Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

WATUMIAJI WA MKONGO WAFUNGUKA BAADA YA DAWA HIYO KUPIGWA MARUFUKU - "INA MADHARA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июл 2022
  • WATUMIAJI WA MKONGO WAFUNGUKA BAADA YA DAWA HIYO KUPIGWA MARUFUKU - "INA MADHARA"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 91

  • @revocatuserasto2973
    @revocatuserasto2973 2 года назад +11

    Polen Sana mnaotmia mcongo hampigi show Hadi mbsit kigoma tuko vizur guv yakzariwa nayo natuko vizur

  • @nyalysmswatijr1032
    @nyalysmswatijr1032 2 года назад +8

    Mkongo umewaheshimisha watu,walichokifnya kuufungia ni kuupandisha thaman tu,hyo ni kiboko ya wala nauli

  • @abdalahsambala6667
    @abdalahsambala6667 2 года назад +8

    Kama umemuona bodaboda na mzigo wake gonga like

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 года назад +7

    Aisee nimefurah sana kwa kutoa iyo dawa wanatuvunjia watto wetu wa morogoro aisee nimefurah sana kuiyona mkoa wangu nikiwa oman naenjoy hongeren wasafi tv

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад +3

    Mimi nafikiri tafsiri ya matumizi mnakosea kusema...mkongo auongezi nguvu za kiume Ila mkongo unapopaka unazuia mwanaume kukojoa mapema...sababu mwanaume ambae Hana nguvu akipaka anaweza hasifanye kitu au akaenda moja na baadae hasiendelee sababu mkongo unatia ganzi ambacho ndio chachu ya nyege ya mwanamme....

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 2 года назад +4

    Hongera 📷 Camera Man iyo Seen ya Mwisho umecheza kama Pele haipingwi

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 2 года назад +4

    Eti watumiaji wa mikongo duuu

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 2 года назад +10

    Baada ya muda mchache tunasubiria matokeo ya vijana🤣

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 2 года назад +4

    Wataalam walishaifanyiaga utafiti na serikali ishatoaga tamko kuwa haina madhara iweje leo tiba asilia waifungie !mi naona ni wivu tu waki biashara !namshauri uyo msambazaji asikubali kufungiwa kilaisi hivyo

  • @jeybullaz9323
    @jeybullaz9323 2 года назад +4

    Duuhh kameraman mbaya sanaa,,kimepita kitu kina yellow🟡 hapo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @amriramadhani2529
      @amriramadhani2529 2 года назад

      Kumbe naww Pia umeona 🙉🙉🙉🙉ninyoko

    • @roggermwakyanjala3586
      @roggermwakyanjala3586 2 года назад

      Hahahahahahah na wewe umeiona hyoo eeh.... Muhuni kaishi nae mpaka boda lilipo potea

    • @jeybullaz9323
      @jeybullaz9323 2 года назад

      @@roggermwakyanjala3586 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @avitusmwombeki2576
    @avitusmwombeki2576 2 года назад +11

    Kulikuwa kuna haja gani ya kuonyesha abiria walio panda pikipiki hapo mwishoni 😀😀😀??

  • @othumanhassan4844
    @othumanhassan4844 2 года назад +4

    Hiii Tanzania inamajungu

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 2 года назад

    Safi sana baraza

  • @bugabyarugaba3771
    @bugabyarugaba3771 2 года назад +4

    Madhara mengine nikwamba hata unaeshiriki nae unamuasili sababu mtumiaji anajipaka akienda kwa mwenza wake wanajikuta wote wanatumi mkongo bila mwenza kujua Kama inahalibu mduko wa uzazi inakuaje

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 2 года назад +1

      Hujui matumizi yake sio lazima ukoment.. Kwanza huwezi kupakaa ukaenda kushiriki ni lazma uoshe mboo ndo ukapambane

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      Afdhari maana duh

    • @mahamudmhawi2731
      @mahamudmhawi2731 2 года назад

      @@captenndunga6745 ajui matumizi yake huyo mzigo mpaka ufute ndio ufanye mapenzi sababu ile bila kuifuta mwanamke anawashwa ukeni

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 2 года назад

      @@mahamudmhawi2731 wasenge wanashindwa kutofautisha viagra na vumbi la kongo.. Vumbi la kongo haliongezi nguvu za kiume linachelewesha kukojoa kama mtu hana nguvu za kiume hata akipaka halimsaidii kwa kua sio kz yake. Na vumbi hata ukipa demu akizingua kuja halina shida sasa sijawaelewa hawa watafiti uchwara hayo mazara yanapatikana vp wakati wadada wenyewe wanapenda kazi kazi.

