Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
WATUMIAJI WA MKONGO WAFUNGUKA BAADA YA DAWA HIYO KUPIGWA MARUFUKU - "INA MADHARA"
HTML-код
- Опубликовано: 27 июл 2022
- WATUMIAJI WA MKONGO WAFUNGUKA BAADA YA DAWA HIYO KUPIGWA MARUFUKU - "INA MADHARA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Polen Sana mnaotmia mcongo hampigi show Hadi mbsit kigoma tuko vizur guv yakzariwa nayo natuko vizur
Mkongo umewaheshimisha watu,walichokifnya kuufungia ni kuupandisha thaman tu,hyo ni kiboko ya wala nauli
Kama umemuona bodaboda na mzigo wake gonga like
Huyo boda alombeba afande vip
Aisee nimefurah sana kwa kutoa iyo dawa wanatuvunjia watto wetu wa morogoro aisee nimefurah sana kuiyona mkoa wangu nikiwa oman naenjoy hongeren wasafi tv
Hongera sana kwa ku enjoy
Mimi nafikiri tafsiri ya matumizi mnakosea kusema...mkongo auongezi nguvu za kiume Ila mkongo unapopaka unazuia mwanaume kukojoa mapema...sababu mwanaume ambae Hana nguvu akipaka anaweza hasifanye kitu au akaenda moja na baadae hasiendelee sababu mkongo unatia ganzi ambacho ndio chachu ya nyege ya mwanamme....
Hongera 📷 Camera Man iyo Seen ya Mwisho umecheza kama Pele haipingwi
Kaua siop
Kwakweli
Eti watumiaji wa mikongo duuu
Baada ya muda mchache tunasubiria matokeo ya vijana🤣
😂
Wataalam walishaifanyiaga utafiti na serikali ishatoaga tamko kuwa haina madhara iweje leo tiba asilia waifungie !mi naona ni wivu tu waki biashara !namshauri uyo msambazaji asikubali kufungiwa kilaisi hivyo
Duuhh kameraman mbaya sanaa,,kimepita kitu kina yellow🟡 hapo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe naww Pia umeona 🙉🙉🙉🙉ninyoko
Hahahahahahah na wewe umeiona hyoo eeh.... Muhuni kaishi nae mpaka boda lilipo potea
@@roggermwakyanjala3586 🤣🤣🤣🤣🤣
Kulikuwa kuna haja gani ya kuonyesha abiria walio panda pikipiki hapo mwishoni 😀😀😀??
Hicho ndicho chanzo kiongozi
Daaaah....🤔🤔🤔🤣
🤣🤣🤣kumbe umeona
@@abdallasalim4457 eeeeh bhana
Hiii Tanzania inamajungu
Wanaona tuna faidi Sana , wana majungu kweli
Safi sana baraza
Madhara mengine nikwamba hata unaeshiriki nae unamuasili sababu mtumiaji anajipaka akienda kwa mwenza wake wanajikuta wote wanatumi mkongo bila mwenza kujua Kama inahalibu mduko wa uzazi inakuaje
Hujui matumizi yake sio lazima ukoment.. Kwanza huwezi kupakaa ukaenda kushiriki ni lazma uoshe mboo ndo ukapambane
Afdhari maana duh
@@captenndunga6745 ajui matumizi yake huyo mzigo mpaka ufute ndio ufanye mapenzi sababu ile bila kuifuta mwanamke anawashwa ukeni
@@mahamudmhawi2731 wasenge wanashindwa kutofautisha viagra na vumbi la kongo.. Vumbi la kongo haliongezi nguvu za kiume linachelewesha kukojoa kama mtu hana nguvu za kiume hata akipaka halimsaidii kwa kua sio kz yake. Na vumbi hata ukipa demu akizingua kuja halina shida sasa sijawaelewa hawa watafiti uchwara hayo mazara yanapatikana vp wakati wadada wenyewe wanapenda kazi kazi.
