SIRI IMEFICHUKA BINTI ALIESEMA AMELAWITIWA NA MKUU WA MKOA | MATUKIO YAKE NI BALAA ZITO
HTML-код
- Опубликовано: 11 июн 2024
- Kwa niaba ya kamati yetu tumefanikiwa kupata barua alioandika binti anaedaiwa kulawitiwa na Mkuu wa Mkoa jirani na Mkoa wa Mwanza kuondoa shauri la kesi hiyo kwenye ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Mwanza kesi ilipofinguliwa kwani Mkuu huyo wa mkoa alitoka kwenye Mkoa wake jirani na kują kufanyia tukio hilo Mkoani Mwanza ndani ya gari private lenye usajiri T 496 BND Toyota Crown .
Kamati yetu imeshangaa kwanini Mtuhumiwa hajachukuliwa hatua, je ? Tunajuaje huyu binti kama kweli ameandika barua hii kwa hiari yake au kalazimishwa???
Je? Angekuwa ni Raia wa kawaida Angeachwa??
Kwa niaba ya kamati yetu, tunatoa rai na Ombi kwenye Ofisi ya Makamo wa Rais na Ofisi ya Waziri Mkuu kuingilia hili kwani ni aibu kwa kiongozi wa serikali kuhusishwa na vitendo vya kikatili na vyenye taswira mbaya ndani ya Taifa letu.
MWISHO kitendo cha huyu Mkuu wa Mkoa kutokamatwa mpaka muda huu kinaleta picha mbaya kwa WATANZANIA Yaani ni kama ulawiti ukifanywa na Viongozi ni ngumu kuwajibishwa ila ukifanywa na WATANZANIA Asubuh mapema JELA INAWAHUSU👌
Kwa niaba ya Kamati yetu hatutochoka kupigia kelele hili ikibidi tukiona kimya kimezidi Basi tutapost picha na majina kamili ya wahusika.
#mkuuwamkoawasimiyu #ulawiti #simiyu
Kigogo Mungu akubariki sana ilifaa hata kwenye chaguzi za vyama wakupe kazi ili uwafichue vigogo wanaomwambia Mkt Ccm Taifa uongo huku wakimpelekea jina la aliye wahonga pesa kuwa mbunge.Mungu akupe afya. njema
mwanangu.Lkn shetani amemfedhehesha mkuu huyo.Mungu ailinde afya yako.
Siasa za Tanzania ni hatari na hasa ukiwa mchapakazi na unasimamia ukweli utaundiwa mambo nakutangazwa kwenye vyombo vya habari mpaka utashangaa kwa mizengwe hii tunarudisha sana nyuma juhudi za watu wenye nia njema na Taifa hili kwani tunawachafua pasipo sababu
Huyo Binti mungu atamlipa Tena nimnafiki mkubwa kamponza mtoto wamwanamkem mwenziye
Huyu binti huenda kutumiwa amchafue Mkuu wa Mkoa hata kwa kufikiri tu haingii akilini kabisa jamani jamani hii ni dhambi sana kwa kumdharirisha binadamu mwenzio hivi, mhmm!
Kwahy katumwa kafanyiwa kitendo au hakufanyiwa na je CCTV zilizoonyesha sio za kweli nazo au walitengeneza makusudi aende kwenye hilo eneo na kumfanyia hiko kitendo hapo ndy tunataka tujue maana vichwa vyetu havielewi
Kwanini Mkuu wa Mkoa awe na tabia za kimalaya?kama hizo na kwanini aingie kwenye mitego ya kiuni?Kama anashindwa kuwa salama Yeye,Je Mkoa wake utakuwa salaama?
Pia mazingira ya alie tegwa akategeka.
Mkumbukeni adamu aricho fanyiwa na hawa
@@JeremiaMnanka Hawa alikuwa ni mke halali wa ADAMU hakuwa kimada,kwahiyo husilinganishe zinaa za hao na mambo ya Mtume mtukufu ADAMU!Wake zetu wa ndoa wanaweza kututoa kwenye mstari tusipo kuwa makini,tumeelekezwa tuishi nao kwa akili!
Bint mwanga kwa kipi alichonacho. Cha ajabu. Ila atalaamiwa
Yule mkuu wa mkoa alikuwa anapamba na mafisadi huko simiyu,inaonekana binti akitengenezwa kumchafua mkuu wa mkoa!!
Mm pia siwez kuunga mkono kuwa nawanda amefanya Jambo Hilo hiyo ni siasa tu kwa wale wezi wanaopigwa spana na Nawanda
Mheshimiwa hawezi kutembea na takataka kama hii. Ila ni kesi tu wamemtengenezea kumchafua mh mkuu wa mkoa.
