Kama anaona Hali ngumu ya maisha,mbona haja jiua yeye,kwann amuue mtoto mdogo ambaye hawez kula ata robo ya unga akamaliza,uyo mama anatakiwa na yeye anyongwe mpka kufa,mshanzi kabisa alafu analia ndo anaona mtoto anaumwa kuliko ugumu wa maisha,sasa ataenda kudanga magereza
Hana ugonjwa wa akili Wala kichwa achen kutetea wajinga wakat yy kasema ugum wa maisha " Hana uchz wwt umalaya tu upo kwenye dam na lenyewe likanyongwe
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Ugum wa maisha anyonge mtt ni bora angemuacha hata kwa jiran mungu wangu subkhan llah
Poleni sana.
Akapimwe akili.
Kama anaona Hali ngumu ya maisha,mbona haja jiua yeye,kwann amuue mtoto mdogo ambaye hawez kula ata robo ya unga akamaliza,uyo mama anatakiwa na yeye anyongwe mpka kufa,mshanzi kabisa alafu analia ndo anaona mtoto anaumwa kuliko ugumu wa maisha,sasa ataenda kudanga magereza
Ee mungu Tuhurumiee Jamanii😢
Daahh angempa hata wema tuu
💔😭
Ana ugonjwa wa AKILI KAMPIMENIII
Xaxa kwann asingemuacha hospital tu masikini
He Dunia sasa naona imefika mwisho
Kryuuu si angempeleka vituo vya kulelea watoto jamani😢😢
Mpelekeni kongo😢
😢😢
Akamatwe
Akamatwe afungwe mshenzi huyo
MAISHA TZ NI RAHISI MNO MAZIWA NA ASALI VYAKULA NI VINGI MPAKA ZINAUZWA NCHI JIRANI
Ugonjwa wa akili
Peuperial psychosis
Hana ugonjwa wa akili Wala kichwa achen kutetea wajinga wakat yy kasema ugum wa maisha " Hana uchz wwt umalaya tu upo kwenye dam na lenyewe likanyongwe
Jamani binadam tumekuwa wakatiri sana! Si angeniletea mimi?