Kwani sikuizi vijana awana nguvu za kiume mbaka wapake vumbi nailo vumbi la mchanga au udongo sasa mbona vijana wadogo awana nguvu duh 🙄
Yani hawajuw hao mkongo aiongezi nguvu hiyo niachelewesha tu na aijaongezwa na chochote eti imechangangw na vgr mhh
Hvi mkongo ndo ukoje maana wengine tunausikia tu
Daaaah,boda boda katisha na abilia wakee daaah 🤪🤪
😅😅😅😅😅
Mimi sijaelewa kumbe ah kumbe hio dawa ndio iliyo nigombanisha mpaka mimi namkewangu tukaachana katika moja ya vikao vyetu mwishoni vilivokua vikisulihishwa ili tusiachane ilisikia hilo neno mkongo mara kadhaa.napia nilishinkizwa na marafiki zangu kusuhi dawa lakini nilikataaga ushauri huo.maoni yangu hilo nisoko kama lamihadarati mingine tu watalamu Wa asili na wanasayasi wa nchi nzima ili kupata suluhu kwa pamoja.kumbukeni hili kundi likisha kosa hio dawa litakimbilia kwanye dawa za kizungu namadhara yake nipale ilipo pigwa marufu bangi,na madawa yakulenya imekua habari yasitofahamu mpaka leo tusije tukafungia asili namwisho tukaishia pabaya
Kuna mzigo umepita kwenye boda umevaa orange. Cameraman alikua makini kuuchukua aisee.🤣😆😆
Hahhh hatar 😅
😃😃😃
Hahahahah
Mkongo ni nzuri sana
Vijana ambao yupo fiti tujiandaeni kuwastiri wake za watu maan mkongo ndo unatowek uo wenye ndoa walozowea mkongo karbia ztavunjika kwiy vijana tujiandaeni kuwasaidia kaz
Watu tumehigadhi visado magetoni hauwezi toeka
Aysee camera man umeona mzigo umeusi dikiza kabisa.🤣🤣🤣🤣🤣
Tunapaswa kutofautisha Dawa ya Hensha iliyopigwa marufuku na Mkongo(vumbi la kongo)
yah sahihi kabisa dawa hiyo na vumbi la mkongo ni vitu 2 tofauti
nilitow ushauri mapema sana kuhusu vumbi lakongo sasa wale marafiki mlotumia poleni sana
Duu huu mzigo wa kuvunja chaga
Unataka nguvu zaid za nn
Ondoweni mashetani hayo
iko vzr tu hata hailet shida yoyote😆😁😁😁😁😁
Dah! Piga marufuku hadi kwa wauzaji wa mtaani huku
Mtaipaisha hiyo dawa itakuwa balaaa
😂😂😂😂
Kamera man hiyo pikipiki yenye mswambwanda da da hapo inahusika ninii
Hili la koti la orange bule kbsa.....
Mngewaficha sura kulinda privacy
Watanzania tuache upuuzi.Vitu gani hivyooooo
Mimi kwishaaaa
Dawa imefungiwa
Tumia ndizi mbivu 3 every day man katika chakula Chako utanipa matokeo
Wanawake hawaradhiki
Watu wanashindwa kuelewa hili.....
binausi ndiyo nani?
Iyoekamera man nimm aisee ...🤣🤣🤣🤣🙉
cameraman mchokozi
Wataishije tena
Naona wote wanaelezea k2 tofaut na vumbi....vumbi ni kila k2 aisee
Camera man aongezewe mshahara please 😂
🤣🤣🤣 eti mbona imekua gafla daah
mimi sijawai kutumia lakini najuaga ukitumia unauaa zakwako
Boda boda kabeba abiria
Matako ya abiria yote yako nje ya siti😂😂😂
Mmmh mi nilidhani msemo kumbe iko dawa kweli ya vumbi la kongo🤔🤔🤔🤔✋
Ujawai pakiwa mama 😂😂
@@hance2746 mmmh sijawahi na wala sina wakunipakia iyo vumbi
@@rukiaiddyyahaya9506 mhhhmm Huna kweli wewe wakukupakia au watuondosha njiani tu bint IDDY😜😜😜😜
@@mahamoudduchi3318 nitakua simpendi kama niko nae afu nikane sina
@@rukiaiddyyahaya9506 Allah Kareem utapata mwenye kheri na wewe
Nyie mliokaa apo eti napiga marufu unajidanganya iyo vita ni sawa na upambane na malaya eti wasijiuze uwezi kabisa fanya kazi zingine ww
Basi waturuhusu tuvute bangi kama wamefungia mkongo
Boda katisha kabeba kifurushi cha saizi yako
Hahaha
Watumiaji wote pumbavu tuu nguvu za kiume ni lishe tuu kenge nyie
CAMERA MAN NAONA kamulika mteja wa bodaboda!!ha ha
Mcongo haubusti achen uongo
Kw tanznia yetu kaz bure ztaletwa kinyemela izo ztauzwa kama kawaida tu nawapa pole watumiaji wa mkongo
#TAZAMA UKWELI WOOTEE HUUU HAPA ruclips.net/video/DSkPX3IxQDg/видео.html
🤣🤣🤣
Wanawake mashujaa ruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html