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 2 года назад

      Kwani sikuizi vijana awana nguvu za kiume mbaka wapake vumbi nailo vumbi la mchanga au udongo sasa mbona vijana wadogo awana nguvu duh 🙄

  • @rojahman9971
    @rojahman9971 2 года назад +2

    Yani hawajuw hao mkongo aiongezi nguvu hiyo niachelewesha tu na aijaongezwa na chochote eti imechangangw na vgr mhh

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 года назад +1

    Hvi mkongo ndo ukoje maana wengine tunausikia tu

  • @benjux2645
    @benjux2645 2 года назад +3

    Daaaah,boda boda katisha na abilia wakee daaah 🤪🤪

  • @onlygame5110
    @onlygame5110 2 года назад

    Mimi sijaelewa kumbe ah kumbe hio dawa ndio iliyo nigombanisha mpaka mimi namkewangu tukaachana katika moja ya vikao vyetu mwishoni vilivokua vikisulihishwa ili tusiachane ilisikia hilo neno mkongo mara kadhaa.napia nilishinkizwa na marafiki zangu kusuhi dawa lakini nilikataaga ushauri huo.maoni yangu hilo nisoko kama lamihadarati mingine tu watalamu Wa asili na wanasayasi wa nchi nzima ili kupata suluhu kwa pamoja.kumbukeni hili kundi likisha kosa hio dawa litakimbilia kwanye dawa za kizungu namadhara yake nipale ilipo pigwa marufu bangi,na madawa yakulenya imekua habari yasitofahamu mpaka leo tusije tukafungia asili namwisho tukaishia pabaya

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv9322 2 года назад +3

    Kuna mzigo umepita kwenye boda umevaa orange. Cameraman alikua makini kuuchukua aisee.🤣😆😆

  • @rukabobugalama2722
    @rukabobugalama2722 Год назад

    Mkongo ni nzuri sana

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 года назад +1

    Vijana ambao yupo fiti tujiandaeni kuwastiri wake za watu maan mkongo ndo unatowek uo wenye ndoa walozowea mkongo karbia ztavunjika kwiy vijana tujiandaeni kuwasaidia kaz

    • @hashimukasimu2716
      @hashimukasimu2716 2 года назад +1

      Watu tumehigadhi visado magetoni hauwezi toeka

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 2 года назад +3

    Aysee camera man umeona mzigo umeusi dikiza kabisa.🤣🤣🤣🤣🤣

  • @suleimanamlima3398
    @suleimanamlima3398 2 года назад

    Tunapaswa kutofautisha Dawa ya Hensha iliyopigwa marufuku na Mkongo(vumbi la kongo)

    • @masoudmasasi1801
      @masoudmasasi1801 2 года назад

      yah sahihi kabisa dawa hiyo na vumbi la mkongo ni vitu 2 tofauti

  • @rubenharuni79
    @rubenharuni79 2 года назад

    nilitow ushauri mapema sana kuhusu vumbi lakongo sasa wale marafiki mlotumia poleni sana

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 2 года назад +3

    Duu huu mzigo wa kuvunja chaga

  • @dullamk5694
    @dullamk5694 2 года назад +3

    Unataka nguvu zaid za nn

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 года назад +2

    Ondoweni mashetani hayo

  • @Manyohu.tv1
    @Manyohu.tv1 5 месяцев назад

    iko vzr tu hata hailet shida yoyote😆😁😁😁😁😁

  • @novathmsanyamsanya7702
    @novathmsanyamsanya7702 2 года назад

    Dah! Piga marufuku hadi kwa wauzaji wa mtaani huku

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 2 года назад +1

    Mtaipaisha hiyo dawa itakuwa balaaa
    😂😂😂😂

  • @norbertmakundi2305
    @norbertmakundi2305 2 года назад +1

    Kamera man hiyo pikipiki yenye mswambwanda da da hapo inahusika ninii

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +1

    Hili la koti la orange bule kbsa.....

