. 3:35

  • @TinaZimba
    @TinaZimba Месяц назад

    Haya sasa naona yale aliyokuwa akisema mtumishi wa mungu mbarikiwa mwakipesile sasa wakati umefika yanaanza kutokea

  • @LwipaNicholaus-n8e
    @LwipaNicholaus-n8e Месяц назад

    Amna aki tz

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj Месяц назад

    Huyu anaombea NCHI mabaya

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 29 дней назад

    Acha ujinga tapeli muongo wewe

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Месяц назад

    Acha wenge

  • @TinaZimba
    @TinaZimba Месяц назад

    Naona kumeanza kupambazuka

  • @user-nr2ud1dm3y
    @user-nr2ud1dm3y 29 дней назад

    Tatizo la Wanachadema ni Chuki, Matukano na Matusi bila kujiheshim na kutumia hekima. Ndiyo kinachowatesa. Wafanye Mikutano; Wawaelimishe watu Democracia yao Mlengo wake, Madhumuni yake Faida zitakazo tokea wakipewa madaraka. Wasitukane Viongozi, bali wakosowe kisha waseme wangekuwa wao kwenye madaraka wangefanya nini kwa kile kilichofanywa kinyume na Viongozi walioko madarakani

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 29 дней назад

    Nchi ikichafuka,hata hiyo tai utaiona ni mzigo.Hubiri amani,usishabikie uvunjifu wa amani.

  • @jonathansikamphi8523
    @jonathansikamphi8523 29 дней назад

    Wewe mwenyewe hueleweki, mtu anaposema kama vijana wa Kenya. walivyojitambua ana maana Gani? Wafanye vurugu?

  • @paulsurungu1979
    @paulsurungu1979 29 дней назад

    Achen iman za kijinga nyiny chadema