Tatizo la Wanachadema ni Chuki, Matukano na Matusi bila kujiheshim na kutumia hekima. Ndiyo kinachowatesa. Wafanye Mikutano; Wawaelimishe watu Democracia yao Mlengo wake, Madhumuni yake Faida zitakazo tokea wakipewa madaraka. Wasitukane Viongozi, bali wakosowe kisha waseme wangekuwa wao kwenye madaraka wangefanya nini kwa kile kilichofanywa kinyume na Viongozi walioko madarakani
Tanzania mnaonewa sana nnjooni kenya tuwafunze
nyamaza kimya....ucongee yacyofaa ni waz kabisa unahamacsha uvunjifu wa aman
Mtumishi tunaomba muo organise maombi ya kitaifa! Tunamuitaji sana MUNGU kwa kweli.
Tatizo la watu wetu ni uelewa mdogo. Mnawapa wenzenu TAABU. Bila sababu za msingi. 3:35
Haya sasa naona yale aliyokuwa akisema mtumishi wa mungu mbarikiwa mwakipesile sasa wakati umefika yanaanza kutokea
Amna aki tz
Huyu anaombea NCHI mabaya
Acha ujinga tapeli muongo wewe
Acha wenge
Naona kumeanza kupambazuka
Tatizo la Wanachadema ni Chuki, Matukano na Matusi bila kujiheshim na kutumia hekima. Ndiyo kinachowatesa. Wafanye Mikutano; Wawaelimishe watu Democracia yao Mlengo wake, Madhumuni yake Faida zitakazo tokea wakipewa madaraka. Wasitukane Viongozi, bali wakosowe kisha waseme wangekuwa wao kwenye madaraka wangefanya nini kwa kile kilichofanywa kinyume na Viongozi walioko madarakani
Nchi ikichafuka,hata hiyo tai utaiona ni mzigo.Hubiri amani,usishabikie uvunjifu wa amani.
Wewe mwenyewe hueleweki, mtu anaposema kama vijana wa Kenya. walivyojitambua ana maana Gani? Wafanye vurugu?
Achen iman za kijinga nyiny chadema