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 2 года назад +1

    Mngewaficha sura kulinda privacy

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 2 года назад +1

    Watanzania tuache upuuzi.Vitu gani hivyooooo

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 2 года назад

    Mimi kwishaaaa
    Dawa imefungiwa

    • @capteinchuimchafu7894
      @capteinchuimchafu7894 2 года назад

      Tumia ndizi mbivu 3 every day man katika chakula Chako utanipa matokeo

  • @ahmedrageahmedrage9134
    @ahmedrageahmedrage9134 2 года назад +1

    Wanawake hawaradhiki

  • @thehunter5920
    @thehunter5920 2 года назад

    binausi ndiyo nani?

  • @amriramadhani2529
    @amriramadhani2529 2 года назад +2

    Iyoekamera man nimm aisee ...🤣🤣🤣🤣🙉

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 2 года назад

    Wataishije tena

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 2 года назад +1

    Naona wote wanaelezea k2 tofaut na vumbi....vumbi ni kila k2 aisee

  • @worldstartz
    @worldstartz 2 года назад

    Camera man aongezewe mshahara please 😂

  • @jacklinejacklinejonh6530
    @jacklinejacklinejonh6530 2 года назад +1

    🤣🤣🤣 eti mbona imekua gafla daah

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 2 года назад

    mimi sijawai kutumia lakini najuaga ukitumia unauaa zakwako

  • @mariodattany
    @mariodattany Год назад

    Boda boda kabeba abiria
    Matako ya abiria yote yako nje ya siti😂😂😂

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад +1

    Mmmh mi nilidhani msemo kumbe iko dawa kweli ya vumbi la kongo🤔🤔🤔🤔✋

    • @hance2746
      @hance2746 2 года назад

      Ujawai pakiwa mama 😂😂

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад

      @@hance2746 mmmh sijawahi na wala sina wakunipakia iyo vumbi

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 года назад

      @@rukiaiddyyahaya9506 mhhhmm Huna kweli wewe wakukupakia au watuondosha njiani tu bint IDDY😜😜😜😜

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад

      @@mahamoudduchi3318 nitakua simpendi kama niko nae afu nikane sina

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 года назад

      @@rukiaiddyyahaya9506 Allah Kareem utapata mwenye kheri na wewe

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 2 года назад

    Nyie mliokaa apo eti napiga marufu unajidanganya iyo vita ni sawa na upambane na malaya eti wasijiuze uwezi kabisa fanya kazi zingine ww

  • @loganpoul
    @loganpoul 2 года назад

    Basi waturuhusu tuvute bangi kama wamefungia mkongo

  • @mcmifukotz7267
    @mcmifukotz7267 2 года назад +1

    Boda katisha kabeba kifurushi cha saizi yako

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 года назад +2

    Watumiaji wote pumbavu tuu nguvu za kiume ni lishe tuu kenge nyie

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 2 года назад

    CAMERA MAN NAONA kamulika mteja wa bodaboda!!ha ha

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 2 года назад

    Mcongo haubusti achen uongo

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 года назад

    Kw tanznia yetu kaz bure ztaletwa kinyemela izo ztauzwa kama kawaida tu nawapa pole watumiaji wa mkongo

  • @whitelove_og369
    @whitelove_og369 2 года назад +1

    #TAZAMA UKWELI WOOTEE HUUU HAPA ruclips.net/video/DSkPX3IxQDg/видео.html

  • @salcle9702
    @salcle9702 2 года назад +1

    🤣🤣🤣

  • @johnnytravo
    @johnnytravo 2 года назад

    Wanawake mashujaa ruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html