Mungu Anajua zaidi
Huyu binti nimuongo. Kayataka mwenyewe kilichomfanya aende kwenye gari mafichoni na akavua nguo zake mwenyewe na kwamba simtoto mdogo ana umri wa miaka ya mtu mzima. Asipoteze muda wa mapolisi wetu kuchunguza umalaya wake.
Nimalaya kiufupi
Kwanza dakika 30 hazitoshi kuweza kumwingilia kinguvu matakoni labda kama yeye alihitaji kuingiliwa matakoni aka akajiaiandaa kabisa Kulahisha kamchezo
Awajibishwe huyu bint liwe fundisho kwa wanaotumiwa kuchafua heshima za watu
Yafaaa kuandikiwa dhambi Sababu ya kuamini na kueneza fitna
Mambo ni machafu. Tumemsahau mungu. Na kujiona basi. Mungu utuhurumie.
Huyu binti ni mrembo kwakweli😋❤️
Kama mbunge wa babati Mwisho wa siku anaendelea na majukumu yake ila fanya ww dunia isimame
Huyo binti ni Malaya kama malaya wengine. ila Mungu anamuona.
Hiyo binti Uvivu wa kuenda shambani
Taifa halina vijana no productivity
Atakuwa anatumika huho binti
Jamani serikali ifanye uchunguz, kama amepangwa basi kwa walipangwa wachukuliwe hatua Kali za kisheria, imeniuma sana, Binti ni michezo yake fanyeni uchunguzi
Mungu wetu ongoza watu wote wanaochunguza jambo hili waweke ukweli hadharani maana limeumiza watu wengi
Jamani wacheni kuteyeA UJINGA NA kumsakama huyu bint siyo hayA mambo yapo nayafanywa na wTu wenye heshimA zao huwezi kuamini kunabaadhi ya wanaume ni wazhenzi msiwO e wMeva suti zao wanatia aibu kwenye familia zAo 0:00
😊
Huyo mwanamke katumika kumchafua huyo mkuu wa mkoa,huyo baba hajafanya kitu Kama hicho yaan wameamua kumchafua tu,Hama kweli Siasa mchezo mchafu
Mm siamini suala hili.
Wapowengi hawa ilatumuombe mhe Rais alione hili na mungu amfanyie wepesi kwahili amuone tena kuwa ni ameonewa !!! Ampe nafasi tena kijana huyu kama nihaya tuyaonayo!!! Huyu apanaa😂
Kalawitiii..mbona katajwa yeye
Huyo binti mwenyew sasa anasuraxkama Tako la nguruwe pori
Huo kama mshiko wa bangi na c sigara😂
😂😂hiyo sigara bint kawekewa mdomon na editor maji yakimwajika hayazoleki
Duh basi huyo jamaa wa mpanda achiliwe
Binafsi moyo wangu umekataa kuamin hiki kitu kama anasingiziwa jaman Mungu atuhurumie.
Tuiachie serekari rakini ikigundiurika mkuu wa mkoa kasingiziwa inahuma Sanaa ilaa mungu atakulipa.
Ikiwa kila mtu atakuwa na hofu ya Mungu upuzi kama huo hautatokea ila kwa sababu shetan yuko kazini akiwatumia wanadamu basi hayo hutokea
Kama ndo michezo yake atakufa vibaya huyo
Dunia ina Mambo mengi
Kamela za cctv zinasema ukweri
Na yeye rock city mall kilimpeleka nn tena usiku akiwa anajitambua yy ni mwanafunzi hadi aingie kwenye gari sio mwanafunzi huyo ni mtafuta wanaume huyo
Hamna kitu hapa, mwana siasa wa ccm hafanywi kitu ni watu wa sayari nyingine. Wiki ijayo hutasikia chochote.
Huyu mwanamke achunguzwe na ikijulikana ana hatia afungwe iwe fundisho kwa wengine.
Uyo demu wakuua kama yule demu ya geita GGm
Hata kama alifanyiwa hicho kitendo ni Kwa ridhaa yake. Iweje kuwa alifanyiwa hivyo hivyo kabla hakuripoti wiki zinapita anafanyiwa tena ndio anaripoti. Huyo Binti ni tapeli ana black mail watu.
Hao wanaodai wamelawitiwa wawe wana kaa jela mpaka kesi iishe kwa Usalama wao.Pià ikijulikana ni uongo wahukusiwe jela za watoto uone kama ujinga ujinga utakua unatokea.
Hamna binti hapo
Akamatwe ahojiwe awataje walomtuma jamani wezi wa pesa za serikali wana mbonu nyingi saana
Serikali ifuatilie kwa makini suala hili,
Nyie watu ndio mnazingua kila mtu akisema amebakwa tu mnakuja juu mbona wanawake wanatoa mimba na mnakaa kimya hivi kubaka na kutoa mimba lipi ni kosa kubwa
Hivi mkuu wa mkoa atatokana wapi na huyo malaya kakosa wanawake au mke huyu malaya katumika kumchafua mkuu wa mkoa huyo malaya achunguzwe ikionekana ni jambo la kupanga achukuliwe hatua kali za kisheria.
Mbona apo anaonekana anavuta sigara???
Uyu binti ni malaya anatumiwa na wanasiasa nama fisadi mkuu wa wawilaya alikuw anapambana na mafusadi sana
Na wasiwasi na huyo binti.anafanya biashara chafu.safari hii njama zake zitafichuliwa
Uyo bnt ni mjinga iv kwa nn .akubali alafu pia uyo bnt yupo kibiashara .na pia katumiwa na watu kumchafuwa
Yote mawili yanawezekana
Binti mshenzi
Bint itabidi aongee ukweli katumwa na nani mbana kazi nyepesi
Mimi sikubaliana nayo kweli huyu Mkuu wa Mkoa anaweza kufanya hivyo wanawake wote hawa wanatafuta wanaume hiyo ni kumharibiq kazi tu Kiongozi
Bint mchawi na alaniwe
SEMA KWELI HAPO KUNA JIWE KTK LAMI.HAINASIKI VILE ETI????
Nasikitika bw madora tv umeedit picha na kutuaminisha hii story yaani shenzi kabisa k... A
Huyu dada hata kwa maerezo yake nimuongo
P
😏P😊
Huyu bint alishawahi kumfunga mtu miaka 30 hivyo hivyo
Binti wa chuo tena degree ndugu zetu na dada zetu mnajitoa thamani wenyewe
Siasa mchezo mchafu.
Huu ni uongo na dhuruma na ni zambi kubwa sana
Binafsi nawashangaa wanaotoa hukumu!! Tuache vyombo vya uchunguzi vifanye kazi yao na matokeo yake yatajulikana.
HII KESI IMEPANGWA.
1.KUMCHAFUA MKUU KWA MANUFAA YA UPANDE FULANI.
2 UCHUNGUZI UFANYIKE ILA WATAKAO HUSIKA
3 WACHUKULIWE HATUA KALI IWE FUNDISHO
4 AMEFANYA KAZI NZURI MKUU NDIO SABABU KUTOKEA HII
5 HUYU DADA AMETUNGA AU KESI IMEPIKWA ICHUNGUZWE
6 DD MWINGI SASA HATA MAJANI YUPO?
Sasa mh Rais Samia awe makini sana wateule wake wengi watawasngizia mambo mzito ya aibu. Makonda, jer slaa ,chalamila, kihongos, mchengerwa , mtaka, hao ni viongozi wachache. Ninao wajua hawapendwi kabisa na mafisadi mh Rais awalinde kwa kila njia ili watimize ndoto zake
Kweli kabisa mtu analipwa pesa kumchafua kiongozi inaumiza sana .
Màmbo ya kisiasa Kuna watu wenye hira wanao wachafua wezao bira sababu vipimo vya dactal vinasemaje? Naomba jesi la polis kama likagundua Binti huyo ni mwongo limchukulie hatua ya kisheria ya kumpeleka mahakamani,
YEYE HUYU MKUU WA MIKOA KAMA ALIMLAWITI HATA KAMA NI MALAYA HUONI KWAMBA AMEFANYA KITENDO AMBACHO KILIKUA HAKISTAILI KAMA KIONGOZI?HAFAI KUA KIONGOZI KAMA IMEFIKA MAHALI MKUU WA MIKOA ANA MLAWITI MALAYA KWENYE GARI😂, HUYO AMEHARIBU HESHIMA KABISAAA HAFAI KUA HATA BALOZI WA NYUMBA KUMI,
Huyo binti katumiwa na wabaya wa Mkuu wa mkoa . Dakika 30.hazitoshi kumlazimisha hadi afanikishe ulawiti. Kama kweli alifanikiwa aliingia na kumaliza basi huyo ndio tabia yake asituzingue kwa mparange hakuingiliki bira maandalizi ya mda mrefu. Serkali na hasa mh Rais awe macho wateule wake hasa wachapakazi wanawindwa kweli ili waondolewe. Wabaki wavivu tu.
Kuna shida huo ni mchezo tu Wiki mbiliumelawitiwa umenyamaza hadi leo Huyu binti anapíga hela na ni mchezo wake
Mtu kasema ukweli mnakataaa